Polisi ya Tanzania lazima ibadilike. Uonevu umekithiri sana kwa raia watanzania. Watu wanakufa kwa kuwa mistreated na vyombo vya usalama. This should be stopped.
Sisi tz raia haruhusiwi kumiliki siraha, ila kiukweli polisi wanahusika na matukio ya kutekwa kwa watu , mbona mpaka leo hatujapata taarifa yeyote tangu watu waanze kutekwa na kuuliwa
Jeshi la police lichunguzwe haiwezekani mtu apigiwe simu nakutekwa halafu wasijulikane na mwingine kanusulika kuuwawa na kamtaja mtu aliyemwona lakini hakuna hatua iliyochukuliwa
Odemba ni mzalendo sana, Mungu akutangulie kila hatua
Wewe kamanda muliro muogope mungu hufai kuwa polisi ni mnafiki
Polisi ya Tanzania lazima ibadilike. Uonevu umekithiri sana kwa raia watanzania. Watu wanakufa kwa kuwa mistreated na vyombo vya usalama. This should be stopped.
Watu hawanaimani kabisa na police mbka Aibu dah police embu nyookeni fanyeni haki bhana!!!!
Jeshi la police haliaminiki
Katika yote aliye ulizwa hajajibu swali hata moja hatari sana
Ngoja Mungu aanze kulipa kisasi kwa watekaji,mtaongea yote,hakuna la kujificha machoni pa Mungu,kila andalo Mtu lazima avune
Amen
Je uchunguzi wa lisu kupingwarisasi ni miaka mingapi tutaipata majibu lini
Mpaka maelezo hayo watu kuzomea Kuna shda ktk maelezo hayo😂😂😂😂😂
Siku mtoto wake atatekwa au mke wake hataongea ujinga hata samia mwenye i think hawataongea ujinga
Watanzania si wajinga. Polisi na serikali tunaomba tendeni haki.
Kaz ya polis ni changamoto sana
Odemba mulize muliro ajui kweli wakina soka yeye ajui???
Ivi IGP yupo? Yuko kimyaa sana,haoni jeshi lake lina tuhuma nzito na kubwa
"IGP MUST GO"
kwanini ulikuwa mstari wa mbele kuzuia maandamano ya chadema?
Muliro is so brave,anyway
Kudaiwa tena
Muriro😢
Wwe nikamanda unakuajee watekaji hapooo daresalaaamu unafanyika ujuiii.munajua kila kituuu porojooo mwingi kulko.kila.kituuuuuj😊
Kamanda watanzania wa sasa tunajielewa mbona mada huzijibu ipasavyo
Wwe mhongo unamuhokowa aliyeachwaaa porini amekufaaa mungu wakee ndioo ulimuokoa
Basi polisi mmezidiwa km mtu Ana smg na pingu then umwite ni jambaz 🙄🙄
Tutajie watu wa vya hivyo wewe uchunguzi wako au wenu ni batili
Wewe muliro kama haumo hao vijana wako wanatajwa nawaliotekwa nakubahatika kurejea uraiani
Sisi tz raia haruhusiwi kumiliki siraha, ila kiukweli polisi wanahusika na matukio ya kutekwa kwa watu , mbona mpaka leo hatujapata taarifa yeyote tangu watu waanze kutekwa na kuuliwa
Uchunguzi gani mnafanya lisu alipigwa lisasi mchana kweupe na eneo lenye ulinzi wengine wamepigiwa simu wakatekwa mnashindwa kujua
MNASEMWA KILA CK WAONGO MNAKATAA
MNASEMA MLIMUOKOA NINYI WAKATI ALIELEZA KILA KITU!!!
Jeshi la police lichunguzwe haiwezekani mtu apigiwe simu nakutekwa halafu wasijulikane na mwingine kanusulika kuuwawa na kamtaja mtu aliyemwona lakini hakuna hatua iliyochukuliwa
Haiwezekani mtu kutekwa ndani ya basi harafu wasijulikane
Endeleheni na mabaya kunasiku mutalia
mbona umekuwa mkali mulilo sakaya la sativa
Hataki upelelezi huyo
Kudaiwe tena
Polisi ccm hawa
Mmh
Afande Mulilo ameiva na vyeo alivyonavyo hajabahatisha .....nimemsukiliza Kwa makini Sana
Ameiva katika kueleza kiCCM na SI kama mwenye dhamana ya ulinzi
@@bcozhenry2698waziii
@ozhenry2698 achana na chzi
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂