Arusha kutekeleza agizo la JPM
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 1 ก.ย. 2020
- Hatua za awali za ujenzi wa stendi mpya ya mabasi ya abiria mkoani Arusha zimeaza kufanyika katika eneo la 'Bondeni city' lenye ukubwa wa ekari 30 ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa agizo la Rais John Magufuli alilowataka viongozi wa mkoa huo kuhakikisha ujenzi unaanza mara moja.
#AzamTVUpdates #AzamNews #Arusha #StendiYaMabasi
Tazama taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa:
► bit.ly/2wB6zmR
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►INSTAGRAM: / azamtvtz
►INSTAGRAM: / azamsports2
►TWITTER: / azamtvtz
►FACEBOOK: / azamtvtz
►WEBSITE: www.azamtv.co.tz
TUNDULISU AMJIBU Magufuli hiyo kazi atawapa aliowaokota
👇👇👇👇
th-cam.com/video/hZm2Uyq-Gs8/w-d-xo.html
Hamna jipya hata mjenge ya gorofa pumbavu zenu
Acha lugha mbaya mtu wa Mungu.