#kivumbi

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 27 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 37

  • @anthonywilliam6510
    @anthonywilliam6510 2 หลายเดือนก่อน +3

    Uyu ana uchungi na Tanzania hongera sana

  • @FrankMabinga
    @FrankMabinga 2 หลายเดือนก่อน +4

    Hogera hoja nzuri mpina

  • @JacksonFrances
    @JacksonFrances 2 หลายเดือนก่อน +2

    Tupo na Wewe Luaga Mpina Mpaka Uwe Rais"

  • @FintanMkesha
    @FintanMkesha 2 หลายเดือนก่อน +2

    Big up sana

  • @kammunisi2296
    @kammunisi2296 2 หลายเดือนก่อน +3

    Vivaaaa mpina vivaaaaaaa

  • @allyfutto8763
    @allyfutto8763 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mpina ni mmoja wa kiongozi mzuri kwa watanzania anaelimisha jamii kwa kujitowa kafara maana mafisadi watamchukia

  • @FadhiliFedirick
    @FadhiliFedirick 2 หลายเดือนก่อน +1

    Safi sana Kaka Mpina upo sahihi Kabisa

  • @phchouseprintmwanza8123
    @phchouseprintmwanza8123 2 หลายเดือนก่อน +1

    Safi sana

  • @Yussuf-b3b
    @Yussuf-b3b 2 หลายเดือนก่อน +1

    CCM ILE YA NYERERE SIO YA SASA ,CCM YA SASA NI WIZI ,UBADHIRIFU KWENDA MBELE,,,WIZI WANALINDWA KAMA UTAKUWA CCM,,HII INASIKITISHA. CCM HAWATAKI KATIBA MPYA KWASABABU KATIBA NI UFUMBUZI WA MATATIZO YOTE HAYA YANAYOJITOKEZA,

  • @ZakayoJoseph-g5p
    @ZakayoJoseph-g5p 2 หลายเดือนก่อน +1

    Wewe ni kiongozi Kuna kitu ndani yako

  • @MalimaSitu
    @MalimaSitu 2 หลายเดือนก่อน +1

    Ww ni mbunge mzoefu 2025 uskate tamaa chukuwa from ya umbunge tena na utakuwa wazili wa kilimo

  • @talefilmsa8768
    @talefilmsa8768 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mpina Anahoja jamanii

  • @MussaEmmanuel-ll2mz
    @MussaEmmanuel-ll2mz 2 หลายเดือนก่อน

    Kwel

  • @NgolloStan
    @NgolloStan 2 หลายเดือนก่อน

    Mheshimiwa Mpina kipindi akiwa waziri wa Mifugo na uvuvi ndo tuseme hayakuwepo Madudu yaliyofanyika kipindi hicho kwenye hyo wizara?Leo hii amekosa wizara ameanza kuyaona madudu yanayofanywa na wenzake?

  • @AmenMushi-j2j
    @AmenMushi-j2j 2 หลายเดือนก่อน +1

    Tumepewa begun bovu na mbolea mbaya hatujavuna mahindi mwaka huu

  • @JohnGerald-b1s
    @JohnGerald-b1s 2 หลายเดือนก่อน

    Wewe mpina acha kujisafisha kwa kuwapakazia wenzako sema pointi za kututoa hapa tulipo

  • @UwezoMponda
    @UwezoMponda 2 หลายเดือนก่อน

    🎉

  • @JohnManyilizu-rl5bm
    @JohnManyilizu-rl5bm 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mpina safi

  • @MkingaJulius
    @MkingaJulius 2 หลายเดือนก่อน +4

    Luhaga tunataka agombee urais

  • @HabibuSalumu-iv5wl
    @HabibuSalumu-iv5wl 2 หลายเดือนก่อน

    Kama vile katusaidia walaji kupima samaki katutetea wanyonge kutoka sangara aliyekuja anauzwa elfu tatu Leo tunanunua kilo ya sangara huyo sh. 13,000# Leo tunamwita anatetea wanyonge

  • @ConradMbokosi
    @ConradMbokosi 2 หลายเดือนก่อน

    Huu niwakati wa kuchunguza wapinzani wana mipango gani

  • @PaskaliCharles-pz8ds
    @PaskaliCharles-pz8ds 2 หลายเดือนก่อน +1

    Karibu chadema chama cha wapigania haki CCM imeoza

  • @FellaMbogela
    @FellaMbogela 2 หลายเดือนก่อน +1

    YUKO VIZURI L. .MPINA

  • @HaulSidney
    @HaulSidney 2 หลายเดือนก่อน

    Mpina peleka mahakamani hao majambazi ,bashe mwigulu, makamba na nape na mbawala

  • @lawrenceshekinyashi8243
    @lawrenceshekinyashi8243 2 หลายเดือนก่อน

    Ntakupa kula yangu ukigombea.

  • @ZakayoJoseph-g5p
    @ZakayoJoseph-g5p 2 หลายเดือนก่อน

    Sasa tunaona mbegu ya magufuli inchi Tanzania kumbe Kuna mbegu. Sasa tunaona mbegu ya mag

  • @fredrickipembe8188
    @fredrickipembe8188 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mana samia mpina nijembe mpe wizara ya kilimo atatufaa sana hapa kwetu tz

    • @SmilingElectricCar-ds4li
      @SmilingElectricCar-ds4li 2 หลายเดือนก่อน

      Alishindwa wizara, ubunge tu ndio anaweza. Bora Msukuma ndio natamani awe waziri

    • @GamboLyn-y4u
      @GamboLyn-y4u 2 หลายเดือนก่อน

      🙆

    • @ShamteMohmed-ed2kk
      @ShamteMohmed-ed2kk 2 หลายเดือนก่อน

      Alishashindwa uwaziri tangu enzi za JPM huyo. Mbwembwe tu na hofu ya kufukuzwa, Hilo Jimbo lishaenda chadema kilaini Kama lile la Awa Ghasia kule mtwara .

  • @DanosiImani
    @DanosiImani 2 หลายเดือนก่อน

    Bungeni mungekuwemo wa bunge 10 wanaonena ukweli kama wewe saizi mambo yangekuwa yanaenda jinsi inavyoitajika

  • @KimanguShemwaliko-ht2jr
    @KimanguShemwaliko-ht2jr 2 หลายเดือนก่อน +2

    Tunakuunga mkono

  • @AnnoyedBooks-kn5pm
    @AnnoyedBooks-kn5pm 2 หลายเดือนก่อน

    Muuuuuh helu maza mpena gete

  • @AmenMushi-j2j
    @AmenMushi-j2j 2 หลายเดือนก่อน

    Mm

  • @uredmwasembo8579
    @uredmwasembo8579 2 หลายเดือนก่อน

    Tupo nyuma yako

  • @augustinomlowe8059
    @augustinomlowe8059 2 หลายเดือนก่อน

    Tupo nyuma Yako 😂😂😂