Hongera sana Raisi mama Samia. Huu ni uwekezaji muhimu sana kwa maendeleo ya taifa letu. Maendeleo ni WATU. Maendeleo ya kudumu huwekezwa kwenye elimu ya watoto wetu
Nchi iko nyuma sana Kwa nini mishahara ya watu serikalini na bungeni ikatwe ili kuingiza kwenye miradi ya kijamii. Hata hospitali nyingi zinazojengwa majengo sio wanayojenga karne ya 21, hospital zote jengo la kwanza ukiingia ni emergency department
KAZI kweli kweli Kuna kitu kinakosewa HEBU WATU WAWE NA UHURU WANA REPORT VITUKO KAMA HIVI STRAIGHT KWA WAZIRI KAMA LUKUVI NA WAZIRI GWAJIMA WAMETOA NAMBA NA EMAIL ZAO
Hivi viongozi mbona mnakuwa na akili uozo Kwa nini msiombe msaada wa modern model za shule kutoka nchi zilizoendelea, au mtutumie watu wa diaspora ambao wanajua wawape maarifa vitu gani ni muhimu viwe kwenye shule .
Hivi mbunge wa uko alikuwa wapi miaka yote? Diwani nae alikuwa anafanya kazi gani? Ki ukweli ni aibu! Sikuwahi kuwaza kama kuna kitu kama hiki Tanzania. Mama Samia tuma watu wako wachunguze Cz huenda kuna changamoto nyingine za ajabu zaidi
Sasa hata MJUMBE alikua wapi na diwani. Je wanafaa kuendelea na kazi? Unauliza wabungee unachekesha hujui WANALALA bungeniii wakiamka POSHO iko mfukoniii
Situliambiwa tuko uchumi wa KATI. Watu mkakubali kudanganywa tu. Let the movie continue...tutaona mengi
Hongera sana Raisi mama Samia. Huu ni uwekezaji muhimu sana kwa maendeleo ya taifa letu. Maendeleo ni WATU. Maendeleo ya kudumu huwekezwa kwenye elimu ya watoto wetu
Mbona Zanzibar izo tozo za miamala hamzungumzii wakati hats sisi tulip kuwepo Zanzibar tunakatwa kwenye simu
Miamala lkn kazi nzuri sana,
Kiongozi anasifia madarasa 4 yanajengwa halafu ni mabanda ya kuku , na mbuzi duh 🙆♀️🙆♀️🙆♀️
Mnaona kama mnafanya kampeni ila watanzania wa Leo sio wa jana.Miaka 61 ya Uhuru bado tuna while za nyasi?
Haya maviongozi natembea mengi project ndogo akili zao hovio
Nchi iko nyuma sana Kwa nini mishahara ya watu serikalini na bungeni ikatwe ili kuingiza kwenye miradi ya kijamii. Hata hospitali nyingi zinazojengwa majengo sio wanayojenga karne ya 21, hospital zote jengo la kwanza ukiingia ni emergency department
Maji chimbeni kisima hapohapo ili watt wafaidike
Jaman nashkuru Sana mama Samia lakin ningewaomba wananch binafsi tushirikiaane na mama yetuu tuwajengee wanafunzi Hawa inauma sanaaa 😩😫
KAZI kweli kweli Kuna kitu kinakosewa HEBU WATU WAWE NA UHURU WANA REPORT VITUKO KAMA HIVI STRAIGHT KWA WAZIRI KAMA LUKUVI NA WAZIRI GWAJIMA WAMETOA NAMBA NA EMAIL ZAO
Alafu maafisa elimu wapo wanskula mishahara waziri yupo mkuu wamkoa yupo mkuu wawilaya yupo
If you are a leader you are not serious!!
Hatar
Ni aibu kubwa mnadiliki hata kuonyesha kwenye media???
Aibu kubwa mnooo
Tz bado iko nyuma sana 🤣
Madarasa. 4 HAYATOSHIII, PESA MBONA NYINGI KWA NINI MADARASA MANNE?? DINNING HALL, LIBRARY, EMERGENCY VEHICLE, MADACTARI, EMERGENCY KITTS, SPORTS, KIWANJA CHA MPIRA BASKET BALL VOLLEY BALL ELECTRICITY
Halafu kuna watu wanakwambia Tanzania ni kama Toronto
Hivi viongozi mbona mnakuwa na akili uozo Kwa nini msiombe msaada wa modern model za shule kutoka nchi zilizoendelea, au mtutumie watu wa diaspora ambao wanajua wawape maarifa vitu gani ni muhimu viwe kwenye shule .
Serikari ya Ccm toka 1962 mpaka leo mnaezeka makuti?👉😁😁😁
Kwani hakuna vigezo vya usajili Wa shule??
viongozi wanakula pesa za bure kabisa u
Ni Mambo ya aibu Sana mbunge yupo wap mkuu wa wilaya n.k
Hivi mbunge wa uko alikuwa wapi miaka yote? Diwani nae alikuwa anafanya kazi gani? Ki ukweli ni aibu! Sikuwahi kuwaza kama kuna kitu kama hiki Tanzania. Mama Samia tuma watu wako wachunguze Cz huenda kuna changamoto nyingine za ajabu zaidi
Sasa hata MJUMBE alikua wapi na diwani. Je wanafaa kuendelea na kazi? Unauliza wabungee unachekesha hujui WANALALA bungeniii wakiamka POSHO iko mfukoniii
MpakaleoZipoZamiti😭😭😭😭
Asante Mama yetu👏👏👏🙏🙏
Eti asante mama yetu. Loooh! ajabu sana
Pesa za miamalaaa
Utachoka mapema Sana kijana
Huu ni utoto kabisa.
Still a joke!
AAA jamani Tanzania ya Leo kweli hiyo NI SHULE MBONA TUKO NYUMA NA MAENDELEO HAYA... IUNDWE KAMATI YA UCHUNGUZI YA HIZI SHULE NA DISPENSARIES VIJIJINI