Hawana hoja ya msingii 🤣🤣🤣 1. Mara wachezaji wabovu 2. Mara viongozi wabovu 3. Mara tajir hatoi pesa Tatizo la Simba wanakuja sababu za msingi just ni makelele tuuuu .... Simba anapaswa abadilike Sana kuanzia kwenye uongoz na usajili , pamoja na benchi Bora Yan technical workers.....
mbona yanga ndio wanashikilia mangungu aendelee na kuponda kurudi kwa mo. kuanzia waandishi wa habari mpaka mashabiki. mtalia muda sio mrefu kama mlivyolia misimu minne mliyokua mnapokea wageni
Miraji nakuomba uende kwenye redio, kapaze sauti usikike tuweze kuitengeza simba yetu kwenye mtandao sio kila mtu anakusikia redio inasikika na watu wengi
Miraji,,,, friends of simba wako wapi??? Miraji pale simba hakuna kiongozi wa mpira,wale ni wapigaji aka watu wa siasa!!!!! Hakuna hujuma yoyote kutoka nje ya timu. Hivyo ndo naamini mimi.
Miraji kasahau. Shida ya Simba imeanza zamani Sana Tena bado kipindi Mo yupo madarakani. Kama atakuwa anakumbuka Kocha mmoja nafikiri ni Aussems Kama Uchebe Kuna vitu aliongea kupitia Mitandao ya kijamii wakati anaondoka Simba..
Kiujumla tuseme kuna viongozi wasalit na wachezaji wasalit yaani wenyew kwa wenyew wanasalitiana swali tujiulize je wanatimiziwa stahiki zao kwa wakat au zinacheleweshwa znawafanya kuisalit tim??
😂😂😂😂 pamoja na yote hata ubuntuuu nae kachukuliwa kwenye ilo fungateee 😊😊 .... Nje ndani upishi wa chapati huku na huku pamoja na ulaji wa samaki lazima aliwe pande 2
Maamuz y mashabik yalikuwa sahihi kusafisha uongoz ila kwa mo kuna shida kamtoa try kamuweka mjumbe mangungu mo na try lao moja na ndonmana mangungubanajiamini mo kuna kitu anaogoa
Kama mangungu hausiki mo hausiki jaribu tena hausiki kwenye hizo hujama ,unataka kutuaminisha kwamba kuna watu wengine wana nguvu zaidi ya viongozi hao ?!!!
Kwaufupi Nyinyi Watu Namashabiki Wasimba Siwatu Wavitendo Bali Maneno Nimengi. Hivyo Wndeleeni Namaneno Maneno Tutauona Mwisho Wake. Tengenezeni Uongozi Pasi Nakujali Au Kuangalia Watu Au Majina Yawatu.
Yaan tutatafuta mchawi mpaka tuchanganyikiwe kumbe mo mwenyewe ndo anaecheza na akili za watu was Simba angalieni alivyochezesha Kwa tray again Ili atoe kelele za watu was wanajua wanachokifanya Wala haitaji kutumia nguvu kujua wanakifanya nipo pale nitafute pesa wao wanapiga ela sisi mapovu yanatutoka at chai shida
Hapo ndiyo ubabaishaji unapojionesha kwamba upo na haujaondoka. Kama mwekezaji, mwenyekiti wa klabu, mwenyekiti wa bodi wanaogopa kumtaja huyo mhujumu, nani basi mwenye maamuzi ya kweli ndani ya timu?
We kumbe na wewe nikiazi Mbn unayumba we mwache mo aludi tuone kama hutalaum tena we pambana na simba yako achana na yanga mo hajuw mpira tajir akifungwa2 anawatishia kujihuzuru acha ujinga miraji
Miraji naona leo umekosea kidogo, anaepanga kikosi ndio inaweza asiwe kocha, ila hapangi kwa kumnufaisha mpinzani ndio maana huenda hatajwi!! Kikosi kilichoanza dhidi ya Yanga kwenye 1-5 ile ndio ilikuwa first 11 yenu ya msimu uliopita kasoro manula,ambae alikuwa ashaanza mazoezi na team, na ukiangalia cv ya manula na ally Salim, manula kamuacha mbali sana Ally Salim!! Sasa swali kwako, kama anaepanga kikosi cha simba hajawahi muweka chama wala kibu kwenye derby, utasemaje anahujumu team wakati bado anapanga the best mlionao??? Walio cheza na Yanga ndio waliocheza na mashujaa, azam, hata na singida asilimia kubwa, ila mkatolewa na mashujaa, mkashinda na azam round ya mwisho na mkawazulumu singida round ya kwanza! Kwa kifupi mimi naona msimu uliopita hamkua na kikosi bora, Kuna team kama ihefu wanakikosi bora kushinda simba ila wanakosa tu mashabiki wakuwasukuma! Ni hayo tu
Mzee kaduguda leo kaongea ktk media moja tatizo lilianza siku nyingi jiulize kina magori, kina nkwabi, na mzee mwenyewe kaduguda wameondoka hawajasema kuna nini ndani ya simba ila leo mzee mwina kasema kiongozi simba lazima aje kiongozi alieongoza mpira kuanzia chini siyo mtu katoka huko ati anakuja kuongoza simba atawezaje history inamsuta na ktk hao waliopo hakuna mwenye sifa hizo
Miraji mwanangu nikiweke sawa kidogo kuhusu wahujumu Mangungu nilimsikia akihojiwa kuhusu hao wahujumu akajibu. Kwamba MO aliwataja kwenye vikao vyao vya ndani na akasema hawawezi kusema hadharani ni mambo ya ndani kuepusha vurugu Mangungu anawajua MO anawajua na kamati ya bodi zote mbili wanajua kwa hiyo MO nae mnafiki anajificha kwenye kelele za wapenzi ili kurudi kwake awe yeye ndo mtu muhimu kwao ina maana MO kajiweka kwa wanachama anaenda na upepo. Ngoja tuone mwisho wake
Kwa hiyo simba inaongozwa na yanga au acheni kutafuta sababu zisizo za kweli kwa hiyo yanga wanaweza kumzuia mo asiongoze simba au rekebosheni mfumo na katiba km serikali inavyotaka
Miraji mnafik wewe ngoja tuone mnafikiri sahiv ni wakati ule wa bakuli?? Kumbuka hata kabla ya simba kubeba misim 4 yanga pia walibebaga mara 4 na wakat huo simba ilikuwa inamaliza ha nafasi ya 4 nyuma ya mbeya city na azam cha ajabu ni kwamba hata hao wanachama wa simba wamegawanyika hawaelewani
@@januarysungura8119 we uko nchi gani baada ya azam kuchua kombe 2013 ni tim gani iliyofuata kuchukua ubingwa kama syo yanga 2014 yanga 2015 yanga 2016 yanga 2017 yang ndo simba akafat 2018 mpaka 2021 acha kukurupuka
Jaman Leo wa 5 ata Liki5 TU nipate
Kwa kipicha maana ulichokoment kenge wewe?
😊😊 27:24
Chagamba fanya sku moja uwakutanishe mzee saidi na miraji malaamoja uwafanyie mahojiano kwa pamoja
Hizo ni brand mbili tofauti
Itakua nzuri😂
Yule mzee said Ana balaa😂😂😂
Miraji maramoja na mzee said wakutanishwe
Kaka Miraji Acha kumsingizia mpinzani wako, nyinyi umlianza kukosana pale kwenye uchaguzi, Ndio ikasababisha makundi kwenye timu yenu
Hawana hoja ya msingii 🤣🤣🤣
1. Mara wachezaji wabovu
2. Mara viongozi wabovu
3. Mara tajir hatoi pesa
Tatizo la Simba wanakuja sababu za msingi just ni makelele tuuuu .... Simba anapaswa abadilike Sana kuanzia kwenye uongoz na usajili , pamoja na benchi Bora Yan technical workers.....
Malalamiko FC
Mm wanne Leo wanangu wajukuu wa mzee saidi masatu
Nawakubar sana wanang❤
Miraji huliwahi sema msimu ukiisha utawataja wachezaji walioùza me mechi ile ya Derby mlipofungwa 5:1 hujawataja mpk Leo????
😂😂😂... C kelele ile ilikuwa nyambuuu😂😂😂😂
Miraji hata mo akirudi na ukoo wake wote Yanga Bingwa tupo hapa,Mo kawashika maskio😂 atawatawala mpaka mseme
Kama nyimlivyo shikwa na gsm
mbona yanga ndio wanashikilia mangungu aendelee na kuponda kurudi kwa mo. kuanzia waandishi wa habari mpaka mashabiki. mtalia muda sio mrefu kama mlivyolia misimu minne mliyokua mnapokea wageni
@@saidsoudamiri4054 mtaendelea kulia kama mlivyolia misimu mitatu ilopita 😂😂😂😂Labda Gsm na hersi waondoke madhali wapo Tabulelee 🖐️
@@DM_15 Nyie cyo kushikwa tu mmenunuliwa 😂😂😂😂kabisa
@@lailatmalik7515 nanyie mmeji kabidhi bure kwa gsm ana fanya atakalo yeye kaziyenu ni ndio mkuu hakunakubisha.
Miraji leo haueleweki kabisaaa!😢😢😢😢
Mpaka uwe na double D😅😅😅
@@saidmansoor8528umemfanya asielewe ungemwambia tu D mbili 😂😂
Kwa mabalaa ya msimbazi... Hakuna anaeleweka apo udundukani
Mo aje asije yanga wataendelea kua juu
Mlikuwa juu ipi miaka 4 ya Mo?
Kolo akili zao kisoda mtakaa miaka 10 bila ubingwa
Yanga kama USA au CHINA, inabonge la MAJASUSI..!
Miraji nakupata Nikiwa Mozambique🇲🇿🇲🇿 mocimboa da Praia
Tanzania bado mpira wenu nawataria sana yani bado mambo yakishirini kwenye mpira ndo mnahamini tu, timu ikifungwa hujuma
Mi wa 3 leo
Kuhusu viongozi wa simba kupanga vikosi ni tabia yao ya mda mrefu sana hata wakati Nelsoni okwa anaondoka alisemaga na watu mkamshambulia sana
Miraji nakuomba uende kwenye redio, kapaze sauti usikike tuweze kuitengeza simba yetu kwenye mtandao sio kila mtu anakusikia redio inasikika na watu wengi
Miraji,,,, friends of simba wako wapi??? Miraji pale simba hakuna kiongozi wa mpira,wale ni wapigaji aka watu wa siasa!!!!! Hakuna hujuma yoyote kutoka nje ya timu. Hivyo ndo naamini mimi.
Miraji kasahau. Shida ya Simba imeanza zamani Sana Tena bado kipindi Mo yupo madarakani. Kama atakuwa anakumbuka Kocha mmoja nafikiri ni Aussems Kama Uchebe Kuna vitu aliongea kupitia Mitandao ya kijamii wakati anaondoka Simba..
Miraji nasubiri maoni yako 🙈🙈
HATA OKRA ALISEM SEEE..... DAAAAAH😢
Shika Moo FC oyeeee tunawasubiri msimu ujao 😀😀😀😀😀😀😀
Shabiki wa Simba mwenye akili
Kaka miraji Leo sikuelewi kabisa unatupa lawama kwawapizan wakati tatizo lipo kwenu wenyewe
😂😂😂 hamna kitu apo ukiona ivyoooo
Dah miraji umeona mbali sana namie nakuunga mkono hapo baadae watakuelewa
Mi wa 7 leo 😂😂😂
Kiongozi hapangi anaepanga KAMATI YA UFUNDI 😅😅😅 sema mliendekeza tunturaye 😅😅😅
Simba km mandonga ubingwa tumekosa lkn tuna trend sisi tu mjini ukubali ukatea simba ni dude kuubwa
Kiujumla tuseme kuna viongozi wasalit na wachezaji wasalit yaani wenyew kwa wenyew wanasalitiana swali tujiulize je wanatimiziwa stahiki zao kwa wakat au zinacheleweshwa znawafanya kuisalit tim??
Miraji,,,,, mpira ni mchezo wa wazi!!!
miraji shida ilianzia kwa uchebe tatizo miraji unaendeshwa na matukio ww unafikiri viongoz watajifichia wapi? Ngoja timwangalie Ngombe anatuletea akna nani
Heee kwaiyo try again hajajiuzulu kumbe we miraji na huyo shangazi ni nani sijui mim
Moo ndiyo anaiujumu timu yetu angekuwa mtu mwingine angeshajulikana
Upo vizuri milaji ila unamuumiza mabega dogo
Miraji sikiliza huwo ni mchezo wa mpira wa miguu ujuwe hivyo sio Kriketi huyo boss amewacheza akili tu
Shida ya Simba ni uongozi kuacha baadhi ya timu kupewa fungate na GSM nao wakaa kimya huku wakijia kua hilo ndio tatiza la ligi ya bongo.
😂😂😂😂 pamoja na yote hata ubuntuuu nae kachukuliwa kwenye ilo fungateee 😊😊 .... Nje ndani upishi wa chapati huku na huku pamoja na ulaji wa samaki lazima aliwe pande 2
Mo karudi tokawapi? Kumbukeni maneno ya uchebe wakati anaondola
Labda alienda kuongea na Manzoki
Simba mtateseka sana tatizo hapo ni moo mwenyewe mpaka aondoke ndyo Simba itakaa sawa vingine heris atawaburuza sana.
Acha uongooo jini tu ww
TAJIRI KARUDI TOKA WAPI
Hivi mnaoomba likes mnaazifanyia nn
,,😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
Yawezekana wananunulia mishikaki
Na wewe omba ... Basii
@@mwanangusana hizo like mnakula???
Maamuz y mashabik yalikuwa sahihi kusafisha uongoz ila kwa mo kuna shida kamtoa try kamuweka mjumbe mangungu mo na try lao moja na ndonmana mangungubanajiamini mo kuna kitu anaogoa
Miraji naungana na ww kama msaliti hatajwi shida ipo pale dawa ya wasaliti ni kisomo tu
Simba ilikua mbovu kweli kuanzia uongozi mpaka wachezaji
haya majungu ndo yanawachelewesha tengenezeni timu
Miraji usijizime data ko mnataka kutuambia kwamba kikosi kilichocheza na yanga ni B au ndo kile kile msitafute kwakujifichiaaa
Mangungu akiondoka simba itakuwa shari
Kama mangungu hausiki mo hausiki jaribu tena hausiki kwenye hizo hujama ,unataka kutuaminisha kwamba kuna watu wengine wana nguvu zaidi ya viongozi hao ?!!!
Kama viongozi wetu wanamjua/wanawajua hao wasaliti na hawamtaji/hawawataji basi hao viongozi ni sehemu ya huyo/hao wasaliti.
Wote waongoooo 😂😂😂
Miraji ukiongea ongea n tarehe ya sku
Wanajikosha tu hakuna hicho mbona mnazugika kilaini hivo
Wamerogwa na shikamooo......
Milaji chagamba yanga babalaoo misimu kumi ubingwa
MANARA. ANATUHUJUMU. 😅😅
Kama ikiwa hivyo ndivyo ..... Bhasi mnastahili nyote mpigweeeee vibokooooo huko udundukani 🤣🤣🤣🤣
😅😅
Miraji nakupata nikiwa dubai upo sahihi
Huyo mangungu
Kwaufupi Nyinyi Watu Namashabiki Wasimba Siwatu Wavitendo Bali Maneno Nimengi. Hivyo Wndeleeni Namaneno Maneno Tutauona Mwisho Wake. Tengenezeni Uongozi Pasi Nakujali Au Kuangalia Watu Au Majina Yawatu.
Yaan tutatafuta mchawi mpaka tuchanganyikiwe kumbe mo mwenyewe ndo anaecheza na akili za watu was Simba angalieni alivyochezesha Kwa tray again Ili atoe kelele za watu was wanajua wanachokifanya Wala haitaji kutumia nguvu kujua wanakifanya nipo pale nitafute pesa wao wanapiga ela sisi mapovu yanatutoka at chai shida
Maramoja bado shida ipo kama uongz ulikuepo madarakan unaendelea kubadilishiwa majukum tu bdo shida ipo palepale
Wanachama wa simba acheni kusingizia hujama timu yenu mbovu,wanachama mnapenda kuhongwa wali na nyama kwenye kikao mnapitisha katiba mbovu
Miraji acha kuongopa huyo mo dewji hakuna anaemuogopa usidanganye umma safisheni malumbano
Hapo ndiyo ubabaishaji unapojionesha kwamba upo na haujaondoka. Kama mwekezaji, mwenyekiti wa klabu, mwenyekiti wa bodi wanaogopa kumtaja huyo mhujumu, nani basi mwenye maamuzi ya kweli ndani ya timu?
Hiv nyie mnaotaka like zetu mmeambiwa na waganga wa wakienyeji tukiwapa hizo like zetu mtakuwa matajili au?. Make mnatusumbua na hizo like khaaaaa.
We kumbe na wewe nikiazi
Mbn unayumba we mwache mo aludi tuone kama hutalaum tena we pambana na simba yako achana na yanga mo hajuw mpira tajir akifungwa2 anawatishia kujihuzuru acha ujinga miraji
Miraji naona leo umekosea kidogo, anaepanga kikosi ndio inaweza asiwe kocha, ila hapangi kwa kumnufaisha mpinzani ndio maana huenda hatajwi!! Kikosi kilichoanza dhidi ya Yanga kwenye 1-5 ile ndio ilikuwa first 11 yenu ya msimu uliopita kasoro manula,ambae alikuwa ashaanza mazoezi na team, na ukiangalia cv ya manula na ally Salim, manula kamuacha mbali sana Ally Salim!! Sasa swali kwako, kama anaepanga kikosi cha simba hajawahi muweka chama wala kibu kwenye derby, utasemaje anahujumu team wakati bado anapanga the best mlionao??? Walio cheza na Yanga ndio waliocheza na mashujaa, azam, hata na singida asilimia kubwa, ila mkatolewa na mashujaa, mkashinda na azam round ya mwisho na mkawazulumu singida round ya kwanza! Kwa kifupi mimi naona msimu uliopita hamkua na kikosi bora, Kuna team kama ihefu wanakikosi bora kushinda simba ila wanakosa tu mashabiki wakuwasukuma! Ni hayo tu
Kama wanasimba hatutomuunga mkono Mo na tukamuunga huyo mtu anayeihujumu klabu yetu kiwaziwazi basi sisi wenyewe wanasimba tutadhihirisha ujinga wetu.
Wakupe we majibu nani acha ujinga
Miraji sio mtu ni mfumo upo ambaye wanafanya
Mzee kaduguda leo kaongea ktk media moja tatizo lilianza siku nyingi jiulize kina magori, kina nkwabi, na mzee mwenyewe kaduguda wameondoka hawajasema kuna nini ndani ya simba ila leo mzee mwina kasema kiongozi simba lazima aje kiongozi alieongoza mpira kuanzia chini siyo mtu katoka huko ati anakuja kuongoza simba atawezaje history inamsuta na ktk hao waliopo hakuna mwenye sifa hizo
Moh muoga sana hawez kusema wale chawa wake ila nyinyi hamjui tu😂
Mkutano umepigwa marufuku jumapili hakuna
Nimegundua kwa watani kumbe kuna wanachama na mashabiki maokoto hawajielewi wanataka nini😂😂😂😂😂😂😂.mpaka mseme shikamoo baba,shikamoo simba shika moo ,😂😂😂😂😂😂😂,taasisi mshamuzia shika moo.
Mo karudi alikuwa wapi acheni ujinga makolo
MANGUNGU HUYOOO
MSIMU UJAO TABU IKO PALE, PALE KWASABABU YA UWEPO WA MANGUNGU
Mangungu njaa inamsumbua ataenda wapi sasa mutamuua bure
Mangungu ni kiongozi alienyooka isipokua anadharaulika kwasababu ya kipato chake
Nyie naviongozi wenu nyote wanafiki mtaongea mengi sn
Tatizo kubwa la simba ni transformation.. mkiendelea kuwa na mwekezaji mmoja ambaye anachagua mwenyekiti wa bodi anavyotaka basi hamtakaa mfanikiwe
Miraji wewe kubali tu tatizo ni Mo,katega bomu halafu anaomba kutegua
Fikra potofu
@@adrianorayner6551kwamba tajiri hakosei au sio??😂😂😂
wala ninyi wanayanga msiwe na hofu dawa yenu imefika mtapona magonjwa yenu yote , dr. mo yupo kazini。
Miraji mwanangu nikiweke sawa kidogo kuhusu wahujumu Mangungu nilimsikia akihojiwa kuhusu hao wahujumu akajibu. Kwamba MO aliwataja kwenye vikao vyao vya ndani na akasema hawawezi kusema hadharani ni mambo ya ndani kuepusha vurugu Mangungu anawajua MO anawajua na kamati ya bodi zote mbili wanajua kwa hiyo MO nae mnafiki anajificha kwenye kelele za wapenzi ili kurudi kwake awe yeye ndo mtu muhimu kwao ina maana MO kajiweka kwa wanachama anaenda na upepo. Ngoja tuone mwisho wake
Atakuwa ni mo dewj ndo anaihujumu Simba na kupanga kikosi Cha simba
Kwa hiyo simba inaongozwa na yanga au acheni kutafuta sababu zisizo za kweli kwa hiyo yanga wanaweza kumzuia mo asiongoze simba au rekebosheni mfumo na katiba km serikali inavyotaka
😂😂😂😂 ndugu yangu hawa ni mashabiki wa ubuntuuu nongwaaa 😂😂😂 ....... Kila sababu iliyopo mbele wanapita nayoooo
Miraji mnafik wewe ngoja tuone mnafikiri sahiv ni wakati ule wa bakuli?? Kumbuka hata kabla ya simba kubeba misim 4 yanga pia walibebaga mara 4 na wakat huo simba ilikuwa inamaliza ha nafasi ya 4 nyuma ya mbeya city na azam cha ajabu ni kwamba hata hao wanachama wa simba wamegawanyika hawaelewani
yanga hajawahi kushinda mara nne mfululizo wewe tuliza ujinga wako.
@@januarysungura8119 we uko nchi gani baada ya azam kuchua kombe 2013 ni tim gani iliyofuata kuchukua ubingwa kama syo yanga 2014 yanga 2015 yanga 2016 yanga 2017 yang ndo simba akafat 2018 mpaka 2021 acha kukurupuka
@@januarysungura8119 2014 mpaka 2017 ni tim gani ilikuwa ikichukua au ni simba tuliza akil au ulikuwa bad haujazaliwa???🤣
@@januarysungura8119we nitajie tu tim ilyochukua ubingwa 2014, 2015 2016 na 2017 kabla ya simba kuchukua 2018 mpka 2021??