MSAMBAZA CHAKULA ANAYEINGIZA MILIONI 10+, ANAMILIKI PIKIPIKI 21, KAAJIRI VIJANA 40, KAMALIZA UDOM

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 ต.ค. 2024
  • AyoTV imefanya mahojiano na Kijana Ali Jumanne ambaye amejiari Vijana 40 kwa kusambaza chakula kutoka kwenye migahawa na kupeleka kwa Watu ambapo anatumia Application ambayo ameibuni baada ya kukosa ajira, elimu yake ni degree ya IT ambayo ameipata Chuo Kikuu cha Dodoma.

ความคิดเห็น • 77

  • @nassorokamasesela3782
    @nassorokamasesela3782 3 ปีที่แล้ว +3

    Ongera sana my boss kwa kutoa fulusa kwa vijana kwa kuwafungua macho

  • @TradersEasyWay
    @TradersEasyWay 3 ปีที่แล้ว +7

    akiweza kumanage vizuri na mumaintain quality of service, lazima atakua millionaire.

  • @catherinekasoyaga9523
    @catherinekasoyaga9523 3 ปีที่แล้ว +12

    Safi sana hongera sana kwa ubunifu dah. Ila mbona hamjatupa jina la iyo app. Tumsupport young man!

  • @onestkasmir1534
    @onestkasmir1534 3 ปีที่แล้ว +14

    Mungu akitaka kukupa wala hakuandikii barua cha muhimu ni kuepuka kamba za watu kuwa huwezi kwa kitu chochote fanya kwa uwezo wako ukifel sawa t2 ila kamba ya kukukatisha tamaa tuikimbie

  • @__B.O.B
    @__B.O.B 3 ปีที่แล้ว +4

    Hongera sana kaka kuwa na uthubutu wa kufanya unachokiamini. 👍

  • @abdullahalkindi9673
    @abdullahalkindi9673 3 ปีที่แล้ว +4

    Hongera sana, endelea kuchapa kazi

  • @jayspax1799
    @jayspax1799 3 ปีที่แล้ว +6

    Support your local team🇹🇿. (Team Never Give Up✌)!! Big Up 💪Boss Ally

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 3 ปีที่แล้ว +3

    Hongera

  • @magrethmkoga30
    @magrethmkoga30 3 ปีที่แล้ว +2

    Safi Sana

  • @reubenmbukani9704
    @reubenmbukani9704 3 ปีที่แล้ว +4

    Appreciate senjaro

  • @aminahaji9737
    @aminahaji9737 3 ปีที่แล้ว +4

    Hongereni Sana

  • @naslee1010
    @naslee1010 3 ปีที่แล้ว +1

    Boss wangu mpambanaji sana big up brother

  • @Memphisblue22822
    @Memphisblue22822 3 ปีที่แล้ว +8

    Pk pk 21 kwa mwez unapata tsh mil 2 n laki moja kwa faida ya laki kwa mwez kama ukiwapa boda wafanye kaz.... Lakin kumbuka mtaj mkubwa ujue profit pia kubwa... Ina maana pik pik 21 ni tsh mil 58...

    • @fabiolamshana6143
      @fabiolamshana6143 3 ปีที่แล้ว +1

      Chochote kinaweza kikaanzia chini,,kikubwa ni utii,na juhudi ya kaz...kuheshimu kipato kunaweza kukafanya ukafika juu sana...kikubwa ni kuheshm kipato hata Kama ni kidogo ipo ck kitakuwa...umakin,juhud na nidhamu ya kaz vinaweza vikakufanya utoke sehem ndogo na kwenda kubwa zaid

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib ปีที่แล้ว

    Safi sana ally

  • @furahaminde673
    @furahaminde673 3 ปีที่แล้ว +3

    Hongera sana sana

  • @blackpanther4825
    @blackpanther4825 3 ปีที่แล้ว +1

    Safi inapendeza mnooo Mola amsimamie azidi kufanikiwa

  • @leonaldosuleim7485
    @leonaldosuleim7485 ปีที่แล้ว

    Nashauri muongeze hudumuma tofauti na chakula

  • @RonnieMchatta-pr5bd
    @RonnieMchatta-pr5bd 11 หลายเดือนก่อน

    VERY good keep it up

  • @getrudeanania7049
    @getrudeanania7049 3 ปีที่แล้ว +10

    Miaka 21 jaman wengne tushatoka mvi

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 3 ปีที่แล้ว +2

    Maisha Yana wezekana sana Tanzania

  • @aziaraayoub5234
    @aziaraayoub5234 2 ปีที่แล้ว +1

    Maashaallah

  • @agiasaidi5294
    @agiasaidi5294 3 ปีที่แล้ว +2

    MASHAALLAH

  • @mkweluwilliam4673
    @mkweluwilliam4673 3 ปีที่แล้ว +2

    Hongera br,

  • @raymondemily724
    @raymondemily724 3 ปีที่แล้ว +1

    Kongole big brother.. keep it up.

  • @kombad46
    @kombad46 3 ปีที่แล้ว +2

    Hongeraaa

  • @abuyunusmohamed6961
    @abuyunusmohamed6961 3 ปีที่แล้ว +7

    hujatuambia application yake inaitwaje?

  • @ramanycore
    @ramanycore ปีที่แล้ว

    Nafurahi kuona vijana wenye uthubutu.......

  • @kombad46
    @kombad46 3 ปีที่แล้ว +7

    Hizi huduma zipo sana nchi za wenzetu

  • @sadikiballack1631
    @sadikiballack1631 3 ปีที่แล้ว +1

    Hii ni njama ya huku south Africa turiitumiya zamani labda uwez wa kuunda app yake ila anaweza kuipata
    Kama huku ama us

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 3 ปีที่แล้ว +3

    🙄😳💦Sema uwo mtandao basi

  • @sambayo2518
    @sambayo2518 3 ปีที่แล้ว +2

    INAITWA SENJARO APP

  • @yahyamkone5601
    @yahyamkone5601 3 ปีที่แล้ว +1

    Hongera Sanaa kijana kweli wewe ulisoma ili kuliendeleza taifa lako

  • @dennisevarist
    @dennisevarist 3 ปีที่แล้ว +9

    Ayo imekuwa ya hovyo sana, yaani unamuhoji mtu na wala katika maongezi yenu hamjaanza au kuitaja jina app yenyewe, sasa interview nzima hatuelewi mnaongelea nini zaidi mnaongea tuu.

    • @gracelee61
      @gracelee61 3 ปีที่แล้ว +1

      yani interview zilikua zaman, sikuhuzi millard ayo ni kama blog nyingine tu.

    • @janethchaula61
      @janethchaula61 3 ปีที่แล้ว +1

      Yani nyie mna mambo kama sio wanahabari mpaka sasa app sijui inaitwaje

    • @dennisevarist
      @dennisevarist 3 ปีที่แล้ว

      @@janethchaula61 ndio waandishi wetu wa sasa, hadi mimi ambaye sijasomea mambo hayo nawashinda

    • @khadijahali4837
      @khadijahali4837 3 ปีที่แล้ว

      😂😂😂alafu kweli

  • @isiakamfugale3621
    @isiakamfugale3621 3 ปีที่แล้ว +1

    App inaitwaje wajameni

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib ปีที่แล้ว

    Ndio kwenye masomo kuludia inakatisha tamaa

  • @barakarobert1029
    @barakarobert1029 3 ปีที่แล้ว +3

    Big up broo for unique wise

  • @mrmindboom2058
    @mrmindboom2058 3 ปีที่แล้ว +1

    Link ya app

  • @rmags8843
    @rmags8843 8 หลายเดือนก่อน

    Ametuamia model ya just-eat ya nje

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib ปีที่แล้ว

    Ndio ata mitaa ya upanga wapo wengi wanaosambaza hivyo

  • @sadikimohammed6636
    @sadikimohammed6636 3 ปีที่แล้ว +2

    Vizuri ila mambo hayo Qatar kawaida sana

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky 3 ปีที่แล้ว +4

    Hongera zake jamani naombeni mnikumbushe mwaka huu ni chanel gani ilimuhoji mke wa babu Issa? Nataka kuimalizia kuangalia hiyo interview please👇

    • @khadijahali4837
      @khadijahali4837 3 ปีที่แล้ว

      Hii hii millard ayo

    • @OnlyRuky
      @OnlyRuky 3 ปีที่แล้ว

      @@khadijahali4837 Shukrani siipati sijui kwanini?

    • @khadijahali4837
      @khadijahali4837 3 ปีที่แล้ว

      @@OnlyRuky sachi kwa TH-cam yake

  • @naimamsuya9226
    @naimamsuya9226 3 ปีที่แล้ว +1

    Mawasiliano yako 2naomba

  • @sashashamsia6894
    @sashashamsia6894 3 ปีที่แล้ว

    Sasa cha ajabu nini apo

    • @twenzaotanzania1846
      @twenzaotanzania1846 3 ปีที่แล้ว +2

      Cha ajabu kipo, kijana anajituma kujenga mustakabali wa maisha yake na ya wengine!

    • @khadijahali4837
      @khadijahali4837 3 ปีที่แล้ว

      @@twenzaotanzania1846 😂😂

  • @theopistachialo10
    @theopistachialo10 3 ปีที่แล้ว +1

    Uchawi upoo😴😴

  • @kanankirannko6174
    @kanankirannko6174 6 หลายเดือนก่อน

    Billionaire mtarajiwa

  • @hamoudcreator6343
    @hamoudcreator6343 3 ปีที่แล้ว +1

    APP INAITWAJE🙄🙄
    MUNAZINGUA..

  • @robertjunior9916
    @robertjunior9916 3 ปีที่แล้ว +4

    Safi sana

  • @halimamohammed4108
    @halimamohammed4108 3 ปีที่แล้ว +2

    Mashaallh

  • @r14kgroup68
    @r14kgroup68 3 ปีที่แล้ว +2

    Hongera sana

  • @robertjunior9916
    @robertjunior9916 3 ปีที่แล้ว +3

    Safi sana