🔴

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 12 ก.ย. 2024
  • 🔴#Live: MTOTO wa MANJI AJIBU KUHUSU KUWEKEZA YANGA KAMA BABA'AKE - ''TAANGALIA KAMA MSHABIKI''...
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9z...
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

ความคิดเห็น • 21

  • @sadikiissa7756
    @sadikiissa7756 2 หลายเดือนก่อน +1

    Polen Sana. Allah awape subira na amlaze Mzee Mahali pema Peponi. Amiin .

  • @AmanaHassan-cy4fi
    @AmanaHassan-cy4fi 2 หลายเดือนก่อน +8

    Jamanii mumeonaa majibu ya Watoto wa wenzetu walivoandaliwaa...
    Majibu ni very technical daaa big up Mwanangu.

    • @GeorgeAkasha-zx2rj
      @GeorgeAkasha-zx2rj 2 หลายเดือนก่อน +2

      Mtoto wa tajiri huyo mkuu, sio wa mchimba chumvi huyo mkuu

    • @AmanaHassan-cy4fi
      @AmanaHassan-cy4fi 2 หลายเดือนก่อน +3

      @@GeorgeAkasha-zx2rj Sahihi My point ameandaliwaa...

    • @GeorgeAkasha-zx2rj
      @GeorgeAkasha-zx2rj 2 หลายเดือนก่อน +4

      @@AmanaHassan-cy4fi Alipewa elimu Bora mkuu na sio bora elimu kama nchi zetu hizi.

  • @joycerichard9274
    @joycerichard9274 2 หลายเดือนก่อน +1

    Poleni sana watoto wa manji

  • @janiafaomaa5120
    @janiafaomaa5120 2 หลายเดือนก่อน +16

    UNAJUWA HAWA WANDISHI WA HABARI WAWE WANAFUZWA VIZURI KUHUSU TALUMA YA UWADISHI WAWE WANAJIFUZA ZAIDI KAMA HUYO MTANGAZAJI WA GLOBAL TV ONLINE NI MPUMBAVU NIMJIGA MTOTO WA YUSUFU MANJI BABA YAKE AMEKUFA HATA WIKI MBILI HAZIJAPITA UNAKWEDA KUMULIZA UWEKEZAJI WA YANGA

    • @AmanaHassan-cy4fi
      @AmanaHassan-cy4fi 2 หลายเดือนก่อน

      @@janiafaomaa5120 Mwandishi yupo sahihi 100%
      Ndio maana nikatoa credit kwa aliyejibu.
      Kiuandishi hayo yanaitwa maswali chokonozi...
      Huweza kuyajibu Mtu professional tu.. example Coach amekula goli5-1
      Mwandishi anamuulizaa jee kwa kipigo hikii uko tayari kujiuzuruu!!?

    • @kyannickk2be
      @kyannickk2be 2 หลายเดือนก่อน +2

      Bora elimu na kutojiongeza kutotaka kujifunza pia kukubali kuendana na mazingira yako hata kama sio sahihi.....

    • @beatricejohn1659
      @beatricejohn1659 2 หลายเดือนก่อน +2

      Yaani ni wapuuzi sana utafikiri hawajui nini kufiwa

    • @birianination7097
      @birianination7097 2 หลายเดือนก่อน +1

      Yanga ilikua legacy kubwa ya yanga, swali zuri sana.

    • @FilbertKalembe-fy4oq
      @FilbertKalembe-fy4oq 2 หลายเดือนก่อน +1

      Sasa wewe umeumia nini mbona watanzania tunapenda matusi

  • @ameirzapy1318
    @ameirzapy1318 2 หลายเดือนก่อน +1

    Aaa😢 wandishi kwa kweliiiii ? Maswali gani mtu katoka kufiliwa na mzeee wake juzi tu! Imeniuma kwa kweli 😢 kufiwa kuskie tu

  • @millitarybattalion7515
    @millitarybattalion7515 2 หลายเดือนก่อน +3

    Daaa inauma sana R .I.P Manji

  • @michaelmillinga5064
    @michaelmillinga5064 2 หลายเดือนก่อน +1

    Dogo safi sana, stop investment in football, its crazy.. rebuild the economy left by your father..

  • @user-bt6ep3yb2h
    @user-bt6ep3yb2h 2 หลายเดือนก่อน +1

    Uwezo wa kuhoji ni mdogo sana sana, kwanza alivyomjibu kuwa wao wanaomboleza kifo cha mzazi wao imehuzunisha sana.

  • @benardmassawa3599
    @benardmassawa3599 2 หลายเดือนก่อน +3

    Tanzania

  • @hamisimahenge5807
    @hamisimahenge5807 2 หลายเดือนก่อน +1

    Dogo ameandaliwa vizuri sana na majibu yake ni very technical but huyo muandishi ni hovyo kabisaaaa kwani ni YUSUF MANJI amefariki siku chache zilizopita na huyo dogo Bado yuko kwenye majonzi then huyo muandishi anamuuliza kuhusu kuwekeza YANGA, Hey Guys, kweli???????. Nadhani huyo muandishi amekosa professionalism

  • @castromemba6311
    @castromemba6311 2 หลายเดือนก่อน +1

    Amekataa kuwekeza Yanga. Kasema labda Simba kama hujasikia vizuri

  • @munyeradeogratias9342
    @munyeradeogratias9342 2 หลายเดือนก่อน +1

    Rip msnji

  • @abdullahabdul9246
    @abdullahabdul9246 2 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu mwandishi unamuliza uwekezaji mtu katika msiba mkubwa huu kuondokewa na baba acheni maswali ya kijinga uliza maswali ya maana