Mungu amekuwa akisema sana nami kupitia ndoto , kuna siku niliota niniataka kuibiwa kwenye kazi yangu ya uwakala wa M-Pesa hazikupita siku mbili nilitaja kutapeliwa kweli yani ilibaki tu kidogo nitapeliwe milion 2 Mungu ni mwema sana kabla kitu kibaya hakija tupata anatuonyesha kwanza
Kweli ukiona watumishi wanazuia maono au ndoto ujue hapo ni mawakala wa shetani wanaogopa watafunuliwa na kuwekwa wazi, maono na ndoto NI Neno la MUNGU, huu ni ukweli sitapuuzia maono au ndoto.
Unapata wengine wanasema wao hawaamini wala kufuata ndoto na maono eti wanaofuata n wajinga wao wanafuata maandiko.Ili hali nusu ya biblia n ndoto na maono,agano la kale hadi jipya
@@sarahmdindile4301Yes,halafu unashindwa n neno gani wanalodai kwamba wanalisoma?hivi kweli n neno la mungu ama hadi mtu anatukanana(wanaofuata maono na ndoto n wajinga)Hii ndio sababu iliyomfanya Paulo kusema wanawake wakae kimya kanisani,maanake wako na kiburi,husifikiri eti kuna dhambi anafanya au itakayo tokea yeye kusimama kuubiri au kunena kanisani,la, wao hukosa nidhamu n kutawaliwa na kiburi mungu atusaidie
Ninazidi kukutukuza BWANA YESU Kwa kutufundisha kweli ya Neno lako,Nimejengwa Sana.
Amen sana , ubarikiwe Mchungaji kwa somo Zuri
Hallelujah hallelujah ameeen
Ameeeen
Mungu amekuwa akisema sana nami kupitia ndoto , kuna siku niliota niniataka kuibiwa kwenye kazi yangu ya uwakala wa M-Pesa hazikupita siku mbili nilitaja kutapeliwa kweli yani ilibaki tu kidogo nitapeliwe milion 2 Mungu ni mwema sana kabla kitu kibaya hakija tupata anatuonyesha kwanza
Amina
Barikiwa MTUMISHI WA MUNGU
Asant San YESU KIRSTO
Kweli ukiona watumishi wanazuia maono au ndoto ujue hapo ni mawakala wa shetani wanaogopa watafunuliwa na kuwekwa wazi, maono na ndoto NI Neno la MUNGU, huu ni ukweli sitapuuzia maono au ndoto.
Unapata wengine wanasema wao hawaamini wala kufuata ndoto na maono eti wanaofuata n wajinga wao wanafuata maandiko.Ili hali nusu ya biblia n ndoto na maono,agano la kale hadi jipya
Hizo ndoto na maono pia vimeandikwa ndani ya Neno
@@sarahmdindile4301Yes,halafu unashindwa n neno gani wanalodai kwamba wanalisoma?hivi kweli n neno la mungu ama hadi mtu anatukanana(wanaofuata maono na ndoto n wajinga)Hii ndio sababu iliyomfanya Paulo kusema wanawake wakae kimya kanisani,maanake wako na kiburi,husifikiri eti kuna dhambi anafanya au itakayo tokea yeye kusimama kuubiri au kunena kanisani,la, wao hukosa nidhamu n kutawaliwa na kiburi mungu atusaidie