Najutakaga kukanyaga ardhi ya kyela mumenipa kumbukumbu zisizotoka kuanzia mwaka 2013 mpaka leo tamaduni zenu ziko kichwani pangu kinachoniuma zaidi nyimbo hii hunikumbusha mwanamke wakindali niliewahi kumpenda sana wimbo huu alikuuwa akiupenda sana
Icant understand the language but the spirit tells itself may God bless Amen love from Malawi ithank God for everything that hes doing for us everydays of our lives 😍😍😍😍
Wimbo unanikumbusha mbeya kyla boder ya malawi wanapaita kasumulo boder niliishi kyela zaidi ya miaka 4 nilingiaga mbeya mwaka 2013 nikisikiliza hii namkumbuka mpenzi wangu wakindali miaka iyo natamani tena nipate kasichana kakinyachusa tena nimewamiss 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mpk mchaga naupenda naloli naloli uswe tulibabuke 🙏🙏🙏💃💃💃💃
Wimbo huu uliwasha nuru kwetu watu wa Mbeya na majirani zake. Mungu akubariki sana dada umeimba vizuri na upako wote.
Japo mimi siyo mnyakyusa na kinachoibwa sikijui zaidi ya jina la Yesu, ila nabarikiwa sana na huu wimbo barikiwa dada🙏
Nani yupo hapa ndugu zangu wa Mbeya mnaendelea kusikiliza 1/9/2024 yan wimbo huu unanitoa machozi mwenzenu
2021 like kama unaisikiliza hii nyimbo Naloli naloli uswe tulibhabhuke mungamu kha jhesu
Mungu awabariki wote🙏🙏 naitwa Hussein nipo dar es Salam ila home ni ipinda kyela
Tujuane ambao hatupo. Mbeya lakin 2naskiliza hiinyimbo
Dah nakupenda Sana unanikumbusha mtalaka mke wangu
Tulipooo
Tupo 2024
Wimbo huuu huwa naulewa sana
Nimependa producer kacheza na background backup vocal.. na sauti yako.. iko vyema sanaaa.. Mungu akufanikishe.
Woow naupenda sana huu wimbo,japo mm ni kuryani sielewii lugha, Mungu akubariki sanaa
Wanyaki Kwa kunesa tu hahaha hakuna wa kutupita aisee
Ahahahahah et kwakunesa
Kunesa kuko kwenye damu aisee 🤣🤣🤣
@@prophetkamage5397 zx
Mungu akuongoze kww uimba wako
Barikiwa Umboke Kyoma, it's a blessing song.
Naloli uswe tulibhabhuke.
Barikiwa sana dada Umboke
Wimbo huu unanifanya niliye jamanii😭😭
Najutakaga kukanyaga ardhi ya kyela mumenipa kumbukumbu zisizotoka kuanzia mwaka 2013 mpaka leo tamaduni zenu ziko kichwani pangu kinachoniuma zaidi nyimbo hii hunikumbusha mwanamke wakindali niliewahi kumpenda sana wimbo huu alikuuwa akiupenda sana
Hahahahahaha rudi sasa
Kazi nzuri Sana rafiki yangu
Aminaa tukusekela nkati mwa kyala
nalolinaloliiii ndenyakyosaaaa engamu ja Jesu like zako
I hope Neema can watch this Nyakyusa Ballard, she can just burst into tears as she remembers her unforgettable day.
Glory be to Jesus
Wimbo mzuri sana watani zangu wanyakyusa
Nawapenda sana ndugu zangu wanyakyusa nawapenda Toka moyoni 🥰🥰🥰
ubarikiwe sana mama yangu, hakika huu wimbo unanibariki sana.
Ngoma kali sana! Ila sijui maana yake
Wimbo mzuri Dada hongera alafu mbona uwo wimbo wako mwingine siupat wakinyakyusa.
Kwasisi tunaotoka mbeya tunalilewa vibe la wanyakyusa😊
Nyimbo namkbuka mama Angu jmn mweeee Napoli
Suzana Ramadhan co Napoli nalol
Matron mambo yako sawa , mungu ni mwema
Icant understand the language but the spirit tells itself may God bless Amen love from Malawi ithank God for everything that hes doing for us everydays of our lives 😍😍😍😍
That's nyakyusa language from mbeya Tukuyu means it's true it's true we are enjoying through Jesus name
That's nyakyusa language from Mbeya Tukuyu means it's true it's true we are free and enjoying through Jesus name
@@emmanuelmwanjala17 ooh wow thats sounds great thank you for the translation inow know. God bless you 👏👏👏👏its really agood song
mercy osman 👏👏👏👏👏👍👍👍
Hi
Wimbo unanikumbusha mbeya kyla boder ya malawi wanapaita kasumulo boder niliishi kyela zaidi ya miaka 4 nilingiaga mbeya mwaka 2013 nikisikiliza hii namkumbuka mpenzi wangu wakindali miaka iyo natamani tena nipate kasichana kakinyachusa tena nimewamiss 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Jamani mpaka Rajan urud tena
Mimi Mchaga lakini naupenda huu wimbo, Napendaga harusi za wanyakyusa ili niucheze.
I don't know Swahili but I love the song....From. Jamaica 😂
Very nice song, be blessed my deae
Ndagha ghwakukaja kyala akutulee
Ubarikiwe sana. Stay blessed Umboke
Upo mbali na mbeya unasikia hii kitu unasikia hii kitu unahisi upo rungwe au kyela kabisa
Jaman wakwe na mashemej zangu wanyakyusa
Me mchaga lakini ili dude silipingagi miaka100
Ubarikiwe mdogoangu,gwe ntine
Yan mpaka natamn kuwa mnyakyusa
Naloli nabububo jubha usajigweghe💃🏿💃🏿💃🏿💃🏿
Napenda jinsi unaomba ukiwa na bashasha unafanya napenda wimbo hata kama sielewi maana yake.
Kazi Nzuri mama
Ndaga fijo
Niliwahi kukutana na huu wimbo Uyole Mbeya mwaka 2008, nikanunua Tape Yake, kipindi hicho anaitwa Uboke K. Mwandiga. Ubarikiwe dada na kazi ya Bwana
uswe tulibhabhuke mungamu ja kyala# amen..!!
Ndanga Fijo wakukaja
Nyimbo nzur hongera
This song is so beautiful. Big congratulations:)
Ooh how I love this song
I cant understand this song bt i like it😘😘
Uli ntungulu ugwe 🤣🤣🤣🤣
Jamani nautafuta wimbo wa leka ngete ikisibha
Ubarikiwe
Ndagha fijho, mulipo wa kulisu ipimba,
Kwa mpuna, ku Njisi ku mbatata imbulunge, pamisioni!!!!!!!!!!!!
Dada mwenye rasta za gold umetisha
Congratulations madam God bless u abondantly
Asante sana.
Amen. God bless her
Umboke mdogo wangu Hongera sana
I'm proud to be nyakyusa
Wanyakyusa pyeeee
Kwani huyo mwessa mbona anatrend sana ni jina au ..
Wahehe kwaya
Ndaga fijo
Hallelujah 🙏🙏❤
Maana yake nini?
Kyala akutuleghe mama
Good work.
Thanks alot
Ubarikiwe sana mtumishi
Ndagha fijhoooooo ....
Kukaja kununu..The Green City.
Naloli
Kabisa kununu fijo
@@hosianawilliamson7396 ubalikiwe
Fijo nkamu
Amen
❤
Naloli naloli
ndaga gwakukaja
Ndaga wa kumtu
Naloli naloli nikiwa njombe
ubalikiwe mama ang
Barikiwa mnoooo
♥️♥️♥️👏
Naloli mwe
ndaga fijo
🔥🔥🔥📌
Ndagha nkamu
2022
Naloli naloli.... Dah adi laa jaman
🤗🤗🥳🙏
Album hii inapatikana wapi Wapendwa
Uko mbeya?
Dar es salaam Vp Mbeya naweza ipata maeneo gani
Wekeni nyimbo zote hapa tupakue hapa TH-cam Wapendwa
naloli inamaanisha nn?
Lucy Kayombo ni kweli
Kwakweli
ukweli ni kweli
Lucy Kayombo kwel kwel
Mungu ni mwema Dada akuzidishie siku uendelee kutuhudumia nabarikiwa sana na nyimbo zako
Naloli Nalinali
Kyusaa
Jikungumbusya kukaja
.
L
Amen
Amen