ขนาดวิดีโอ: 1280 X 720853 X 480640 X 360
แสดงแผงควบคุมโปรแกรมเล่น
เล่นอัตโนมัติ
เล่นใหม่
Huyu bwana Namjua Sana na ni kweli alipitia hayo yote. Mimi ni mmoja wa wale walimchangia, nikamuona akiwa kichaa na pia nilimuita msukule. Niko tayari kutoa ushuhuda kwamba ni kweli asemayo.
Aisee Kumbe ?
Mungu ni mzuri sana. Siku moja pia mm nitatoa ushuhuda wangu.
Mchawi huandaa picha kabla yatukio,Mungu wetu nimwaminifu mno huchukua picha yoote anatufinulia,tunaiharibu,ukiokoka,ukakaa Rohoni huwezi kurogwa,uchawi huanzia Rohoni,ukishindwa kukuzuia Rohoni unafika mwilini,kuweni watu wakufunga saana,namsipende kuongeaongea sana,mchawi hakuwezi,
Unauliza sana bro
YAANI WANAANZA KURUDI NYUMA TENA , INATAKIWA WASONGE MBELE , MB ZINA GARAMA SANA ETI 😅😅😅🏃🏃🏃🏃
The way am following this testimony aki,,,be blessed servant of God
Damu ya Yesu ina nguvu sana pale msalabani
AMEEEEEEEEN YESU NI MWEMA SANAAAAAA
Ninawapenda sana promover. Mbarikiwe Sana
Asante
Chililo sauti ya GWAJIMA
Jesus is the way the truth and the life ❤️
Mungu ni Mungu tu from 🇰🇪🇰🇪 mbwarikiwe promover tv
Ila yule mama mchawi anadharau sana,alipaswa kushughulikiwa Rohoni na mwilini,ulimuacha kimakosa,usimruhusu mwanamke mchawi kuishi,ungemteka usiku,ukamtishia panga,angetaja nawenzake woote,sometime mwilini kidogo! Wachawi wanadharau sana naviburi,,wakikuzoea wanakufanya mteja wao, nikuwapiga Rohoni,wakijichanganya mwilini wanakula mabapa yamapanga,wanakuacha
Vita vya kiroho ni vya kiroho tu na vya kimwili ni vya kimwili tu. Usidanganywe.
WACHA WEEEEE 🤣🤣🤣🤣🤣🏃🏃🏃🏃🏃
Power of testimony blessd kaka Audax n promover ❤
Mungu sifa ni zake nashukuru kwa ushuhuda zuri ya kufufuwa asente Sana jactan Msafiri
Stay blessed promover tv for sharing this we learn alot..
Mungu ni mwema sana
GLORY TO JESUS
Mungu ni mkuu 🎉🎉🎉
Dunia ina Mambo Asante Mungu usiye tutoa mawindo
Wale wote mnakuaga na kimbele mbele yakueneza injili mbarikiwe sana
Mungu awabariki Team yote ya Promover TV🙏
MUNGU Atukuzwe,Hili la tumbo nalielewa sana...Sifa na utukufu umrudie yeye maana wachawi wanajua kutesa wenzao.
Amen
Mungu ibariki Promover Tv
Compare what Adam Aston mbaya alivyosema kuhusu kinachofanyika mtu anapofariki,shuhuda zinafana.hakika Kuna ukweli mtupu hapa.
Unauliza sana
Unauliza sana muache aendelee
Maswali ni mengi mpaka yanaharibu story. Maswali 2 yanatosha tu
KWAKWELI , HATA RADHA INAPOTEAAAA
Yote hio nikiini macho ulimwengu wa roho ndio ulimwengu mama
Oh Elias Manilakiza ni baba mzazi wa rafiki yangu
Muache ahoji msafiri wewe unauliza sana
Mzee wa totoz 😂😂😂😂😂
Maswali yanakela muwe mnauliza mwishoni
Ameamua hatusongi mbele kabisa
Maswali muhimu tunaelewa zaidi
KWAKWELI YANABOA SANA , MB ZINAGARAMA SANAA 😅😅😅😅🏃🏃🏃🏃
Huyo nabii ni mpiga ramli. Bado alikua kwa wakala yuleyule wa shetani 😈
Wewe umekuwa mteja wake Mara ngapi?
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂jaman aiseee mbona nachekaaa san
Huyu bwana Namjua Sana na ni kweli alipitia hayo yote. Mimi ni mmoja wa wale walimchangia, nikamuona akiwa kichaa na pia nilimuita msukule. Niko tayari kutoa ushuhuda kwamba ni kweli asemayo.
Aisee Kumbe ?
Mungu ni mzuri sana. Siku moja pia mm nitatoa ushuhuda wangu.
Mchawi huandaa picha kabla yatukio,Mungu wetu nimwaminifu mno huchukua picha yoote anatufinulia,tunaiharibu,ukiokoka,ukakaa Rohoni huwezi kurogwa,uchawi huanzia Rohoni,ukishindwa kukuzuia Rohoni unafika mwilini,kuweni watu wakufunga saana,namsipende kuongeaongea sana,mchawi hakuwezi,
Unauliza sana bro
YAANI WANAANZA KURUDI NYUMA TENA , INATAKIWA WASONGE MBELE , MB ZINA GARAMA SANA ETI 😅😅😅🏃🏃🏃🏃
The way am following this testimony aki,,,be blessed servant of God
Damu ya Yesu ina nguvu sana pale msalabani
AMEEEEEEEEN YESU NI MWEMA SANAAAAAA
Ninawapenda sana promover. Mbarikiwe Sana
Asante
Chililo sauti ya GWAJIMA
Jesus is the way the truth and the life ❤️
Mungu ni Mungu tu from 🇰🇪🇰🇪 mbwarikiwe promover tv
Ila yule mama mchawi anadharau sana,alipaswa kushughulikiwa Rohoni na mwilini,ulimuacha kimakosa,usimruhusu mwanamke mchawi kuishi,ungemteka usiku,ukamtishia panga,angetaja nawenzake woote,sometime mwilini kidogo! Wachawi wanadharau sana naviburi,,wakikuzoea wanakufanya mteja wao, nikuwapiga Rohoni,wakijichanganya mwilini wanakula mabapa yamapanga,wanakuacha
Vita vya kiroho ni vya kiroho tu na vya kimwili ni vya kimwili tu. Usidanganywe.
WACHA WEEEEE 🤣🤣🤣🤣🤣🏃🏃🏃🏃🏃
Power of testimony blessd kaka Audax n promover ❤
Mungu sifa ni zake nashukuru kwa ushuhuda zuri ya kufufuwa asente Sana jactan Msafiri
Stay blessed promover tv for sharing this we learn alot..
Mungu ni mwema sana
GLORY TO JESUS
Mungu ni mkuu 🎉🎉🎉
Dunia ina Mambo Asante Mungu usiye tutoa mawindo
Wale wote mnakuaga na kimbele mbele yakueneza injili mbarikiwe sana
Mungu awabariki Team yote ya Promover TV🙏
MUNGU Atukuzwe,Hili la tumbo nalielewa sana...Sifa na utukufu umrudie yeye maana wachawi wanajua kutesa wenzao.
Amen
Mungu ibariki Promover Tv
Amen
Compare what Adam Aston mbaya alivyosema kuhusu kinachofanyika mtu anapofariki,shuhuda zinafana.hakika Kuna ukweli mtupu hapa.
Unauliza sana
Unauliza sana muache aendelee
Maswali ni mengi mpaka yanaharibu story. Maswali 2 yanatosha tu
KWAKWELI , HATA RADHA INAPOTEAAAA
Yote hio nikiini macho ulimwengu wa roho ndio ulimwengu mama
Oh Elias Manilakiza ni baba mzazi wa rafiki yangu
Muache ahoji msafiri wewe unauliza sana
Mzee wa totoz 😂😂😂😂😂
Maswali yanakela muwe mnauliza mwishoni
Ameamua hatusongi mbele kabisa
Maswali muhimu tunaelewa zaidi
KWAKWELI YANABOA SANA , MB ZINAGARAMA SANAA 😅😅😅😅🏃🏃🏃🏃
Huyo nabii ni mpiga ramli. Bado alikua kwa wakala yuleyule wa shetani 😈
Wewe umekuwa mteja wake Mara ngapi?
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂jaman aiseee mbona nachekaaa san