AHMED ALLY "SIMBA SC KUFANYA USAJILI MKUBWA" | KIBU NI MALI YA SIMBA SC TUMESHAMALIZANA.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 17 พ.ค. 2024
  • Hakikisha Umesubscribe Chaneli yetu ya #AyomaMedia kwa habari za uhakika
    Na pia tufuatilie Katika Mitandao ya Kijamii kama Instagram & Facebook na Twitter kama @Ayoma_tv
  • กีฬา

ความคิดเห็น • 97

  • @ElizabethLukosya-lv2vf
    @ElizabethLukosya-lv2vf 26 วันที่ผ่านมา +1

    Hili ndilo semaji letu la ki professional ❤️kibu ni simba na simba ni kibu 🤗

  • @happygilison7344
    @happygilison7344 28 วันที่ผ่านมา +5

    Nakukubali sana semaji letu

  • @user-qy9fj3yo2t
    @user-qy9fj3yo2t 27 วันที่ผ่านมา +1

    Ahmed ❤️❤️❤️🦁💪🤲🌹🌹🌹

  • @alexdjmoviestv3712
    @alexdjmoviestv3712 26 วันที่ผ่านมา

    Hii akili haifai kupimwa akapimwe mkojo😂😂😂😂😂

  • @shabanihassani7115
    @shabanihassani7115 27 วันที่ผ่านมา

    Kwenye kusifia usajili sitakuamini tena mmakonde mwenzangu.
    Kabla hamjaondoa wachezaji ondoa kwanza viongozi wasiofaa.

  • @issaalfani1030
    @issaalfani1030 28 วันที่ผ่านมา +1

    Hapo hueleweki ulisema ubingwa ni lazima Leo tena unasema msimu ujao utachukua kumbuka Young African sport club mpaka 2035

  • @DONALDYOWAS-rr7tz
    @DONALDYOWAS-rr7tz 28 วันที่ผ่านมา +2

    Tumuombe mnguu

  • @saidihamisi9285
    @saidihamisi9285 23 วันที่ผ่านมา

    Mpango wa kudanganya mashabiki wacha ulituambia Fred funga funga leo kawa mitembwe

  • @user-ox4fv4cf5l
    @user-ox4fv4cf5l 28 วันที่ผ่านมา +1

    MBONA Kwa Aziz,Djuma SHABAAN,AUCHO,Max, mlichemka Kwa Yanga?

  • @joelzacha
    @joelzacha 28 วันที่ผ่านมา

    Ni kweli wanafanya kazi kubwa yakuishusha daraja Mtibwa Suger😅😅😅

  • @user-tb1qg4bp3s
    @user-tb1qg4bp3s 26 วันที่ผ่านมา

    ❤❤❤❤🦁

  • @muhammadkassim6291
    @muhammadkassim6291 28 วันที่ผ่านมา +1

    Tumechoshwa na maneno mengi hio inajirudia

  • @user-tm8xs8kl9z
    @user-tm8xs8kl9z 28 วันที่ผ่านมา +1

    Simba usajili tuna pigwa

  • @tevintevin6254
    @tevintevin6254 28 วันที่ผ่านมา +4

    Huyuu professional tapeliiiiii

  • @idrisahamimuhasani5717
    @idrisahamimuhasani5717 28 วันที่ผ่านมา

    Kwer nimeamin semaji letu nicomedy ww upo Simba unatumia gar gan?

  • @bbclondonulimwenguwasoka6126
    @bbclondonulimwenguwasoka6126 28 วันที่ผ่านมา +1

    Ikitokea Aziz Ki kaja nitafika Dar kumpa shikamoo Mo

  • @filbertjohn9356
    @filbertjohn9356 24 วันที่ผ่านมา

    Kuwa mkweli Ahmed. Viongozi wako sio. Zero

  • @israelkisanga8587
    @israelkisanga8587 28 วันที่ผ่านมา +1

    Wewe unautoto kweli, umesoma chuo gani cha habari, acha commedy, speak with fact na acha kutulewesha na maneno.

    • @user-qy9fj3yo2t
      @user-qy9fj3yo2t 27 วันที่ผ่านมา

      Israel Wacha wivu ww 😝

  • @godyfelix
    @godyfelix 17 วันที่ผ่านมา

    da semaj inabid simb viongozi wasajil wachezaj wenye ubora

  • @JosephEmmanuel-eb7gj
    @JosephEmmanuel-eb7gj 27 วันที่ผ่านมา

    Daslamaa😂😂

  • @sosomacharles9920
    @sosomacharles9920 28 วันที่ผ่านมา

    Unavyompandisha huyo Kibu utadhani ni kama mchezaji wa kiwango cha juu sana,kumbe galasa tu🤣🤣🤣

  • @Franccoz
    @Franccoz 28 วันที่ผ่านมา +1

    Huyuu na yeye muongo sajili za simba sku zote n failure

  • @GOLDIANEDRICK-sm6xk
    @GOLDIANEDRICK-sm6xk 28 วันที่ผ่านมา +2

    Itapoteza mda wako hahahaha Aziz mlimshindwa kabla Sasa mnakuja kumuweza Sasa hivi jaman

  • @abellakiobya7546
    @abellakiobya7546 28 วันที่ผ่านมา +1

    Anatamani kujicheka mwenyewe,😅

  • @brianmbuya8878
    @brianmbuya8878 27 วันที่ผ่านมา

    Hili limekuwa jinga nalo

  • @idrisahamimuhasani5717
    @idrisahamimuhasani5717 28 วันที่ผ่านมา

    Semaji unajitahid kweli kuipambania Simba ipate utulivu na washabiki wasisuse kuja kiwanjani mnauwezo nyie kumsajili Azizi k mbele ya hersi said nyie?kwa uongoz gan?au unatfta kiki tu?

  • @user-ro8ff3jj3q
    @user-ro8ff3jj3q 28 วันที่ผ่านมา

    Hakuna uongozi hapo simba wote matapeli watupu wapi Kwa ajili ya faida Yao
    Wewe Ahmed umefeli toka umeingia simba hatujafanikiwa

  • @idrisahamimuhasani5717
    @idrisahamimuhasani5717 28 วันที่ผ่านมา

    Semaji usijitoe ufaham mlimtaka azizi k, Max,pacome saiv wapo wap?

  • @mathiasmanonga3939
    @mathiasmanonga3939 28 วันที่ผ่านมา

    Realy comedian

  • @kayutiOfficial
    @kayutiOfficial 28 วันที่ผ่านมา +2

    😂😂😂😂 Ahmedy Ally Umenifurahisha Sana

  • @marandoruzali1946
    @marandoruzali1946 28 วันที่ผ่านมา +1

    Hahaha ni kweli kabisa hao wana school bus

  • @jumaabdillah
    @jumaabdillah 28 วันที่ผ่านมา +3

    Fanya kazi upate fedha hayo usemayo nikujimwambafai2

  • @sosomacharles9920
    @sosomacharles9920 28 วันที่ผ่านมา

    Aziz K au kwa Aziz Ally,harafu na yy anataka afanye kama Yanga wanavyofanya kwa Chama.Yanga huwa wanajifanya kama vile wanamtaka kweli Chama Ili wampandie dau,lakini Yanga hata hawana mpango naye🤣🤣🤣🙆

  • @warrenkilimber4013
    @warrenkilimber4013 28 วันที่ผ่านมา +2

    Huyu ni pakunyea

  • @user-ce3tx7mr8v
    @user-ce3tx7mr8v 28 วันที่ผ่านมา

    NA KWELI SIMBA SIO YA KAWAIDA INAWANIA NAFASI YA 3

  • @filbertjohn9356
    @filbertjohn9356 24 วันที่ผ่านมา

    Viongozi Hawa Hawa ndio unawasema wako makii

  • @OsmaniMdubwa
    @OsmaniMdubwa 25 วันที่ผ่านมา

    Dishi limeyumba

  • @FaidaJohn-ph6no
    @FaidaJohn-ph6no 28 วันที่ผ่านมา

    Simba nguvu moja

    • @robertphilip385
      @robertphilip385 28 วันที่ผ่านมา

      Nguvu ya uchawi siyo!!!

  • @MuslihiHassan-bi2nj
    @MuslihiHassan-bi2nj 28 วันที่ผ่านมา

    mashine ya kuongea 😅

  • @deuspastory1814
    @deuspastory1814 28 วันที่ผ่านมา +1

    Mm naona. Simba iliwapate mafanikio. Kwanza waachane na msemaji huu. Wakuropoka. Anatuumiza sana. Sisi Simba.

    • @magretpita3017
      @magretpita3017 28 วันที่ผ่านมา +1

      Anakuumiza peke yko sisi tunampenda

    • @philiponichoraus7201
      @philiponichoraus7201 28 วันที่ผ่านมา

      Binadam bhn aani akikaa kimya mnasema kapooza saiv kachangamka mnamuona jau tuwaelewejee

  • @albertvalentino130
    @albertvalentino130 28 วันที่ผ่านมา

    Joti si nafuu ---- huyu jamaa tatizo inawezekana DISHI LIMECHEZA --- yaani Yanga wahangaike na mchezaji mwenye goli moja --- atacheza wapi pale Yanga --- eti AZIZ KI ,yaani hata kama mumlipe bilioni 2 kwa wiki hachezi Simba.

  • @Mwanzaboy255
    @Mwanzaboy255 28 วันที่ผ่านมา

    Saasa ramaaa🤣🤣🤣

  • @ismailburhan8622
    @ismailburhan8622 28 วันที่ผ่านมา +2

    Daaah... Ahmed Ali hachoshi bwana...😂😂😂😂

  • @user-nl3vl4kn9g
    @user-nl3vl4kn9g 28 วันที่ผ่านมา +1

    Sifa ya,Club sio magari wala majengo bro ni ubingwa je wee ni bingwa mara 30 ?🥰🤩🥳funga 🤐 wako

  • @hassanmwallimu5767
    @hassanmwallimu5767 28 วันที่ผ่านมา +7

    Mimi naona huyu msemaji wetu ni kama joti tu

  • @user-br7fz4zd5x
    @user-br7fz4zd5x 28 วันที่ผ่านมา +4

    Ahmed kweli akili hana

    • @austorb.nyondo2708
      @austorb.nyondo2708 28 วันที่ผ่านมา +1

      Wewe mwenye nazo nenda kamgawie ......Acha chuki za kuku tetea

    • @philimonmgina997
      @philimonmgina997 28 วันที่ผ่านมา

      Ukute wewe ndio mburula haswaa

  • @Mgayaelia122e
    @Mgayaelia122e 27 วันที่ผ่านมา

    Ko wewe chizi kumiliki gari Kari ndo kiwango chakucheza et ?

  • @happygilison7344
    @happygilison7344 28 วันที่ผ่านมา

    Ao viongozi wa simba fukuza wote

  • @PaulMkwama
    @PaulMkwama 28 วันที่ผ่านมา

    Fanyen yote lakin mgunda mwachen kamaalivyo msimletee mtu kabisa

  • @mussaanthony
    @mussaanthony 28 วันที่ผ่านมา

    Haha 😂 wew subiri yakutokee puani kwa KIBU na CHAMA

  • @janethelly4986
    @janethelly4986 28 วันที่ผ่านมา +4

    Oyaaaaa 😂😂😂hata msemejeeeee This guy is the Best spokesperson of all time ❤❤❤❤🦁🦁🦁🦁

  • @Fredyjohn-rs5cq
    @Fredyjohn-rs5cq 28 วันที่ผ่านมา

    Nakukubali sana

  • @christophermbuga9623
    @christophermbuga9623 28 วันที่ผ่านมา +1

    Hivi bado hujaacha mbwembwe za kitoto kama hizo?

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l 28 วันที่ผ่านมา

    SIMBA SPORT CLUB ❤❤❤❤WAKALI WA KARIAKOO, AISHII MPAKA IISHE

  • @songombingo108
    @songombingo108 28 วันที่ผ่านมา +3

    Shoga huyu

  • @selemanmcharazo
    @selemanmcharazo 28 วันที่ผ่านมา +2

    Anajifurahisha eti Aziz huyu kichaa

    • @magretpita3017
      @magretpita3017 28 วันที่ผ่านมา

      Kwan Aziz awez kuchezea simba

  • @user-gg3rl2ru8u
    @user-gg3rl2ru8u 28 วันที่ผ่านมา +1

    Aende instagram page ya Aziz k mwenywe aona kile alichokiandika Aziz k sio anaongea tuu 🤣🤣🤣🤣

  • @taucdulle7460
    @taucdulle7460 28 วันที่ผ่านมา

    🤣🤣🤣🤣🤣

  • @RonneyMdede
    @RonneyMdede 28 วันที่ผ่านมา

    Semaji kama semaji nakubali sana

  • @selemanmcharazo
    @selemanmcharazo 28 วันที่ผ่านมา +1

    Huyu msemaji sijui ni kiongozi gani aliyependekeza jina lake.

  • @user-ce3tx7mr8v
    @user-ce3tx7mr8v 28 วันที่ผ่านมา +1

    VITA HAMUIWEXI MTAPIGWA 7-2 KWENYE USAJIRI

  • @user-ox4fv4cf5l
    @user-ox4fv4cf5l 28 วันที่ผ่านมา +1

    CHAMA MBONA MPAKA SASA MMESHINDWA KUMSAINISHA...

  • @hassanmwallimu5767
    @hassanmwallimu5767 28 วันที่ผ่านมา

    Maana vyote anavyosema hapo havina maana hata kidogo ndio maana try again akasema mambo ya ovyo yanasemwa na msemaji sio wao viongozi wa juu

  • @hamisiyoyo5847
    @hamisiyoyo5847 28 วันที่ผ่านมา +1

    Unakopi na kupest mlivyo chomeshwa kwa KIBU Miguvu na mabiyo tuu msim mzima goli MOJA m760 kwa miaka miwili uzwazwa uliopitiliza 😂😂😂

  • @user-hu4el2rx2u
    @user-hu4el2rx2u 28 วันที่ผ่านมา

    Hao watatu chama saido chinga hao ndio wanaalibu Simba waende zao washachoka na hao ndio wanashawishi mgomo waende zao

  • @victormkini2708
    @victormkini2708 28 วันที่ผ่านมา

    Huyu naye ni kikwazo kwa Simba ila wenyewe hawajui

  • @user-ox4fv4cf5l
    @user-ox4fv4cf5l 28 วันที่ผ่านมา +1

    KAWAIDA YENU KUNYAKUA WALIOHURU...

  • @hamidudigogo5863
    @hamidudigogo5863 28 วันที่ผ่านมา

    Mana sajiri Kisha utopolo Wana waroga huonelana wachezaji magarasa ndio manapo feri

  • @sunwizy608
    @sunwizy608 28 วันที่ผ่านมา

    semaji la msimbazi nakubli

  • @Fredyjohn-rs5cq
    @Fredyjohn-rs5cq 28 วันที่ผ่านมา

    Huyu ndio msemaji hakuna anae mfikiya ukitoa mandala anafata huyu...

  • @user-ce3tx7mr8v
    @user-ce3tx7mr8v 28 วันที่ผ่านมา

    NA KWELI SIMBA SIO YA KAWAIDA INAWANIA NAFASI YA 3

  • @marandoruzali1946
    @marandoruzali1946 28 วันที่ผ่านมา

    Simba nguvu moja

  • @bensonpaul3672
    @bensonpaul3672 28 วันที่ผ่านมา +1

    Da kispika anatengeneza majibu mepesi ya SAIDO