🔴
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 12 ก.ย. 2024
- 🔴#Live: MTOTO wa MANJI AJIBU KUHUSU KUWEKEZA YANGA KAMA BABA'AKE - ''TAANGALIA KAMA MSHABIKI''...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9z...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Polen Sana. Allah awape subira na amlaze Mzee Mahali pema Peponi. Amiin .
Jamanii mumeonaa majibu ya Watoto wa wenzetu walivoandaliwaa...
Majibu ni very technical daaa big up Mwanangu.
Mtoto wa tajiri huyo mkuu, sio wa mchimba chumvi huyo mkuu
@@GeorgeAkasha-zx2rj Sahihi My point ameandaliwaa...
@@AmanaHassan-cy4fi Alipewa elimu Bora mkuu na sio bora elimu kama nchi zetu hizi.
Poleni sana watoto wa manji
UNAJUWA HAWA WANDISHI WA HABARI WAWE WANAFUZWA VIZURI KUHUSU TALUMA YA UWADISHI WAWE WANAJIFUZA ZAIDI KAMA HUYO MTANGAZAJI WA GLOBAL TV ONLINE NI MPUMBAVU NIMJIGA MTOTO WA YUSUFU MANJI BABA YAKE AMEKUFA HATA WIKI MBILI HAZIJAPITA UNAKWEDA KUMULIZA UWEKEZAJI WA YANGA
@@janiafaomaa5120 Mwandishi yupo sahihi 100%
Ndio maana nikatoa credit kwa aliyejibu.
Kiuandishi hayo yanaitwa maswali chokonozi...
Huweza kuyajibu Mtu professional tu.. example Coach amekula goli5-1
Mwandishi anamuulizaa jee kwa kipigo hikii uko tayari kujiuzuruu!!?
Bora elimu na kutojiongeza kutotaka kujifunza pia kukubali kuendana na mazingira yako hata kama sio sahihi.....
Yaani ni wapuuzi sana utafikiri hawajui nini kufiwa
Yanga ilikua legacy kubwa ya yanga, swali zuri sana.
Sasa wewe umeumia nini mbona watanzania tunapenda matusi
Aaa😢 wandishi kwa kweliiiii ? Maswali gani mtu katoka kufiliwa na mzeee wake juzi tu! Imeniuma kwa kweli 😢 kufiwa kuskie tu
Daaa inauma sana R .I.P Manji
Dogo safi sana, stop investment in football, its crazy.. rebuild the economy left by your father..
Uwezo wa kuhoji ni mdogo sana sana, kwanza alivyomjibu kuwa wao wanaomboleza kifo cha mzazi wao imehuzunisha sana.
Tanzania
Dogo ameandaliwa vizuri sana na majibu yake ni very technical but huyo muandishi ni hovyo kabisaaaa kwani ni YUSUF MANJI amefariki siku chache zilizopita na huyo dogo Bado yuko kwenye majonzi then huyo muandishi anamuuliza kuhusu kuwekeza YANGA, Hey Guys, kweli???????. Nadhani huyo muandishi amekosa professionalism
Amekataa kuwekeza Yanga. Kasema labda Simba kama hujasikia vizuri
Rip msnji
Huyu mwandishi unamuliza uwekezaji mtu katika msiba mkubwa huu kuondokewa na baba acheni maswali ya kijinga uliza maswali ya maana