Ijue Historia ya Kanisa Anglikana Tanzania . Wapi lilianzia na nani mwanzilishi. Tupo na Baba Askofu , Dkt James Almasi wa Kanisa Anglikana Dayososo ya Masasi
Barikiwa sana ,wanahabari wa CCT,mmefanya vizuri sana kuandaa makala hii ya Kanisa la ANGLIKANA Tanzania , Dayosisi ya Masasi . Kongole baba Askofu Almasi 🙏🙏👏👏
Mbona sasa serikali imetelekeza uridhi na historia hii mazingira yako duni hakuna lami wala mazingira ya kujari ikiwa viongozi wengi wamesoma hapa na leo wako na maisha mzuri wanakula kwa mrija mbona hawakumbuki msingi ulio wapa uagali
Hongera Askofu kwa historia mzuri
Amen
Barikiwa sana ,wanahabari wa CCT,mmefanya vizuri sana kuandaa makala hii ya Kanisa la ANGLIKANA Tanzania , Dayosisi ya Masasi .
Kongole baba Askofu Almasi 🙏🙏👏👏
Amen 🙏🙏🙏 Barikiwa sana baba Askofu. Natamani siku Moja nifike masasi
Amen ubarikiwe Baba Almasi kwa kuitangaza Masasi katika kazi ya Bwana
Mbona sasa serikali imetelekeza uridhi na historia hii mazingira yako duni hakuna lami wala mazingira ya kujari ikiwa viongozi wengi wamesoma hapa na leo wako na maisha mzuri wanakula kwa mrija mbona hawakumbuki msingi ulio wapa uagali
Masasi hakuna lami ?