Jux - Zaidi (Official Music Video)

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 16 ก.ย. 2024
  • Zaidi (which means 'more' in Swahili) by Jux is about a love story between two love birds that love each other and try to remind themselves that they deserve more love.
    The video shows Jux in love with a low class woman. He is trying to find her in the streets where he first saw her, he believes that she is the one who will give him more love. Jux is trying to remind us that we all deserve to love and to be loved unconditionally.
    Follow Jux
    Facebook: www.facebook.c...
    Instagram: / juma_jux
    Twitter: / africanboyjux
    Digital distribution: www.africori.com/
    Lyrics:
    Its bob manecky
    Intro:
    Nana nana naaana
    Nana nana naaana
    Nana nana naaana
    Nana nanaaa
    Verse:
    Zinanitoka goose bums,
    Nikisikia jina lako
    Mi ninaweukaa
    Kabisa mi ni chizi wako
    Na kama ni mganga eeeh
    Mzuri huyo mganga wako
    Sio kwa kunipumbaza huku
    Baby, Mmhh
    Mamy ongeza ubuyu
    Nizidi kuumung’unya eeeh
    Tena na sukari guru
    Utamu nikitafuna eeeh
    Baby ongeza ubuyu
    Nizidi kuumung’unya eeeh
    Tena na sukari guru
    utamu nikitafuna eeeh (mhmh)
    Pre-Chorus:
    Kama ni pili pili maa (na na na na)
    Acha ukali niusikie (na na na na)
    Kama nivita mamaa (na na na na)
    Acha adui wanivamie (na na na na)
    Kama we ni asali maa (na na na na)
    Acha na nyuki wanivamie (na na na na)
    Lakini penzi lako baby (na na na na)
    Ata kidogo lisipungue (na na na na)
    No no nooooo
    Chorus:
    Zaidi zaidi zaidi zaidi (mhmhh)
    Nipe nipe
    Zaidi zaidi Zaidiii (mhmhh)
    Wewe zaidi zaidiii zaidiii
    Wewe nipe zaidi zaidi (zaidiii)
    Bridge:
    Haya yaya yaaah yaaah...
    Haya yaya haya yaya yaaaah...
    Verse:
    Nanyosha mikoni juu
    Kwako mi nimesurrender
    Naona maajabu
    Sungura kazidiwa ujanja
    Nimekuwa zuzu zuzu zuuu
    Nimekuwa bubu bubu buuu
    Nimekuwa mbumbu mbuu baby eh
    Nimekuwa zaidi ya nyumbu
    Sioni sisikiii... (aaah)
    Sioni sisikii ... Baeby
    Pre-Chorus:
    Kama ni pili pili maa (na na na na)
    Acha ukali niusikie (na na na na)
    Kama nivita mamaa (na na na na)
    Acha adui wanivamie (na na na na)
    Kama we ni asali maa (na na na na)
    Acha na nyuki wanivamie (na na na na)
    Lakini penzi lako baby (na na na na)
    Ata kidogo lisipungue (na na na na)
    No nooooo oooooh
    Chorus:
    Zaidi zaidi zaidi zaidi (yeyeeeee)
    Nipe nipe
    Zaidi zaidi Zaidiii (mhmhh)
    Wewe zaidi zaidiii zaidiii
    Wewe nipe zaidi zaidi (zaidiii)
    Outro:
    Mamy ongeza ubuyu
    Nizidi kuumumunya eee
    Tena na sukari guru
    Utamu nikitafuna eee
    Baby ongeza ubuyu
    Nizidi kuumumunya eeee
    Tena na sukari guru
    Utamu nikitafuna eeee
    Mhmhmh...
    vevo.ly/P8jUvA

ความคิดเห็น • 2K