WANAWAKE PEMBA WAONYESHA TUKIO LA AJABU BAHARINI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 18 ธ.ค. 2024

ความคิดเห็น • 13

  • @UlfaRashid
    @UlfaRashid 20 วันที่ผ่านมา +1

    Mashallah rais wa awamu hii nimfano wa kuigwa kwa maana anajua sana Allah ampe afya njema pamoja na walio nyuma yake amiin

  • @RabiaSaid-sh1km
    @RabiaSaid-sh1km 20 วันที่ผ่านมา

    Allah azid kutuma imani y dini ktk kisiwa chetu ila kiukweli tunapotea sas 😢😢

    • @SaidHassan-ot3un
      @SaidHassan-ot3un 19 วันที่ผ่านมา

      Tumeshapoteza dira ww umeona wapi?

  • @fatmasaid9765
    @fatmasaid9765 20 วันที่ผ่านมา

    Kuipoteza Pemba

  • @AbeidRamadhan
    @AbeidRamadhan 20 วันที่ผ่านมา

    Pemba inaelekea kumalizika kwa maadili 😢😢

  • @KareemDully
    @KareemDully 19 วันที่ผ่านมา

    Utalii kwetu ni tatizo Bora tu Ubak uko uko unguja.hatutak Kuja kuharibiwa dada zetu Na majitu Kutoka ulaya

  • @Omar-q2r7i
    @Omar-q2r7i 20 วันที่ผ่านมา

    Kuzidi shaufisadi

  • @alishaksi4639
    @alishaksi4639 20 วันที่ผ่านมา

    Kuwepo kwa maendeleo sio tatzo lakn tuangalie na hicho kinacholeta maendeleo. Utaliii ni hatari kwa jamii yetu ufisadi ni ukubwa

  • @AbdallahSalim-is3db
    @AbdallahSalim-is3db 12 วันที่ผ่านมา

    Wameogelea mijani ya mikoko na mikandaa cio ?

  • @IsmailJuma-zb5ni
    @IsmailJuma-zb5ni 19 วันที่ผ่านมา

    Kiukweli linapokuja suala la utalii pemba mimi naona ni mtihani mkubwa katika maadili ya dini tukufu ya uislam

  • @SaidHassan-ot3un
    @SaidHassan-ot3un 20 วันที่ผ่านมา +1

    Wamekuja kuiharibu jamii

    • @NassirAliy
      @NassirAliy 20 วันที่ผ่านมา

      Halaf huyu mtangazaji juiz alitoa mawaidha na kukemea machafu yanayofanya na serekali Sasa Leo anafanya nin hebu watu wakae wafikirie wanataka mama zao wakae uchu mbele za watu mbele za wanaume ndio din inavoarisha hiv

    • @SaidHassan-ot3un
      @SaidHassan-ot3un 19 วันที่ผ่านมา

      @@NassirAliy kwakweli mtihani na ss waislam tumekosa dira wameona unguja wameshaimaliza sasa zamu ya pemba hatukatai utalii ila utalii wenye kuheshimu mila na silka na utamaduni wa ile sehemu sasa utalii wa kwetu zanzibar nibtofauti watu wanaangalia hela tu.Ewe allah tusaidie na utuhifadhi