Sikiliza Shuhuda Hizi 4, ya Mwisho Inasikitisha | Rev. Dr. Eliona Kimaro

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 25 มิ.ย. 2024

ความคิดเห็น • 10

  • @daudiazizi8495
    @daudiazizi8495 7 วันที่ผ่านมา +1

    Kamwe mungu haezi kuatumia ma doctar,,Kama ambavyo anaweza gutumia ma wakili wake.watumish wake ni zaidi

  • @mariethalema1365
    @mariethalema1365 9 วันที่ผ่านมา +3

    😢😢😢 imenikumbusha kijana aliyefariki December last year, alikua HIV +ve Imani hizi hizi anasema anatumia vifaa vya kiroho eti akaacha dawa mpaka akafariki maskini 😢😭

    • @upendogreutert199
      @upendogreutert199 8 วันที่ผ่านมา +1

      Yaani jamani acheni uko vitani huna hutumii kile ambacho unaeza mshawishi Mungu ukapona but unaacha kwa ujinga

  • @daudiazizi8495
    @daudiazizi8495 7 วันที่ผ่านมา

    Hapo na Mimi Leo sijaelewa,,,harafu wapo wanao jiita.wapo walio pewa neema ya guponya .Musa aliwah guponya sumu ya nyoka

  • @happiness_713
    @happiness_713 9 วันที่ผ่านมา +2

    Yeah, we perish because of lack of knowledge 🥹

    • @mariethalema1365
      @mariethalema1365 8 วันที่ผ่านมา

      Kabisa, kukosa maarifa au kupuuza Neno au kulitumia vibaya ni kuangamia, mf walevi wanaotumia tukio la harusi ya Kana kujitetea 😠

  • @daudiazizi8495
    @daudiazizi8495 7 วันที่ผ่านมา

    Wachungaji tuwasameh Mana na wao wanamwil

  • @PhilipoSteven
    @PhilipoSteven 8 วันที่ผ่านมา

    Shida mahubili mnayo tubilia mnatubilia kua yesu anaponya kila kitu kosa liko wapia hapo

    • @mariethalema1365
      @mariethalema1365 7 วันที่ผ่านมา

      Sikiliza vizuri anachofundisha Mchungaji, Yesu anao uweza kabisa wakutuponya kila kitu lkn pia kutumia mikono ya wauguzi & dawa ambazo ni kazi ya mikono ya mwadamu kwa maarifa Mungu awapayo na pia twatumia mimea aliyoiweka Mungu mwenyewe tukapona! Haya yote ni maarifa tupaswayo kuwa nayo ili tusiangamie. Mungu atusaidie & kutupa hekima. Ubarikiwe mpendwa!

    • @susankileo8702
      @susankileo8702 7 วันที่ผ่านมา +1

      Ni kweli Yesu anaponya tena kwa damu yake ya thamani. Ukiamini hata dawa hutazitumia ila kwa imani na Roho Mtakatifu akuongoze kuhusu kutokutumia dawa