HOUSE GIRL EP 36 || love story💞💕

แชร์
ฝัง

ความคิดเห็น • 1.1K

  • @busatitv
    @busatitv  11 วันที่ผ่านมา +119

    Follow WhatsApp Channel yetu
    whatsapp.com/channel/0029VaEXYzkEVccPBP347F2c

    • @modestazaver
      @modestazaver 11 วันที่ผ่านมา +6

      Ifike Hadi mia tatu

    • @Judithopondo-fn9dr
      @Judithopondo-fn9dr 11 วันที่ผ่านมา +1

      Pole sana kendi

    • @Saumu254
      @Saumu254 11 วันที่ผ่านมา +2

      @@busatitv eti watch out part 36 tena . KAZ nzuri isiishe mapema🔥

    • @GervasChitema
      @GervasChitema 11 วันที่ผ่านมา +1

      Puwa yakent duu

    • @AminaKavuo-gj3oc
      @AminaKavuo-gj3oc 11 วันที่ผ่านมา

      Kamukonde vipi Hali ya muganga,,, aaaah bibi zuu Asante San kwa mizimu ya kwenu

  • @HillarySendeu-ht3lj
    @HillarySendeu-ht3lj 11 วันที่ผ่านมา +167

    Jamani tuliokuwa tunaangalia kila wakati cm kama imeingia tugonge like happy

  • @user-sk7un6ls2t
    @user-sk7un6ls2t 11 วันที่ผ่านมา +190

    Ambao tulikuwa tunasubiri kuona nani kadaka mkono wa kai gonga like hata kumi 😂😂😂😂😂😂nienjoy 😂😂😂😂😂😂

    • @FatmaSharif-mp1cm
      @FatmaSharif-mp1cm 11 วันที่ผ่านมา +3

      😅😅😅 akil km zang

    • @user-sk7un6ls2t
      @user-sk7un6ls2t 11 วันที่ผ่านมา +2

      😂😂😂😂😂🙏🙌​@@FatmaSharif-mp1cm

    • @Cthymgeni
      @Cthymgeni 11 วันที่ผ่านมา

      😂😂

    • @rosemarenga832
      @rosemarenga832 11 วันที่ผ่านมา +2

      Mm nijuwa zuu😂😂😂

    • @user-sk7un6ls2t
      @user-sk7un6ls2t 11 วันที่ผ่านมา

      @@rosemarenga832 😂😂😂😂🤭

  • @dorcasissangya5933
    @dorcasissangya5933 11 วันที่ผ่านมา +125

    Wanao amini hii move ipo karibu kuisha gonga like

    • @user-qu4qy3lp8y
      @user-qu4qy3lp8y 11 วันที่ผ่านมา +2

      Sitamani hata iishe

    • @HappyFania-ry2ch
      @HappyFania-ry2ch 11 วันที่ผ่านมา

      Na mimi nahisi ila tungeona penz la zuu na kaii

    • @sofiakinyia2734
      @sofiakinyia2734 11 วันที่ผ่านมา

      Eeh inaelekea kuisha🎉🎉🎉❤

    • @user-hb2nn6ud2d
      @user-hb2nn6ud2d 11 วันที่ผ่านมา

      Kabisa inaisha muda wwte

    • @LaizerChionda-de6ul
      @LaizerChionda-de6ul 11 วันที่ผ่านมา +1

      Woyooo nimepatia nilisema uo mkono wa rafik yake kai😅

  • @user-bb6oy5dl6y
    @user-bb6oy5dl6y 11 วันที่ผ่านมา +267

    Ambao walikuwa wakiangalia hangalia kila mara like zenu please 😂😂

    • @joyceagostinho1006
      @joyceagostinho1006 11 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂

    • @user-lj3tc1xs5j
      @user-lj3tc1xs5j 11 วันที่ผ่านมา +1

      Kambe nimebadika marange 😂😂

    • @RehemaKakulu
      @RehemaKakulu 11 วันที่ผ่านมา +1

      Niko hp 😂

    • @MariamMusa-jz6us
      @MariamMusa-jz6us 11 วันที่ผ่านมา +1

      Wamenichekesha hao vijana walivyo kumbatiana😅😅😅

    • @user-bq9zj5sm7i
      @user-bq9zj5sm7i 11 วันที่ผ่านมา

      Mm nilikuwa kama nimebandika maharage vile😂😂

  • @victoriangasa
    @victoriangasa 11 วันที่ผ่านมา +154

    Tokea nianze hii movie nakuwa wa mwisho na sijawah pata like hata moja please 😢😢❤❤🎉🎉nawapenda

    • @lutfiasuleiman
      @lutfiasuleiman 11 วันที่ผ่านมา +1

      ❤❤❤❤❤❤

  • @NuruAli-ip9wn
    @NuruAli-ip9wn 11 วันที่ผ่านมา +81

    Sijaomba like ilah tulio toka 1 mpaka 36 tujuane kazi nzuriii tuwape mauwa yaooo🎉🎉🎉

    • @RehemaBakari-q4d
      @RehemaBakari-q4d 11 วันที่ผ่านมา

      Kabisaa wanastahili mauwa yaooo ❤❤❤ hapa nilipo nataman iendeleee🎉🎉🎉

    • @ummyjux
      @ummyjux 11 วันที่ผ่านมา

      yan hp ushaomb 😂😂😂😂

    • @HatkaIssa
      @HatkaIssa 10 วันที่ผ่านมา

      🎉❤❤❤❤❤❤

  • @user-zf8jx2zj9u
    @user-zf8jx2zj9u 11 วันที่ผ่านมา +28

    Jamani waliofurahi kupona kwa zuuu naombeni like zenu nawapenda mnoo maua kwa bibi zuuu🎉🎉🎉🎉

  • @aminabakari607
    @aminabakari607 11 วันที่ผ่านมา +71

    Tunaofurahia kuona zuu anapona tujuane kwa like❤❤❤❤

  • @mchenyaJR
    @mchenyaJR 11 วันที่ผ่านมา +29

    Acheni ubaguzi mbona me sipati like hata moja

  • @TrinityMyula
    @TrinityMyula 11 วันที่ผ่านมา +59

    Jamn kam unamin shog anamumbua candy gong lik 10

    • @rosemarenga832
      @rosemarenga832 11 วันที่ผ่านมา

      Kashamumbuwa tayar😂😂

  • @merinazyd0532
    @merinazyd0532 11 วันที่ผ่านมา +17

    Move tamu kama hii msipende kuweka watu wanao jichetua kama hao vijana ona wamemvua bibi kitambaa

    • @husnabilali3099
      @husnabilali3099 8 วันที่ผ่านมา +1

      Kwahy we ujapenda kuona wigi jeupe😂😂😂😂

  • @-kagerayetubw9jx
    @-kagerayetubw9jx 11 วันที่ผ่านมา +16

    Leo siombi lake kama umependezwa na bibi zuuu gonga lake yako apa❤❤❤❤

  • @RachealMashamba
    @RachealMashamba 11 วันที่ผ่านมา +18

    Wangapi wamefrai kumuona Sania kumuelezea Kai mabaya yote ya Candy...tujuane 😅....Kai naye kufkuzwa kazi nayoooo....

  • @Nurujulius-s1x
    @Nurujulius-s1x 11 วันที่ผ่านมา +64

    Naomba like hata kumi tu nifurahi😢😢😢😢😢

  • @user-sv6uz7gp6x
    @user-sv6uz7gp6x 11 วันที่ผ่านมา +2

    Wanao Amin candy kishamramba msipite bila like zenu

  • @MwanalimaAbdallahkea
    @MwanalimaAbdallahkea 11 วันที่ผ่านมา +18

    Hii move hata kama nyengine haijatoka uwa naangalia za nyuma wallah aiboeshi napenda sana hii move 🎉🎉🎉❤❤❤

    • @busatitv
      @busatitv  11 วันที่ผ่านมา

      Asante sana ubarikiwe

    • @SunGod-i4b
      @SunGod-i4b 11 วันที่ผ่านมา

      Mm pia

    • @salamarajab5538
      @salamarajab5538 10 วันที่ผ่านมา

      Nikwer

  • @AmocFabian
    @AmocFabian 11 วันที่ผ่านมา +40

    wanaosema hii move ichukue tuzo naomba like zangu.. please,🙏

  • @user-mv6vi1gv6f
    @user-mv6vi1gv6f 11 วันที่ผ่านมา +50

    Mwenye atakuja nyuma naomba like ❤🎉❤🎉🇧🇮🇧🇮

  • @JoyceJackson-sk7lu
    @JoyceJackson-sk7lu 11 วันที่ผ่านมา +15

    Jamn namimi like 10 tyu znanitosha tim zuuu tujuane

  • @user-vz7qe8im6d
    @user-vz7qe8im6d 11 วันที่ผ่านมา +46

    Nan anahisi kibindu na candy ni ndugu kama unahisi hivyo gonga like apa

    • @user-sx6zw1pr1w
      @user-sx6zw1pr1w 11 วันที่ผ่านมา

      Yule alikuwa anatak kumbaka zuu 🤣🤣mm nahis yule rafiki yake

  • @dhuhasaid636
    @dhuhasaid636 11 วันที่ผ่านมา +17

    Hii ni zaidi ya jua Kali na huba ❤🎉🎉maua yenu

  • @MercySilvester
    @MercySilvester 11 วันที่ผ่านมา +50

    Wachoyo kaa nn hamtaki kunipea like mungu anawaona

  • @ignitiussilungwe7930
    @ignitiussilungwe7930 11 วันที่ผ่านมา +7

    Reeo asubuhi nikua zangu safalini naerekea zangu Tukuyu nipocheki kwenye Simu nikajikita Busati Tv imevunja leckodi Aisee watu kwenye gali wakawa wanani ulizia njee wemdada nikipi kinaku fulahisha mbona wacheka mwenyee! bana iribidi niwasumulie hakiya Mungu kiramtu arikua akicheki kwenye simu yake na kufulahishwa nakile ambacho arikikuta kwenye House GiRL ya Busati TV . njee niwangapi waloweza kujifunza kitu kupita Movie hii wagonge Lik☝️

  • @madinarobert4944
    @madinarobert4944 11 วันที่ผ่านมา +13

    Ndoa tunayo hatuna ❤😂😂 like naomba namimi🎉🎉🎉

  • @aimanmuhammed5486
    @aimanmuhammed5486 11 วันที่ผ่านมา +62

    Wankwanza mimi apaa nipeni like zangu

    • @priscahmahenzo642
      @priscahmahenzo642 11 วันที่ผ่านมา

      𝐰𝐨𝐨𝐨𝐰 𝐤𝐢𝐦𝐞𝐮𝐦𝐚𝐧𝐚😂😂😂

    • @LizzyAdrian
      @LizzyAdrian 11 วันที่ผ่านมา

      *duh*

    • @saumodzumbo9671
      @saumodzumbo9671 11 วันที่ผ่านมา

      Mwafaidika na nn basi hizo like

    • @aimanmuhammed5486
      @aimanmuhammed5486 10 วันที่ผ่านมา

      @@saumodzumbo9671 tunapata pesa

  • @FetrissJanni-lb5il
    @FetrissJanni-lb5il 11 วันที่ผ่านมา +9

    Sija wai kucomment chochote leo naomba like zenu 🥰

  • @user-uk4fd1rp3w
    @user-uk4fd1rp3w 11 วันที่ผ่านมา +27

    Wale wanaofurahia kupon Kwa zuuh mk wapi jaman mbn gemu linakuw tamu ili tijuwane basi🥰🥰♥️♥️♥️♥️😘😘😘😘

    • @user-ky7jn3xq9g
      @user-ky7jn3xq9g 11 วันที่ผ่านมา +1

      Tuko hapa jamani

    • @MatthiasMabula
      @MatthiasMabula 11 วันที่ผ่านมา +2

      tem zuu gongeni like

    • @SunGod-i4b
      @SunGod-i4b 11 วันที่ผ่านมา

      Tupo

  • @ngendakuriyosolange751
    @ngendakuriyosolange751 11 วันที่ผ่านมา +17

    Jameni mbona kazi nzuli team zu tujuane munipe like jameni kutoka burundi hongela sana kai kwa kazi nzuli munafanya

  • @richardchristopher7141
    @richardchristopher7141 11 วันที่ผ่านมา +12

    Leo jamani siku nzima nawangoja Ila basi2 nipeni like zangu

  • @fammamourchy2164
    @fammamourchy2164 11 วันที่ผ่านมา +17

    Kutoka Cameroun
    Naomba like jameni
    Busati TV Leo mko fresh 🎉🎉🎉🎉

  • @DamarisDammie
    @DamarisDammie 11 วันที่ผ่านมา +14

    Aky jameni zuuuh aky acting ww hd nywele imechakaa weeeh bt good job bidii siku zote enjoying from 🇰🇪🇰🇪

  • @user-id1me9ve1o
    @user-id1me9ve1o 11 วันที่ผ่านมา +8

    Ohiiiii mchezo unakwenda kuishaa jamani ky tuletee kitu kama hiki tena tuna kukubali sana 🎉🎉🎉🎉🎉❤

  • @OrleenTeketamphande
    @OrleenTeketamphande 11 วันที่ผ่านมา +5

    Yule Yule ndgu yenu toka Malawi 🇲🇼🇲🇼🇲🇼🇲🇼🇲🇼🇲🇼🇲🇼 fundisho lko poa Sanaa tupigiane makofi Kwa House girl jaman... likes cjuw ndgu zangun munapataga nn hebu Leo born likes znifanyie Jambo Na mm toka Malawi 🇲🇼🇲🇼♥️🙏♥️

  • @Mildred-rb2wr
    @Mildred-rb2wr 11 วันที่ผ่านมา +7

    Ndoto kutimia,,sema Mrs Kai kuzabwa Kofi,,zuu is on the way naamini lazima zuu atamwota Kai leo❤️❤️

  • @FetrissJanni-lb5il
    @FetrissJanni-lb5il 11 วันที่ผ่านมา +8

    Walio tamani kuona candy kibao kinge mpata vizur gonga like ap

  • @maikohaule5571
    @maikohaule5571 11 วันที่ผ่านมา +25

    Bonge la Move naombeni like jamani

  • @sharifabahar9905
    @sharifabahar9905 11 วันที่ผ่านมา +36

    Mnao angalia movie mnajifunza au mnaomba like tu

    • @user-hq1rn2zi8i
      @user-hq1rn2zi8i 11 วันที่ผ่านมา +1

      Swali zuri 😅😅😅

    • @Swabrina-
      @Swabrina- 11 วันที่ผ่านมา

      Tunajifunza sana..

    • @Agyy628
      @Agyy628 11 วันที่ผ่านมา +1

      Kwangu najifunza 😂😂😂😂swala la like nawaachia wengine tangu nianze kuangalia

    • @user-ky7jn3xq9g
      @user-ky7jn3xq9g 11 วันที่ผ่านมา

      Tunaangalia like tu 😂😂😂😂

    • @rosemarenga832
      @rosemarenga832 11 วันที่ผ่านมา

      Kwa mm najifunza San Kil siku nikitazam natok na kitu❤

  • @MaryWachira-m5y
    @MaryWachira-m5y 11 วันที่ผ่านมา +40

    Wakwanza leo nipewe like

  • @KiboxMedia
    @KiboxMedia 11 วันที่ผ่านมา +40

    Wa pili 😂 Nipo Team Candy nataka Kiendelee Kumramba Ajute

    • @Saumu254
      @Saumu254 11 วันที่ผ่านมา +4

      Mkono WA rafiki Ake kai😅😅😅😅 nmeweza😂

    • @KiboxMedia
      @KiboxMedia 11 วันที่ผ่านมา +3

      ​@@Saumu254We kachawi 😂😂🙌🙌💪✌️

    • @Miriam-kk6lr
      @Miriam-kk6lr 11 วันที่ผ่านมา +1

      Namchukia candy tangu tuanze kipindii 😂😂,, nampenda zuuu mbaya sana 😂

    • @oman1oman179
      @oman1oman179 11 วันที่ผ่านมา +1

      ​@@Saumu254,😂😂😂😂😂😂

    • @rosemarenga832
      @rosemarenga832 11 วันที่ผ่านมา +1

      ​@@KiboxMediaten akishirikian na muzim ya bibi zuu😅

  • @SelinaKadzo-ck3rb
    @SelinaKadzo-ck3rb 11 วันที่ผ่านมา +16

    Jamani naomba like namimi leo Kila siku nalike but hamlike kwangu

  • @JumaAmani-uh4vq
    @JumaAmani-uh4vq 11 วันที่ผ่านมา +15

    Misikuiz si comment kila siku mwasema niwamwisho😢😢😢

  • @nadzuwazidi
    @nadzuwazidi 11 วันที่ผ่านมา +21

    Leo nimewai naombeni like angalaukumi nawapenda bure🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @maryammaryam7354
    @maryammaryam7354 11 วันที่ผ่านมา +19

    😂😂😂😂 ked,mwisho wa ubaya niaibu,suburi uabike ,kai amerud sawa,

  • @GyslaineNiyomwungere
    @GyslaineNiyomwungere 11 วันที่ผ่านมา +32

    Zuuu wetu emepona tunae furahi munipe like bas

    • @John-pv1xr
      @John-pv1xr 11 วันที่ผ่านมา

      Nenda zanzibar watakupatia like za kutosha saw e

    • @salamarajab5538
      @salamarajab5538 10 วันที่ผ่านมา

      Umepat

  • @JaneOnyango-fb7li
    @JaneOnyango-fb7li 11 วันที่ผ่านมา +3

    Tunaoamin kuwa candy na kibendu ni mtu na ndugu yake tugonge like hapa

  • @RosemaryMurefu
    @RosemaryMurefu 11 วันที่ผ่านมา +12

    Jamani mm wa pili naombeni like hata moja2

  • @Phoebenafula
    @Phoebenafula 11 วันที่ผ่านมา +12

    Harusi tunayo hatuna like hapa mashabiki😂😂😂

  • @Rizikialiamechannel763
    @Rizikialiamechannel763 11 วันที่ผ่านมา +7

    Leo ndotunagundua kaka mbkaji Ndo Ndo mdogo wke kendi daaaa😂 hii movie umeactiwa kwa unazid mkubwa hongera yenu

  • @NjoleZuma-ue9yo
    @NjoleZuma-ue9yo 11 วันที่ผ่านมา +9

    Weee mambo yatazidi kuchemka upande wa Candy😂😂😂

  • @Rizikialiamechannel763
    @Rizikialiamechannel763 11 วันที่ผ่านมา +49

    Leo kitaeleka kma unapinga usinigaiye like 😂 from Oman 🇴🇲 nawapenda wte

  • @mwanajumakomar3831
    @mwanajumakomar3831 11 วันที่ผ่านมา +11

    Hatimae zuuu kapona 😊team strong 💪 tuko yaan ona ww apo badala uandike comment yko we wasoma za watu 😂😂😂😂❤

    • @busatitv
      @busatitv  11 วันที่ผ่านมา +1

      🙏🙏🙏

    • @user-sf3ei6ut9s
      @user-sf3ei6ut9s 11 วันที่ผ่านมา +1

      Tupoooo❤❤❤😂😂😂🎉🎉🎉🎉

    • @SunGod-i4b
      @SunGod-i4b 11 วันที่ผ่านมา

      🎉🎉🎉🎉🎉😂😂😂❤❤❤

  • @user-ky7cf6nm8d
    @user-ky7cf6nm8d 11 วันที่ผ่านมา +14

    Masha Allah leo nawai🎉🎉🎉🎉

  • @user-bf2gz7dq9m
    @user-bf2gz7dq9m 11 วันที่ผ่านมา +10

    Kwani izo like zimakazi gani mnazo omba toeni maoni yenu ❤

  • @edna-jb8vx
    @edna-jb8vx 11 วันที่ผ่านมา +11

    Wakwanza leo npea likes tatu jamani❤❤❤

  • @VailethYusi
    @VailethYusi 11 วันที่ผ่านมา +18

    Wakwanza leo naomba like zangu

  • @Emanuel-kz4tt
    @Emanuel-kz4tt 11 วันที่ผ่านมา +3

    Sijawai kuomba laik atamara Moja ebunipen Leo namimi nione watu wanacho ombaga Mimi nawapa ila sielewi

  • @HalimaBakari-hg5py
    @HalimaBakari-hg5py 11 วันที่ผ่านมา +6

    Na maputo kaweka lakn bado kanaswa kibao 😊 wap team zuuuh usisahau kuwek net ❤

  • @AlylenShitamu-tc2ng
    @AlylenShitamu-tc2ng 11 วันที่ผ่านมา +12

    Candi round hii tunakufinishi.shida mnachelewesha sana

  • @PatriciaPatrick-ye7ov
    @PatriciaPatrick-ye7ov 11 วันที่ผ่านมา +21

    Sania apewe mauwa yak🎉🎉🎉🎉🎉

  • @dinalesmwakolo2131
    @dinalesmwakolo2131 11 วันที่ผ่านมา +11

    Mko fasta watu wa comment 😀

  • @Alinekwizerimana-sg1th
    @Alinekwizerimana-sg1th 11 วันที่ผ่านมา +14

    Candy kwisha😂😂😂Like zangu from Burundi

    • @user-lx8zm7rh4c
      @user-lx8zm7rh4c 5 วันที่ผ่านมา +1

      ❤atari❤❤ 4:56 ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @jacklinemwikali5045lina
    @jacklinemwikali5045lina 11 วันที่ผ่านมา +10

    Nimewaiiiii nipeeni likes 👍 👌 jamani

  • @Judie_2022
    @Judie_2022 11 วันที่ผ่านมา +30

    Leo nimewahi pia kutoka Kenya 🇰🇪🇰🇪 wapi likes za genz ❤❤

    • @Korinogalmoney1
      @Korinogalmoney1 11 วันที่ผ่านมา +2

      𝑬𝒃𝒖 𝒏𝒊𝒑𝒊𝒕𝒊𝒆 𝒑𝒊𝒂

    • @Judie_2022
      @Judie_2022 11 วันที่ผ่านมา

      @@Korinogalmoney1 sawa

    • @John-pv1xr
      @John-pv1xr 11 วันที่ผ่านมา

      Nenda zanzibar watakupatia hizo like za kutosha sawa e

  • @user-uk4fd1rp3w
    @user-uk4fd1rp3w 11 วันที่ผ่านมา +6

    Sasa jamn huyu bib zuu amechorwa km nan mganga au mchaw mbn sielew hem nijibun basi nielewe mchez

  • @MussaMajengo
    @MussaMajengo 11 วันที่ผ่านมา +5

    Jam an Leo nimekuwa wa kwanz jamn ❤❤❤❤nimeisubir kwa hamu san🥰🥰🥰

  • @user-tc3hq7kz8u
    @user-tc3hq7kz8u 11 วันที่ผ่านมา +15

    Nilikua nachungulia mda wot nyie😅😅😅

  • @grasygrasy1701
    @grasygrasy1701 11 วันที่ผ่านมา +7

    Bora zuu kapona tusubiri harusi ya kai na zuu❤🎉🎉🎉

  • @user-oj5hc6op3n
    @user-oj5hc6op3n 11 วันที่ผ่านมา +10

    Kuna muda bibi ako akiwa mchawi Raha 🤣🤣

    • @Rahima-kv6mn
      @Rahima-kv6mn 11 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂😂 Au sio

    • @MiriumWajey-lr1tq
      @MiriumWajey-lr1tq 11 วันที่ผ่านมา

      Kabisa

    • @angelmauja1846
      @angelmauja1846 11 วันที่ผ่านมา

      Kwakwel

    • @SunGod-i4b
      @SunGod-i4b 11 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂😂 nyie acheni utani bana😂😂😂😂😂

  • @user-jf3qz3il3u
    @user-jf3qz3il3u 11 วันที่ผ่านมา +47

    Jamani toka niaze sija pata ata like naomba like japo moja wale mafasi wa zuu na kai❤❤❤🎉🎉

  • @macrinafuraha-zg3mi
    @macrinafuraha-zg3mi 11 วันที่ผ่านมา +7

    Jameni zuu kapona asante mungu sasa candy chake kiko motoni

  • @user-vm6kj2zx6p
    @user-vm6kj2zx6p 11 วันที่ผ่านมา +2

    Hata mm hapa cjawahi pata like hata moja😮

  • @user-le6xc6ei5x
    @user-le6xc6ei5x 11 วันที่ผ่านมา +15

    Sjawah kosa team zuu mikono juu

  • @ShanBaby-dy4db
    @ShanBaby-dy4db 11 วันที่ผ่านมา +9

    Janani like zqngu zipo 😂 wapi

    • @salamarajab5538
      @salamarajab5538 10 วันที่ผ่านมา

      Kwabibi ako🎉😢😢😢

  • @jacklineteresia2629
    @jacklineteresia2629 11 วันที่ผ่านมา +5

    Kazi nzuri Sana nimefurahi kuona zuu amepona good work Kai 🎉🎉🎉🎉

  • @LexoG-nf6sx
    @LexoG-nf6sx 11 วันที่ผ่านมา +8

    Safi sn nimefurahi na tabasamu lako Kisha Kofi Kai funzo nzt

  • @MercyMugambi-fr2hq
    @MercyMugambi-fr2hq 11 วันที่ผ่านมา +8

    Nipeni like leo

  • @MarieMilly-oz1ky
    @MarieMilly-oz1ky 11 วันที่ผ่านมา +13

    Mapema ndio best as team zuu

  • @YusraSiyaleo-yk2fz
    @YusraSiyaleo-yk2fz 11 วันที่ผ่านมา +5

    Na mm wakwanza nipen like

  • @Barackha
    @Barackha 11 วันที่ผ่านมา +1

    Nimeungana nanyi saiv naomba like zangu

  • @TatuBaya-jy8jl
    @TatuBaya-jy8jl 11 วันที่ผ่านมา +4

    Nzuri sana hongereni🎉🎉🎉❤❤❤ naenjoy mpka raha n raha tena nmpe hi candy

  • @FloraFloraLaphaeli
    @FloraFloraLaphaeli 11 วันที่ผ่านมา +10

    heeeeee jamani hatimae nime kuwa wakwanza hafu siringi wala nini😂😂😂😂

  • @zainabmwaka9944
    @zainabmwaka9944 11 วันที่ผ่านมา +6

    Kai hilo jicho waah hata mm nimuogopa 😂😂😂

  • @sifamaureen2792
    @sifamaureen2792 11 วันที่ผ่านมา +4

    Munakawia saana,Sasa basi muuwe mukitupea episode 2 ❤❤😂😂

  • @mwanakombo8008
    @mwanakombo8008 11 วันที่ผ่านมา +5

    Zuu leo umenitowa machoz nakupenda sana ❤❤

  • @JumaChiryauta-zf6uc
    @JumaChiryauta-zf6uc 11 วันที่ผ่านมา +13

    Wadau ndio hiyoo ssss

  • @RadjaInnocent
    @RadjaInnocent 11 วันที่ผ่านมา +9

    Ongela sana nawapenda sana like 👍 👌 hapo

  • @nurumgaya1620
    @nurumgaya1620 11 วันที่ผ่านมา +1

    Jamani sijachelewa sana naifwatilia sana house girl team zuuu mko wapi jamani ! Nampenda kai

  • @fatumamdoe-vv9xk
    @fatumamdoe-vv9xk 11 วันที่ผ่านมา +2

    Jamani mbn xielewi mwendelezo up au inakuwaje

  • @ZaitunsuleimanZani
    @ZaitunsuleimanZani 11 วันที่ผ่านมา +5

    Kamkode is typing .....😂😂😂

  • @user-pg8og1gp1u
    @user-pg8og1gp1u 11 วันที่ผ่านมา +7

    I’m enjoying watching this house girl now.

  • @husnahusna1544
    @husnahusna1544 11 วันที่ผ่านมา +1

    Waooo nice zuu kapona na kend jua linamuwakia safi sana malipo ni hapa duniani 🎉

  • @user-qu5gz2jg4j
    @user-qu5gz2jg4j 11 วันที่ผ่านมา +6

    Tm zuuu leo tunalala nafuraha ❤️❤️❤️❤️

  • @NellyRandu
    @NellyRandu 11 วันที่ผ่านมา +4

    Waah😂 jamani mm niwamwisho pia naomba mugonge Ata tano tuko pamoja

  • @Igra254
    @Igra254 11 วันที่ผ่านมา +3

    Nipeni likes zangu kwa kufika mapema kuona

  • @MohamedMohamed-wc8im
    @MohamedMohamed-wc8im 11 วันที่ผ่านมา +2

    😂😂nilitaka kuuliza vp mbona Kai kachekelea tena hilo suala la mimba kidg niache kuangalia kumbe mtego aya asante

  • @Giftbugalama
    @Giftbugalama 11 วันที่ผ่านมา +1

    naona tunakaribiya fainali, big up sana wana busati tv, kazi nzuri tuko pamoja mwanzo mwisho, shabiki wenu hapa nikiwa south africa❤🙏👍💪💪

  • @IshakaMachanoMakame-sb2xx
    @IshakaMachanoMakame-sb2xx 11 วันที่ผ่านมา +5

    Jamaan ongezeni ata dakika bas angalau zifike 30

  • @BetiemillyEmanuelBetiemi-sl9ch
    @BetiemillyEmanuelBetiemi-sl9ch 11 วันที่ผ่านมา +4

    Ingekuwa bora zaidi mngepost ya 37 sahv

  • @kingfocustzog
    @kingfocustzog 11 วันที่ผ่านมา +1

    Mimi wa mwisho kila siku nipeni like zangu