CCM ILE YA NYERERE SIO YA SASA ,CCM YA SASA NI WIZI ,UBADHIRIFU KWENDA MBELE,,,WIZI WANALINDWA KAMA UTAKUWA CCM,,HII INASIKITISHA. CCM HAWATAKI KATIBA MPYA KWASABABU KATIBA NI UFUMBUZI WA MATATIZO YOTE HAYA YANAYOJITOKEZA,
Mheshimiwa Mpina kipindi akiwa waziri wa Mifugo na uvuvi ndo tuseme hayakuwepo Madudu yaliyofanyika kipindi hicho kwenye hyo wizara?Leo hii amekosa wizara ameanza kuyaona madudu yanayofanywa na wenzake?
Kama vile katusaidia walaji kupima samaki katutetea wanyonge kutoka sangara aliyekuja anauzwa elfu tatu Leo tunanunua kilo ya sangara huyo sh. 13,000# Leo tunamwita anatetea wanyonge
Alishashindwa uwaziri tangu enzi za JPM huyo. Mbwembwe tu na hofu ya kufukuzwa, Hilo Jimbo lishaenda chadema kilaini Kama lile la Awa Ghasia kule mtwara .
Uyu ana uchungi na Tanzania hongera sana
Hogera hoja nzuri mpina
Tupo na Wewe Luaga Mpina Mpaka Uwe Rais"
Big up sana
Vivaaaa mpina vivaaaaaaa
Mpina ni mmoja wa kiongozi mzuri kwa watanzania anaelimisha jamii kwa kujitowa kafara maana mafisadi watamchukia
Safi sana Kaka Mpina upo sahihi Kabisa
Safi sana
CCM ILE YA NYERERE SIO YA SASA ,CCM YA SASA NI WIZI ,UBADHIRIFU KWENDA MBELE,,,WIZI WANALINDWA KAMA UTAKUWA CCM,,HII INASIKITISHA. CCM HAWATAKI KATIBA MPYA KWASABABU KATIBA NI UFUMBUZI WA MATATIZO YOTE HAYA YANAYOJITOKEZA,
Wewe ni kiongozi Kuna kitu ndani yako
Ww ni mbunge mzoefu 2025 uskate tamaa chukuwa from ya umbunge tena na utakuwa wazili wa kilimo
Mpina Anahoja jamanii
Kwel
Mheshimiwa Mpina kipindi akiwa waziri wa Mifugo na uvuvi ndo tuseme hayakuwepo Madudu yaliyofanyika kipindi hicho kwenye hyo wizara?Leo hii amekosa wizara ameanza kuyaona madudu yanayofanywa na wenzake?
Tumepewa begun bovu na mbolea mbaya hatujavuna mahindi mwaka huu
Wewe mpina acha kujisafisha kwa kuwapakazia wenzako sema pointi za kututoa hapa tulipo
🎉
Mpina safi
Luhaga tunataka agombee urais
Kama vile katusaidia walaji kupima samaki katutetea wanyonge kutoka sangara aliyekuja anauzwa elfu tatu Leo tunanunua kilo ya sangara huyo sh. 13,000# Leo tunamwita anatetea wanyonge
Huu niwakati wa kuchunguza wapinzani wana mipango gani
Karibu chadema chama cha wapigania haki CCM imeoza
YUKO VIZURI L. .MPINA
Mpina peleka mahakamani hao majambazi ,bashe mwigulu, makamba na nape na mbawala
Ntakupa kula yangu ukigombea.
Sasa tunaona mbegu ya magufuli inchi Tanzania kumbe Kuna mbegu. Sasa tunaona mbegu ya mag
Mana samia mpina nijembe mpe wizara ya kilimo atatufaa sana hapa kwetu tz
Alishindwa wizara, ubunge tu ndio anaweza. Bora Msukuma ndio natamani awe waziri
🙆
Alishashindwa uwaziri tangu enzi za JPM huyo. Mbwembwe tu na hofu ya kufukuzwa, Hilo Jimbo lishaenda chadema kilaini Kama lile la Awa Ghasia kule mtwara .
Bungeni mungekuwemo wa bunge 10 wanaonena ukweli kama wewe saizi mambo yangekuwa yanaenda jinsi inavyoitajika
Tunakuunga mkono
Muuuuuh helu maza mpena gete
Mm
Tupo nyuma yako
Tupo nyuma Yako 😂😂😂