ALLY KAMWE: "AZIZ KI HAWEZI KUCHEZA SIMBA" | AWATUMIA SALAMU AZAM | "KOMBE NI LETU BADO KUPEWA TU".

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 18 พ.ค. 2024
  • Hakikisha Umesubscribe Chaneli yetu ya #AyomaMedia kwa habari za uhakika
    Na pia tufuatilie Katika Mitandao ya Kijamii kama Instagram & Facebook na Twitter kama @Ayoma_tv
  • กีฬา

ความคิดเห็น • 101

  • @geraldgogadi7054
    @geraldgogadi7054 27 วันที่ผ่านมา +11

    Mara nne mfululizo, vs simba, vs coast vs azam na hii vs azam

  • @georgeabee
    @georgeabee 27 วันที่ผ่านมา +3

    Congratulation ihefu,mimi ni mwanayanga,ila ihefu wametupa changamoto

  • @rukiakyaka1827
    @rukiakyaka1827 27 วันที่ผ่านมา

    Alhamndulilah Tunashukuru kwaneema uliotuneemesha Inshaallah

  • @unclegmihale455
    @unclegmihale455 27 วันที่ผ่านมา +2

    Aloooo..💪💪💪💪💪💛💛💚💚

  • @rogersiddy
    @rogersiddy 27 วันที่ผ่านมา +2

    Yaan hata mimi nina hasira sana na Azam mnoo sababu wametuumizia wachezaji wetu mechi ya ligi sasa kisasi chao kipo pale pale hatuaachi shubaamiti

  • @user-bv5gn6kr9h
    @user-bv5gn6kr9h 27 วันที่ผ่านมา +2

    Aziz Ally

  • @sadahamad6158
    @sadahamad6158 27 วันที่ผ่านมา +7

    Semaji mwenye akili ni Ali kamwe pekee 😂😂😂😂 🎉🎉🎉

    • @ramamohamed492
      @ramamohamed492 27 วันที่ผ่านมา +1

      Kumbe wew na uko wako hamna akili ila alikwamwe ndo anakili🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @saidhemed5168
      @saidhemed5168 27 วันที่ผ่านมา +1

      Sada hujambo Yanga Oyeeeeeeeeeeeeeee

    • @sadahamad6158
      @sadahamad6158 27 วันที่ผ่านมา

      @@ramamohamed492 khaa jaman 😂😂😂 namaanisha wasemaji wa mpira

    • @sadahamad6158
      @sadahamad6158 27 วันที่ผ่านมา

      @@saidhemed5168 sijambo yanga oyee sana tupo juu💪💪💪

  • @ErickBehile-wf2pc
    @ErickBehile-wf2pc 27 วันที่ผ่านมา +1

    ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉

  • @faridambingamno2729
    @faridambingamno2729 27 วันที่ผ่านมา

    azizi ally

  • @jbbrand73
    @jbbrand73 27 วันที่ผ่านมา +2

    Nakubali semaji

    • @Imaniamockgmail
      @Imaniamockgmail 27 วันที่ผ่านมา

      Me pia achukue maua yake!🎉🎉🎉🔥❣️👈🙏💚💛🖤💛💚🖤💛🇹🇿

  • @rehemamahendeka-rm2ek
    @rehemamahendeka-rm2ek 27 วันที่ผ่านมา

    Huyo msomi bhana,maelezo yamenyooka hakuna blabla,asante kjn wetu Ally S.Kamwe,Wananchi ppt tulipo tunajidai/tunavimba.
    Kwa Yanga hii,WATASUBIRI SANA.

  • @georgeabee
    @georgeabee 27 วันที่ผ่านมา +1

    Kaka mbona taarifa ilitolewa mapema na Tff kuwa Kuna mabadiliko ya ratba ndo mana mechi zimewai kuanza

  • @jumannemusa8169
    @jumannemusa8169 26 วันที่ผ่านมา

    Nashkuru kwakunitoa hofu kwa Aziz key kwenda simba duuuh roho ilikuwa inadunda

  • @NIKODEMUMKWERU
    @NIKODEMUMKWERU 27 วันที่ผ่านมา

    Sawa nakukubali

  • @joanithapeter8316
    @joanithapeter8316 27 วันที่ผ่านมา

    💛💛💛💚💚💚

  • @MudathiriFalifali
    @MudathiriFalifali 27 วันที่ผ่านมา +4

    Semaji msomi ni Ally shabani kamwee mwamba kweli kweli

  • @mariabura877
    @mariabura877 27 วันที่ผ่านมา

    Wape vidonge vyao

  • @user-jo5qr5jv1n
    @user-jo5qr5jv1n 27 วันที่ผ่านมา

    We ulituaminisha Feisal haend Azam labda apande boti ya Azam kwenda kwao kusalimia khatma yke saiv ni mfungaji Bora wa ligi anaongoza Sasa na huyu master ki tuaminishe hvhv

  • @AmaniolodiAmaniolodi-yb3tl
    @AmaniolodiAmaniolodi-yb3tl 27 วันที่ผ่านมา

    ASante mungu yanga walishinda

  • @erastolumato2900
    @erastolumato2900 27 วันที่ผ่านมา

    Na mtaumia sana makolo

  • @user-ns1up3me8w
    @user-ns1up3me8w 27 วันที่ผ่านมา

    💚💚💚💚💚💚💚💚🙏

  • @user-nm2jq7xo5f
    @user-nm2jq7xo5f 27 วันที่ผ่านมา +1

    Daima imara nyuma mwiko

  • @user-nm2jq7xo5f
    @user-nm2jq7xo5f 27 วันที่ผ่านมา +1

    Yanga ikoimara Sana ndio maana ikovizuri

  • @azmedmtwana8135
    @azmedmtwana8135 27 วันที่ผ่านมา

    Na mtasema yani mpakaaa msemeee

  • @HenryCastuli-jz3cx
    @HenryCastuli-jz3cx 27 วันที่ผ่านมา +1

    Tuna hasirana Azam tukalipe kisasi

  • @AdrianAdrea-by8pn
    @AdrianAdrea-by8pn 27 วันที่ผ่านมา

    hacha ulevi mwana simba

  • @user-qq5yp1zm4f
    @user-qq5yp1zm4f 27 วันที่ผ่านมา +1

    💛💚💚💛💛💛💛💚💚💚💛💚

  • @user-nz5pu5gk6n
    @user-nz5pu5gk6n 27 วันที่ผ่านมา

    Yanga ni level nyengine minimum kumi itachukuwa mpk wayachoke

  • @villanjimmy7625
    @villanjimmy7625 27 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂 yaan Ally unajua kunifurahisha

  • @iddfundikira2817
    @iddfundikira2817 27 วันที่ผ่านมา

    Ulituhaidi Tutasherekea Mwanza Ubingwa sasa Fanya hivyo tunasubiri

  • @remidusmwanandenje-yy5gs
    @remidusmwanandenje-yy5gs 27 วันที่ผ่านมา

    Ata mimi nina asila nao😂😂😂

  • @emiryfaida2437
    @emiryfaida2437 27 วันที่ผ่านมา

    Sababu yangu alisababisha majeruhi walio Kuja kutugarimu kilabu bingwa afirika

  • @user-sw9tp2rf7f
    @user-sw9tp2rf7f 27 วันที่ผ่านมา

    Eti sababu elfu 1000 za kumtaka azam

  • @jonasmafumbi7087
    @jonasmafumbi7087 27 วันที่ผ่านมา

    Wanao sema goli la mchongo anaweweseka😂

  • @ifmknowledgepower7333
    @ifmknowledgepower7333 27 วันที่ผ่านมา

    Hamna kitu hapa 😂😂

  • @AminaMsimbe
    @AminaMsimbe 27 วันที่ผ่านมา

    Madunduka yanaumia mtabaki kukodoa macho acheni maneno pambanieni nafasi ya pili

  • @isayaanthon7063
    @isayaanthon7063 27 วันที่ผ่านมา

    Bonge ya semaji, hutamani limalize.

  • @AdamSaffi211
    @AdamSaffi211 27 วันที่ผ่านมา

    Huyu kijana huongea uharo sana, what a narcissist!

  • @OmarySaid-hw8ju
    @OmarySaid-hw8ju 27 วันที่ผ่านมา

    We nenda fainal Bolkon ipo uko utailambat

  • @alfredrutaguza7506
    @alfredrutaguza7506 27 วันที่ผ่านมา

    Wew kimudomo chako kinatuponza

  • @OmarySaid-hw8ju
    @OmarySaid-hw8ju 27 วันที่ผ่านมา

    Hayo mashindano yalianza lini kuchezwa dakika 30 baada ya kuisha dakika 90 mbona munavuruga mambo

    • @mnyamamedia7439
      @mnyamamedia7439 27 วันที่ผ่านมา

      Gem ya costo na yanga sopu anafunga magori mawili sijui matatu anamtungua diara ilikua dakika ngapi?

    • @frankhoffa8356
      @frankhoffa8356 27 วันที่ผ่านมา

      Na ndiomaana mpira umeanza mapema

    • @seciliamchalo5627
      @seciliamchalo5627 27 วันที่ผ่านมา

      Huna kumbukumbu wewe

    • @Omy-dou
      @Omy-dou 27 วันที่ผ่านมา

      Kaangalie mechi ya Azam na coaster Azam wakafungwa kwa penalt

  • @kalebphilip3426
    @kalebphilip3426 27 วันที่ผ่านมา +2

    Tff upuuz mtupu ule uwanja mdogo wa manyara fainal ovyo

    • @AbuhTechTz
      @AbuhTechTz 27 วันที่ผ่านมา

      vip lkn uwanj n mzur ?

  • @kalebphilip3426
    @kalebphilip3426 27 วันที่ผ่านมา

    Bora msngeingia fainal kabsa Azam apewe kombe lake

    • @henelckneatunga2720
      @henelckneatunga2720 27 วันที่ผ่านมา

      WEWE TULIA,AZAM WALITUKOSHA KOMBE LA AFRICA KWA KUTUHUMIZIA WACHEZAJI SASA ZAO ZIMEFIKA.

    • @Mary-fs4mc
      @Mary-fs4mc 27 วันที่ผ่านมา

      Tuliza kikojoleo, ngoma siyo yako unajifunga kibwebwe chanini? tulia da 3.

    • @seciliamchalo5627
      @seciliamchalo5627 27 วันที่ผ่านมา

      Kolo kama kolo endelea kuteseka

    • @yusuphmpinge4066
      @yusuphmpinge4066 27 วันที่ผ่านมา

      Walaume mashujaaa

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 27 วันที่ผ่านมา

    YANGA MMEPATA GOLI LA MBINDE SANA KUTOKA KWA IHEFU. ALI KAMWE UNATAMBA SANA MTAFUNGWA NA AZAM

    • @user-uf6oe3qi6v
      @user-uf6oe3qi6v 27 วันที่ผ่านมา

      Ndo football nusu fainali

    • @JastinAlphonce
      @JastinAlphonce 26 วันที่ผ่านมา

      Anitha we kaongo yaan Azam atufunge na hivyo TUlimtaka😂😂😂

  • @georgemallya4311
    @georgemallya4311 27 วันที่ผ่านมา +2

    Wewe ongea tu subiri uone

    • @erastomsigwa7713
      @erastomsigwa7713 27 วันที่ผ่านมา

      Aone nini mbona huelewek

    • @seciliamchalo5627
      @seciliamchalo5627 27 วันที่ผ่านมา

      Utaona wewe yeye ashaona kitaaambo

  • @CharlesWanyeche-er6rw
    @CharlesWanyeche-er6rw 27 วันที่ผ่านมา

    Manyoya nini wewe simba kafata nini kwenye utopoloni wenu kwendaaaaaaa

    • @Mary-fs4mc
      @Mary-fs4mc 27 วันที่ผ่านมา

      Nguruwe fc makasiriko ya nini?

    • @aminaomari2312
      @aminaomari2312 27 วันที่ผ่านมา

      Amemjibu msemaji wenu aliyesema wanamsajili aziz ki.

    • @CharlesWanyeche-er6rw
      @CharlesWanyeche-er6rw 27 วันที่ผ่านมา

      @@Mary-fs4mc kwendaaaaa

    • @Mary-fs4mc
      @Mary-fs4mc 27 วันที่ผ่านมา

      @@CharlesWanyeche-er6rw mateso fc, maumivu yatakuua kijana, nakwataarifa yako siendi popote nipo nipo sanaaaaa tuuuuuuu.

  • @kalebphilip3426
    @kalebphilip3426 27 วันที่ผ่านมา +2

    Goli lenyewe mchongo faulo refa kaacha na pia Ni Sheria gan robo dk 90 halafu nusu extra time upuuz mtupu

    • @sarahsaimon4095
      @sarahsaimon4095 27 วันที่ผ่านมา +4

      Upuuzi wa kwako acha makasiliko chiz ww

    • @richiedexter6302
      @richiedexter6302 27 วันที่ผ่านมา +1

      poleee😂😂😂

    • @ishamsuya3263
      @ishamsuya3263 27 วันที่ผ่านมา

      kma hujui football ni bora ukanyamaza tu kuliko kuropoka

    • @seciliamchalo5627
      @seciliamchalo5627 27 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂pole

    • @MkafaidaMasula
      @MkafaidaMasula 27 วันที่ผ่านมา

      We ulitakaje kwani😮