EXCLUSIVE: MWANAMKE MWENYE NDEVU NYINGI AFUNGUKA "WANAUME WANANIOGOPA KUNITONGOZA KISA NDEVU"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 9 ก.พ. 2025
  • www.youtube.co...
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

ความคิดเห็น • 1K

  • @Cyp-x3z
    @Cyp-x3z ปีที่แล้ว +27

    Kazi ya Mungu haina makosa dada usife moyo ila Mungu ndiye alikuumba hukujiumba wenye wanamwongea na kimcheka wajue hakuna mtu mwenye alijiumba much love dear ❤❤❤

  • @williamchenjelu3838
    @williamchenjelu3838 ปีที่แล้ว +58

    Usiwe mnyonge Dada ni mzuri Mungu atakujalia❤

  • @achouraachoura5763
    @achouraachoura5763 ปีที่แล้ว +29

    Dada nzur masha'allah na amejaaliwa jicho...mngu atakupa mtu sahih kua na subra..📌☑️

  • @salhamrishoi4943
    @salhamrishoi4943 ปีที่แล้ว +44

    Mzuriiiiii mashaa allah❤❤ ila nyoa dada ndevu toa kwa wax ila kama mwenyewe waona kawaida basi allah akusimamie inshaa allah kila kitu kinasababu ❤❤❤❤🎉

  • @GOMAGOMA-o2e
    @GOMAGOMA-o2e ปีที่แล้ว +66

    Mzuri mashallah dada wa wenyewe mungu akupe hekima my lovuuuu

    • @amanididas7660
      @amanididas7660 10 หลายเดือนก่อน

      acha unafk nzr wap na midevu

  • @stanlaurent5121
    @stanlaurent5121 หลายเดือนก่อน +1

    Saafi, ana mtoto, na ana sura nzuri sana tu.
    Good.

  • @rahmaoman5122
    @rahmaoman5122 ปีที่แล้ว +5

    Subhanallah mwenyezi mungu anampa atakae na kumnyima amtakae. Kuna wanaume hawana kabisa ndevu lakini mdada Masha Allah udevu hadi raha 🎉🎉😊😊wanao kunanda wakumbuke mungu hakosei

    • @abdillahjuma8474
      @abdillahjuma8474 ปีที่แล้ว

      unaamk kesho unaanz kujikuta n wwe n hali km hyo utajichkuliaje

  • @JosephsarunimollelMollel
    @JosephsarunimollelMollel ปีที่แล้ว +18

    Jikubali sana dada yangu wasikuzingue juu mungu akufanya makosea kukuumba hivyo anamakusudio yake

  • @saididodi3988
    @saididodi3988 ปีที่แล้ว +12

    Mashallah dada mzur sana ila punguza unyonge ty wew upo vizur sana❤❤❤

  • @kilogreek4050
    @kilogreek4050 ปีที่แล้ว +26

    Mbona kinyonge dada yangu yote mungu Atakupa nguvu na Alisia yako madam ❤❤❤

  • @ibrahmwendy919
    @ibrahmwendy919 ปีที่แล้ว +7

    Tunakupenda tu dada yetu... huu ni uumbaj wa Mungu

  • @judithmalisa497
    @judithmalisa497 ปีที่แล้ว +20

    Beautiful and wonderfully made by God.

  • @sophiezakaria
    @sophiezakaria ปีที่แล้ว +33

    I saw her on Facebook, she's beautiful and wonderfully made by God 🙏

    • @mubatsievonne4649
      @mubatsievonne4649 ปีที่แล้ว +1

      Polycystic ovarian syndrome.

    • @JohnsonNgugi-eg6zy
      @JohnsonNgugi-eg6zy 9 หลายเดือนก่อน

      You are so beautiful ❤️❤️❤️❤️❤️❤️ I love you 💖💖

    • @innocenthaulee
      @innocenthaulee 5 หลายเดือนก่อน

      ​@@JohnsonNgugi-eg6zyumalaya tu

    • @dicksonmagige7056
      @dicksonmagige7056 3 หลายเดือนก่อน

      Anatumia jina gani Facebook

  • @JeanneRashid-o4o
    @JeanneRashid-o4o ปีที่แล้ว +22

    Mungu yupo ata ku tetea 😢😢❤❤❤❤🙌🏽🙌🏻

  • @LinnaJohn
    @LinnaJohn ปีที่แล้ว +120

    Ishi uwezavo dada ww ni mnzuri sana mungu atakupa mume bola na mwenyekukujali wasamehe wanaokusema vibaya

    • @halunimnenwa5224
      @halunimnenwa5224 ปีที่แล้ว +2

      We hata mi sikutongozi janaume kabisa unaweza kunipelekea moto bule

    • @faudhiasaidi3669
      @faudhiasaidi3669 ปีที่แล้ว +4

      Ni tatizo la HOMONI
      Homoni za kiume zimezidi kwake

    • @HamadMkojera
      @HamadMkojera ปีที่แล้ว

      ​@@halunimnenwa5224😂😂😂😂😂😂 jau ww

    • @sweetylove9918
      @sweetylove9918 ปีที่แล้ว

      Nakushauri Dada kafanye laser zinapotea kabisa izo

    • @plsbusekela2681
      @plsbusekela2681 ปีที่แล้ว

      Chukua wewe sasa😂

  • @KhadijaLukas-s3r
    @KhadijaLukas-s3r 3 หลายเดือนก่อน +1

    Kwani wewe mtangazaji umeowa au? chukuwa hiyo chombo weka ndani ndevu haiwezifanya usimkule na kupata utamu, nahisi ungeniowa mimi ila bado mdogo nasoma ❤❤❤❤

  • @MbongoBoy-yg9tq
    @MbongoBoy-yg9tq ปีที่แล้ว +23

    Mungu ndie muweza🙏🙏

  • @janetdundul3858
    @janetdundul3858 ปีที่แล้ว +39

    MUNGU huwa akosei kwenye kuumba na akaona ni vyema 🙏🙏🙏🙏🙏👏dada ni mrembo sana na ni mama mzr,,😘😘😘😘😘😘🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰

  • @HalimaRashidi-f1o
    @HalimaRashidi-f1o ปีที่แล้ว +19

    Hyo ni kawaida t Sana dada Kuna wat hawana miguu Wala mikono eb fikiria we miguu unayo umbo unalo sura unayo zitakwenda zitaisha kwa uwezo wa mungu usijali

  • @oliverwema8646
    @oliverwema8646 ปีที่แล้ว +46

    She so pretty , she don’t need to shave at all 💕💕💕💕❤️❤️💓💓

    • @blessed_one6
      @blessed_one6 11 หลายเดือนก่อน

      Amazing ❤❤

  • @ubuntubantu2404
    @ubuntubantu2404 ปีที่แล้ว +23

    Mungu awe nawe siku zote dada, u mrembo sana tena wa tofauti, jiamini na tembea kifua mbele

  • @rogerioibraim8527
    @rogerioibraim8527 ปีที่แล้ว +27

    Mbona nimesha mpenda dada binti mzuri mashallah❤

    • @MaedaMm
      @MaedaMm ปีที่แล้ว

      Mzuri mno yaani mungu fundi

    • @aloycesteven5998
      @aloycesteven5998 ปีที่แล้ว

      acha umalaya umetamani jicho tu

    • @KHAMIS_SHILINGI
      @KHAMIS_SHILINGI ปีที่แล้ว

      😂😂😂😂😂

    • @Kwazulu1
      @Kwazulu1 2 หลายเดือนก่อน

      Atoe ndevu atapendeza. She looks scarry.

  • @alingoto649
    @alingoto649 ปีที่แล้ว +6

    Dada upo safi mno nimekupenda bure kabisa ❤😊

  • @Aida-qh3jq
    @Aida-qh3jq ปีที่แล้ว +2

    Mshukuru mungu kwa kila hali dada angu muweza ni.mwenyezimungukuwa huruma mdgo wangu 🤲

  • @gfydfdf8869
    @gfydfdf8869 ปีที่แล้ว +6

    ❤Ameeni 🙏🙌 utukufu tunamrudishia Mungu, Mungu arikumba hivyo kwa utukufu wake usije ukanyoa au ukatumia dawa usije ukapata madhara.nimekupenda,unampenda Mungu,

  • @HomeWork-s6t
    @HomeWork-s6t 11 หลายเดือนก่อน

    kusemakweli wewedada nimurembo tena sana wachawatu.waseme wasemavyo mungu yukopamoja.nawewe anasikia hojazamoyowako lakinikwakweli wewenimurembo.sana nasikiliza kutoka saud arabia mashallah❤❤

  • @khamoshmikidadi618
    @khamoshmikidadi618 ปีที่แล้ว +21

    Ukizaa nae mtt w kiume huyu hlf afate iyo sura n ndevu atakua bonge l handsome 😘

  • @AngelNjayo
    @AngelNjayo 10 หลายเดือนก่อน

    Dada nakupenda sana mume mwema anatoka kwa Mungu utaolewa Tu muda sahihi ukifika mdogo wangu kipenzi Mungu yupo

  • @upendoeliya9329
    @upendoeliya9329 ปีที่แล้ว +4

    Dah, Jikubali dada Mungu atakupa wa kufanana naww

  • @RehemaMukhwana-l2c
    @RehemaMukhwana-l2c 11 หลายเดือนก่อน

    Usiwe mnyonge Dadangu Mungu atakujalia sana❤❤

  • @JumaShimende
    @JumaShimende ปีที่แล้ว +20

    Aandike namba zake Dada maisha llah ni mzuri alhamdulilah

  • @joselinerugamba
    @joselinerugamba หลายเดือนก่อน

    Napenda utulivu wako dada❤❤

  • @rebekamwasube2221
    @rebekamwasube2221 ปีที่แล้ว +3

    Ni mzuri wewe ningekuwa mwanaume ningekuwa ❤❤

  • @AngelNjayo
    @AngelNjayo 10 หลายเดือนก่อน

    Nakupenda sana wewe dada mume mwema anatoka kwa Mungu muda sahihi ukifika utaolewa Mungu yupo umeumbwa na Mungu

  • @Mo-Melody
    @Mo-Melody ปีที่แล้ว +6

    😂😂😂😂eti! Nipo kwenye mausiano ambayo sijui yanausiana na mimi❤❤❤

  • @furahamwikombo-p7g
    @furahamwikombo-p7g 9 หลายเดือนก่อน

    Mdada mzuri sana.... Mungu amekubariki sana Asee sijui kwenye tabia.....

  • @laurentraphael5470
    @laurentraphael5470 ปีที่แล้ว +5

    Dada uko vizuri, Mungu amekuumba kwa uzuri wake jipe moyo.

  • @RoseNyaboke-t9e
    @RoseNyaboke-t9e ปีที่แล้ว +1

    Dadangu ahsante sana Mungu anakupenda maumbile Mungu kakupatia jipende mwenyewe na bila shaka mwenyenzi Mungu atakufanyia kulingana na vile roho Yako inataka nakutakia heri na fanaka kwa maisha Yako kwa mola nimekucha

  • @GluGlu-u4m
    @GluGlu-u4m ปีที่แล้ว +3

    Uko mzuri dada tena mrembo tu, yupo pia my friend kutoka TZ but yy huzinyoa lakini bado zaonyesha hadi kifuani so akiwa mbele zawatu anajifunika sura japo amezinyoa halafu nimrembo sana tu, usifuate maneno ya watu Mungu ndie alie kujaalia so Ishi maisha yako.❤

  • @nyangemusa780
    @nyangemusa780 11 หลายเดือนก่อน

    Jamani mbona dada Yuko viziru mbona Mimi nimempendaa❤❤❤❤

  • @adamuipingika122
    @adamuipingika122 ปีที่แล้ว +14

    Yaan me mwenyew mwanaume lakn sna hizo ndevu, ila mungu mkubwa sana humpa amtakaye na humnyima amtakaye kwahy tote saw tuh alhamdulilah

    • @GeofreylaurentMelchiad
      @GeofreylaurentMelchiad ปีที่แล้ว

      😂😂😂😂😂😂😂

    • @DeboraPeter-tv4dh
      @DeboraPeter-tv4dh ปีที่แล้ว

      😂😂😂😂 nimejikuta nacheka baada ya kusoma comment yako Mungu fundi

  • @rukiamashaka7577
    @rukiamashaka7577 หลายเดือนก่อน

    Mzuri MashaAllah ❤🎉❤🎉

  • @kaibungarose4207
    @kaibungarose4207 ปีที่แล้ว +3

    She is so beautiful ❤️ keep going kirembo

  • @sarahkinyashi6213
    @sarahkinyashi6213 11 หลายเดือนก่อน

    Jiamini mpendwa Mungu hajakuumba kwa bahati mbaya,yaani ni mrembo sna🙏🙏🙏🙏🙏

  • @aminathaabubakarmasoud565
    @aminathaabubakarmasoud565 ปีที่แล้ว +11

    Beautiful MashaAllah ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @AnnaAmanda-v4q
    @AnnaAmanda-v4q ปีที่แล้ว +2

    Daaaaaaaaah ila ana ndevu nzuri jikubali dada binadamu haishiwag neno❤❤❤❤❤

    • @DavidDuniadabu
      @DavidDuniadabu 11 หลายเดือนก่อน

      Numéro yako dada

  • @zuhrakhamis6508
    @zuhrakhamis6508 ปีที่แล้ว +6

    Ila ni mzur sana mungu hajakosea kabisa❤

  • @kanyesigyeprovius8797
    @kanyesigyeprovius8797 10 หลายเดือนก่อน

    She's a beautiful lady bambi❤❤❤

  • @teresasambu2394
    @teresasambu2394 ปีที่แล้ว +1

    Very beautiful ningekuwa mume ninkekuoa wewe ni mrembo tu sana jikupali dada

  • @hamadramadhan8422
    @hamadramadhan8422 ปีที่แล้ว +13

    Lkn ni mzuri sana

    • @FelisterMpwage
      @FelisterMpwage ปีที่แล้ว

      Jaman ni mrembo sn jikubali hata usiwe mnonge ukamkifuru Mungu,anamakisudi yake

  • @estermgoma7451
    @estermgoma7451 10 หลายเดือนก่อน +1

    Yaan dada ww n mzuri sana aisee nimekupenda bure

  • @sikukuuchuo3093
    @sikukuuchuo3093 ปีที่แล้ว +3

    Mungu akupe wepesi akujaze n subra . 😢

  • @margaretjuma5762
    @margaretjuma5762 ปีที่แล้ว +2

    Anafanana na waigizaji wa kiume wa Nigeria ,very smart

  • @teddysananga
    @teddysananga ปีที่แล้ว +12

    Beautiful 🎉🎉

  • @bendera8589
    @bendera8589 11 หลายเดือนก่อน

    Waaau Mimi nmekukubali tu cz hio nkaz yamungi usjali ❤❤🎉

  • @drdd774
    @drdd774 ปีที่แล้ว +6

    Nyoa hizo ndevu, alaaaaaaaa

    • @sonnyr1899
      @sonnyr1899 ปีที่แล้ว +1

      Akinyowa zinaongezeka

    • @nadyasalim7956
      @nadyasalim7956 ปีที่แล้ว

      hahahahaaaa

    • @sonnyr1899
      @sonnyr1899 ปีที่แล้ว

      @@nadyasalim7956
      Hamna cha kuchekesha

    • @ramlazubery1682
      @ramlazubery1682 ปีที่แล้ว

      ​@@sonnyr1899 nilikua naitafuta hiiii. Ukinyoa zinaongezekaa

    • @sikukuuchuo3093
      @sikukuuchuo3093 ปีที่แล้ว +2

      Coment Yako n chuki kwani alitaka

  • @ramlaleila374
    @ramlaleila374 9 หลายเดือนก่อน

    Dada kwa kweli ni mzuri Ma Shaa Allah

  • @geofreysadok4823
    @geofreysadok4823 ปีที่แล้ว +8

    Rangi imembeba,angekuwa black ingekuwa noma.all in all GENETICS 🤞

  • @NancyMwajimbo
    @NancyMwajimbo 10 หลายเดือนก่อน

    Aki dada uko mrembo sana ❤❤❤❤

  • @Ezekiel-rh2ni
    @Ezekiel-rh2ni ปีที่แล้ว +3

    She is so beauty

  • @dianajohn8520
    @dianajohn8520 11 หลายเดือนก่อน

    Hata nami nina ndevu ,,so tujukubali, proud to u Sr.

  • @TrustElbashil
    @TrustElbashil ปีที่แล้ว +6

    Dada nimzurii usihofu kwanza anae kushangaaa ni mjinga Mimi nimekukubali uko vizuri

  • @theopisterjovent3483
    @theopisterjovent3483 ปีที่แล้ว +2

    Huyu tangu nakua nimemkuta ana ndevu sasa watu wakawa wanamshangaa ila alikuwa anazinyoa baadae akaacha kuzinyoa. Dada jikubali wala usiwe mnyonge pambana utatoboa❤

    • @jeremiapeter683
      @jeremiapeter683 ปีที่แล้ว

      😂😂😂😂 ujumbe wako ume nifanya nicheke..

    • @theopisterjovent3483
      @theopisterjovent3483 ปีที่แล้ว

      @@jeremiapeter683 kweli yaan kipindi hicho alikuwa na mme wake sasa ana ndevu hapo ndo kulikuwa na mkanganyiko kila mtu anamshangaa

    • @jeremiapeter683
      @jeremiapeter683 ปีที่แล้ว

      Sawa..

  • @nanaritho6850
    @nanaritho6850 ปีที่แล้ว +8

    Huyu dada ana asili ya nywele weee angalia hata kichwani...ni mzur sana

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl ปีที่แล้ว

    Maashaallah. Dada mrembo Allah akujaalie mume mwema. Kwani ndevu si nyweletu. Usijali lizikiyako ipotu

  • @lilianakeya9868
    @lilianakeya9868 ปีที่แล้ว +4

    So beautiful 😍😍😍

  • @Kivukwanza
    @Kivukwanza ปีที่แล้ว +1

    Nimefikia kumpenda sana huyu dada. Nampenda sana

  • @bebykamba8969
    @bebykamba8969 ปีที่แล้ว +2

    pole sana dada< i live in USA, unaweza kufanya laser treatment hazitaota tena. uliza laser treatment, watu wakusaidie ununue kenzo. huku marekani tunafanya laser kwa makwapa, miguu, mikono na uso.

    • @iddfundikira2817
      @iddfundikira2817 ปีที่แล้ว

      Acha utani ni bei gani kufanya hiyo treatment

    • @JaneKabyemela-f3m
      @JaneKabyemela-f3m ปีที่แล้ว

      Sasa wewe ambae upo huko ndo wakumsaidia

  • @Fatherabraham254
    @Fatherabraham254 11 หลายเดือนก่อน +1

    You are beautifully and wonderfully created mamaii....love you from Kenya 🇰🇪

  • @eliamtinda7222
    @eliamtinda7222 ปีที่แล้ว +3

    Beautiful, beautiful!

  • @jennynolah8422
    @jennynolah8422 ปีที่แล้ว

    Kweli Yuko mrembo sana nakupenda Bure I wish ningekuwa mwanaume ningekuoa Kwa haki ya mwenyezi Mungu ❤❤❤

  • @ritapiusnicolaus7068
    @ritapiusnicolaus7068 ปีที่แล้ว +9

    Mdada mzuri sana❤wazo langu uwe unazipunguza

    • @koyiasunga9785
      @koyiasunga9785 ปีที่แล้ว

      Kweli apunguze bhana dah

    • @AminaAhmed999
      @AminaAhmed999 ปีที่แล้ว

      kweli angezitoa maana wanaume tu wanavozinyoa sembuse yeye ashindwe kuzitoa ajikubali lkn kila mwezi afanye wax

  • @SiajabuAlikombo
    @SiajabuAlikombo 10 หลายเดือนก่อน

    Pole Sana dada angu inshallah mng akupe ujasir katk maish yako

  • @athumannassoro5073
    @athumannassoro5073 ปีที่แล้ว +3

    Napenda sana mwanamke mwenye ndevu wao wana nyota ya utajili❤❤

  • @muhammadmuhammad5043
    @muhammadmuhammad5043 ปีที่แล้ว +1

    Pole Sana Allah Akupe Subra Mashaallah Kwakweli Wewe Nimzuri Allah Amekujaalia
    Unataka Spot Tuu au Unataka Kuolewa Pia....

  • @amanimanase8798
    @amanimanase8798 ปีที่แล้ว +3

    😅😅😅😅aisee ni noooma sana mbona ni HANDSOME sana ivyo

  • @Teaching356
    @Teaching356 11 หลายเดือนก่อน

    MUNGU Asante kwa uumbaji wako🙏.

  • @kswagga9148
    @kswagga9148 ปีที่แล้ว +6

    Watanzania mimi ni Mkenya hii condition inaletwa na High level of Androgens Ni kawaida tu. Ukitaka kuzitoa fanya mazoezi upunguze Mwili so that Mwili wako utengeneze fewer Male hormones. Wanaume Msimwogope Ni kawaida sana.

    • @Clever-l8v
      @Clever-l8v ปีที่แล้ว

      Njoo wewe umuoe

    • @Zuu673
      @Zuu673 ปีที่แล้ว

      😂😂😂😂​@@Clever-l8v

    • @agnesjohn9382
      @agnesjohn9382 ปีที่แล้ว

      ​@user-ex6sh1rl4d 😂😂😂 na wewe

    • @jlove5238
      @jlove5238 ปีที่แล้ว +1

      Kuna haja gani ya kusema wewe ni mkenya au uhusiano uko wapi katika taarifa yako kuhusu hio condition na wewe kuwa mkenya?

    • @edwinalexander1170
      @edwinalexander1170 ปีที่แล้ว

      Tatizo la sisi na wakenya ni "bragging" sasa kulikuwa na umuhimu gani wa kujitambulisha kama mkenya? Au kuwa mkenya kuna kusaidia nini? Or what is so special about Kenya that you should introduce yourself here before addressing this matter ?

  • @pablonsanzumuhire2024
    @pablonsanzumuhire2024 11 หลายเดือนก่อน

    Big up my dear. Jah be blessed our dreams because Be believe Him. 🙏

  • @nashphatyprince7282
    @nashphatyprince7282 ปีที่แล้ว +8

    Ukwel dada anaitaji msada maan iyo ni changamot sana kua na mausiano ukwel anaitaji msada

  • @BENARDKATETE
    @BENARDKATETE ปีที่แล้ว

    Mie Mkenya ebu tuasiliane niko jijini Nairobi. ❤

  • @hassanbakari4525
    @hassanbakari4525 ปีที่แล้ว +5

    ah weh,,mzuri ila usiniambie mustach huo nikae nao ndani,,,nop😊

    • @mwitaagness455
      @mwitaagness455 ปีที่แล้ว

      Acha kusema hivyo ndugu Mungu ana mambo mengi sana sana, hajapenda

  • @emmanuelkereto4344
    @emmanuelkereto4344 6 หลายเดือนก่อน

    Mimi nimempenda sana natamani niongee nae ❤

  • @HamimuBadyanaJR
    @HamimuBadyanaJR ปีที่แล้ว +3

    MIMI KUCHEKA SIWEZ KUJIZUIA😂

    • @jlove5238
      @jlove5238 ปีที่แล้ว +1

      Ila kuandika unaweza kujizuia!

    • @HamimuBadyanaJR
      @HamimuBadyanaJR 11 หลายเดือนก่อน

      @@jlove5238 katombwee

  • @princessjoy9130
    @princessjoy9130 ปีที่แล้ว

    My situation right now mpaka mume wangu kaniacha kaoa mwingine juu ya marafiki kumcheka but I thank God for who I am

  • @LihogoGosa
    @LihogoGosa ปีที่แล้ว +3

    Sioo wakwanza ila naombeni like apaaa

  • @ismailsoud3634
    @ismailsoud3634 10 หลายเดือนก่อน

    Kumbukeni kuwa, juko nyuma hapakuwepo kwamba Mwenyezi Mungu kuumba namna , Hii inaonyesha kuwa SIKU ZA KIAMA ZIMEKARIIBIA.

  • @katabaroonlinetv9688
    @katabaroonlinetv9688 ปีที่แล้ว +2

    Bukoba tuna kila kitu muacheni mungu aitwe mungu,senene sisi,miguu mizuri na mashepu ya wadada sisi,tetemeko Sisi,katerelo Sisi,ndizi sisi yani Noma😂😂😂😂

    • @waulaya8507
      @waulaya8507 ปีที่แล้ว +1

      😂😂😂 umetisha Sanaa👊

    • @katabaroonlinetv9688
      @katabaroonlinetv9688 ปีที่แล้ว

      @@waulaya8507 Bukoba ni full package 📦 aisee 😂😂😂

  • @phylisnyanchama5858
    @phylisnyanchama5858 11 หลายเดือนก่อน

    Mungu akubariki dada you're very beautiful indeed

  • @mvungigaming
    @mvungigaming ปีที่แล้ว +2

    Hajajua tu jinsi ya kuzifanya zisiote tena
    Mwambieni atumie treatment ya " Laser hair removal" hizo ndevu ndio itakuwa kwaheri hazitaota tena.
    Ni kitu simple tu kama kweli hazipendi.

    • @Petrolheadstz
      @Petrolheadstz ปีที่แล้ว

      Haina madhara

    • @mvungigaming
      @mvungigaming ปีที่แล้ว

      @@Petrolheadstz haina hata robo ni safe

    • @stansiauisso5441
      @stansiauisso5441 ปีที่แล้ว

      Kwa Tz itapatikana??

    • @mvungigaming
      @mvungigaming ปีที่แล้ว

      Ipo​@@stansiauisso5441

    • @tausmatimana6066
      @tausmatimana6066 13 วันที่ผ่านมา

      Inapatikana wapi? ​@@stansiauisso5441

  • @ZaitonYasin-l3b
    @ZaitonYasin-l3b ปีที่แล้ว +1

    Mzuri mashaallah jikubali Dada nimekupenda❤️

  • @elishaelishaedward9454
    @elishaelishaedward9454 ปีที่แล้ว +11

    Dada Mrembo ww umependeza tu na ndevu zako kila kitu kinatokea kwasababu nimependa unajikubali

    • @NaimHaji-z8g
      @NaimHaji-z8g 10 หลายเดือนก่อน

      Mimi kama utasilimu nakutakan. Ilan nina wake watatu wewe utakua

  • @angelamarlow4834
    @angelamarlow4834 6 หลายเดือนก่อน

    Mungu ni mwema kwa kila jambo wewe nimzuri 😊

  • @teedullah5708
    @teedullah5708 ปีที่แล้ว +4

    Hu nao ni mthihani masikini usijali dadaa ni Maisha tu hayo

  • @JastnKuresou
    @JastnKuresou 5 หลายเดือนก่อน

    Usivunjuke moyo dada angu mungu yupo

  • @YunisJerald
    @YunisJerald ปีที่แล้ว +2

    Si awe anazipunguza anaogopesha mwili wa mwamke kichwa tu ndio cha mwanaume.

    • @kibibimlaula2526
      @kibibimlaula2526 ปีที่แล้ว

      Wewe huskiii akinyoa zinaongezeka zaidi jmn

  • @bayusufbayusuf8403
    @bayusufbayusuf8403 11 หลายเดือนก่อน

    Aje kwangu nko taari kuish nae❤🎉🎉🎉

  • @paulabelleghe451
    @paulabelleghe451 ปีที่แล้ว +3

    Mzuri kama Muarabu

    • @Ndu-wa.uroony2
      @Ndu-wa.uroony2 ปีที่แล้ว

      Fala wewe unayewatukuza waarabu kwamba ni wazuri

    • @paulabelleghe451
      @paulabelleghe451 ปีที่แล้ว

      Sababu wanakufiraga sio Kenge wewe

    • @simbachui2281
      @simbachui2281 2 หลายเดือนก่อน

      stupid kwani waarabu ???

  • @DOREENCHARLES1995
    @DOREENCHARLES1995 8 หลายเดือนก่อน

    Unakaa powah dadangu na comment nikiwa hapa Kenya mimependa hizo ndefu...zako...Mii ninazo lakini chache Sana na hata zikimea siezi kumlaumu maulana ...yaani mimi na resemble Babangu❤❤❤🤣🤣🤣🤣🤣

  • @JanetAhmad-v3h
    @JanetAhmad-v3h ปีที่แล้ว +3

    si kuna dawa jamani angekua huku saudia naona vinaisha tu