"Nlijijua mwatoka Tanga! Mie jirani yetu kutoka Mombasa nawapata fresh kutoka Germany,mwatutemanisha/mwatukumbusha utamu huo wa pwani,twaukosa! Inshalla siku moja tutarudi, Almsik.
Msisaha kutumia limao wengi mnanuka kikwapa tumieni limao bivi unasugua kwapani kina mama namadume mengine yananuka kende pia nawao wasugulie malimao makende yao
Wamama tamaaa iliuwa fisi miaka ya nyuma mulidanganywa na ruto eti musikubali leri ipelekwe naivasha tunde tu akaipeleka naivasha na huvi sana amerudi kuwaambie eti atawarudishi pwani punde tu alivyo fika naikuru akawaambia wanaikuru musikubali bandari lenu liende pwani. ni mujiuliae huyo ndie mtakae mpatia uraisi ?
Tatizo hao wanaotegwa c waelewa .sisi wa pwani Zbar tu waelewa sana maana ukiingia getini tu udi wamawardi unakupokea ukiingia chumbani asumini zachanua kikuba kipo ktkt unajua leo Mechi kali .hakuna kulala kitanda mpk kiseme kwichkwich hotahe
WAAMBIENI WASIKIE UKO NA MWANAMKE HATA HAJUI KUKUTIA HASHKI DIRA MPAKA KITANDANI LINANUKA VITUNGU UKIMWAMBIA HIVI HAPANA HIYO TABIA MBAYA YAANI KUNA WAKE WENGINE ZIKI TUU WAPENI UJUMBE
Mimi kwa kuwa ni mwanaume nawajulisha tunavyopenda kuhusu mitego ya ki mavazi. Panga mitego kwa mara kupunguza mavazi uone mambo yatakavyokuwa siku nyengine unaingia uwanjani kwa vijinguo vyepesi. Mara dada anavua zote anabakisha tu bra, Shanga, bangili, vipuli...siku nyengine yeye awe ndiye amevaa lakini dada hana ila kakilemba nk ....
❤
😂😂😂😂😂nacheka tena sana aca tujifunze vyenye. Tuta watega awa waume zetu asanteni 👌👌From Rwanda .
Shukrani somo nawapenda sana ♥️♥️♥️♥️💓💓💓🔥🔥🔥
Nawapenda sana watanga wenzangu I'm watching from Dubai 😍😍😍
Nipo Oman tanga oyeee
Nawapenda sana kwajili ya Allah 🥰🥰🥰Allah awahifadhi From Burundi 🇧🇮 🇧
Asante sana! Tutakuja Burundi tunasubiri mwaliko wako
Karibun 💃🥰
We need such kind of teaching to school these "modern/ corporate" women. Loving it.Kutoka Kenya.
Wambieni wamama wachoyo waelewe utamu wandowa.
Mnataka kuopewa Kila tym...what about men who r irresponsible ,utapewa ukiwa responsible, huwezi pewa Kama pia wewe huna bidii in your roles
Mansha alla nawapenda sana nyie ❤👌🇴🇲
Nani ako single hapo aje anionyeshe hayo mapenzi ya kweli,kazi nzuri sana
Halooooo😂😂💃 Mimi nimekuwa nimepitwa miye na makungwi wa Moto from 🇧🇮❤️❤️
mishangazi ya tanga ina mamboooo...😅😅😅🙌🙌❤❤❤🎉🎉🎉
Asanten jamani kwa kutufundishha nawapenda sanaa
Dah,, nyinyi mwapendeza, na mnagonga ndipo.
Haya ndio mambo yangu mtoti wa kike nayapenda hatar👌😘😘
Asante
Wow wow wow pongezi 🙏🙏🙏 watching in Diaspora
màmbo pambeeee tena nayapenda Asante kwaukumbusho
Thanks you 💕❤️💕🇧🇭❤️🌹❤️
Pambeee 👌👌naona raha mie malkia wa huba wanikosha mie nikitaka olewa nitakutafuta
Ahsante
Najifunz sana !!!
😆
"Nlijijua mwatoka Tanga! Mie jirani yetu kutoka Mombasa nawapata fresh kutoka Germany,mwatutemanisha/mwatukumbusha utamu huo wa pwani,twaukosa! Inshalla siku moja tutarudi, Almsik.
Muko vizuri Sana
😂😂😂😂😂 mashaallah sahihi kabisaa lakini habari yaswalaa hamkusemaa shukrani kwasomo
Santaaaaaaaa nawapenda bureeeeeeeeee🥰🥰🥰🥰
😋very true,waambie
First time,loving the conversation🤣🤣🤣
Tupoooo.,...nawapenda sana
Cblandina wakina wangu .nimependa maongozi ya mapenzi
Tanga oyeeeee🔥🔥🔥🔥🔥
Mara ya kwanza ila I'm happy for you. Watching you from kakamega
Kakamega represented.
Masha Allah Lahwala walakuwatah illabilah. Hongerani sana kwa Elimu hii manazangu hapo umesema ukweli. 🤣😂😂
ntawapataje jomn!!!
Nmeskia,😍
Msisaha kutumia limao wengi mnanuka kikwapa tumieni limao bivi unasugua kwapani kina mama namadume mengine yananuka kende pia nawao wasugulie malimao makende yao
Nawapenda sana
Blandina lukindo pambe somo❤️❤️
Haloooo tupo
Mpo mwapendeza sana
Namwanamke ukijitia mkorogo mnanuka ngozi inozuiya jasho mnaitoa lazma mwanamke akijitia mkorogo anuke hata avae ajitie udi bure mkorogo mbaya
Team UDA hiyo
Masomo yenu nimazuri ,sasa munaishi wapi .mimi niko congo ni flavier pa butembo
Hehe malkia wa huba nakupenda manen yakoo hatar😂😂🤣🤣👌👌👌halooo
Asante saan 👌
Good advice
Watanga oiyeeeeeee
Mungu awape kheri mnaongea point
mambo mazuri kma hayaa yananipitajeee nawapenda jamaniiii
Nimefuraiaa kwa hayo mambo ya pwani
Nawapenda from🇷🇼
Karibu Tz
Nawapenda jmn
MashaAllah malkia wa huba soma yangu mmi huyo yani hapa haachiki mtu daa blandina bango lishawaka
ahahaha
Jamani mnafanyiwa make up na salon gani nimependa make up yao.
Nawapata vzri nikiwa Newyork🇱🇷
Safi sana love from 🇺🇸
Hayuko New-York huyo,muongoo 🤣🤣nl
@@hopeoprah1111 Aisee kama una ndugu huku new york hebu nipe namba zao watakuhadisia
Tunaomba mtupe no za whatsapp kwaajili ya kupeana maujuzi zaidi
Asanteni sana
Wanipa rahaaa kina mama☺☺☺😅😅😅
Hii kali
Nawa penda bure❤️❤️🙏🙏
betr wlaakwehuu ni muziooo mchheee adadimas tototot nimuzooo
nawapenda sana jamani pambee tyu
Asanten sana jaman nawahitajisana
Haaaa blandina jmn wajina wanipa raha me
Wamama tamaaa iliuwa fisi miaka ya nyuma mulidanganywa na ruto eti musikubali leri ipelekwe naivasha tunde tu akaipeleka naivasha na huvi sana amerudi kuwaambie eti atawarudishi pwani punde tu alivyo fika naikuru akawaambia wanaikuru musikubali bandari lenu liende pwani. ni mujiuliae huyo ndie mtakae mpatia uraisi ?
Nawakubali
Tuunganishieni group la whatsap jamani naomba namba za group
Kweli malikia mm pia nalala mtupu
Jamaniiiii...Tanga Kuna mmbo
Naomba muniozeshe mtoto wenu mmoja wenu plzz
aslm mashlaah good mum ndio zaa mumeoo zakuwachiiimchasnas
Shukrani somo
😀😀😀😀 late raha. Mbona twajifunza mengi
Wamejikoboa aaaaash
Malkia wa huba upo sawa kabisa nakukubali asilimia mia,wasichana wa sikuizi hawajiongezi kabisa
😂😂😂😂3 tunalal na mapes umejuwaje😂😂😂😂
Maneno pambee
lakllkaallaa kweupeee
Barid bhn
Haaaaaaa,,,hapo sasa,mmmmm.dhaaa
weweya hatari Sana mashallah
Inaonekana Tanga Hakuna Madada weusi... Yaani vyeusi Mangala...
Jmn
Haswa watu Wa Tanga kutwa vibuibui.Hawaishi kutangatanga.hrs hazishi maulidi hayampiti kidoro yumo.Mume yuleeee
Hahahahaha umesema yotee
Tatizo hao wanaotegwa c waelewa .sisi wa pwani Zbar tu waelewa sana maana ukiingia getini tu udi wamawardi unakupokea ukiingia chumbani asumini zachanua kikuba kipo ktkt unajua leo Mechi kali .hakuna kulala kitanda mpk kiseme kwichkwich hotahe
ehhee htr😁😁😁😁🙈🤝👌
awo wengine hawajuwi maana ndomana
Shukurani mnafunza mambo muhimu ambayo kama kina dada hawapati wa kuwafunza uhusiano unakuwa hauna mambo ya kufurahisha.
samahani hiyo sms si yenu
Swadata maneno kuntuu pambe tu
Muongee na kuhusu mlzi ya watt wakiume maan ulimwengu umbdlka kwa sasa mackitko sanaaa
Alaaah,,,,,one goal one mistake...hahhahaha
Nawapenda jmn 😄😄😄
Sasa basi, its about time!
Haahaaa
🤣🤣🤣🤣 I loveee this
Nipeni number yenu
Njoo instagram UTAMU WA PWAN
Waambieni hawajielewi
Wama wakuwe wasafi
Nashangaa kulala kipensi inahusu🤣
Mwantumu cream imekubali ila safisha vidole babu Kuli yuaja
Wengine hata akiwa hethi hana mbinu nyingine utaona analala pia na minguo
Haha mimi ndio huyo🤣🤣
Me mke wangu akiwa hedhi hua ananipa mkundu
@@omarymwinyi9684 gai🧐
WAAMBIENI WASIKIE UKO NA MWANAMKE HATA HAJUI KUKUTIA HASHKI DIRA MPAKA KITANDANI LINANUKA VITUNGU UKIMWAMBIA HIVI HAPANA HIYO TABIA MBAYA YAANI KUNA WAKE WENGINE ZIKI TUU
WAPENI UJUMBE
Jipens hilo 😂
Mimi kwa kuwa ni mwanaume nawajulisha tunavyopenda kuhusu mitego ya ki mavazi. Panga mitego kwa mara kupunguza mavazi uone mambo yatakavyokuwa siku nyengine unaingia uwanjani kwa vijinguo vyepesi. Mara dada anavua zote anabakisha tu bra, Shanga, bangili, vipuli...siku nyengine yeye awe ndiye amevaa lakini dada hana ila kakilemba nk ....
😅😅😅😅
Akitokea mwizi je🙄
Lazima nivae PENSI bhn🥴
🤣🤣🤣🤣
Maake kwanza ncheke 🤣🤣
😂😂😂💔vaa nguo za kujiachia bana ndo mume ata akitoka kazi usiku ajue yuwaja muona mke wake kadamshi,,alitoka akutamani
😂😂😂😂