Katika watu wajinga ni huyu Msukuma. Anataka kulinganisha akili yake na Dr Asad. Mimi nashauru Watanzania tuweke sheria wasomi peke yake ndio waingie bungeni tupate michango ya kisasa kama wenzetu Wakenya. Tunataka wabunge walio na mawazo ya kisasa sio mipasho. Watu wote wanaogombea ubunge wawe na elimu certificate na Diploma. Ziwekwe sheria kabisa kama huna vyeti usigombee ubunge. Wasomi wanapofanya kazi wanabezwa na watu kama Msukuma. Huyu mbunge amekuwa mtu wa mipasho tu.
i guess Im asking randomly but does someone know a tool to log back into an Instagram account?? I was dumb forgot my login password. I love any help you can give me
Yani ukiisikiliza clip hii kwa mtu mwenye akili timamu utakaa na uwachukie viongozi wa chadema milele. Na kama bado upo chadema ukiwa na akili unaona mbali nakutaka chama hiki basi wewe jiwe . Hebu hapa tutumie akili anayotumia kuku tu wa kienyeji kijijini kwetu kuvuka barabara na kutokugongwa na na basi la ngorika nani hapo ameongea maneno ambayo leo tunaona matokeo yake kama sio Mh Msukuma? Uongozi ni maono Uchaguzi ujao niwambie chadema kwa sababu naona viongozi wenu hawaoni mbele samahani kwa hili kweli mtakuwa na wakati mgumu sana sijui mfanyeje zaidi ya kuombea hili janga labda liwatendee miujiza fulani ambayo haipo. Mfano nimemsikia Mh anatabiri eti watanzania kufa maelfu kama nzige na corona siku zijazo asee sasa unafanya kazi ya shetani. Mzee kaa kimya muda mwingine ndio hekima kwa kiongozi .Kwenye kampeni mtakaangwa na mafuta yenu wenyewe kutoka viongozi wenu waandamiza waliotoka mliokuwa mnawatukana kwa ufala wenu bila kujuwa usemi usemao usitukane wakunga na uzazi ungalipo. Nionavyo mimi Ccm kampeni zijazo hawana kazi ya kufanya Nccr Mageuzi ndio watakuwa mwiba na wabaya kwa chadema "keep my word" .
Uko vzr sana mh msukuma nina uwakika utoishia ubunge tu utafika mungu alipokupangia dalili za mvua ni mawingu
TZ tunakoelekeaa Kuna leta tamaa tukipata w2 km Hawa kidgo wanatupa tma km mzalendo wa TZ gonga like
safi msukuma.....lazima tuwabane wazungu fasta
Pamoja sana msukuma
Msukuam vzr sana
😂😂😂msukuma noma
Mungu aibaliki katiba
msukuma yupo poa sana
namkubali sana msukuma ..wachaneeeeee
Ashraf Ashr
Asante msukuma
Msukuma ajengewee sanamu
Waheshimiwa.wabunge.lioneni.hili.mbumge.mkumbushe mheshiwa.wazri.wa.kilo.alituahidi.atatuchia.bwawa nzega.budushi..budusji.mbuga.kubwa.yapunga.siyo.heka.mamia.ni.maerufu mtakuwa.mmetufukuzi.njaa.na.kukosa.pesa.tunaomba.sana.msituone.kama.wemda.wszomu.kwamba.mnaongelea.kitu.kingine.sisi.tunaigiza.kitu.kingine.tumeamua.kufikisha.ujumbe.kwa.njia.hii.tunaomba.huruma.yenu.waheshiwa.sikilizeni.hoja.yetu zitaungana na.kufanyanya.vikundi.wakina.mama.na.kuletamaendeleo tutasomesha.watoto..kusudi.ni.kujikomboa.na.janga.la.ufukara.kwa.sababu.ardhi..tunayo muheshiwa.waziri.wa.kilimo.hata.mama.yetu.tunakuomba maana.ujumbe.huu.kwa neema.ya.mungu.nina.imani.utakufikia.tuaomba.serikali yako.tukufu ituanglie.wakina mama.wa.budushi.nzega.mbuga ipo nzuri.mpunga.hata.mje.muione.changmoto.mji.mkituchimbi.bwawa.mtaona juhudi.zetu
cha msingi Tanzania mungu atajalie tufikie malengo yetu kama nchi
Ndio kamanda wangu twende mbona watatuheleawa t2
nakukubari myaka 10000000000000000000000
Hatari
Msukuma pamoja Sana Kaka wabie
Nikweli kabisa hawana nia yakweli
Msukuma utawamisi hao wapinzani walikuwa wanakukeraaaaaa
Anakipaji sana Msukuma namkubali sana wale vidonge vyao wakimeza wakitema ni shauri zao!
Uko xawa Msukuma wang
😀😀😀😀😀😀
big up sana musukuma
Noma sana
Safi sana msukuma
msukumaaaa nouma
Issa
msukuma naamin kaz unayoifanyA naikubal hao walishakula pesa za wazungu
Kati ya vitu ambavyo havinibariki ni hiyo ya utaratibu utaratibu ni kumtoa mtu kwenye reli tu!!
namuelewa sana huyu Joseph Msukuma
Msukuma atabaki kuwajuuu juuuuuiikileleni
Wambie ukweli
Kazana msukuma wataelewa tyu
Hahahahahahahaha muheshimiwa msukumaa
Safiiii dar es salaam na dhahabu wapi na wapi wambieeeee
Adui namba moja ni CCM kutuwekea wabunge vilaza hivi....
sikweli
Funguka akili, wew,,huna akili kmm wabunge wako. na chadema yako ovyoooo
Funguka akili, wew,,huna akili kmm wabunge wako. na chadema yako ovyoooo
manish kule kwetu moshi huwa tunawapigia kura lkn Geita wanawaweka tu hawawapigii kura.
Uyuuuu jamaa ni noum
ata kama umeishia LA saba uko vizur msukuma..nakukubali
Wabunge. Tumewatuma. Mtusaidie. Watanzania lakini wingi wao hawatimizi malengo.
Musukuma unaweza maana hata vyeti walivyonavyo baadhi syo sawa na uwelewa wao
Kutoa macho kulia amekosea nini
Msukuma anajenga hoja kuliko hats wasomi yeye anafahamu tuchohitaji basi na ndiyo uongozi unaweza ukawa msomi lakini hujui kuongoza au kujenga hoja
msukuma huko vzr
...ninachofahamu elimu is nothing,cha msingi ni utaifa kwanza,wangapi wamegraduate then they are nothing in the society???
ukweli unauma na kama there is anything behind let us make it openly maana ata maandiko yanasema " kuweni wakweli nao huo ukweli utawaweka huru"
tulichagua kwer Fanya kazi msukuma
kwel MSIGWA unatoa macho yaan we kipind cha kikwete ulisema ni raisi weak VP Leo tena ni weak?
Katika watu wajinga ni huyu Msukuma. Anataka kulinganisha akili yake na Dr Asad. Mimi nashauru Watanzania tuweke sheria wasomi peke yake ndio waingie bungeni tupate michango ya kisasa kama wenzetu Wakenya. Tunataka wabunge walio na mawazo ya kisasa sio mipasho. Watu wote wanaogombea ubunge wawe na elimu certificate na Diploma. Ziwekwe sheria kabisa kama huna vyeti usigombee ubunge. Wasomi wanapofanya kazi wanabezwa na watu kama Msukuma. Huyu mbunge amekuwa mtu wa mipasho tu.
huyu mbunge balaaa lakin acheni aseme ukweli kuhusu Tanzania ye2
Nikwel
Huyu mbeng namkubali San kutetea wananchi
msukuma PGA kazi so wengne hamnagavktu
Maprofesa kibao wamesaini mikataba ya kijinga Msukuma huko vizuri sana na mzalendo na ana confidence!
msukuma yupo sawa vyeti sio ishu hata wehu wanavyeti pia.
beli nas
shikamoo masukuma nakukubali mpka nachzika
We nae chenga kama musukuma
msukuma we noma tutakupa kura za urais 2025
saaana msukuma
Huyu mbunge wa geita ana shida
Mnazingua 2
Pumba tu
ibrahim
if
Huyu jamaa hanywi bangi uyuu??
Ingiza taratibu shemeji
🙏🙏🙏
i guess Im asking randomly but does someone know a tool to log back into an Instagram account??
I was dumb forgot my login password. I love any help you can give me
Hahaha Hahaha Tumechoka
bashe
Aliingia kwenye 18 ya msukuma
naliomba bunge tukufu lijadili masoko ya mazao waulima twaumia na kipato ni duni
msukuma mbavu zangu Mimi hahahahaha
raman za nyumba
Huyoo ngombe ya kisukuma anaongea utumbo ganii
mbunge bashe
Ila huyu Mbunge jamani duu
xhafi
Binafsi Msukuma namkubari sana yaani zaidi ya sana
Hyo jamaa n kiaz kwel
Msukuma hana adabu
gozbertgaudenc
Kilazakilaza tuuu
huyo jamaa kasoma hadi darasa la ngapi
Msukuma kwel la saba weee
were Tu na mtu mwenye PhD
la nne
msukuma vp ww huna lolote
X ya lulu
OK
Yani ukiisikiliza clip hii kwa mtu mwenye akili timamu utakaa na uwachukie viongozi wa chadema milele. Na kama bado upo chadema ukiwa na akili unaona mbali nakutaka chama hiki basi wewe jiwe . Hebu hapa tutumie akili anayotumia kuku tu wa kienyeji kijijini kwetu kuvuka barabara na kutokugongwa na na basi la ngorika nani hapo ameongea maneno ambayo leo tunaona matokeo yake kama sio Mh Msukuma? Uongozi ni maono Uchaguzi ujao niwambie chadema kwa sababu naona viongozi wenu hawaoni mbele samahani kwa hili kweli mtakuwa na wakati mgumu sana sijui mfanyeje zaidi ya kuombea hili janga labda liwatendee miujiza fulani ambayo haipo. Mfano nimemsikia Mh anatabiri eti watanzania kufa maelfu kama nzige na corona siku zijazo asee sasa unafanya kazi ya shetani. Mzee kaa kimya muda mwingine ndio hekima kwa kiongozi .Kwenye kampeni mtakaangwa na mafuta yenu wenyewe kutoka viongozi wenu waandamiza waliotoka mliokuwa mnawatukana kwa ufala wenu bila kujuwa usemi usemao usitukane wakunga na uzazi ungalipo. Nionavyo mimi Ccm kampeni zijazo hawana kazi ya kufanya Nccr Mageuzi ndio watakuwa mwiba na wabaya kwa chadema "keep my word" .
huyo mbunge mbona huwa simuelewi
Chazy Juma humuelewi nini
Chazy Juma msikilize vzi utamwelewa tu. Hata mm kilaza namwelewa
Chazy Juma kitu gani humwelewi? Wapi hujamwelewa nukueleweshe
Kasheku saluti, unanipasuaga mbavu maana huwa hutafuti maneno hahaaaa
angelikua ni upinzani angelikua ametolewa nje
Msukuma huna hoja
Anatisha
kwa vilaza msukuma anaongoza
bangi za geita hatari
Chazy Juma y
Msukuma kunasaa anakua vzur kunasaa anaongea pumba hiyo kwa wazungu utasikia mane no tu mmwelipwa hakunaga kitu kama hicho bana
Daduz Popolipo msukuma yuko vizuri sana, wape vidonge
yan kweli uyu darasa la 7 kweli anataka kujadili miswaada mitatu kwa siku moja kilaza msukuma
We we pumba tu
Lissu, mnyika, lema, mdee, bulaya, Ester Matiko, heche, msigwa nawakubali
Chazy Juma wana kitu gani sasa hawa
big up sana musukuma