ไม่สามารถเล่นวิดีโอนี้
ขออภัยในความไม่สะดวก

RAIS DKT. SAMIA AKITEMBELEA NA KUONA MAENDELEO YA UJENZI WA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA KATAVI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 13 ก.ค. 2024
  • Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Akitembelea na Kuona Maendeleo ya Ujenzi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Katavi ikiwa ni sehemu ya ziara yake leo tarehe 14 Julai, 2024.

ความคิดเห็น • 18

  • @marychami1700
    @marychami1700 หลายเดือนก่อน

    Proud of you my president Dr Samia Suluhu Hassan ,mwenyezi mungu akulinde na kukupa afya njema

  • @salmanmagwe2612
    @salmanmagwe2612 หลายเดือนก่อน +2

    Serikali imejitahidi vizuri mno,na watanzania wote bila ya kujali vyama vyetu tukishikamana nchi inaendelea haraka sana

  • @user-mf9bj5uo8b
    @user-mf9bj5uo8b หลายเดือนก่อน

    Mhe.Rais kazi iendelee mwenyezi Mungu akulinde na hasadi mama wa Taifa insha allah 2025.

  • @fatumapedersen193
    @fatumapedersen193 หลายเดือนก่อน

    Vizuri sana mama samia ❤❤❤

  • @amohammed3390
    @amohammed3390 หลายเดือนก่อน +1

    Bima ya afya iwe ni mpango wa serikali. Kuwe na registration ya serikali sio option. Tanzania Health Insurance Services (THIS). Wale wanaofanya kazi wakatwe moja kwa moja. Wait na kipato wachangie kidogo na serikali iwasaidie

  • @Sautiyamwenyeji25721
    @Sautiyamwenyeji25721 หลายเดือนก่อน +1

    Mama Samia weee! Tumekuzoea hata hatukuiti cheo chako❤ A.KA Mama Samia😂 kunamtu kamaind😊

  • @kuntaalkinte5415
    @kuntaalkinte5415 หลายเดือนก่อน

    HONGERA MAMA SAMIA

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 หลายเดือนก่อน

    huyu Mama ndomana Magufuli alimchagua..walijua wanachoenda kufanya

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 หลายเดือนก่อน

    asanta mama kwa hospital..mbona dialysis bado haipo? watu mpaka tuende Mbeya? mwandamizi aliepita aisisitiza iwepo.lankin mpaka leo machine hiyo haipo..Mama mbona hili linapuuzwa?

  • @absalomkibanda
    @absalomkibanda หลายเดือนก่อน +1

    Mheshimiwa Rais mwenyewe anazungumzia kazi inayofanywa na serikali. Anatambua maana ya uwajibikaji wa pamoja na si wa mtu mmoja. Viongozi serikalini jifunzeni kwa Mheshimiwa Rais

  • @LeonardmpembaMsemakweli-q8s
    @LeonardmpembaMsemakweli-q8s หลายเดือนก่อน +2

    HUNA LOLOTEE 2025 HUPITUI TENA WANAISHI TUNAKUCHOLA

    • @abuumuhammad7133
      @abuumuhammad7133 หลายเดือนก่อน +2

      Anapita kwa kishindo tena uchaguzi utakuwa huru na haki ila nyie wenye chuki jiaandaeni kuteseka zaidi

    • @Nadir_Abdullah
      @Nadir_Abdullah หลายเดือนก่อน +2

      Raisi samia oyeeeeeeeèee❤🇹🇿

    • @Abcdefghijjjjjjjj
      @Abcdefghijjjjjjjj หลายเดือนก่อน

      @@abuumuhammad7133 kachawa ka samia

    • @yahyamajidyahyahilalal-har8762
      @yahyamajidyahyahilalal-har8762 29 วันที่ผ่านมา +1

      Wewe piga kelele na chama cha familia ya mbowe 😂😂

    • @abuumuhammad7133
      @abuumuhammad7133 29 วันที่ผ่านมา

      @@yahyamajidyahyahilalal-har8762 Yahya hao wanasumbuliwa na udini tu hakuna kingine