MSAMBAZA CHAKULA ANAYEINGIZA MILIONI 10+, ANAMILIKI PIKIPIKI 21, KAAJIRI VIJANA 40, KAMALIZA UDOM
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 21 ต.ค. 2024
- AyoTV imefanya mahojiano na Kijana Ali Jumanne ambaye amejiari Vijana 40 kwa kusambaza chakula kutoka kwenye migahawa na kupeleka kwa Watu ambapo anatumia Application ambayo ameibuni baada ya kukosa ajira, elimu yake ni degree ya IT ambayo ameipata Chuo Kikuu cha Dodoma.
Ongera sana my boss kwa kutoa fulusa kwa vijana kwa kuwafungua macho
akiweza kumanage vizuri na mumaintain quality of service, lazima atakua millionaire.
Safi sana hongera sana kwa ubunifu dah. Ila mbona hamjatupa jina la iyo app. Tumsupport young man!
Senjaro
Mungu akitaka kukupa wala hakuandikii barua cha muhimu ni kuepuka kamba za watu kuwa huwezi kwa kitu chochote fanya kwa uwezo wako ukifel sawa t2 ila kamba ya kukukatisha tamaa tuikimbie
Hongera sana kaka kuwa na uthubutu wa kufanya unachokiamini. 👍
Hongera sana, endelea kuchapa kazi
Support your local team🇹🇿. (Team Never Give Up✌)!! Big Up 💪Boss Ally
Hongera
Safi Sana
Appreciate senjaro
Hongereni Sana
Boss wangu mpambanaji sana big up brother
Pk pk 21 kwa mwez unapata tsh mil 2 n laki moja kwa faida ya laki kwa mwez kama ukiwapa boda wafanye kaz.... Lakin kumbuka mtaj mkubwa ujue profit pia kubwa... Ina maana pik pik 21 ni tsh mil 58...
Chochote kinaweza kikaanzia chini,,kikubwa ni utii,na juhudi ya kaz...kuheshimu kipato kunaweza kukafanya ukafika juu sana...kikubwa ni kuheshm kipato hata Kama ni kidogo ipo ck kitakuwa...umakin,juhud na nidhamu ya kaz vinaweza vikakufanya utoke sehem ndogo na kwenda kubwa zaid
Safi sana ally
Hongera sana sana
Safi inapendeza mnooo Mola amsimamie azidi kufanikiwa
Nashauri muongeze hudumuma tofauti na chakula
VERY good keep it up
Miaka 21 jaman wengne tushatoka mvi
Maisha Yana wezekana sana Tanzania
Maashaallah
MASHAALLAH
Hongera br,
Kongole big brother.. keep it up.
Hongeraaa
hujatuambia application yake inaitwaje?
Nafurahi kuona vijana wenye uthubutu.......
Hizi huduma zipo sana nchi za wenzetu
Hii ni njama ya huku south Africa turiitumiya zamani labda uwez wa kuunda app yake ila anaweza kuipata
Kama huku ama us
🙄😳💦Sema uwo mtandao basi
INAITWA SENJARO APP
Hongera Sanaa kijana kweli wewe ulisoma ili kuliendeleza taifa lako
Ayo imekuwa ya hovyo sana, yaani unamuhoji mtu na wala katika maongezi yenu hamjaanza au kuitaja jina app yenyewe, sasa interview nzima hatuelewi mnaongelea nini zaidi mnaongea tuu.
yani interview zilikua zaman, sikuhuzi millard ayo ni kama blog nyingine tu.
Yani nyie mna mambo kama sio wanahabari mpaka sasa app sijui inaitwaje
@@janethchaula61 ndio waandishi wetu wa sasa, hadi mimi ambaye sijasomea mambo hayo nawashinda
😂😂😂alafu kweli
App inaitwaje wajameni
Ndio kwenye masomo kuludia inakatisha tamaa
Big up broo for unique wise
Ppp
Link ya app
Ametuamia model ya just-eat ya nje
Ndio ata mitaa ya upanga wapo wengi wanaosambaza hivyo
Vizuri ila mambo hayo Qatar kawaida sana
Sasa Qatar na tz wapi na wapi?
Hongera zake jamani naombeni mnikumbushe mwaka huu ni chanel gani ilimuhoji mke wa babu Issa? Nataka kuimalizia kuangalia hiyo interview please👇
Hii hii millard ayo
@@khadijahali4837 Shukrani siipati sijui kwanini?
@@OnlyRuky sachi kwa TH-cam yake
Mawasiliano yako 2naomba
Sasa cha ajabu nini apo
Cha ajabu kipo, kijana anajituma kujenga mustakabali wa maisha yake na ya wengine!
@@twenzaotanzania1846 😂😂
Uchawi upoo😴😴
Ukiacha ufala utakua tajiri
@@daudimmary3965 Kabisa
You copied SKIP THE DISHES APP. But well done for applying the same idea.
Senjaro !
@@daudimmary3965 hahahaa
Billionaire mtarajiwa
APP INAITWAJE🙄🙄
MUNAZINGUA..
Senjaro App
Safi sana
Mashaallh
Hongera sana
Safi sana