ALLY KAMWE: "AZIZ KI HAWEZI KUCHEZA SIMBA" | AWATUMIA SALAMU AZAM | "KOMBE NI LETU BADO KUPEWA TU".

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 18 พ.ค. 2024
  • Hakikisha Umesubscribe Chaneli yetu ya #AyomaMedia kwa habari za uhakika
    Na pia tufuatilie Katika Mitandao ya Kijamii kama Instagram & Facebook na Twitter kama @Ayoma_tv
  • กีฬา

ความคิดเห็น • 101

  • @georgeabee
    @georgeabee หลายเดือนก่อน +3

    Congratulation ihefu,mimi ni mwanayanga,ila ihefu wametupa changamoto

  • @geraldgogadi7054
    @geraldgogadi7054 หลายเดือนก่อน +11

    Mara nne mfululizo, vs simba, vs coast vs azam na hii vs azam

  • @unclegmihale455
    @unclegmihale455 หลายเดือนก่อน +2

    Aloooo..💪💪💪💪💪💛💛💚💚

  • @sadahamad6158
    @sadahamad6158 หลายเดือนก่อน +7

    Semaji mwenye akili ni Ali kamwe pekee 😂😂😂😂 🎉🎉🎉

    • @ramamohamed492
      @ramamohamed492 หลายเดือนก่อน +1

      Kumbe wew na uko wako hamna akili ila alikwamwe ndo anakili🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @saidhemed5168
      @saidhemed5168 หลายเดือนก่อน +1

      Sada hujambo Yanga Oyeeeeeeeeeeeeeee

    • @sadahamad6158
      @sadahamad6158 หลายเดือนก่อน

      @@ramamohamed492 khaa jaman 😂😂😂 namaanisha wasemaji wa mpira

    • @sadahamad6158
      @sadahamad6158 หลายเดือนก่อน

      @@saidhemed5168 sijambo yanga oyee sana tupo juu💪💪💪

  • @rukiakyaka1827
    @rukiakyaka1827 หลายเดือนก่อน

    Alhamndulilah Tunashukuru kwaneema uliotuneemesha Inshaallah

  • @rogersiddy
    @rogersiddy หลายเดือนก่อน +2

    Yaan hata mimi nina hasira sana na Azam mnoo sababu wametuumizia wachezaji wetu mechi ya ligi sasa kisasi chao kipo pale pale hatuaachi shubaamiti

  • @jbbrand73
    @jbbrand73 หลายเดือนก่อน +2

    Nakubali semaji

    • @Imaniamockgmail
      @Imaniamockgmail หลายเดือนก่อน

      Me pia achukue maua yake!🎉🎉🎉🔥❣️👈🙏💚💛🖤💛💚🖤💛🇹🇿

  • @ErickBehile-wf2pc
    @ErickBehile-wf2pc หลายเดือนก่อน +1

    ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉

  • @user-bv5gn6kr9h
    @user-bv5gn6kr9h หลายเดือนก่อน +2

    Aziz Ally

  • @georgeabee
    @georgeabee หลายเดือนก่อน +1

    Kaka mbona taarifa ilitolewa mapema na Tff kuwa Kuna mabadiliko ya ratba ndo mana mechi zimewai kuanza

  • @user-nm2jq7xo5f
    @user-nm2jq7xo5f หลายเดือนก่อน +1

    Yanga ikoimara Sana ndio maana ikovizuri

  • @joanithapeter8316
    @joanithapeter8316 หลายเดือนก่อน

    💛💛💛💚💚💚

  • @user-qq5yp1zm4f
    @user-qq5yp1zm4f หลายเดือนก่อน +1

    💛💚💚💛💛💛💛💚💚💚💛💚

  • @faridambingamno2729
    @faridambingamno2729 หลายเดือนก่อน

    azizi ally

  • @NIKODEMUMKWERU
    @NIKODEMUMKWERU หลายเดือนก่อน

    Sawa nakukubali

  • @user-ns1up3me8w
    @user-ns1up3me8w หลายเดือนก่อน

    💚💚💚💚💚💚💚💚🙏

  • @rehemamahendeka-rm2ek
    @rehemamahendeka-rm2ek หลายเดือนก่อน

    Huyo msomi bhana,maelezo yamenyooka hakuna blabla,asante kjn wetu Ally S.Kamwe,Wananchi ppt tulipo tunajidai/tunavimba.
    Kwa Yanga hii,WATASUBIRI SANA.

  • @AmaniolodiAmaniolodi-yb3tl
    @AmaniolodiAmaniolodi-yb3tl หลายเดือนก่อน

    ASante mungu yanga walishinda

  • @user-nm2jq7xo5f
    @user-nm2jq7xo5f หลายเดือนก่อน +1

    Daima imara nyuma mwiko

  • @HenryCastuli-jz3cx
    @HenryCastuli-jz3cx หลายเดือนก่อน +1

    Tuna hasirana Azam tukalipe kisasi

  • @villanjimmy7625
    @villanjimmy7625 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂 yaan Ally unajua kunifurahisha

  • @erastolumato2900
    @erastolumato2900 หลายเดือนก่อน

    Na mtaumia sana makolo

  • @MudathiriFalifali
    @MudathiriFalifali หลายเดือนก่อน +4

    Semaji msomi ni Ally shabani kamwee mwamba kweli kweli

  • @user-nz5pu5gk6n
    @user-nz5pu5gk6n หลายเดือนก่อน

    Yanga ni level nyengine minimum kumi itachukuwa mpk wayachoke

  • @azmedmtwana8135
    @azmedmtwana8135 หลายเดือนก่อน

    Na mtasema yani mpakaaa msemeee

  • @remidusmwanandenje-yy5gs
    @remidusmwanandenje-yy5gs หลายเดือนก่อน

    Ata mimi nina asila nao😂😂😂

  • @jumannemusa8169
    @jumannemusa8169 หลายเดือนก่อน

    Nashkuru kwakunitoa hofu kwa Aziz key kwenda simba duuuh roho ilikuwa inadunda

  • @mariabura877
    @mariabura877 หลายเดือนก่อน

    Wape vidonge vyao

  • @AdrianAdrea-by8pn
    @AdrianAdrea-by8pn หลายเดือนก่อน

    hacha ulevi mwana simba

  • @user-jo5qr5jv1n
    @user-jo5qr5jv1n หลายเดือนก่อน

    We ulituaminisha Feisal haend Azam labda apande boti ya Azam kwenda kwao kusalimia khatma yke saiv ni mfungaji Bora wa ligi anaongoza Sasa na huyu master ki tuaminishe hvhv

  • @emiryfaida2437
    @emiryfaida2437 หลายเดือนก่อน

    Sababu yangu alisababisha majeruhi walio Kuja kutugarimu kilabu bingwa afirika

  • @ifmknowledgepower7333
    @ifmknowledgepower7333 หลายเดือนก่อน

    Hamna kitu hapa 😂😂

  • @jonasmafumbi7087
    @jonasmafumbi7087 หลายเดือนก่อน

    Wanao sema goli la mchongo anaweweseka😂

  • @user-sw9tp2rf7f
    @user-sw9tp2rf7f หลายเดือนก่อน

    Eti sababu elfu 1000 za kumtaka azam

  • @AminaMsimbe
    @AminaMsimbe หลายเดือนก่อน

    Madunduka yanaumia mtabaki kukodoa macho acheni maneno pambanieni nafasi ya pili

  • @iddfundikira2817
    @iddfundikira2817 หลายเดือนก่อน

    Ulituhaidi Tutasherekea Mwanza Ubingwa sasa Fanya hivyo tunasubiri

  • @isayaanthon7063
    @isayaanthon7063 หลายเดือนก่อน

    Bonge ya semaji, hutamani limalize.

  • @AdamSaffi211
    @AdamSaffi211 หลายเดือนก่อน

    Huyu kijana huongea uharo sana, what a narcissist!

  • @kalebphilip3426
    @kalebphilip3426 หลายเดือนก่อน +2

    Tff upuuz mtupu ule uwanja mdogo wa manyara fainal ovyo

    • @AbuhTechTz
      @AbuhTechTz หลายเดือนก่อน

      vip lkn uwanj n mzur ?

  • @OmarySaid-hw8ju
    @OmarySaid-hw8ju หลายเดือนก่อน

    Hayo mashindano yalianza lini kuchezwa dakika 30 baada ya kuisha dakika 90 mbona munavuruga mambo

    • @mnyamamedia7439
      @mnyamamedia7439 หลายเดือนก่อน

      Gem ya costo na yanga sopu anafunga magori mawili sijui matatu anamtungua diara ilikua dakika ngapi?

    • @frankhoffa8356
      @frankhoffa8356 หลายเดือนก่อน

      Na ndiomaana mpira umeanza mapema

    • @seciliamchalo5627
      @seciliamchalo5627 หลายเดือนก่อน

      Huna kumbukumbu wewe

    • @Omy-dou
      @Omy-dou หลายเดือนก่อน

      Kaangalie mechi ya Azam na coaster Azam wakafungwa kwa penalt

  • @OmarySaid-hw8ju
    @OmarySaid-hw8ju หลายเดือนก่อน

    We nenda fainal Bolkon ipo uko utailambat

  • @alfredrutaguza7506
    @alfredrutaguza7506 หลายเดือนก่อน

    Wew kimudomo chako kinatuponza

  • @kalebphilip3426
    @kalebphilip3426 หลายเดือนก่อน

    Bora msngeingia fainal kabsa Azam apewe kombe lake

    • @henelckneatunga2720
      @henelckneatunga2720 หลายเดือนก่อน

      WEWE TULIA,AZAM WALITUKOSHA KOMBE LA AFRICA KWA KUTUHUMIZIA WACHEZAJI SASA ZAO ZIMEFIKA.

    • @Mary-fs4mc
      @Mary-fs4mc หลายเดือนก่อน

      Tuliza kikojoleo, ngoma siyo yako unajifunga kibwebwe chanini? tulia da 3.

    • @seciliamchalo5627
      @seciliamchalo5627 หลายเดือนก่อน

      Kolo kama kolo endelea kuteseka

    • @yusuphmpinge4066
      @yusuphmpinge4066 หลายเดือนก่อน

      Walaume mashujaaa

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 หลายเดือนก่อน

    YANGA MMEPATA GOLI LA MBINDE SANA KUTOKA KWA IHEFU. ALI KAMWE UNATAMBA SANA MTAFUNGWA NA AZAM

    • @user-uf6oe3qi6v
      @user-uf6oe3qi6v หลายเดือนก่อน

      Ndo football nusu fainali

    • @JastinAlphonce
      @JastinAlphonce หลายเดือนก่อน

      Anitha we kaongo yaan Azam atufunge na hivyo TUlimtaka😂😂😂

  • @CharlesWanyeche-er6rw
    @CharlesWanyeche-er6rw หลายเดือนก่อน

    Manyoya nini wewe simba kafata nini kwenye utopoloni wenu kwendaaaaaaa

    • @Mary-fs4mc
      @Mary-fs4mc หลายเดือนก่อน

      Nguruwe fc makasiriko ya nini?

    • @aminaomari2312
      @aminaomari2312 หลายเดือนก่อน

      Amemjibu msemaji wenu aliyesema wanamsajili aziz ki.

    • @CharlesWanyeche-er6rw
      @CharlesWanyeche-er6rw หลายเดือนก่อน

      @@Mary-fs4mc kwendaaaaa

    • @Mary-fs4mc
      @Mary-fs4mc หลายเดือนก่อน

      @@CharlesWanyeche-er6rw mateso fc, maumivu yatakuua kijana, nakwataarifa yako siendi popote nipo nipo sanaaaaa tuuuuuuu.

  • @georgemallya4311
    @georgemallya4311 หลายเดือนก่อน +2

    Wewe ongea tu subiri uone

    • @erastomsigwa7713
      @erastomsigwa7713 หลายเดือนก่อน

      Aone nini mbona huelewek

    • @seciliamchalo5627
      @seciliamchalo5627 หลายเดือนก่อน

      Utaona wewe yeye ashaona kitaaambo

  • @kalebphilip3426
    @kalebphilip3426 หลายเดือนก่อน +2

    Goli lenyewe mchongo faulo refa kaacha na pia Ni Sheria gan robo dk 90 halafu nusu extra time upuuz mtupu

    • @sarahsaimon4095
      @sarahsaimon4095 หลายเดือนก่อน +4

      Upuuzi wa kwako acha makasiliko chiz ww

    • @richiedexter6302
      @richiedexter6302 หลายเดือนก่อน +1

      poleee😂😂😂

    • @ishamsuya3263
      @ishamsuya3263 หลายเดือนก่อน

      kma hujui football ni bora ukanyamaza tu kuliko kuropoka

    • @seciliamchalo5627
      @seciliamchalo5627 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂pole

    • @MkafaidaMasula
      @MkafaidaMasula หลายเดือนก่อน

      We ulitakaje kwani😮