Nandy Na Aslay Walivyonogesha Usiku Wa Mapenzi Escape One
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 29 ส.ค. 2024
- SUBSCRIBE: / kidanistars
Shoo hiyo ilifanyika katika ukumbi wa Escape One, Mikocheni jijini Dar es Salaam ambayo ilikuwa iliandaliwa maalum kwa ajili ya kusheherekea Siku ya Wapendanao (Valentine Day).
Mashabiki waliburudika kwa wasanii hao kwa kila mmoja kuimba ngoma zake na baadaye wakaziamsha hisia za wapendanao waliofika ukumbini hapo kwa kuimba kwa pamoja wimbo wao yenye ujumbe mzito wa mapenzi wa ‘Subalkher’.
SUBSCRIBE: / kidanistars
Wakati akipafomu wimbo wake wa ‘Mama’, Aslay, alizigusa hisia za mashabiki waliofika ukumbini hapo akiwemo mama wa msanii Nandy ambaye alionekana kutamani kulia kutokana na maneno aliyokuwa akiongea Aslay ya kuelezea uchungu alionao juu ya kifo cha mama yake mzazi.SUBSCRIBE: / kidanistars
SUBSCRIBE: / kidanistars
SUBSCRIBE: / kidanistars
SUBSCRIBE: / kidanistars
Hongereni kwa kazi nzuri
Good
They are good actor s
uko sawa kabisa napenda song yako angekuona iko saw
Umependeza sana Nandy ♥
Umependeza mama maana umevaa kiheshima hongera
Nandy ur so cute I lv ur awags
Mashallah Nandy unependeza sana
Asante watoto waziri kwann msioane
grace wayanga kweli waoane ,wore wawili wapendeza
Umependeza nady mpaka rahaa
nice dressing
I just like how they perform it
I like it!
star Nandy ur looking very smart with ur dress ,so I think even Aslay could have wore kanzu ya juma😷😷
Makinii
Ikopoa sana
Nawapenda saaana mnapendeza pia
iko juu sana
Asrei uyo saizi yako owanen Tu mungu atawasaidia
mambo ni fire deeyra tu
nice
Sauti zaendana wow
gud
Umependeza Nandy duh😍😍😍😍😘😘😘
Doreen Nasike kapendeza sana naiv miss hatar
Elizabeth Michael avae dera au nguo fupi bado mzuri
Nandy iyo maik ya moto mbona vidole havituliii kwenye maik
Hatari sanaaaaaaa
мпаареп
Umependeza
😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍
роа
vp
Hongera dada Nandy umependeza xn kwa kwl, mastaa wenzio watachkua mfano kwako
Shikamoo magu
umependeza nand
Iyo ndo fashion sikuhiz kuvaa madira juu ya stage kwa mastaa wakike wote au
We ulitaka avae bikini
Wavae uchi mseme wa bongoo
Mngeoana bas mkakamilisha ndoto zenu
Ivi nandy umeamua kwel but pamoja xanaaaaa............
mapo
mbona hamuoani
Ilo dira vepeeee
Safia Ramadhan 😀😀😀😀😀😀😀
Dira ra bei Sana
Nandy ukivaa ivyo uko mwaa
Zamzam Hamisi
Maromboso shida
Watakubari
nakukubali sana nandi mm nimoja kati yamashabiki zako hasa ilenyimbo yakivuluge naomba no yako au chukua yangu nitafute 0712080334 pendasana wewe Mandi kazabuti
Penda sana nyie
mashallh.wamependeza.hayo.ndomavazi.bwana.sovichup.kamakina.zari.na.tanasha.
Dagupeda sana nayimbo zawewe
Mugu akongezeye furaha zote agufunguliye jiya zote
ilo gauni mama kam jini mhhhhhh
Ramazani Omary umpndz
Daaahhh wallah kwakweli nyi watt mnatisha sjawahi onaaaaaa
nandy u luk so gud ccy kwa hilo vazi
vazi Ilo zuri sana
mkivaa ivyo mtafanya tasinia ya music iwe inaheshimika kuangaliwa na kila rika