Magonjwa ya Kuku na Tiba Zake

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 31 ม.ค. 2025

ความคิดเห็น • 28

  • @agripinagasper-ts1yx
    @agripinagasper-ts1yx ปีที่แล้ว

    Ahsante Sana

  • @allardminja1276
    @allardminja1276 4 ปีที่แล้ว

    iko poa sana.

  • @twororeturimekijambere5491
    @twororeturimekijambere5491 2 ปีที่แล้ว

    🇧🇮🇧🇮🇧🇮🙏asanteni

  • @oriethkimaro333
    @oriethkimaro333 ปีที่แล้ว

    Naomba namba yako tafadhali, kwa maelekezo zaidi

  • @julianaseria5623
    @julianaseria5623 ปีที่แล้ว

    Kuku wangu ana chawa

  • @hafidhiallyibrahim1937
    @hafidhiallyibrahim1937 4 ปีที่แล้ว +1

    Me kuku wangu wanakunya kinyesi cha rangi ya ugoro na kinyesi cha majimaji yanayokuwa kama mlenda niwape tiba gani

  • @mjasiliamali-tv3438
    @mjasiliamali-tv3438 5 ปีที่แล้ว +1

    Nice work kk

    • @zanderalijah615
      @zanderalijah615 3 ปีที่แล้ว

      @Brodie Wyatt Instablaster :)

    • @AlbetoMwakiwako
      @AlbetoMwakiwako ปีที่แล้ว

      Naomba msaada wa kitabu Cha ufugaji kuku wa kienyeji

  • @havertzclement689
    @havertzclement689 2 ปีที่แล้ว

    Namb

  • @hellenjonson5210
    @hellenjonson5210 2 ปีที่แล้ว

    Si utaje dawa???

  • @annakaleshu5393
    @annakaleshu5393 ปีที่แล้ว

    Toa Namba tafadhli

  • @kitambiluwingo8659
    @kitambiluwingo8659 4 ปีที่แล้ว +1

    Akiwa anakoloma tu ,hapigi chafya

  • @joelimbuya7828
    @joelimbuya7828 2 ปีที่แล้ว

    Naomba kufahamu dawa na kinga ya kuku kusinzia mafua na kukosa nguvu

  • @zainabujuma3681
    @zainabujuma3681 3 ปีที่แล้ว

    Naomba namba ya simu tafathari

  • @erickkidava5784
    @erickkidava5784 4 ปีที่แล้ว +2

    B
    Vifaranga wakimaliza chanjo wanatakiwa kuwapa New Castle baada ya mda gani?

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa  4 ปีที่แล้ว

      Wakifikisha miezi 3

    • @johnjuma3345
      @johnjuma3345 4 ปีที่แล้ว

      Mbona nimetuma pesa hauniungii shida non ama ndo niengia choose cha watu

    • @johnjuma3345
      @johnjuma3345 4 ปีที่แล้ว

      Neema Jonson niunge bhna nimetuma 0756552267

  • @aimanhashim1527
    @aimanhashim1527 4 ปีที่แล้ว +1

    Niko na jogoo langu Leo hawezi kusimama kama miguu haina nguvu je anaweza kuwa ni mgonjwa

  • @kamugishakishoke4170
    @kamugishakishoke4170 3 ปีที่แล้ว

    Naomba namba ya cm tafadhali

  • @shimiyusuleman1432
    @shimiyusuleman1432 3 ปีที่แล้ว

    Kuku wangu atakuwa na tatzo gani make anakunya mavi meupe majimaji.

  • @estarzakaria6622
    @estarzakaria6622 4 ปีที่แล้ว

    najeweweulianzajekufugakuku

    • @aimanhashim1527
      @aimanhashim1527 4 ปีที่แล้ว +1

      Jogoo langu Leo haliwezi kutumia miguu yake kusimama lakini hana dalili yakua ni mgonjwa. Inaweza kuwa anaugua nini

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa  4 ปีที่แล้ว

      Hajavimba kwenye magoti?

    • @khadijambaraka6153
      @khadijambaraka6153 3 ปีที่แล้ว

      @@changamkiafursa kukuwangu wanatoka Kama utumbo matakoni he niugonjwaganiuo na tibayake nini