FAHAMU NJIA RAHISI YA CONNECTION YA THREE PHASE MAIN SWITCH DISTRIBUTION..
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 3 ต.ค. 2024
- 💡+++🔌+++💡
(SUBSCRIBE)
KARIBU SANA TUJI FUNZE UMEME KATIKA VIPINDI VYETU VINAVYO ENDELEA KUPITIA CHANNEL YENU PENDWA YA TH-cam👉( ODESSA ELECTRICAL_INSTALLATION)+🔌+💡, PIA
KAMA WEWE NI MWANAFUNZI UNAE JIFUNZA UMEME AU UNA TAMANI KUFAMU UMEME KUPITIA VIPINDI HIVI VYA PRACTICAL NA THEORY VITA KUSAIDIA SANA KU UELEWA KWA HARAKA UMEME UKIWA NI MFATILIAJI NA MUUDHURIAJI MZURII KATIKA VIPINDI VINAVYO ENDELEA.
💡+++🔌++💡
1:UNAWEZA KUTUPATA WHATSAPP KWA NAMBA 👉0713973162 NIKUUNGE KATIKA GROUP LETU LA WHATSAPP KUCHANGIA MAMBO MBALI MBALI YANAYO HUSIANA NA ELIMU KUHUSU UMENE.
ODESSA ELECTRICAL INSTALLATION TOGETHER WE CAN 💡+++🔌+++💡💪.
👇.....on TH-cam.....👇
/ @odessaelectricaltechn...
Njia ngapi
Samahni fundi apo naomb nikulize kwaiy apo kuna fezi moja tu ndy umefanyia lupingi au vipi maan ndy iloingia kwenye breka nwaya moja tu iloleta moto
D.B ni ya Three phase installation line ni single phase tumefanya hivyo mteja wetu baadae tutamuekea three phases ukianza kuwa na uhitaji nao
Vizur kk
Hizo phases 3 umeungaje kwenye mcb
BABRA WA MCHONGO AOMBA KUINGIZIWA NA BIDA BIDA
👇_____👇😂😂😂😂😂
th-cam.com/video/9BgGyArqxcQ/w-d-xo.html
Sasa injinia mbona nyaya moja kama singo phase
Wapi phases zingine
Sijakuelewa mwalimu 3fez ni nyaya nne sasa mbona ni mbili au 3fez ya kutengeneza wewe
Ok swali zuri, Kwenye MITA ni umeme wa single phase lakini destrubution board ilio tumika ni ya Three phase it means imeshuka Kama kawaida single phase.
Ongeraaaa fundi umemeeeew
Thank madam R
Napata wapi hiyo main switch,Mimi nipo Tanga,Muheza.
Call 0787369807
Shukran sana mwalimu
Unakigugumizi sana aaaaa aa aaa a, zimekuwa nyingi sana lakini ninakuelewa!
kaka sijaelewa mm hiyo ni 3fez apo kwenye kuingiza fez mbona imeeingia moja tu
Laini ya tanesco ni ya single phase, na main switch ni ya three phase Wapi hujaelewa..?
Alijichanganya alitumia phase 1 na socket/breaker ya single
Sawa hiyo pengine ni sample
Inafaa iwe mccb