RECAP: DIAMOND NA RAYAVNNY NDIO WASANII WA KIMATAIFA KWA SASA, HARMONIZE, ALIKIBA WAMEKUTWA NA NINI?
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 7 ก.ย. 2024
- Bongo5 is a dedicated to creating the best content for you, our audience!
We hope you enjoyed this video, and ask you to please like & subscribe to our channel if you haven't yet. Have you had a great experience with our channel? Let us know in the comments below!
#entertainment #news #music #funny
Sasa harmonize siyo wa kimataifa? Wewe nawe 🇨🇩🇨🇩☝️
Tatizo wabongo roho mbaya. Wape somo
Courage Rayvnny une fois tu vas Grandir tu te force vraiment je te suit dépuis le Congo RDC précisément à Kinshasa 🇨🇩🇨🇩.
Wa Congo wamepita hiko brother
Yoooh it's part of development hongera rayvanny🎉🎉🎉🎉
Bro nakupenda sana
Wabongo andaeni show wenyewe kwe arena Paris tuwa kubali sasa ❤❤❤
Wee mnafiki sanaa lifk yngu
Ww CHOKO kwel huyu JAMAa humjui alafu unacomment upumbavu
Ww JAMA humfatilii vizur, inaonekana ndo Leo umemuona hufaligi interview
Rayvanny chuii ni mmoja,africa
kkkkk uongo kaka tuanjeye tz tuone amenjaza kwanza.siokualikwa ndo tuanje sema musani mukubwa wakati nyumbani bado
Mond vanny❤❤❤❤
Sema mda mwingine unachambua vizuri lakini hii sio uchambuzi sasa hivi kweli Harmonize sio msanii wa kimataifa
Atcha uwongo rayvanny awezi kujaza Arena paris wahachiye wa Congo🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩amuwezi kabisa,
Diamond mbon amefany mengi mbon huyaongelei acha usenge
Ww ndo MARA YAkwanza Leo UNAMFATILIA huyu JAMAA , ACHA UJINGA WW MSHAMBA TU, DIAMOND MBONA KAMUONGELEA SANA KWA MEMA, Yaaan watu wengine bhna ndo KWANZA Leo umemuona mchambuaji na hujamfatilia unaanza KUROPOKA TU, WW unajua mchambuzi boro WA mziki ni NAN? HAPO BONGO ni huyu jamaa, Usiwe unaropoka hovyo.
We jamaa mpumbavu kwel, inaonekana ndo Leo kufatilia interview za huyu JAMAaa , DIAMOND ANAONGELEWA VIZUR na huyu jamaa Kila siku, ww sijui ulikuwaga hujanunua Simu kubwa!
Bro nime sha sasa kuelewa mwanzo nili ku tukana lakini ni shaelewa
Daaa kaka uko kama mwanamke wa kihaya mna hatukuelew sta kdg
Lecturer wangu AHSANTE SANA
Sa show ni yake yeye au kashirikishwa?? Tofautisha kushirikishwa na kuandaa show acha kukoroga watu.
Kwa hiyo tukusaidiaje mbona wew umekaa hapo hapo bongo 5 husongei kwend kokote ...hapo kenya tuu hujulikani😂😂
Tatizo lama funs wa Tz kama hujasema vizuri wasani wao
Comments zao utaziona hapa ginsi wanapingana na ukweli
Nakuelewa saaaana kwa kuwa ni mtazamo wako na sio wakila mtu
Elmando unkosea kusema east Africa rayvanny ndo ana BET Kuna Eddy kenzo kutoka Uganda
Harmonize n sawa na wasanii 400 wakitanzania
We huna fahamu
@@King-bureslepro habar ndio hio
Ni kweli kabisa
Ila hao wasanii 400 ni wale wa ngoma za Asili kutoka Sumbawanga na kitohole
@@kilungahamis1270 hawa wasanii 400 mmoja wao n mondi
Wanaosema rayvanny ni mdogo wana wivu tu.
W unaxhda fala wweeeh axh uxhawa
Man arena ya Paris inabeba watu elfu arubaini man fanya research usiseme vitu bila ku chunguza Aréna ya Paris inayoitwa Paris defense arena sold out ni watu 40.000 sio 22.000
Ni ukweli arena ya paris ni watu 20300..nenda google acha kupinga kitu uyo ame fanya research before akuje hapo
Na iyo ndo arena kubwa duniani
Muende arena Paris mujaze basi kama fere gola na Fally ipupa
Acha ungo Maluma hajawai kumuomba Rayvanny collabo, Rayvanny ndie alienda kwenye DM ya maluma na alivyojibiwa akaanza kutuma nyimbo na moja ya nyimbo alizo tuma ni Tetema, maluma akaupenda cuz Una beat yaki Colombia flani Hivi, so wakafanya remix Ndio maana hati miliki ya mama tetema nia Maluma cuz Rayvanny alimuomba yeye collabo! Gets ur fact rights
Acha kujifanya mjinga Maluma Ali vibe na nyimbo ya Ray akitamani kumjua mwenye nyimbo ili aifanyie remix ndio ray kajitokeza na alivojitokeza Maluma akaomoka kkuelewesha kua Maluma alimuomba Ray kolabo Ile mama Tetema Nia Maluma aliinunua Ile nyimbo
@@mbezzoprince9462 uliskiliza interview ya maluma alivyokuwa na promote wimbo wa mama tetema kabla awaja perform kwenye tuzo za MTV ema au Ndio hivyo Akili zako Zipo matakoni?
Muddy kazuba, jina LAKO KWEL UMEZUBAAA
Almando hujuwi uko wapi
Tushakuzoea unaeda Na upepo
Kwendraaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Huyu jamaa sometimes hukurupuka kwa kutengeneza content.
Hakuna mtu asoeleweka kama wewe ALMANDO,Almando hujielewi na sijui nn unataka,kinyonga yuko nyuma
Unamuchukia alikiba tunajuwa koma kumuongelea kila mara kwa ubaya
Ana mchukia kibamia vipi uo ndio ukweli sasa amsifie kwa kipi alichofanya show zake kubwa mombasa
Mahamud abbdala nyie ni washamba kama washamba wengine, MMEANZA KUTUMIA SIMU LEO ALAFU MNAKOMENT UJINGA
Wewe naona unatafuta ugomvi na Konde boy 🙄
Hujui ki2 ww futa channel yako kiba huna mwacha wap ww
Harmonize, rayvanny na diamond ndo wasanii ndo wanapiga show za stadium 😊
Apo harmonize hayupo broo uyo bado sana apo ni Mondi na rayvan mwenyewe kwa mbali
Shida wewe unajisaliti mwenyew
Kwani tarehe 5 mpska 7 July, Ali Kiba anaenda Toronto kufanya nini? Di festival ya kimataifa... fanya research yako vizuri na facts ziendane na actuality. Otherwise unakuwa mediocre entertainment analyst
Wewe ni shabiki wa diamond na anakutumia kuponda wasanii wengine ila sisi tukwambie tu huwo unao sema wewe ni uwongo huko Albania wewe umeenda lini
Mmmm Daimond kwa sasa hapana tuwe wakweli tu sasa kafanya show wapi 😢😢 toka mwaka jana
😂😂😂😂 uko dunia hii kweli wew
Mbona kafanya shoo Germany juzi tu na Jana alikuwa ureno sasa wewe upo Dunia hii hii au upo Jupiter huko
Jina lenyewe tausi hahahaha kazi ipo
Harmonize akifanya show ulaya utasema ivo ivo tumekuzowea
Please don't talk about Alikiba hakuna sehemu ajafiki Almando kumbuka kipindi chazamani apakuwepo technology yaki sasa ila wanitangaze ila king kiba amepiga show nyingi ulaya wewe unajifkiria nini acha pumbavu zako
Na sai anashindwa na nn?
@@mbezzoprince9462😂😂😂😂
Kwenda uko alikiba kafanya lipi kubwa lakushangaza mtasema kafanya ngoma na r.kelly iyo ndio point yenu kubwa
Kafika wapi uyo alikiba show zake labda Mombasa Kenya na Zanzibar hahahaha alikiba alishafeli
@@montanablaww1664hahahaha uo ndio ukweli alikiba hakuna kitu zaidi ya kutembelea upepo wa Mondi ndio kutoboa kwake