SHUHUDIA MELI YA MV MWANZA IKISHUSHWA NDANI YA ZIWA VICTORIA JIJINI MWANZA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 21 ก.ย. 2024
- Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp....
Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5
Sio pongezi kwa jpm tuu na kwa mama vilevile Mungu amjalie maisha marefu kwa kuisimamia vyema mpaka kumalizika kwakwe
Hongera sana baba JPM Mungu akupe pumziko la milele
Kivipi
Tuliokuwa tunamkubari John pombe magufuri basi niunge mkono kwa ku like
Tunaionaiona kazi ya Jemedari wetu JPM
Hongera sana serikali yetu ya mama Samia Kwa kazi nzuri sana ya meli hapa kazi tu
Hongera sa Raisi wetu mpendwa Mama Samia,kwa kumalizia kazi nzuri ya hayati Mh.Magufuli,Safi Sana twakupongeza.
Legend Vision never die! Continue RIP best leader ever JPM!
🤚🤚
Hongera mama samia kwa kuiendeleza kazi hiyo pia hayati mh. Jpm mwenyez azid kuijaz roho yako 🙏🙏🙏.
Hongera Serikali ya Mama Samia kwa kazi hii kubwa🙌🙌
Samia kafanya nin nawakati Magufuli alishalipia kabla hajafa,
@@barakaothumani6421 Akakulipie na PEPON Huko c ametangulia!.
hutendi haki ukimtaja rais Samia peke yake, bali sema hongera hayati JPM kwa kuanzisha mradi huu na tumshukuru pia rais SAMIA kwa kuendeleza na kumalizia mradi huu
@@barakaothumani6421 kafanya kwa wakati wake alianzisha kaanzisha angeweza acha na yeye pia aneliona acheni mbambamba na mti nyongo
Rajabu wew si zezeta la kuzimu ndomana
hongereni wa tz wenzetu. kwa hakika mmeweza
Hongera sana watanzania tunaweza ni uamuzi tu.
JEMBEE JEMBEE JEMBEE JEMBEE JEMBEE JEMBEE JEMBEE JEMBEE JEMBEE JEMBEE JEMBEE JEMBEE JEMBEE JEMBEE JEMBEE JEMBEE JEMBEE JPM mzalendo mwana wa Africa 🇹🇿💪 lala salama
RIP JPM.
Hongera sn viongozi waamu ya5nasita RIP MAGU
MUNGU akupe kazi ya kusifu Na malaika mbinguni JPM
Baazi ndani ya Selekali wanamtukana Magu naomba mungu awashugulikie pumbavu zao, RIP Magu
Pongezi kubwa kwa marehemu JPM. Tutakukumbuka daima R.I.P. umevipiga vita vizuri mwendo umeumaliza na Sasa utavikwa taji.
Well deserve Mama tunakushuru Kwa kutekeleza na kusimamia, ilani za chama
Rip JPM
Hakika JPM UMENITOA MACHOZI LIVE mbele ya watu😭😭😭😭😭
Rp Magufuli nitakukumbuka daima
Tutamkumbuka daima kamanda JPM
Mama samia nguvumoja🙏🙏🙏
Magufuli hawezi kusahaulika kamwe kwa wapenda maendeleo. Hata kama kuna watu hawapendi kusikia jina hilo , ukweli ni kwamba ukweli utabaki kuwa ukweli tu siku zote. Kifo chake ilikuwa ni pigo kubwa sana Kwa Taifa hili. Mwisho nimshukuru Rais wa sasa kwa kusimamia vyema miradi yote iliyoachwa na serikali ya awamu iliyopita.
RIP MAGUFULI
Tutakukumbuka daima Hayati Magufuli kwa kuasisi ujenzi wa meli hii, tunakupongeza Mamá Samia kwa kusimamia miradi iliyoasisiwa na mwendazake
Sasa tunasubiri kwa hamu kubwa ukamilikaji wa daraja la Kigongo to Busisi
Jamani na Alie hakikisha miradi yote ya mwendazake inakamilika mbona hamumpongezi??!! Na je kama asingekamilisha?? Watanzania tuache roho mbaya!!!!!
Hivi Bwn. Chunga Lwiza, somo la Jiografia hakulisoma labisa!!! Meli ndani ya ziwa Viktoria itafika mikoa ya Kigoma, Tabora na Rukwa, hata Nchi za Congo na Burundi!!. Hii inaashiria ubovu wa Elimu ulivyo Tz.
Heheheeeeee!! Hata mi nimeshangaa, yaani itoke kwenye maji iingie kwenye lami ,,woooiiiiyeee
Huyo mtangazaji yupo sawa.
Hongera sana Rais wetu mama Samia kwa moyo mwema mama ungekuwa na ubinafsi usinge lisimamia jambo hili likakamilika. Hakika ALLAH hakukosea kuliweka jina lako kinywani mwa Hayati MAGUFULI MUNGU Akupe pumziko la amani mwana chato. Hongera pia zikufikie waziri mkuu MAJALIWA KASSIM MAJALIWA maana wachina walisha itelekeza hii meli bila mkwala wako leo tusinge shuhudia tunacho kishuhudia. Yote kwa yote hongera ziwafikie viongozi wote wa awamu ya sita chini ya usimamizi wa mama mwema kipenz cha ALLAH bi SAMIA naamini kabsa miradi yote itakwisha na nchi itasonga mbele zaidi hakika wanawake tunaweza
Siyo ubovu wa elimu wa Tz. Sema ni uelewa duni wa Mtu mwenyewe. Hivi kweli ziwa Victoria linafika mkoani Tabora, Rukwa na Kigoma?
Wanufaika wa moja kwa moja
MWANZA, MARA, GEITA, KAGERA, SIMIYU.
Mikoa mingine ya Kigoma, Shinyanga na Katavi itapokea bidhaa au kusafirisha bidhaa pia kupitia hii meli
Mama Samia kweli ni chuma
Congo, Zambia na Malawi itaendaje?
Itaenda kama inavoenda.
Ahsante JPM ,kama siowewe sijui nani angekua namawazo yavitu kamahivi
Mtangazaji Anatia Aibu Haujuwi Tanzania
Hongera ccm
Bila Magufuli haya yasingefanyika
Baba magufuli watanzania maskini hatutakusahau kamwe tutendelea kukuombea pumuziko jema
Hongera zake baba etu makufuli Mungu ailaze mahali pema peponi
No one like Hayati rais Maguful ametuonyosha njia
Itafikaje south Sudan 🇸🇸 au mizigo
Kazi zako zinaishi JPM
Wahaya shida kelele zenu zatoa matunda Tz nzima ongeren saana
Kwanza hongera sana ndugu zetu watanzania kwa hatua kubwa hiyo.
Lakini sasa huyo muandishi wa habari amekithirisha pale aliposema kua safari za Meli hiyo zitafika hadi nchini Burundi 🤷🏾♀️ How ? Lac victoria haifiki Burundi jamani 🤓🤓🤓
Ikichukua hata mwaka ijaanza kufunguliwa vyuma.. nimekaa palee.. ✈️
Niite mbwa
Watu kama nyinyi mnaeleweka Sana,mara nyingi mnakuwa na tabia ya husda na uadui hata mitaani kwenu mnakoishi
@@mbaroukally8655 hujamuelewa tu!ana maana kubwa sana aliposema itahujumiwa.
JPM atakumbukwa daimaa
Katavi malawi kigoma meli itaenda mbona sielewi
RIP MAGU KWA KWELI MKOMBOZI
MALAWI,BURUNDI,ZAMBIA, SUDANI KUSINI 🤔
Magu kafa na mengi maana angekuepo
😁😁😁
Jpm
Kamasio JPM miradihii isingetekelezwa pesazote zingekuwa zinaingia kwenye mifuko yajamaa wansojiita wenyenchi,,,hatapesazetu zatozo zingekuwa zinaonekana kufanya vitu kamahivi watanzania tusingekuwa na manunguniko
Meli iende malawi tena mpk sudan kusin alafu inapita wapi 😆😆😂
mtangazaji chizi kweli
Huyo mtangazaji ana akili sana maana ameelezea kiuchumi zaidi, kwamba meli hiyo sio tu inauwezo wa kubeba abiria hata na mizigo pia, mfano wafanyabiashara wa Uganda wanaweza kupakia mizigo yao mpaka mwanza pale mwanza ikapakiwa na magari ya mizigo mpaka kongo au malawi au zambia sasa wapi mtangazaji hajaeleweka.
Hapo kwenye congo Malawi na Zambia
Kigoma Katavi na Rukwa itafanya vipi safari? Yaani toka ziwa Nyanza iende ziwa Tanganyika? Su mnataka kuchimba canal?
Zambia congo
Mtangazaji tuonee huruma watazamaji wako aisee. Meli itafikaje Zambia Malawa na Burundi?😂😂😂
Haijui jiografia ya afrika mashariki
J.p.m
Kumbe tunaweza sasa tatizo ninii ?
Upigaji😣😣
Kiukweli tunaweza kufika mbali bila mikopo na nchi yetu tukajenga natamani tupate tena Raisi awe na huruma na Tanzania na watazania
Mwandishi Zero kabisa 🙈 Meli itaendaje malawi zambia Congo sudan kusini wakati ipo ziwa victoria
Hahahahahaha atakwambia mpaka comoro na lebanono
Ayubu andson mwambene
R.i.p cHuma JPM
Mtangazaji jamaniiii!!🤣🤣🤣🤣, Eti inaenda Meli hii wapi, Mikoa ya Tabora, Katavi, na Nchi za Kenya, Uganda, Congo, Zambia, Malawi na wapi kweli, kuanzia sasa acha kazi ya utangazaji hii ni aibu kwa Taifa.
Hivi wale wanaombeza marehemu hawamuogopi Mungu
Hahahaha
Sawa ni jambo jema lakin viongozi wetu wanafanya mambo kwa mihemko
Mbona hamuonyeshi ilipokua inatoka nchi kavh
huyo mtangazaji kweli chizi yaani ata hajui meli ipo ziwa victoria sasa inaendaje kigoma na burundi malawi inafikaje basi itakuwa na mabawa chii kweli watangazaji wengi shule sijui walienda zipi hahahahhahah
Mtangazaji yupo sawa kabisa, haja kosea mwemezi.
Imeshushwaje wakat ilikuwa ipo hapo mwanza south
Ilikuwa juu ya chelezo,sasa imetoka juu ya chelezo,na ilikuwa nchi kavu,sasa ipo juu ya maji
@@emmanuelmasanja6040 ok nimeelewa
Hivi wale wanaume wa r.i.p jpm bado wapo???
Nashangaaa!!!
wapo wengi R.I.P JPM bila wewe tusingepata hii meli umekuta ziwa victoria halina meli ata moja mpaka unafariki tulikuwa na meli mbili na moja hii ikitengenezwa
Kazi za Magufuli zitaishi miaka mingi sana, Kama unateseka kwa hilo,, pole sana
Kaz itakayoish n 1 tu Ya WAZAZ WAKO Kukuleta DUNIAN!
@@mwemezieladius5261 kabisa kila sehemu nchii hii ni miradi ya JPM tu.
Magufuli wewe ulikuwa mwamba wa Africa hata kama wanaturazimisha kukuelewa vibaya lakini utaendelea kuishi mioni mwetu hasa sisi watu masikini
Chuga meli hiyo haiwezi kwwnda kata i
Hongera Magufuli
Hakika bila yeye pesa hizi zingetafunwa,
Alaf Kuna mjinga atakuambia magu dictiteta
Shenz kabisa
Adolf Hitler alikuwa dictator lkn kafanya makubwa Germany. Tofautisha maendeleo na udikteta
Alafu Kuna mtu hataki mkubali kwenye hotuba zake
Dingi aliweza bhana
Inawezeaje kwenda Kongo na Malawi kwani ziwa Victoria linafifa Kongo na Malawi??? Jamani uongo tupunguze kazi inafanyika ila tukipamba sana tutatiliwa shaka
JASHUSHUSHA UCHUMI ANAVURUNDA MAISHA MAGUMU BORA AJIUZURU WATANZANIA WAPUMUE
BIBI SAMIA JIUZURU WATANZANIA WAPUMUE MAANA UMEWAZIBA PUMZI ATUKUTAKIIIII
Watanzania hongera sana tunaweza ni kamusi tu
Niuamuzi tu.
JPM JPM JPM JPM
HII MELI PONGEZI KUBWA KWA JPM SIO UYU BIBI SAMIA YEYE HAKUNA LOLOTE ALILOLIFANYA ZAIDI YA ROYAL TOUR NA KUSAFIRI SAFIRI
Pumbavu wewe kama asingesimamia huu mradi ungeisha??? Kuwa na shukrani wewe acha fikra mgando
Abduragmaan katika comments zako zote zinaonyesha wewe ni chokoraa,kwa maana ulipokuwa mdogo uliitia malezi mabovu ya watoto wa mitaani ndiyo maana unatukana ovyo.
@@modestwenceslaus9 😂😂😂😂😂 NAONA ZINAKUKELA USIRIE NDUGU YANGU