Askofu Kilaini na uteuzi wa Kardinali Rugambwa/ Aelezea Maswali na majibu yaliyojificha

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 18 ก.ย. 2024
  • Ni Makala maalum kuhusu Uteuzi wa Makardinali wapya 21, ikimlenga hasa Askofu Mkuu Protase Rugambwa, Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Tabora. Anaye tusimulia ni Msimaizi wa Kitume Jimbo Katoliki la Bukoba, Askofu Method Kilaini Kwa Kushirikiana na Mtangazaji Patrick P. Tibanga.
    www.radiombiu.co.tz
    #RmSautiYaFaraja

ความคิดเห็น • 24

  • @ephremmtuya3094
    @ephremmtuya3094 ปีที่แล้ว +2

    askofu kilaini ni mtaalam wa kuelezea hasa historia za kanisa na viongozi wa kanisa ni kipaji cha pekee. hongera sana Baba

  • @danstanpanga8490
    @danstanpanga8490 ปีที่แล้ว +2

    Kwa uwezo wa Mungu tunaweza kumpata Papa. Hata Rugambwa mwenyewe...Aminaaa

  • @danstanpanga8490
    @danstanpanga8490 ปีที่แล้ว +2

    Hongera sana Mwandishi kwa kazi nzuri na pia kwa kumpata Baba Askofu Kilaini, Msemaji mzuri mwenye kujua historia ya Kanisa

  • @alexlipili9343
    @alexlipili9343 ปีที่แล้ว +3

    Hongera mwandishi umegusa maswali yote niliyokuwa nayo moyoni, na uzur umempata Baba Kilaini anajua sana kujibu maswali Askofu wetu,, Mungu na azidi kukubariki sana Baba

  • @gosbertgwenyemela4090
    @gosbertgwenyemela4090 ปีที่แล้ว +2

    Mungu ni mwema hongera

  • @GODWINGOLDIEGabriel
    @GODWINGOLDIEGabriel ปีที่แล้ว +2

    Tunashukuru sana kwa Historia na ufafanuzi kutoka kwa Baba Askofu Kilaini

  • @FrolenceRogath-fv6ku
    @FrolenceRogath-fv6ku ปีที่แล้ว +1

    Mwenyezi mungu amjalie

  • @avitustibaigana9415
    @avitustibaigana9415 ปีที่แล้ว +2

    Tumshukuru Mungu kwa ajili yake

  • @zachayojohn7065
    @zachayojohn7065 ปีที่แล้ว +2

    Omukana asimwe,hongera sana Baba Kwa kuteuliwa kuwa Rubani wa kiliongoza Kanisa letu

  • @EVELIUSSEBASTIAN
    @EVELIUSSEBASTIAN ปีที่แล้ว

    Nineema kubwa Sana kwa jimbo labukoba na mkoa wa kagera kwaujumla kwa bahatihii

  • @zachayojohn7065
    @zachayojohn7065 ปีที่แล้ว +1

    Omukama asimwe Kwa kumteua Askofu P.Rugambwa kuwa Kardinali wetu

  • @UpendoSimkanga-vr7dx
    @UpendoSimkanga-vr7dx ปีที่แล้ว

    Lini anasimikwa kuwa askofu mkuu wa jimbo kuu la Tabora?

  • @imortal5354
    @imortal5354 ปีที่แล้ว +1

    Jana memesema mme metudanganya kumbe mmepost leo

    • @radiombiu372
      @radiombiu372  ปีที่แล้ว

      Umedanganywa vipi mpendwa..? Post ilikua inaonyesha itaruka July 11 saa 4 asubuhi.

    • @eugenemurenzi6155
      @eugenemurenzi6155 ปีที่แล้ว

      Asante sana Mhashamu Baba Askofu M. KILAINI, kwa maelezo mazuri! Historia unaifahamu vivuri! Ninakukumbuka sana kule Ntungamo Fllosofia ukiwa mwalimu wetu wa Historia ya Kanisa! Tunakuombea afya njema!

  • @karenstephen8738
    @karenstephen8738 ปีที่แล้ว +3

    Kanisa katoliki lina siri nyingi sana. Yupo yule askofu mkuu mwandamizi wa dsm ambaye tuliambiwa ana haki ya kurithi ukardinari itakuwaje?

    • @rynerlinuma8484
      @rynerlinuma8484 ปีที่แล้ว +1

      Kwa sasa Dsm hatuna Askofu mkuu mwandamizi badala yake tunao maaskofu Wasaidizi wa Dsm.... + Henry Mchamungu na +Stephano Musomba.
      Sidhani kama iliwahisemwa yupo wa kuurithi ukardinali maana nafasi hiyo hairithiwi

    • @aidanvincent708
      @aidanvincent708 ปีที่แล้ว

      Ukardinali hauna kurithi, ukipewa ni mpaka kufa, ni wadhifa anaopewa wa kuwa mshauri wa Papa. Ila Askofu ambaye ameteuliwa kuwa mwandamizi maana yake Mwandamizi ni Askofu mwenye haki ya moja kwa moja (yaani automatic successor) ya kurith uongozi wa jimbo husika siyo kurithi Ukardinali. Hivyo Papa anachagua yeyote atakayeona anafaa kuwa mshauri wake haijalishi Jimbo lipi (liwe Jimbo Kuu au Jimbo la kawaida).

    • @stanslausbernard5950
      @stanslausbernard5950 ปีที่แล้ว

      Kwanza cheo Cha kardinali hakirithiwi. Aidha Cha kardinali hakina majumu katika Jimbo. Makardinali wapo kumshauri papa na kuchagua papa endapo aliye madarskani atafariki dunia. Hivyo,kijimbo mwenye mamlaka Ni askofu.

    • @sylvestercameo6263
      @sylvestercameo6263 ปีที่แล้ว

      Uliambiwa na nani? Hiyo haki ni ipi na inatolèwa na nani kwa sifa na masharti yapi? Usipendelee kuongelea hadithi za kuokoteza!

    • @itispossible6058
      @itispossible6058 ปีที่แล้ว

      @@sylvestercameo6263 umejibu vizuri mno