Sikia hii ya Joseph Musukuma leo Bungeni mjini Dodoma

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 13 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 115

  • @emmanuelbonifas3517
    @emmanuelbonifas3517 5 ปีที่แล้ว +3

    Uko vzr sana mh msukuma nina uwakika utoishia ubunge tu utafika mungu alipokupangia dalili za mvua ni mawingu

  • @awadhkhamis7880
    @awadhkhamis7880 5 ปีที่แล้ว +2

    TZ tunakoelekeaa Kuna leta tamaa tukipata w2 km Hawa kidgo wanatupa tma km mzalendo wa TZ gonga like

  • @charlesmagere9020
    @charlesmagere9020 7 ปีที่แล้ว +5

    safi msukuma.....lazima tuwabane wazungu fasta

  • @anitaibrahim3795
    @anitaibrahim3795 ปีที่แล้ว

    Pamoja sana msukuma

  • @oscargodfrey5049
    @oscargodfrey5049 6 ปีที่แล้ว +4

    Msukuam vzr sana

  • @maryamdounga2290
    @maryamdounga2290 6 ปีที่แล้ว +5

    😂😂😂msukuma noma

  • @charlesnyange5625
    @charlesnyange5625 2 ปีที่แล้ว

    Mungu aibaliki katiba

  • @bakaribakarioficial3792
    @bakaribakarioficial3792 5 ปีที่แล้ว +2

    msukuma yupo poa sana

  • @AshrafAshraf-dm4xe
    @AshrafAshraf-dm4xe 6 ปีที่แล้ว +2

    namkubali sana msukuma ..wachaneeeeee

  • @jamesakhabuhaya4747
    @jamesakhabuhaya4747 6 ปีที่แล้ว +2

    Asante msukuma

  • @isayaudopeudope350
    @isayaudopeudope350 ปีที่แล้ว

    Msukuma ajengewee sanamu

    • @RehemaNyamatende
      @RehemaNyamatende 4 หลายเดือนก่อน

      Waheshimiwa.wabunge.lioneni.hili.mbumge.mkumbushe mheshiwa.wazri.wa.kilo.alituahidi.atatuchia.bwawa nzega.budushi..budusji.mbuga.kubwa.yapunga.siyo.heka.mamia.ni.maerufu mtakuwa.mmetufukuzi.njaa.na.kukosa.pesa.tunaomba.sana.msituone.kama.wemda.wszomu.kwamba.mnaongelea.kitu.kingine.sisi.tunaigiza.kitu.kingine.tumeamua.kufikisha.ujumbe.kwa.njia.hii.tunaomba.huruma.yenu.waheshiwa.sikilizeni.hoja.yetu zitaungana na.kufanyanya.vikundi.wakina.mama.na.kuletamaendeleo tutasomesha.watoto..kusudi.ni.kujikomboa.na.janga.la.ufukara.kwa.sababu.ardhi..tunayo muheshiwa.waziri.wa.kilimo.hata.mama.yetu.tunakuomba maana.ujumbe.huu.kwa neema.ya.mungu.nina.imani.utakufikia.tuaomba.serikali yako.tukufu ituanglie.wakina mama.wa.budushi.nzega.mbuga ipo nzuri.mpunga.hata.mje.muione.changmoto.mji.mkituchimbi.bwawa.mtaona juhudi.zetu

  • @paulinarobert1181
    @paulinarobert1181 6 ปีที่แล้ว

    cha msingi Tanzania mungu atajalie tufikie malengo yetu kama nchi

  • @isaaclusesa2079
    @isaaclusesa2079 6 ปีที่แล้ว +3

    Ndio kamanda wangu twende mbona watatuheleawa t2

  • @ancomagu8531
    @ancomagu8531 6 ปีที่แล้ว +3

    nakukubari myaka 10000000000000000000000

  • @mariamstanford7771
    @mariamstanford7771 2 ปีที่แล้ว

    Hatari

  • @leonardkalaba1693
    @leonardkalaba1693 ปีที่แล้ว

    Msukuma pamoja Sana Kaka wabie

  • @hamiskanama1945
    @hamiskanama1945 6 ปีที่แล้ว +6

    Nikweli kabisa hawana nia yakweli

  • @aludomakori4230
    @aludomakori4230 3 ปีที่แล้ว

    Msukuma utawamisi hao wapinzani walikuwa wanakukeraaaaaa

  • @edwardedward2520
    @edwardedward2520 6 ปีที่แล้ว

    Anakipaji sana Msukuma namkubali sana wale vidonge vyao wakimeza wakitema ni shauri zao!

  • @faidatiba8766
    @faidatiba8766 6 ปีที่แล้ว +2

    Uko xawa Msukuma wang

  • @jamesreonard6957
    @jamesreonard6957 6 ปีที่แล้ว

    big up sana musukuma

  • @michaeljuma8512
    @michaeljuma8512 5 ปีที่แล้ว

    Noma sana

  • @omarybakary1010
    @omarybakary1010 6 ปีที่แล้ว

    Safi sana msukuma

  • @nawihadj6674
    @nawihadj6674 6 ปีที่แล้ว +2

    msukumaaaa nouma

  • @issasiraji5117
    @issasiraji5117 2 ปีที่แล้ว

    Issa

  • @mohamedmwamajuja7186
    @mohamedmwamajuja7186 7 ปีที่แล้ว +6

    msukuma naamin kaz unayoifanyA naikubal hao walishakula pesa za wazungu

  • @aludomakori4230
    @aludomakori4230 3 ปีที่แล้ว

    Kati ya vitu ambavyo havinibariki ni hiyo ya utaratibu utaratibu ni kumtoa mtu kwenye reli tu!!

  • @allykafungwa31
    @allykafungwa31 6 ปีที่แล้ว

    namuelewa sana huyu Joseph Msukuma

  • @madamcolethaa641
    @madamcolethaa641 5 ปีที่แล้ว +1

    Msukuma atabaki kuwajuuu juuuuuiikileleni

  • @charlesmerengo6872
    @charlesmerengo6872 6 ปีที่แล้ว +2

    Wambie ukweli

  • @nchodegodalinze5465
    @nchodegodalinze5465 6 ปีที่แล้ว +1

    Kazana msukuma wataelewa tyu

  • @dicksondicksonstivene9295
    @dicksondicksonstivene9295 6 ปีที่แล้ว

    Hahahahahahahaha muheshimiwa msukumaa

  • @nyalalibuswelu9879
    @nyalalibuswelu9879 6 ปีที่แล้ว

    Safiiii dar es salaam na dhahabu wapi na wapi wambieeeee

  • @manish-fp1fb
    @manish-fp1fb 7 ปีที่แล้ว +1

    Adui namba moja ni CCM kutuwekea wabunge vilaza hivi....

    • @furahajonas839
      @furahajonas839 7 ปีที่แล้ว

      sikweli

    • @nyhamapagi9694
      @nyhamapagi9694 7 ปีที่แล้ว

      Funguka akili, wew,,huna akili kmm wabunge wako. na chadema yako ovyoooo

    • @nyhamapagi9694
      @nyhamapagi9694 7 ปีที่แล้ว

      Funguka akili, wew,,huna akili kmm wabunge wako. na chadema yako ovyoooo

    • @margarethsolomon9823
      @margarethsolomon9823 7 ปีที่แล้ว

      manish kule kwetu moshi huwa tunawapigia kura lkn Geita wanawaweka tu hawawapigii kura.

  • @deogratiusmenyera5836
    @deogratiusmenyera5836 4 ปีที่แล้ว

    Uyuuuu jamaa ni noum

  • @monicajapheth8564
    @monicajapheth8564 6 ปีที่แล้ว

    ata kama umeishia LA saba uko vizur msukuma..nakukubali

  • @lukadelik3652
    @lukadelik3652 5 ปีที่แล้ว

    Wabunge. Tumewatuma. Mtusaidie. Watanzania lakini wingi wao hawatimizi malengo.

  • @charlesmataba6931
    @charlesmataba6931 6 ปีที่แล้ว

    Musukuma unaweza maana hata vyeti walivyonavyo baadhi syo sawa na uwelewa wao

  • @msina6200
    @msina6200 3 ปีที่แล้ว

    Kutoa macho kulia amekosea nini

  • @omarjumanne4471
    @omarjumanne4471 6 ปีที่แล้ว

    Msukuma anajenga hoja kuliko hats wasomi yeye anafahamu tuchohitaji basi na ndiyo uongozi unaweza ukawa msomi lakini hujui kuongoza au kujenga hoja

  • @jonesmedia4120
    @jonesmedia4120 6 ปีที่แล้ว

    msukuma huko vzr

  • @kissatuagusto2246
    @kissatuagusto2246 7 ปีที่แล้ว +4

    ...ninachofahamu elimu is nothing,cha msingi ni utaifa kwanza,wangapi wamegraduate then they are nothing in the society???

  • @paulinarobert1181
    @paulinarobert1181 6 ปีที่แล้ว

    ukweli unauma na kama there is anything behind let us make it openly maana ata maandiko yanasema " kuweni wakweli nao huo ukweli utawaweka huru"

  • @zuhulamajaliwa5380
    @zuhulamajaliwa5380 6 ปีที่แล้ว

    tulichagua kwer Fanya kazi msukuma

  • @mohamedmwamajuja7186
    @mohamedmwamajuja7186 7 ปีที่แล้ว +3

    kwel MSIGWA unatoa macho yaan we kipind cha kikwete ulisema ni raisi weak VP Leo tena ni weak?

    • @charleskazimoto6968
      @charleskazimoto6968 5 ปีที่แล้ว

      Katika watu wajinga ni huyu Msukuma. Anataka kulinganisha akili yake na Dr Asad. Mimi nashauru Watanzania tuweke sheria wasomi peke yake ndio waingie bungeni tupate michango ya kisasa kama wenzetu Wakenya. Tunataka wabunge walio na mawazo ya kisasa sio mipasho. Watu wote wanaogombea ubunge wawe na elimu certificate na Diploma. Ziwekwe sheria kabisa kama huna vyeti usigombee ubunge. Wasomi wanapofanya kazi wanabezwa na watu kama Msukuma. Huyu mbunge amekuwa mtu wa mipasho tu.

  • @johnmagaja1929
    @johnmagaja1929 6 ปีที่แล้ว

    huyu mbunge balaaa lakin acheni aseme ukweli kuhusu Tanzania ye2

  • @barakasaimoni-en9xw
    @barakasaimoni-en9xw ปีที่แล้ว

    Nikwel

  • @shabaniramadhan4724
    @shabaniramadhan4724 6 ปีที่แล้ว

    Huyu mbeng namkubali San kutetea wananchi

  • @ezoboykihegulo6178
    @ezoboykihegulo6178 6 ปีที่แล้ว

    msukuma PGA kazi so wengne hamnagavktu

  • @edwardedward2520
    @edwardedward2520 6 ปีที่แล้ว

    Maprofesa kibao wamesaini mikataba ya kijinga Msukuma huko vizuri sana na mzalendo na ana confidence!

  • @nsolachalo
    @nsolachalo 6 ปีที่แล้ว

    msukuma yupo sawa vyeti sio ishu hata wehu wanavyeti pia.

  • @adillymbata3893
    @adillymbata3893 6 ปีที่แล้ว

    beli nas

  • @t33pelos77
    @t33pelos77 6 ปีที่แล้ว

    shikamoo masukuma nakukubali mpka nachzika

  • @stewardsalvatory2917
    @stewardsalvatory2917 6 ปีที่แล้ว

    saaana msukuma

  • @lusticendokole9385
    @lusticendokole9385 6 ปีที่แล้ว

    Huyu mbunge wa geita ana shida

  • @haguhagu1515
    @haguhagu1515 4 ปีที่แล้ว

    Mnazingua 2

  • @vwtv800
    @vwtv800 5 ปีที่แล้ว

    Pumba tu

  • @ibrahsamaki5544
    @ibrahsamaki5544 6 ปีที่แล้ว

    ibrahim

  • @khamisdaima1455
    @khamisdaima1455 6 ปีที่แล้ว +1

    Huyu jamaa hanywi bangi uyuu??

  • @malalemanhyasima6905
    @malalemanhyasima6905 5 ปีที่แล้ว

    Ingiza taratibu shemeji

  • @thomasysanga6109
    @thomasysanga6109 6 ปีที่แล้ว

    🙏🙏🙏

    • @giovannijake3056
      @giovannijake3056 3 ปีที่แล้ว

      i guess Im asking randomly but does someone know a tool to log back into an Instagram account??
      I was dumb forgot my login password. I love any help you can give me

  • @deusngika360
    @deusngika360 6 ปีที่แล้ว

    Hahaha Hahaha Tumechoka

  • @jacksonmsillu8779
    @jacksonmsillu8779 5 ปีที่แล้ว

    bashe

  • @emmanuelimayala130
    @emmanuelimayala130 4 ปีที่แล้ว

    Aliingia kwenye 18 ya msukuma

  • @hatibumphily3385
    @hatibumphily3385 6 ปีที่แล้ว

    naliomba bunge tukufu lijadili masoko ya mazao waulima twaumia na kipato ni duni

  • @adelinemizengo5783
    @adelinemizengo5783 6 ปีที่แล้ว

    msukuma mbavu zangu Mimi hahahahaha

  • @sheheiddy6009
    @sheheiddy6009 6 ปีที่แล้ว

    Huyoo ngombe ya kisukuma anaongea utumbo ganii

  • @jacksonmsillu8779
    @jacksonmsillu8779 5 ปีที่แล้ว

    mbunge bashe

  • @riscaoscar521
    @riscaoscar521 6 ปีที่แล้ว

    Ila huyu Mbunge jamani duu

  • @jamesalex185
    @jamesalex185 6 ปีที่แล้ว

    xhafi

  • @erickmdegela4921
    @erickmdegela4921 6 ปีที่แล้ว

    Binafsi Msukuma namkubari sana yaani zaidi ya sana

  • @paschalgenda4461
    @paschalgenda4461 6 ปีที่แล้ว

    Hyo jamaa n kiaz kwel

  • @siamollel9725
    @siamollel9725 6 ปีที่แล้ว

    Msukuma hana adabu

  • @philipoelias8302
    @philipoelias8302 3 ปีที่แล้ว

    gozbertgaudenc

  • @minaziparasu8748
    @minaziparasu8748 6 ปีที่แล้ว

    Kilazakilaza tuuu

  • @goodluckolesolomon5931
    @goodluckolesolomon5931 6 ปีที่แล้ว

    huyo jamaa kasoma hadi darasa la ngapi

  • @nunguseni2971
    @nunguseni2971 7 ปีที่แล้ว

    Msukuma kwel la saba weee

  • @mirajisalehe270
    @mirajisalehe270 6 ปีที่แล้ว

    were Tu na mtu mwenye PhD

  • @vincentdavid348
    @vincentdavid348 6 ปีที่แล้ว

    la nne

  • @josephmichael8089
    @josephmichael8089 5 ปีที่แล้ว

    msukuma vp ww huna lolote

  • @kasimbora985
    @kasimbora985 6 ปีที่แล้ว

    X ya lulu

  • @charlesnoafekwalipibayaali2662
    @charlesnoafekwalipibayaali2662 4 ปีที่แล้ว

    Yani ukiisikiliza clip hii kwa mtu mwenye akili timamu utakaa na uwachukie viongozi wa chadema milele. Na kama bado upo chadema ukiwa na akili unaona mbali nakutaka chama hiki basi wewe jiwe . Hebu hapa tutumie akili anayotumia kuku tu wa kienyeji kijijini kwetu kuvuka barabara na kutokugongwa na na basi la ngorika nani hapo ameongea maneno ambayo leo tunaona matokeo yake kama sio Mh Msukuma? Uongozi ni maono Uchaguzi ujao niwambie chadema kwa sababu naona viongozi wenu hawaoni mbele samahani kwa hili kweli mtakuwa na wakati mgumu sana sijui mfanyeje zaidi ya kuombea hili janga labda liwatendee miujiza fulani ambayo haipo. Mfano nimemsikia Mh anatabiri eti watanzania kufa maelfu kama nzige na corona siku zijazo asee sasa unafanya kazi ya shetani. Mzee kaa kimya muda mwingine ndio hekima kwa kiongozi .Kwenye kampeni mtakaangwa na mafuta yenu wenyewe kutoka viongozi wenu waandamiza waliotoka mliokuwa mnawatukana kwa ufala wenu bila kujuwa usemi usemao usitukane wakunga na uzazi ungalipo. Nionavyo mimi Ccm kampeni zijazo hawana kazi ya kufanya Nccr Mageuzi ndio watakuwa mwiba na wabaya kwa chadema "keep my word" .

  • @chazyjuma7353
    @chazyjuma7353 7 ปีที่แล้ว +3

    huyo mbunge mbona huwa simuelewi

    • @nzilamashala3570
      @nzilamashala3570 7 ปีที่แล้ว

      Chazy Juma humuelewi nini

    • @margarethsolomon9823
      @margarethsolomon9823 7 ปีที่แล้ว +1

      Chazy Juma msikilize vzi utamwelewa tu. Hata mm kilaza namwelewa

    • @hamisimwandu525
      @hamisimwandu525 6 ปีที่แล้ว

      Chazy Juma kitu gani humwelewi? Wapi hujamwelewa nukueleweshe

  • @margarethsolomon9823
    @margarethsolomon9823 7 ปีที่แล้ว +1

    Kasheku saluti, unanipasuaga mbavu maana huwa hutafuti maneno hahaaaa

  • @allymasenti8748
    @allymasenti8748 6 ปีที่แล้ว

    angelikua ni upinzani angelikua ametolewa nje

  • @emmanuelshayo9623
    @emmanuelshayo9623 6 ปีที่แล้ว

    Msukuma huna hoja

  • @chazyjuma7353
    @chazyjuma7353 7 ปีที่แล้ว +5

    kwa vilaza msukuma anaongoza

  • @daduzpopolipo3654
    @daduzpopolipo3654 6 ปีที่แล้ว

    Msukuma kunasaa anakua vzur kunasaa anaongea pumba hiyo kwa wazungu utasikia mane no tu mmwelipwa hakunaga kitu kama hicho bana

    • @ifunyaifunyas592
      @ifunyaifunyas592 5 ปีที่แล้ว

      Daduz Popolipo msukuma yuko vizuri sana, wape vidonge

  • @markkayuni9775
    @markkayuni9775 7 ปีที่แล้ว +2

    yan kweli uyu darasa la 7 kweli anataka kujadili miswaada mitatu kwa siku moja kilaza msukuma

  • @samusonibalazingiza3689
    @samusonibalazingiza3689 6 ปีที่แล้ว

    We we pumba tu

  • @chazyjuma7353
    @chazyjuma7353 7 ปีที่แล้ว +1

    Lissu, mnyika, lema, mdee, bulaya, Ester Matiko, heche, msigwa nawakubali

    • @bazilkisibo5811
      @bazilkisibo5811 6 ปีที่แล้ว

      Chazy Juma wana kitu gani sasa hawa

  • @jamesreonard6957
    @jamesreonard6957 6 ปีที่แล้ว

    big up sana musukuma