MWEZI NI MMOJA TU HIZI SIO HOJA ACHENI KUPOTEZA WATU" Sheikh Mohammed Is'haka

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 22 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 234

  • @ibrahimcharlesswaleh
    @ibrahimcharlesswaleh 7 หลายเดือนก่อน +2

    ALLAH ndiye mjuzi. Kikubwa tusome tuelewe. Kashfa hazina maana. Kila mmoja afuate anapoona kuna haki.

  • @RashidSalim-n3f
    @RashidSalim-n3f 7 หลายเดือนก่อน +1

    Jazakallahu kheiran

  • @abdulgwelo7150
    @abdulgwelo7150 7 หลายเดือนก่อน +3

    Baarakallaah sheikhe binafsi ningekuelewa vizuri darsahii maashallaah.

  • @MkomboziMusa
    @MkomboziMusa 6 หลายเดือนก่อน

    Maashaallah ,sheikh lete vitu wataelewa2 ikiongelewa haki batwing hukumbia.

  • @moudy4realibrahim601
    @moudy4realibrahim601 7 หลายเดือนก่อน

    Allah atufanyie wepesi katika mambo haya mwezi wa Ramadan

  • @JumaHamim-n4g
    @JumaHamim-n4g 7 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akuhifadhi namabala Shekhe wetu kinyume nakuwa unafikisha haki lakini unatusaidiya sana kutuzidishiya nguvu ya kuikumbatiya haki mungu akujaliye

  • @Dewaoficial09
    @Dewaoficial09 7 หลายเดือนก่อน +7

    Mpinge huyu mzee kwa hoja yako weka hoja yako sio maneno ya kashfa. Ahsante

    • @FarahaniGlasswork
      @FarahaniGlasswork 7 หลายเดือนก่อน

      Hana hoja huyo

    • @Zainabnoor0087-ze
      @Zainabnoor0087-ze 6 หลายเดือนก่อน

      ​@@FarahaniGlassworkunajibu kisicho hoja c upite tu

  • @MuhammadiMbwana
    @MuhammadiMbwana 7 หลายเดือนก่อน +2

    shekhe Allaah akulipe wataelewa tu,hii ni dini sio dili endelea kuelimisha

  • @selemaniomari5974
    @selemaniomari5974 7 หลายเดือนก่อน +1

    Waislam tujiepushe,kuita mungu,tujilazimishe kuita Allah.

  • @ahmedyrutumo
    @ahmedyrutumo 7 หลายเดือนก่อน +3

    Nilkua nmekumiss sheikh wangu

  • @rashidimahmud8605
    @rashidimahmud8605 7 หลายเดือนก่อน

    Sheikh tunashukuru

  • @bagalucha
    @bagalucha 7 หลายเดือนก่อน +1

    Sheikh nakubaliana na uliyoyaweka wazi na ni haki haswa ya kufuatwa,wengi ni wale wanaofuata bila ya kukusikiliza na kupinga kwa kufuata mkumbo,Sheikh endelea kuelimisha,na itafika wakati,haki itasimama,Allah akuweke na kutuelimisha.

  • @adimiddyrama8894
    @adimiddyrama8894 7 หลายเดือนก่อน +2

    sheikh unaeleweka vizuri Kwa watu wenye akili

  • @shanimpenike7568
    @shanimpenike7568 7 หลายเดือนก่อน +3

    Asilimia ya wachangiaji muogopen Allah mnacoment kashfa na matusi sababu tu hamjaelimika .kwani lazima mchangie mnawatukana sana mshekhe zetu mnaharib swaum zenu .kama hamuwezi kujichunga ?

  • @SalamaKhamis-un8vn
    @SalamaKhamis-un8vn 7 หลายเดือนก่อน

    Duh! Jamaa haogopi kufutu mas ala subhanallah Allah akuongoe

    • @IshakKhamis-rk3op
      @IshakKhamis-rk3op 7 หลายเดือนก่อน

      Wewe una elimu ya mazoea kwakuwa umezoea kufata mwezi wa tanzania na roho yako ni ya ushabiki bas hata ukipewa hadithi za mtume hutozifata. na utabaki na ujinga wako

    • @IshakKhamis-rk3op
      @IshakKhamis-rk3op 7 หลายเดือนก่อน

      Wewe una elimu ya mazoea kwakuwa umezoea kufata mwezi wa tanzania na roho yako ni ya ushabiki bas hata ukipewa hadithi za mtume hutozifata. na utabaki na ujinga wako

    • @IshakKhamis-rk3op
      @IshakKhamis-rk3op 7 หลายเดือนก่อน

      Wewe una elimu ya mazoea kwakuwa umezoea kufata mwezi wa tanzania na roho yako ni ya ushabiki bas hata ukipewa hadithi za mtume hutozifata. na utabaki na ujinga wako

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi7377 7 หลายเดือนก่อน +2

    Huyu shekh kama hujamuelewa bas wewe n kıpoozoooo
    Mimi namfuatiria sana darasa zake kutoka Marekan
    Yaani anafundisha kitu unaeleewakitu kwa dalili kabsa.
    Jazakum Allahu khayran

    • @karimdaud3993
      @karimdaud3993 7 หลายเดือนก่อน

      Wewe kwa sababu huna msingi tangu hapo awali .tafuta elipo zaidi

    • @twaibumikidadi7377
      @twaibumikidadi7377 7 หลายเดือนก่อน

      @@karimdaud3993
      Sasa nitafuyr nn mdugı yangı
      1- wapi maulidi mtume kafınfsha
      2- Shekh Wako muhamad idd katoa dalili?
      Sasa mbona hamjibu kaz ohh kasome
      Haya niniy mliosoma mbona hamjibuuu

  • @salemaliy1963
    @salemaliy1963 7 หลายเดือนก่อน +2

    Aya za Allah zipo wazi

  • @AbdallaJabal-jj1sm
    @AbdallaJabal-jj1sm 7 หลายเดือนก่อน +4

    Shekh lakini hujafafanua jawabu la ibnu Abbas HADHAA AMARANA RASULULLAH S,A,W, Pili Mimi sijasikia hata siku Moja katika umri wangu Saudi Arabia kufwata mwezi wa Sham, ,,,,, kwa sababu twaona yawezekana kutoka sham na Madina usionekane,

    • @softsoftbby8013
      @softsoftbby8013 7 หลายเดือนก่อน +1

      Saudi watafuata mwezi wa sehem zingine nawo ndio wenye mitambo mikubwa yenye kuona mbali zaidi ya inchi zingine

    • @is-haqomar968
      @is-haqomar968 7 หลายเดือนก่อน +1

      Jitahidi kufuata haqi usifuate nchi

  • @jumamnemo8383
    @jumamnemo8383 7 หลายเดือนก่อน +2

    Pole sana Mzee du !!!aibu uliyojitangazia naona aibu.

    • @agrolive4027
      @agrolive4027 7 หลายเดือนก่อน

      Haya maneno si mazuri kwa muislam mwenzio, kama hukubaliani nae achana na hoja zake ukimkashifu unapata mdhambi! Mtume amesema kumtukana muislamu ni ufasiki na kumpiga ni kukufuru.

  • @athumaniomari9760
    @athumaniomari9760 7 หลายเดือนก่อน +1

    maashaallah tunafaidika

    • @AbdulkarimShosi
      @AbdulkarimShosi 7 หลายเดือนก่อน

      Huyu kakosa radhi za mwalimu wake almarhum sheikh Mohammad ayub mungu amrahamu nimefuatia darasazake kamsingiza maiti mambo mingi uwongo huyuatapata tabu mpakaaombe toba kwa Mola wake kwa kumsingizia maiti

  • @abdullah-eq3lt
    @abdullah-eq3lt 7 หลายเดือนก่อน +3

    wachenu shubha zenu mawahabi

  • @Saidfadhil-o3o
    @Saidfadhil-o3o 7 หลายเดือนก่อน

    Hadith ipo wazi unajizonga tu shehe wangu

  • @noorululaatv8973
    @noorululaatv8973 7 หลายเดือนก่อน +6

    Duh.. unajigonga sana

    • @rashidimahmud8605
      @rashidimahmud8605 7 หลายเดือนก่อน

      Wewe huelewi ndomaana humuelewi

  • @ArabiMuchande
    @ArabiMuchande 7 หลายเดือนก่อน +2

    Dah hoja hiii sheikh imekushinda ilmu yako alhamdulillah lakini hapa sheikh umebugi unajigonga mpaaka aibu

  • @JumaPandu-d3l
    @JumaPandu-d3l 7 หลายเดือนก่อน +4

    Na Jua sun ni moja basi wakisali watu wa Makka na nyinyi Salini

    • @mbarouksaadhussein290
      @mbarouksaadhussein290 7 หลายเดือนก่อน

      Na hivyo ndivyo ilivyo
      Wakiswali tunaswali mbona. Angalia Quran tv mda wa swala then come with comparison to tanzania

    • @twahambowe440
      @twahambowe440 7 หลายเดือนก่อน +1

      Kwani tukiswali wakiswali saudia kuna ubaya gani? Kwa kuwa saudia ipo ktk uwanda huu wa dunia tuliyo sisi, na wameuona hawa tunawaamini maana ni MIONGONI MWETU.(منكم)

    • @Zainabnoor0087-ze
      @Zainabnoor0087-ze 6 หลายเดือนก่อน

      Makkah (Saudi)ni katikati ya dunia aka mama wa miji ummul kuraa, dunia huzunguka Makkah Saudi ndio kitovu cha mzunguko

  • @salimalmazrui9261
    @salimalmazrui9261 6 หลายเดือนก่อน

    Mbona ndugu yangu -Shk Muhammad I s haaq-umekuwa Sheikh mpotoshaji? Hivi unafahamu-matwa lii yaliyoko duniani?

  • @husseingitonga8921
    @husseingitonga8921 7 หลายเดือนก่อน

    Jazakaallah kher, sheikh sisi hapa Amerika sehemu ya nchi hi sisi ujuwa mwezi kaonekana saa tisa mchana either umeonekana Africa au uwarabuni, na sisi uwanza Ramadhani pindi mwezi unapo onekana ulimwenguni.

    • @AbdulkarimShosi
      @AbdulkarimShosi 7 หลายเดือนก่อน

      Ndugu mche mungu haki ya kumcha huu wako ni uwongo ulio wazi kabisa mwezi ukionekana Africa ama arabuni kwenu mchana utafunga saa ngapi na tayari ushakunwa chai na kula chakula cha mchana saum yenyewe inaanza affair jee utafanya nini na ramadhani ishaingiya utajizuia kula mpaka Maghreb ifike ndio ule na inhaling ushakunwa chai na kula chakula cha mchana nina taka jibu

  • @ABUUALLY-tv8rl
    @ABUUALLY-tv8rl 7 หลายเดือนก่อน +2

    Sio mwezi tu mmoja hata huja ni mojaa basi pia tuswali sote Dunia nzima wakati mmojaa ,haki Kwa dalili Lete dalili inayoonyesha kwamba mtume s.a.w alikuwa akifunga Kwa mwezi wa mataifaa

    • @HemedSerious
      @HemedSerious 7 หลายเดือนก่อน

      Kama Wana akili hawa hii hoja wangeacha kuitumia kabisa kwani mwezi tu ndio mmoja jua sio Moja?

    • @abuusuhaibmchumi
      @abuusuhaibmchumi 7 หลายเดือนก่อน

      Nanyie km mngelikuwa na akili ya shule tu msingeongelea jambo hili ila waislam kugonganishwa vichwa mumezoweya kwan izo tarehe mnozifata zinatofautiana cku ukiambia leo Jumamosi dunia nzima ni Jumamosi hv kwann tunaushabiki kwa chrismas huskii leo wengine kesho kwasabab dunia imeatofautiana ila akili nikitu chengine wewe km magharib imeingia saa kumi na mbili na nusu nchin kwako kwangu mm saa kumi siwez kusali ila ikifika saa hiyo nitasali ila sio kusem nisubirie kesho ni sawa na mwandamo wa mwezi wakiuona watu wa mji fulan wakakutangazia tumeuona niwajib wako ikifika magharib unaanza cku mpya ni kufunga tu kuzidiana masaa sihoja kuacha cku nzima eti wenzetu wameuona leo sie hatuja uona tuangalie kesho huu ujinga tena mkubwa mn hakuna nchi hata moja tulotofautiana kwa cku nzima iweje kwenye funga tu tutofautiane ila tukitangaziwa leo cku ya wapendanao tunakubali sote na shereh kushereekea kwann iwe hivyo tuamken jmn akili iliyosalimika haiwez kukubali ayo mambo yenu masufi

  • @binfarhan879
    @binfarhan879 7 หลายเดือนก่อน

    MAASHAA ALLAH
    KILA MTU ATAFAHAMU UNACHOSEMA IBAKIE USHABIK NA WASHABIK NDIO WATAKUAMBIA UNAJIGONGA ILA HATA YY AKIULIZWA SWALI ILO ANAJIBU IVYO.
    ALLAH AKUAFIKISHE UENDELEE KUTUPA ILMU

    • @AbdulkarimShosi
      @AbdulkarimShosi 7 หลายเดือนก่อน

      Huu wako ni ushabiki tuu huyo hana hujja anaropokwa tuu mungu awaongoze nyote wawili

  • @rajabukalenzo1636
    @rajabukalenzo1636 7 หลายเดือนก่อน

    MASHEKH BWANA! MNADICUSS MWEZI UNAPOTEZA SAA ZIMA KWELI TUMEFIKA HATUA MBAYA YA KUTOJUA TATIZO.

  • @sama-_8368
    @sama-_8368 7 หลายเดือนก่อน +3

    Unazeeka vibaya mzee wangu

  • @karimdaud3993
    @karimdaud3993 7 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu shehe sio anajua lakini hata akifahamishwa hatakai haki . Ñani ubnu abbas cheo chake. Kwa muhammad s.a.w

  • @mussaissa6796
    @mussaissa6796 7 หลายเดือนก่อน +6

    HUYU ANAGANGA NJAA TU.
    AMESHAONA MAISHA YAMEMKATAA

  • @kaidiSaid-ot9nl
    @kaidiSaid-ot9nl 7 หลายเดือนก่อน +4

    Allah akusamehe huna aibu kusema usichokijua hata manenotu huelewi unataka kutoa fatua .hebu elezea maana ya,,hivindivo alivotuamrisha mtume je mtume aliwambiaje

    • @muktarkassim6647
      @muktarkassim6647 7 หลายเดือนก่อน

      Achana na yy anamfahanu Abdulllah bin Abass ni nani wakati wa mtume salallah Alyh wa Salaam

  • @MohamedKapenya
    @MohamedKapenya 7 หลายเดือนก่อน +1

    Ama kweli we kuna kitu ulimkosea babu yetu Muhammad Ayubu yaan umekosa ufasaha ata elim yenye manufaa ss wajukuu wa sheikh twakuona galasa tupu ww Mohamed Is haka

  • @rashidissa5887
    @rashidissa5887 7 หลายเดือนก่อน +1

    Tusihukumu kwa madiliko ya wakati.I Ila kwa Kitabu na Sira

  • @coyancodavao4004
    @coyancodavao4004 7 หลายเดือนก่อน +4

    Uwahabi ni kuforce kila mtu afuate madhehebu yao

    • @twahambowe440
      @twahambowe440 7 หลายเดือนก่อน +2

      Sio kweli, wanatamani sunna za rasuulullahi s.a.w zifuatwe tu, si jingine.

  • @kasimusalimu
    @kasimusalimu 7 หลายเดือนก่อน +5

    Unatafsir unavyotaka sheikh wachangie khiyana

  • @saidimkwinzu9106
    @saidimkwinzu9106 7 หลายเดือนก่อน +1

    Naona masufi wamekasirika na vichwa vyao kama nyoka kifutu😂😂

  • @muhammedaloufy4086
    @muhammedaloufy4086 7 หลายเดือนก่อน +3

    jua jee ni mawili?

  • @akidaomaromar5003
    @akidaomaromar5003 7 หลายเดือนก่อน +1

    Mpotoshaji unafahamu sana haiwezekani dunia kufunga kwa mwezi lkn unawafurahisha watu fulani sasa kumbuka hatuna mda mrefu tutaenda kukutana na Mungu sasa utajieleza

    • @agrolive4027
      @agrolive4027 7 หลายเดือนก่อน

      Haya maneno si mazuri kwa muislam mwenzio, kama hukubaliani nae achana na hoja zake ukimkashifu unapata mdhambi! Mtume amesema kumtukana muislamu ni ufaiki na kumpiga ni kukufuru.

  • @ilahalladba9050
    @ilahalladba9050 7 หลายเดือนก่อน

    Unajua hawa wanajivugavungatuu hawaeleweki nielimu kutokujua au nimbinu tuu ili maslahi yake yapatayo
    Kwa mwenye akili ndogo tuu hadithi y mtume Muhammad ( s a w) tuliambiwa tufunge utakapo onekana na tufungue utakapo onekana mwezi au tutimizee salasini sasa bas tutumie akili kidogo kwenye hii hadithi y mwezi tuichambuee hii aya ya mwisho kutimiza salasini
    Kwaakiliyangu mimi ikiwa soteeeee duniani tufunge kw muandamo mmoja basi hadithi hii dhaifu kwasababu hisalasini haitakua n mashiko kwasababu usipo onekana nnchi hii utaonekana nnchinyenginee kwahiyoo salasini haitakua na mashiko
    Lakini imemalizika timizeni salasini kwa akiliyangumimi imelezwahivii kwa sababu mwezi na jua ni miujiza y mwenyezi Mungu muumba mbingu n ardhi yeye ndiye aliye tugawa n kutoweka atakavyoo ktk dunia hii kwahiyoo ukiona huko mchana kule usiku ni uwezo wake jalajalali kwahiyooo haya yanayotokea ktk dunia ni utukufu wake mwenyezi Mungu c vyenginezoo

  • @jamalishoo3802
    @jamalishoo3802 7 หลายเดือนก่อน +2

    Hao walioko magharibi nao wana magharibi yao pia mbona hawatizami magharibi yao

  • @abduhanafi8143
    @abduhanafi8143 6 หลายเดือนก่อน

    Kaaida ya uongo hauelweki haraka mpaka ulazimisheee

  • @mshambawamjini2671
    @mshambawamjini2671 7 หลายเดือนก่อน +1

    Naam tusikilize ili tufaidike na Elimu za mashekh wetu na sio matusi baada ya kusikiliza sasa tumia akili zako kuchagua na sio matusi na kujeli

  • @hajjisanga789
    @hajjisanga789 7 หลายเดือนก่อน +1

    Wewe sio mtu WA hadithi Hakuna chuo chochote duniani kina Sema hivi ila kauli yenye nguvu na ya dalili na akliyu ni kila mji na mwezi wao kutokana na matlai yao

  • @Abuusaad-uy5cx
    @Abuusaad-uy5cx 7 หลายเดือนก่อน +1

    Ww mwenyew waongea lakini wajua haki iko wapi... subiri RADDI itakuzindua

    • @swalehmohammed8842
      @swalehmohammed8842 7 หลายเดือนก่อน

      Huyu hajibiwi..akijibiwa tutampa ajira kwa TH-camrs.. muache atapetape kisha atamalizikia kuombea zakatul fire na maal kwa matajiri

  • @shammusfredy4158
    @shammusfredy4158 7 หลายเดือนก่อน

    Mwezi ni mmoja tu, kwani ni nani alokwambia kua miezi ni 10 ??kinachozungumziwa ni nyakati, wacheni wehu

  • @khamisiiddi2470
    @khamisiiddi2470 7 หลายเดือนก่อน +6

    We haufai kusikikizwa njaa ndio inakusumbua tu mzee

    • @agrolive4027
      @agrolive4027 7 หลายเดือนก่อน

      Haya maneno si mazuri kwa muislam mwenzio, kama hukubaliani nae achana na hoja zake ukimkashifu unapata mdhambi! Mtume amesema kumtukana muislamu ni ufaiki na kumpiga ni kukufuru.

  • @IslamSufism385
    @IslamSufism385 7 หลายเดือนก่อน +1

    UNAELEZA KWA HAWAA ZAKO.. ATI IBN ABBAS R.A HAKUPATA TAARIFA YA MWEZI WA SHAAM NDIO HAWAKUFUNGA, HIYO HADITHI IKO WAZI SANA KUWA KILA MTU AFWATE MWEZI WAKE

    • @HamisiMgaza-ll3bz
      @HamisiMgaza-ll3bz 7 หลายเดือนก่อน

      Mimicnalakusemanakuombeadua,2

  • @abakibibi9917
    @abakibibi9917 7 หลายเดือนก่อน +1

    NIMEFUHISHWA NA MUANDAAJI WA MATANGAZO KUMUEKA SAWA MZUNGUMZAJI MAIKI YA KIFUANI STUDIO INATAKIWA UMUEKE SAWA MPAKA MZUNGUMZAJI AKAE VIPI AKIZUMGUMZA AANGALIE VIPI KAMERA SAFI SANA

  • @ashasalum4467
    @ashasalum4467 7 หลายเดือนก่อน

    Mwaka 2003 jordan waliona mwezi,yemeni misri na parestina
    lakini suudia hawakuchukua mwezi wa jordan wala misri wala yemen wala parestina.
    Na hata hiyo hadithi sherehe yake ni mangungwa tupu.....

  • @KAIPAAA3211
    @KAIPAAA3211 6 หลายเดือนก่อน

    Swal tanzania ukiwa mchana inch zingine ni mchana jee kama usiku wa Tanzania ni mchana wa inchi nyine na waislam wa inchi hiyo wapo kazn je na sie wa Tanzania usku tukafanye kas kwasabab Dunia n moja juwa ni moja?

  • @jamalishoo3802
    @jamalishoo3802 7 หลายเดือนก่อน +2

    Njaa inaongea jamani

  • @zimammbaruk4231
    @zimammbaruk4231 7 หลายเดือนก่อน

    Mawahabi hawawezi kuni elewa, Hapa tunaongelea suala la MWEZI, mwezi ndo huo huo mmoja, Iwe Sunna au Fardhi, twambieni kwanini Tanzania hatuoni tukio hilo, na hamswali swalati khusuuf, na hamtutangazii kuswali, Acheni ujinga eti sio hukumu funga na kupatwa kwa jua ni tofauti, kwani nani haui hilo, Ibada zote zina ongozwa na jua na mwezi, na mnasema muandamo ni mmoja tu,

    • @abuusuhaibmchumi
      @abuusuhaibmchumi 7 หลายเดือนก่อน

      Hawawez kukuelewa kwasababu ulielekezwa vizuri ila hujataka kuelewa na umekamatia huo uoni wako umeambiwa jua lina vituo pia linapatwa baadhi ya maeneo kutokana na tukio flan mfano kupotea njia saa flani inawezekana sana kuwa saa tatu apa kwetu jua linapatwa ila tofauti ya masaa au dakika inachangia ila hii sio hoja kuiweka kichwan kuwa kwann hatuasalii mwez ukipatwa sehem fulan wala hatutangaziwi kumbe weye ungeulizia tu kwa wanazuon linapopatw jua Pemba mm nipo dar nifanye nn ila suala la mwez lipo waz umeonekan Pemba upo Dar ufunge tu au utaulizia ufanye nn man jua sawa pemba wanasali kupatw kwa jua ila wewe upo dar jua limetoka hutembei usalie et kwa sababu pemba limepatwa hv vitu viwil tofaut sana utafel ndugu yang katika iiman tusiwe washabik sana juu ya vitu vya kiimam wewe fata njia unayohisi sahihi kwako na haina haja kumnyooshea kidole huyu au yule kwani Mtume SAW yy kapewa kufikisha tu kazi kwako ulivyomuelewa tekeleza uondoshe dhima kuliko kusema hufanyi utaona cha moto Allah atupe taufik ya kujua haki na kuachana na batil na mihemko ya iman mbovu.

  • @salemaliy1963
    @salemaliy1963 7 หลายเดือนก่อน

    Acha kuipotosha hadithi ....

  • @AfyaYangu-de3ez
    @AfyaYangu-de3ez 6 หลายเดือนก่อน

    Ni lini mwezi uliandama sham na haukuandama saudia halafu saudia wakaukataa?

  • @JamesMakes-rn6kz
    @JamesMakes-rn6kz 7 หลายเดือนก่อน

    ما لك حجة

  • @HusseinMdee
    @HusseinMdee 6 หลายเดือนก่อน

    Huyu Tena ni sheikh njaa anahudhuria maulid kwetu lushoto malibwi na anatumiwa nauli na posho na anapewa nafasi na anazungumza na ni mwanafunzi wa sheikh Muhammad ayoub rahimahu llah na hakuachwa vizuri na baada ya kusemwa kwamba umeonekana kwenye maulid mwaka huu hakwenda kwahiyo huyu ni muongo na ndio ,Mana ananukuu hayo anayoyasema hayapo kichwani njaa inamsumbua Sana hata nuru yake imepotea tangu aondoke tamta njaa tu huyooo

  • @shafikakrabi8490
    @shafikakrabi8490 7 หลายเดือนก่อน

    Namuunga mkono aliye sema mbona saudia hawafati sham

  • @hilalkhalfan1452
    @hilalkhalfan1452 7 หลายเดือนก่อน

    NAONA ANAHANGAIKA TU HUYU KIJANA. MAWAHABI WANALAZIMISHA MWEZI WA KIMATAIFA NA HOJA ZINAWAGONGA KICHWANI NA KUZIPAPATUA NA KUZIBERUZA HAWAWEZI. HAWAJUI ATA NINI WAWADANGANYE WATU

  • @ammaarmwinyi1120
    @ammaarmwinyi1120 7 หลายเดือนก่อน +1

    Tue na inswaf tukiongelea masala kama haaya tusiwe naushabiku

  • @salemaliy1963
    @salemaliy1963 7 หลายเดือนก่อน

    Acha kuhangaika hadithi ipo wazi

  • @mzeerajab9154
    @mzeerajab9154 7 หลายเดือนก่อน

    Ivi dini ya kiislamu utekelezaji wake unahitaji kusubiri maendeleo ya teknolojia?Na je sheria za dini yetu kulinganishwa na mpira ni sawa?

  • @JumaPandu-d3l
    @JumaPandu-d3l 7 หลายเดือนก่อน +1

    Sio keeling sisi na Saudia ni tofauti sana

  • @ingodwetrust1852
    @ingodwetrust1852 7 หลายเดือนก่อน +1

    Mwez mmoja ndio uandame Saudia tu 🤣

  • @abuusuhaibmchumi
    @abuusuhaibmchumi 7 หลายเดือนก่อน

    Mm nilivoelewa nikwamba kumbe shida imetokea hapo uelewa tu wa kilichoongelewa na kwetu sie wapokeaji mn kuna vitu viwili apo vinahitaji akili itulie ila naiman hata hao wanocoment nilichojifundisha nikuwa wanamchukia Sheikh ila hawajamsikiliza mana maneno yake yapo wazi kabisa.

  • @bouryschamata3093
    @bouryschamata3093 7 หลายเดือนก่อน

    Mwezi ukipatwa au ukishikwa kisomi inaitwa Eclipse of the Moon kuna kua kuna swala na dua sasa cc huku mwezi ukiwa umepatwa tuwapigie cm watu wa marekan ambao wao wanakua mchana tuwajulishe waswali au? Maana mwezi ni mmoja

  • @NyanyaMbuli
    @NyanyaMbuli 7 หลายเดือนก่อน

    MWEZI NI MMOJA ILA MIANDAMI NDIO MINGI.

  • @felixgitonga6783
    @felixgitonga6783 7 หลายเดือนก่อน

    Unabundu mwezi ,na kuabundu jua ,na kuabundu jiwe nyeusi motoni

    • @athmanjuma5407
      @athmanjuma5407 6 หลายเดือนก่อน

      Wewe kafiri utajua vipi mambo sayari ya dunia

  • @adamhashim3352
    @adamhashim3352 7 หลายเดือนก่อน

    Mawahabi wanatafuta wafuasi

  • @coyancodavao4004
    @coyancodavao4004 7 หลายเดือนก่อน +3

    Pumba tupu

  • @MuhammadiMbwana
    @MuhammadiMbwana 7 หลายเดือนก่อน +1

    masufi wanaumia saaana

    • @IbrahimuSaid-z7e
      @IbrahimuSaid-z7e 7 หลายเดือนก่อน

      Ungejua wanavyojihisi wakisikiliza jinsi anavyojivuruga usingesema
      Embu embu download hii video alafu uisikilize mara nyingi

  • @paul694
    @paul694 7 หลายเดือนก่อน

    Uyu sheeh mbn anajaribu kukataa ukweli kweny ukwel halafu anakataa sunna kwa sababu haiendan na hoja yake

  • @SaidShabani-s4o
    @SaidShabani-s4o 6 หลายเดือนก่อน

    Mzee acha uongo hadidhi ya kuraibu ni maarufu na imetumika katika vitabu vyote uje kuikataa wewe elimu yako ndogo mzee

  • @binmgeni4664
    @binmgeni4664 7 หลายเดือนก่อน +1

    Ni kweli kila nchi inaweza kua na tareekh yake? Haiwezekani. Ieleweke mwezi mwandamo ndio tareekh ya kiislamu ya kuendeshea mambo yote. Tutawezaje kutekeleza hadi ikiwa kila nchi itakua na tareekh yake?

    • @AshrafLema-n5r
      @AshrafLema-n5r 7 หลายเดือนก่อน

      Twayyib nafurahi tupo pamoja.

  • @sheikhhassanahmad8465
    @sheikhhassanahmad8465 7 หลายเดือนก่อน

    Mbona twajifanya wageni wa elimu ya dini kiasi hicho? Hizi qawli za kufunga na mwezi wa popote zipo kwenye vitabu vya maimamu, au imezushwa Leo?mbona mwasema apoteza watu nahali yy yuwasoma vitabu vya fiqhi za maimamu walotangulia??hamuoni ni qawli zuri bure mnamsingizia?

  • @muhudikasim
    @muhudikasim 7 หลายเดือนก่อน

    Katika dunia hihii kuna maeneo mengine ni usiku na kwingine ni mchana je kama muandamo ni mmoja kule ambako ni mchana mwezi utakuwa. Umeonekana kwa magharibi moja ?

    • @AshrafLema-n5r
      @AshrafLema-n5r 7 หลายเดือนก่อน

      Siku ina masaa mangapi!? Msijitoe ufaham kubalini maswala ya kielmu!! Mnaogopa nini kupata ukweli!?

  • @alimaalimahmad837
    @alimaalimahmad837 7 หลายเดือนก่อน

    Abunuwasi nae bana hata jua moja pia lkn adhuhuri zapishana na laasiri na magharibi na isha 😂😂😂

  • @ramygichero1016
    @ramygichero1016 7 หลายเดือนก่อน

    Mawahani ni Magaidi

    • @canoksancomprehensivelearn7182
      @canoksancomprehensivelearn7182 7 หลายเดือนก่อน

      Kwa mujibu wa wamarekani na mayahudi ambao ndio wamenzisha neno hilo ugaidi ni kuwa gaidi ni yuke anayemfuata mtume S.A.W na maswahaba wake ambao bdio hao mnawaita mawahabi. Lakin hata Mandela kwa kuwa alikuwa dhidiy maslahi ya mayahud walimuingiza katka list ya magaidi kisha wakapigiwa kelele wakamtoa. Kila mwenye msimamo na uislam kwa mujibu wa mayahudi na wanafiki wanaowafuata ndiye aliitwa gaidi. Hii ni ili waue jihadi waweze kuwapangia walobakia waishi kwa mujibu wa sheria za kiyahud na kinaswara na hao watakuwa wanakubaliana nao

  • @abdallahngondae8521
    @abdallahngondae8521 7 หลายเดือนก่อน

    bado kuna shida sana kati utoaji wa taarifa hivi kwa wakati huo mwezi ulikua unatazamwa sham pekeyake? na mtume aliwafundisha nini hadi huyo sahaba akajibu hivyo, na hayo maneno aliyo sema mtume hayatoshi kuwa ni maagizo ya kuyafuata?

  • @Zainabnoor0087-ze
    @Zainabnoor0087-ze 6 หลายเดือนก่อน

    Kabla wakoloni kugawana maeneo ya duniani 1889 kulikua hakuna vurugu hizi kiasi cha sasa, hata kigoma na pwani ingekuwa kila mji na mwezi wake, eti kwa sababu ya tofauti ya machipuko 😅sasa hv hamna changamoto ya mawasiliano kwa nn turudishwe enzi zile, kisa kuna watu wanapoteza wafuasi😮 khaaa😮

  • @kibakombe1020
    @kibakombe1020 7 หลายเดือนก่อน

    Umejitahidi kutetea imani yako ktk mwezi ili wengine wakufuate lakini inaonesha dhahiri unatetea batili na umejitahidi hadi kutoa ushahidi hadi ktk mambo ya mpira lakini Allah ndie mjuzi zaidi

  • @FeruziIsa-nc5vo
    @FeruziIsa-nc5vo 7 หลายเดือนก่อน

    ACHA KAZI HIYO NI YA WATU. WEWE HAUELEWEKI

  • @AMIRMOHAMEDALI-p6b
    @AMIRMOHAMEDALI-p6b 7 หลายเดือนก่อน

    Mashekh mbona mwatuchanganya kwakweli pinganeni kwa yote lakini kuhusu mwezi ALLAH amesema waziwazi katika Qur'aan fungeni mukiuona mwezi na kama hamukuuona kamilisheni 30 hapo pia Kuna ilimu jameni hata sisi ambao hatukusoma twaona Qur'aan ya Sema mchana kweupe

  • @azizihfarijala5307
    @azizihfarijala5307 7 หลายเดือนก่อน

    kwa nini amfungi mwezi ukionekana Yemen au mwezi kwenu ni Saudia tu

  • @KhalfanSaid-wy9yg
    @KhalfanSaid-wy9yg 7 หลายเดือนก่อน

    Kugawika kwetu wacha mayahudi watumie madhaifu yet Kama tungefanya kwa pamoja

  • @ismailbuchwa398
    @ismailbuchwa398 7 หลายเดือนก่อน +1

    suala hili la mwezi imekua ni mada ya kila mwaka ila kiuhalisia halikua jambo laku tofautisha watu
    1.wanao funga kwa kuonekana mwezi sehemu yoyote wapo sawa
    2.wale ambao wanaona kua mwezi ni lazima uonkane sehemu zao wabainishe vizuri mana mwezi waweza onekana kenya ao congo ao somali... Tanzania wakakataa kufunga sasa inapo sema hadi uonekane wanakusudia wapi mipaka ipi ?
    afu jambo lingine kubaki na mawqif za wazee wetu waliotangulia mbele ya haqqi inabidi tutofautishe zama
    miaka hio mwezi waweza onekana mtwara mtu wa kagera hana tarifa na hakuna uwezekano wakuipata wanafanya ijtihad
    sasa kwa leo hicho nikito hakiwezekani mwezi ukionekana sehemu na ikahakikiwa kweli umeonekana lazima wengine wote wafaham kwa hio nadhani watu wamche allah na wawe wepesi katika haya mambo na allah ndiye mjuzi zaidi

    • @AbdulkarimShosi
      @AbdulkarimShosi 7 หลายเดือนก่อน

      Salim Buchwa mwezi wa kimataifa haupo na kama upo naomba unijulishe na mimi tangu afaradhiwe ibada ya saum mwaka wa pili wa kislamu hadi leo mwaka wa 1445 nitajie mwaka mmoja ambapo mwezi ulioneka new Zealand na waislamu dunia nzima wakafunga kupitia mwezi huo haijatokea wala haitatokea mpaka kama kije mche Mola kwa hili haiweze Kani kuwe mashindano kwenye nchi moja halafu moja abuse mshindi na mwengine awe wa pili kisha useme wote wako sawa

  • @AbdulNassir-jk1jf
    @AbdulNassir-jk1jf 7 หลายเดือนก่อน

    Uwo mwezi mnaulazimisha kuutazama kwa darumini kweli kama mpigabodi wa nyumba 😂

  • @Issa-ud6sy
    @Issa-ud6sy 7 หลายเดือนก่อน +2

    Sijaelewa unaongelea mwezi kivipi

  • @OmarShela-p2z
    @OmarShela-p2z 7 หลายเดือนก่อน

    Kwa iyo kutokea alipokufa mtume watu wanapotea mpaka ulipodhihiri wewe ndio wameanza kuongoka? Ama kweli mawahabi (wakristo no 2) ni mtihani mkubwa

  • @muktarkassim6647
    @muktarkassim6647 7 หลายเดือนก่อน

    Huyu sheikh anafurahisha .... Nani alikwambia Mwezi Hilal ziko nyingi....? ....

  • @swalehmohammed8842
    @swalehmohammed8842 7 หลายเดือนก่อน +1

    Ni nani anaemfedehesha huyu Mzee..maskini asoma kimakosa..afasiri kimakosa ...na kila ukiona camera anajisahau..huyu Mzee maskini anahangaiagwa na hawa VIJANA WA media.. HAMOO kabisa kielimu maskini...

  • @RidhwanMohd
    @RidhwanMohd 7 หลายเดือนก่อน

    Wacha tuseme kajitahid lakini hajapatis...usimtukane..... 😅

  • @binty4409
    @binty4409 7 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @moshiathumani7040
    @moshiathumani7040 7 หลายเดือนก่อน

    Hivi tunavoburuzwa na hoja za maendeleo ya sayansi na Teknolojia je haitafika nyakati tukasema ikiadhiniwa Saudia basi dunia nzima tunaswali? Kwasababu dunia ni moja,jua ni moja na mwezi ni mmoja

    • @twahambowe440
      @twahambowe440 7 หลายเดือนก่อน

      Haliwezekani hilo,maana kuchomoka kwa jua na kuzama kwake kunatofautiana.

    • @AshrafLema-n5r
      @AshrafLema-n5r 7 หลายเดือนก่อน

      Sivyo!! Laa hasha!! Muda duniani katika nchi zoote ambayo tunapishana masaa mengi sana ni America na tuapishana takriban masaa 7 tu. Sasa huo mpishano wa siku nzima mnaupata wapi!!? Hii inapelekea kusoma kwamba hata somo la geography tulikimbia darasa.dhuhri inasaliwa saa 7 sehemu fulani na sehem nyingine saa 6.5 ..hata kufungua tunapisha hivyohivyo! Lakini hakuna popote wanafuturu leo wengine wakafuturu kesho ili wawe sawa na wenzao!!tunafeli wapi!!?

  • @IssaRwechungura
    @IssaRwechungura 7 หลายเดือนก่อน

    Hao wa kimataifa ni wazushi maana sisi watu wazimaiaka ya 1960 hadi 80 hatukuwa na marumbano haya ya kiwahabi yaliyoanzia 1985. Je, Waislamu wa miaka yote Karne 14 nyuma hawakuwa na ujuzi wa dini?

    • @fundimagari5825
      @fundimagari5825 6 หลายเดือนก่อน

      Kwetu ilikuwa ni dhama za ujima...atuna radio,atuna taasisi ya kiislam ,tunapelekwa pelekwa tu

  • @shafikakrabi8490
    @shafikakrabi8490 7 หลายเดือนก่อน

    Shekh Bin Baz kashatowa mara nyingi kila nchi wafuate kuona mwezi kao. Lakini wapotoshaji hawasomi fatwa za maulamaa

  • @MohaMody-jf1zh
    @MohaMody-jf1zh 7 หลายเดือนก่อน

    Kama mwezi ni mmoja America Australia zinakuwa mbele ya east Africa kwa masaa tisa tuzifuata pia

    • @abuusuhaibmchumi
      @abuusuhaibmchumi 7 หลายเดือนก่อน

      Kaka kama wameuona wewe hujauona na wamekutangazia niwajib wako kufunga ila kuna watu wanasali sala za hofu na weye husali sala za safar pia mpk naweye ukabiliane na hizo hali sasa angalia yalio mbele yako usimuangalie mwenye dharura mana yeye atachukuliw na dharura zake wao Amerik na Australia wanaudhuru wao naunakubalika kisheria dini sio ngumu tunaitia ugumu wenyewe

  • @FarahaniGlasswork
    @FarahaniGlasswork 7 หลายเดือนก่อน

    Sheikh kwa mantiki hiyo adhuhur ya Tanzania inafaa kuswaliwa dunia mzima kwa kuwa jua ni moja. Kadhalika, usiku wa Tanzania inamaana dunia yote ipo katika usiku?

    • @buku181
      @buku181 7 หลายเดือนก่อน

      Wew mgonjwa Sana acha adhuhuri ya tanzamiy tu adhuhuri zinatafautiyana mpaka ndani ya tanzaniya Rudi ukasome

    • @AshrafLema-n5r
      @AshrafLema-n5r 7 หลายเดือนก่อน

      Swala liko hivi,hakuna sehem duniani masaa yana yanapishana siku nzima,yaani masaa 24! Kuanza kufunga tutapishana tu,kwa masaa kadhaa lakini sii kupishana kwa siku nzima!! Sasa tunafeli wapi kuelewa hoja ya sheikh wetu huyu!? Tusijitoe ufaham!!

    • @FarahaniGlasswork
      @FarahaniGlasswork 7 หลายเดือนก่อน

      Ikiwa inawezekana watu wafunge kwa mwezi wa kuonekanwa popote duniani,vipi isiwezekane adhuhur iswaliwe popote duniani itakapokuwa imeingia? Ikiwa haiwezekani,kadhalika hata muandamo yafaa watu wafunge au kufungua kulingana na muandamo wa eneo husika.