UTASHANGAA ALICHOKISEMA MR SUGU KUHUSU WIMBO WA NIPENI MAUA YANGU/ROMA MKATOLIKI, NILIANZISHA MIMI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 13 ก.ย. 2024
- Ahsante kwa kuwa mwana familia,(BINA Tv) kwa habari murua utazipata hapa, Ungana nasi kwa kila update zitakazo jitokeza.. Subscribe Channel yetu ya BINA TV ili usipitwe na habari zetu.
Ukiona umetoa ngoma na haijadiliwi...haina mstari unajadiliwa inamana hiyo ngoma haina content...mistari zinajadiliwa ni punchlines ❤️🔥🔥🔥
Mistari ya Roma ni ya motion sana kwenye game hii ya hippop
Mr sugu tafadhaili sana nimeipenda kofia na sulana za Daiwaka unaweza kunituma nipo Thailand mtanzania mwezako na vile vile na support Deiwaka Shukrani 🙏♥️💖💖!!**
One love bro sugu, mtoto wa nyumbani💙💯
Yeah the greatest Man. Sugu Moto Chini, the Hip hop Music Artist.
Muandishi una flow nzuri sana ya kuuliza cha muhimu ni jiongezee maarifa ya game.... Fahamu vitu vingi ili usikwame kwame na but you have logical flow
Mhe. Mr two mtu makini,unamajibu mazuri,nakukubali mwamba wa rock city
Yeah the Smart People, so not rock city. But is the Green City People.
Huyu Anatole green city ila ukopoa mwamba
The king of hip hop.. 💪🇹🇿🇹🇿❣️❣️
Nampenda saana sugu Tangu nna miaka 9 na ndiye mwanamuzik aliye nifanya nijue kazi ya Hip Hop Kwa jamii na kwamba ni mtu makini na alijikubari kuwa yeye ni makini .
Ukimjua Sugu kwenye Muzik wake utahua kwamba performance ya maisha yake siyo bahati mbaya ni matokeo ya alichoamini na kujifanya Kwa spirit Moja.
Mr2 ❤❤
Sana sugu
Good miuziki Roma
Your are a real confidence, very good home boy
Olds Gold ❤
Unaenda kumhoji mtu alafu hujui hata unachotaka kuuliza mtangazaji jipange kwanza kabla ya kumhoji mtu
Sugu kama sugu
Nimemuerewa kwakila alicho kizungumuza muheshimiwa hapooo tuko pamoja
100%❤❤❤
Ahahahaha daaaah eti i love money yes am millionaire. Kikomo vipi wakati hii niyatatu
Huyo ndio nyelele wa rap,Tz.Sugu sugu sugu
Namkubali sana huyo mheshimiwa ❤❤❤ one love
Nomaaa
Poma
ila ujipange kuuliza maswali, wewe presenter, coz sikulaumu coz sio mwandishi wa habari ila jipange, na pia usitake kutoa nukuu ya mstari wakati hujakariri vizuri, kiufupi kajipige msasa ndugu yangu
Ulinifanyaa nileweee sanaa kwenye ile ngoma yako inayo itwaa. Wananita sugu.
mr,sugu kaka
Nikiona sugu hata Kam sina mb huwa nasongesha nisikilize mwambaaa huyuuu
Mwandishi msahaulifu
Deiwaka inanikumbusha takrbani mihongo miwili
Watu wametoka mbali