Aliemtafuta dereva mkongwe ana upeo mkubwa sana.ila baba levo naomba kl ijumaa jion mara moja hta kwa week muwe na kipind kuita viongoz wa madereva au madereva wazoefu kuelezea changamoto za barabaran.maana madereva wana changamoto nying sana ila hawana pa kuongelea.
Baba Levo mbunge wa baadae uyo ...baba Levo ebu gombea ubunge kwenye chama Cha ccm..mwamba unajuwa Sana wewe ni mtu wawatu na unajuwa Sana ...mim kiukwer nishabiki wako since way back ..nakupenda Sana baba Levo wewe na Daimond nawapenda Sana... nakukubali sana
Namkubaligi Sana uyu dereva anajuwa Sana kuchekesha...nimecheka pale anaposema bosi mchaga mwanaume pesa Ili kuipata lazima jasho likutoke🤣🤣🤣🤣🤣mnapigana wee mpaka umpige ndo anakupa pesa yako..🤣🤣🤣da uyo kwer bosi kichefuchefu
Crown FM kujieni dereva mkongwe❤❤❤
Aliemtafuta dereva mkongwe ana upeo mkubwa sana.ila baba levo naomba kl ijumaa jion mara moja hta kwa week muwe na kipind kuita viongoz wa madereva au madereva wazoefu kuelezea changamoto za barabaran.maana madereva wana changamoto nying sana ila hawana pa kuongelea.
Noma sana🙌🏿 mali hyo♥️♥️
Following from Kenya..
huyu mzee dereva mkongwe anachekesha balaa wampe kipindi chake cha hekaya za dereva mkongwe 😂.
Bonge moja la Idea aisee
Wataongeza mvuto wa kufuatiliwa na watu wengi zaidi.
We jamaa umewaza mbali mno🙌
Absolutely, content idea nzuri sana, Wasafu media waone hii chapu.
Namkubali sana dere mkongwe ana fact .kubwa zaid ni swala la mungu aachikuimiza ibada.na anaongea ukwel sana wamaisha alisi ya mtaani
1:17:29
mkongweee mkongweee umenichekesha sanaaaa😂😂😂
Baba levo mwandike kwa radio station yako please
😂😂😂😂 dereva mkongwe daah! Media msiache mali hii hii nipesa
Wajukuu wa huyu mzee wataenjoy sana😂😂
Hapo Kwa mugokaa mkongwe anaongea kweli
Baba Levo mbunge wa baadae uyo ...baba Levo ebu gombea ubunge kwenye chama Cha ccm..mwamba unajuwa Sana wewe ni mtu wawatu na unajuwa Sana ...mim kiukwer nishabiki wako since way back ..nakupenda Sana baba Levo wewe na Daimond nawapenda Sana... nakukubali sana
Huyu jamaaa Nimecheka sana leo 😂
Namkubali sana huyu, namfatilia toka kenya😂😂😂😂
Mpeni dili cheka tu😅😅
Bila shaka uyu kaletwa na baba levo kafanya vizr sana namkubali sana
nime enjoy
😂😂😂😂 we need part 2
baba levo naomba nisaidie pesa ni nunue bodaboda inisaidie kimaisha mm ni mha mwenzakoo
Ruby alakomeyeee
mtasheeee nyinawageee
Nitakuunganishanae
Mhu?? Nyie vijana Embu Akiri itumike kidogo ktk ufikiriaji wenu
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Dada mpe mtu nafasi ya kuelezea acha kumkatisha katisha tunajua unajua
kama unatokea muheza unamuelea jamaa ngeli zake nyingi, sidhani kama watu wanaelewa kila neno, maana ana ngeli za nyumbani sanaaaaa
Hivi Kwa mlio hesabu mnaweza niambia Baba levo amecheka Mara ngapi?
Mmeshindwa kutafuta madereva wanaojielewa mnaleta mchekeshaji
Udereva na uchekeshaji na uongeaji ndio uliompeleka wasafi na sio udereva
kama anaendesha from 1982 kuna la kujifunza , anaipenda kazi yake plus haboi kumsikiliza.
Dereva mkongwe yule mzee wa asali anaitwa mkali kidonga saizi kafa
Mkongwe noma
🎉😢😢 .
Sante sana mgongwe sahv cyo bongo move tu hadi madereva nasi sahv tunapata thamani 😂😂😂😂😂
Mkongwe nipo kamembe 😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Majizo chukua huyu mzee😂
Huyu mzee ni hatariii😅😅😅😅 anashuka na kaseja😅😅
Noma sana😂
Huyo apewe kipindi pale 7 media , ceo#Officiallbabaleve😅😅
Kila nkimwangalia huyu mzee naona kwenye kipindi hiki kuna takiwa kuwe na kipengele cha udereva na usalaa barabarani
😅😅😅 huyu dingi jau saana
Iyo songea kwenye asali hapo nimesoma songea huyo mzee asali ni uhakika
Huyu Mzee 😂😂😂😂mrungi wa farasi
😂😂😂😂dereva mkongwe nakukubali sana ..!!
K 9 😂😂😂, naijua hiyooo😂😂😂
Mbona mimi sioni nasikia mziki tu
Duuuu
😂😂😂😂😂😂😂😂hatali sana mkongwe ninoma
Imebid nije nitafute ii interview
B level kapata mwenye maneno yake sas
Madj wa bongo mnaniudhi kupiga ngoma za wanaijeria wakati madj wanaijeria hawachezi ngoma zetu acheni shobo
Mkongwe ni tenke fungurume
Mkongwe unaongea ukweli Ila punguza comedy
Hata jumbe za vitabu vya mungu zilikua zikiwasilishwa kwa Mafumbo.
Labda Kongo ya zaman ndo walilipwa laki 8 malage
Mkongwe anayoongea ni kweli iyo songea sikia tu
Kilanje lanje daaaaaaah kitambo xn aaisee nmetoka juzi tyuu apo mgodi wa mawe
😂😂😂😂😂😂 Mkongwe bwanaa😂😂😂😂
Hpo tenki funguru cyo poa watoto wambwa wakifurungwa wanafunga balabala
Dah🤣🤣🤣😋
Haha haaa huyo ndo atakua kiboko ya foto magari😅😅
😂😂😂😂😂nakubali
Namkubaligi Sana uyu dereva anajuwa Sana kuchekesha...nimecheka pale anaposema bosi mchaga mwanaume pesa Ili kuipata lazima jasho likutoke🤣🤣🤣🤣🤣mnapigana wee mpaka umpige ndo anakupa pesa yako..🤣🤣🤣da uyo kwer bosi kichefuchefu
😂😂
😅😅😅😅😅
😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
1:30:30
Noma sana😂
😂😂😂😂
😂😂
😂😂😂
,😂😂😂😂