DIAMOND Afunguka ALIKIBA kutaka KUMUIBIA watangazaji wake

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 2 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 191

  • @richkaja3317
    @richkaja3317 3 หลายเดือนก่อน +25

    Mond weye mtu wa watu bless sanaa

  • @kichecheBurund
    @kichecheBurund 3 หลายเดือนก่อน +31

    Leo ❤nisiku mbaya kwangu ivi kwanini amu ni support kwa like naomba like basi❤

    • @munisialpha6465
      @munisialpha6465 3 หลายเดือนก่อน

      Njoo nikukande nikupe like

    • @MJEGEJEEE
      @MJEGEJEEE 3 หลายเดือนก่อน

      YANI usiomuomba MUNGU unakuja hapa kuomba likes 😅😅😅😅😅😂😂

  • @MoneyKey247-fk4oy
    @MoneyKey247-fk4oy 3 หลายเดือนก่อน +10

    Mbona mnaandika kitu cha uongoo sijaona kauli ya diamonds kumlaumu kiba acheni umbeya pumbavu zenu

  • @Ommylakdee-c8q
    @Ommylakdee-c8q 3 หลายเดือนก่อน +7

    Mwanaume kuombaomba like huo niushoga

    • @BenMahende
      @BenMahende 3 หลายเดือนก่อน

      ACHA ushamba, no life bila support

  • @thethengomba355
    @thethengomba355 3 หลายเดือนก่อน +6

    The last question is very MEDIOCRE, very CHILDISH

  • @alilalji1306
    @alilalji1306 3 หลายเดือนก่อน +3

    Diva mnafik king akose watu wote amfate Diva Sura mbaya

  • @hassanWanjiku
    @hassanWanjiku 3 หลายเดือนก่อน +4

    Aaaaah wivu wa Nini ama n vile Ali kiba amepokelewa acha za ovyo braza

  • @AbuyDullah
    @AbuyDullah 3 หลายเดือนก่อน +7

    Kwanza tuanzee hapa Diva muongo hakutafutwa na crown ni kiki tu linatafuta nmna lisikike tu Lile li mwanamke Kuna watu kiba anawachkua na diva sio miungon mwao msidanganyike

  • @tigejuma9865
    @tigejuma9865 3 หลายเดือนก่อน +1

    N kma mondi Hana Raha...konde alimkunja uso moyo wake una vuja damu...kma bahati bukuku alivyosema😅😅

  • @swahilifashion2206
    @swahilifashion2206 3 หลายเดือนก่อน +1

    Huyo mpuuzi Diva ataachaje kusema ilihali anatafuta kiki kwakua alitemwaga na Kiba tokea kitambo.. mpuuzi tu

  • @EmmanuelMagaye-v3x
    @EmmanuelMagaye-v3x 3 หลายเดือนก่อน +18

    Drp likes for simba and B levo

  • @gwidjiqshabani2082
    @gwidjiqshabani2082 3 หลายเดือนก่อน

    HARMONIZE 🐘 AKIFUNGUA MEDIA BONGO SIKU HIYO HIYO NTAHAMA😂 MAANA MEDIA ZINAKUA ZINAMILIKIWA NA WASENGE. KONDE GANG HAKUNA SHOBO.

  • @gregoryndanu3541
    @gregoryndanu3541 3 หลายเดือนก่อน +10

    Diamond Godfather wa mziki wa Bongo💪🏾

  • @snipper4462
    @snipper4462 3 หลายเดือนก่อน +20

    Big up Mondi

  • @mstarabubeats2165
    @mstarabubeats2165 3 หลายเดือนก่อน

    KUSAIDIA NINI HAPO NDO UNAPOJISAHAU.FANYENI BIASHARA TANGU LINI UKASAIDIA MTU WEWE ROHO YAKO YA KOROSHO
    UMEMUUA MAVOKO A.K.A KING OF BONGO FLAVER

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed624 3 หลายเดือนก่อน +3

    Huyu Jamaa snitch sanaaaaa 🎭

  • @reginawilliamvictor3020
    @reginawilliamvictor3020 3 หลายเดือนก่อน +10

    Tunakubali simba

  • @HasnaNassoro
    @HasnaNassoro 3 หลายเดือนก่อน

    Msipende uchinganish diamond na Alikiba msipo wasema jaman mambo yenu ayaendi?ipo siku mtajibu ayo ,hapa ni dunian kumbuka kesho,apa wakilumban mnafaid nini au mta faid kipi

  • @mkadinali_ent.
    @mkadinali_ent. 3 หลายเดือนก่อน +1

    Rick media nanyi wangese tu ,title mnaandika hapa n utumbo tu

  • @IssaAbushehe
    @IssaAbushehe 3 หลายเดือนก่อน +1

    Uislam umempendeza maa shaa Allah ifike wakati autumikie in shaa Allah

  • @waltermfikwa4361
    @waltermfikwa4361 3 หลายเดือนก่อน

    Kwan hv mkiweka tu bila kuandika kuhusu Alikiba hamna watakaotazama!? Mavi kweli nyieee

  • @collinndabi1914
    @collinndabi1914 3 หลายเดือนก่อน +5

    Sura haionesh furaha

  • @AllyBabu-kr6lg
    @AllyBabu-kr6lg 3 หลายเดือนก่อน +7

    We achana na uyo chawa nenda kawanunulie waimbaji wako maroboti mahana viws zao changamoto 😢😢😢😢😢

    • @piusmwakyembe4545
      @piusmwakyembe4545 3 หลายเดือนก่อน +3

      Nawe kamnunulie mkeo kama unaona rahis

    • @AllyBabu-kr6lg
      @AllyBabu-kr6lg 3 หลายเดือนก่อน

      @@piusmwakyembe4545 haaaaaaaaaa

    • @kizdady2544
      @kizdady2544 3 หลายเดือนก่อน +1

      @@piusmwakyembe4545ata suruwali ya ndani hawezi mnunulia 😅

    • @solomonsamuel3584
      @solomonsamuel3584 3 หลายเดือนก่อน +1

      Kamununulie mkeo kigodoro kwanza make na yeye nyuma hapaonekani

  • @frankmwinuka6298
    @frankmwinuka6298 3 หลายเดือนก่อน

    Zamani nilikuwa namuona ni mwana kumbe afadhali ya mwijaku kuliko huyu mondi

  • @zaharanakim289
    @zaharanakim289 3 หลายเดือนก่อน +4

    Tai Sasa lilivyo kaa

    • @JordanRichard-vq6zz
      @JordanRichard-vq6zz 3 หลายเดือนก่อน

      Tai imekaa kichawa zaidi, uenda chawa wamo mle😹😹

    • @KassimAlly-w4y
      @KassimAlly-w4y 3 หลายเดือนก่อน

      du!

  • @DonMuyuya
    @DonMuyuya 3 หลายเดือนก่อน +5

    Saidia kwanza baba yako

    • @abuuhamda6213
      @abuuhamda6213 3 หลายเดือนก่อน

      Wazaz wake walifariki mzee kıla siku huwa anasema

    • @st.alvincollege6184
      @st.alvincollege6184 3 หลายเดือนก่อน

      Baba yake yupi?

  • @careemdulla1629
    @careemdulla1629 3 หลายเดือนก่อน

    Hongera Diamond kwa kuwasaport wasanii wenzako pia achana na watu wenye wivu wa maendeleo eti kwanini unamsaidia Babalevo huo ni wivu tuu ukiona mtu anasaidiwa ni anajuhudi

  • @mussandikumana3561
    @mussandikumana3561 3 หลายเดือนก่อน +2

    Wala crown aina shida nao awo wangewaita wasingesema

    • @sospetershijah5619
      @sospetershijah5619 3 หลายเดือนก่อน

      Mbona Hans Raphael kaenda na alikuw wasaf? Achen ngonjera kila mtu anatafta riziki kw namna yake na kw njia yake anayoiona ni sahihi achen chuki wala mond hana shida yyte alishatangulia kweny hii biashara muda mref wala akuna tatzo ila sis mashabik ndio huwa tunaleta haya matabaka kw sabab ya chuki za kishabiki tu.

  • @DMARVEL-qf5wy
    @DMARVEL-qf5wy 3 หลายเดือนก่อน +5

    Baba levo hayo ndio maendeleo na sio kuwa chawa sio Dili mzee baba

    • @roychogo2329
      @roychogo2329 3 หลายเดือนก่อน

      Njia aliyo chagua imemfanikisha😂

  • @mohdkhalifa8828
    @mohdkhalifa8828 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hakunaga chuki kwenye mafanikio

  • @nicholauskilosa5336
    @nicholauskilosa5336 3 หลายเดือนก่อน +1

    Kubwa jinga linachekelea kama zombi

  • @rewardyesse7314
    @rewardyesse7314 3 หลายเดือนก่อน

    Mtangazaji wa Millard ayo ameuliza swali zuri sanaa

  • @AyubuMwaikela
    @AyubuMwaikela 3 หลายเดือนก่อน +2

    jamaa linaroho mbaya unavo msikiliza kama vile mzuri vile

    • @hoseanobocka7140
      @hoseanobocka7140 3 หลายเดือนก่อน

      Roho mbaya yake Diamond ni ipi kipi kibaya aliwahi kukufanyia au kufanyia familia Yako ?????

  • @IbrahStaneliy-g7s
    @IbrahStaneliy-g7s 3 หลายเดือนก่อน +12

    Hongera sana baba levo

  • @starfireog8695
    @starfireog8695 3 หลายเดือนก่อน

    Naombeni sapoti ata Mimi naomba nimeaachia wimbo wangu mpyaa unaitw wewe kama mtataka kusikiliza starfire wewe

  • @ndizoshukuru6142
    @ndizoshukuru6142 3 หลายเดือนก่อน +4

    Daaaah😂😂

  • @SunezaDiciman
    @SunezaDiciman 3 หลายเดือนก่อน

    Wasaf diva awamlipi vizur,toka tu nenda crown media ukapige mwingi Maana kule ni nyumbani

  • @agnesmwakilingo5804
    @agnesmwakilingo5804 3 หลายเดือนก่อน

    Yaani binadamu acheni mond anapambana sana kuisaka pesa.Hana ubaya nyie tu na Roho zenu.

  • @reganndossi1833
    @reganndossi1833 3 หลายเดือนก่อน +8

    Drop like hapa

  • @rewardyesse7314
    @rewardyesse7314 3 หลายเดือนก่อน

    Diamond anajua kuongea kinoma

  • @BenMahende
    @BenMahende 3 หลายเดือนก่อน

    Mondi Nakukubali kuliko maelezo. Endelea kuwa na na moyo huo huo

  • @Sisopotashiumz
    @Sisopotashiumz 3 หลายเดือนก่อน +4

    Simba tunakukubali saana wote na family yangu

  • @NelbatKasekwa
    @NelbatKasekwa 3 หลายเดือนก่อน +2

    Ulitaka afanye nini diamond I amewabeba wasanii wamekiwa wakubwa wewe unasema mnafiki wewe umewabeba wangapi acheni chuki

  • @benboyburundi2429
    @benboyburundi2429 3 หลายเดือนก่อน +1

    baba levo ndagukund kutoka Burundi big love G gong like kama unamkubali baba levo😂

  • @kabobajeanclaudenaftali6608
    @kabobajeanclaudenaftali6608 3 หลายเดือนก่อน +7

    Mungu aendeyee kukulinda kk

  • @KassimAlly-w4y
    @KassimAlly-w4y 3 หลายเดือนก่อน

    Usije kusema umeibiwa

  • @STANLEYMFIKWA
    @STANLEYMFIKWA 3 หลายเดือนก่อน

    Wewe ambaye sio mnafiki umefanya nn mzee fanya mambo Yako mzee

  • @erdekingtv9563
    @erdekingtv9563 3 หลายเดือนก่อน +3

    Safi sana brother mondy umezaa watoto wengi kwenye maendeleo sijui harmo, vanny, mbosso, zuchu na sasa b levo ba

  • @shutheprincess4633
    @shutheprincess4633 3 หลายเดือนก่อน +3

    Ila mchiz anatumia kigodoro😊😊

    • @ikramalmas7039
      @ikramalmas7039 3 หลายเดือนก่อน

      Tafuta pesa harafu ikuzoee unatakata tuu

    • @hoseanobocka7140
      @hoseanobocka7140 3 หลายเดือนก่อน

      Hyo pesa kaka umasikini ndo unafifisha mwili

  • @johnmwasilu7087
    @johnmwasilu7087 3 หลายเดือนก่อน +3

    Saraphina kila siku anapigwa za uso maswali yake ya kijinga jinga 🤣🤣

  • @eliuskamwelwe1018
    @eliuskamwelwe1018 3 หลายเดือนก่อน

    Godfather

  • @PaschalGerad-xq4lw
    @PaschalGerad-xq4lw 3 หลายเดือนก่อน +7

    Bi levo baaa

  • @maxlattinokiki8105
    @maxlattinokiki8105 3 หลายเดือนก่อน +1

    Diamond kuongea point sana !! Ila Babalevo liwache ku block watu mfanya Biashara hutakiwi kuwa na hasira

  • @POINT_TV_
    @POINT_TV_ 3 หลายเดือนก่อน +2

    Ushukuriwe wewe diamond

  • @ErickGadson-yg2xj
    @ErickGadson-yg2xj 3 หลายเดือนก่อน

    Diamond Hi the Big smart

  • @Luckreadyog
    @Luckreadyog 3 หลายเดือนก่อน +2

    Kila Mara Niki waona diamond na baba levo nakumbuka number one

  • @fadhilially7357
    @fadhilially7357 3 หลายเดือนก่อน +8

    MBONA MADANCER HAWANA MAISHA NA UWASAIDII

    • @mohamedmanga8391
      @mohamedmanga8391 3 หลายเดือนก่อน +2

      😊wivu utakupa ulcers 😂😂

    • @Ambaryeh
      @Ambaryeh 3 หลายเดือนก่อน

      hapo sasa

    • @ISSACKRICHARD
      @ISSACKRICHARD 3 หลายเดือนก่อน +3

      Fact kama yule iyobo du Ata gari Kali sijui kama anayoo😂😂😂

    • @barrynzeyimana6270
      @barrynzeyimana6270 3 หลายเดือนก่อน +5

      Kuwasaidia kivipi wakati wanalipwa? Kwakua kukusaidia ni kukuajiri baada ya hapo tumia mshahara wako kukuza maisha yako

    • @shabaniismaily1470
      @shabaniismaily1470 3 หลายเดือนก่อน +4

      Kwan ww ukilipwaa mshahara na boss wako unategemea aje kukujengea aje kukufungulia biashara hebu achaa ujinga

  • @RaymondMateyo
    @RaymondMateyo 3 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu mkundu tu na ni shoga tu mchoyo ki midia cha ujinga 😂😂😂😂😂😂😂

  • @BekaJoo
    @BekaJoo 3 หลายเดือนก่อน +1

    Kigoma moja hyo😅

  • @EspoirSamy-st5le
    @EspoirSamy-st5le 3 หลายเดือนก่อน +3

    Zombi we 🎉

  • @sajidseleman6641
    @sajidseleman6641 3 หลายเดือนก่อน

    Good speach

  • @mkadinali_ent.
    @mkadinali_ent. 3 หลายเดือนก่อน

    Huyu mtangazaji wa mwisho n mshamba saaan unakosa kujiongeza diamond kwa alichokijbu mpaka baba levo anakusaidia wee nyooo nini😂😂😂

  • @Anthonyzombie-d2s
    @Anthonyzombie-d2s 3 หลายเดือนก่อน +2

    Simba

  • @amirjuma8020
    @amirjuma8020 3 หลายเดือนก่อน

    Ila huyu jamaa dah mbele ya camera huwa anajua sna kuzba watu macho lkn usiloljua n usku wakiza mwenyez ambariki b levo ba

    • @eliuskamwelwe1018
      @eliuskamwelwe1018 3 หลายเดือนก่อน

      Ko we mungu ndo unajua mabaya yake hongera😅😅

  • @BIGSTAROGTZ
    @BIGSTAROGTZ 3 หลายเดือนก่อน +5

  • @KhamisLilos
    @KhamisLilos 3 หลายเดือนก่อน

    Na mpaka mutakunya mnao mchukia mtu kama huyu

  • @Whoisthismantalking
    @Whoisthismantalking 3 หลายเดือนก่อน +50

    Linafiki sana hili jamaa, linajifanya linasapot watu lakini ndio linaloongoza kwa kuangusha watu. Hakuna msanii aliyewai kutokea tanzania hii aliyewafanyia fitina wenzie kama Diamond.

    • @kizdady2544
      @kizdady2544 3 หลายเดือนก่อน +18

      Wacha umalaya wewe kipofu wa maisha 😅

    • @LangxSheby
      @LangxSheby 3 หลายเดือนก่อน +6

      Ujakosea uyu kama chui tu akicheka ndioamekasilika

    • @WasafiGroup
      @WasafiGroup 3 หลายเดือนก่อน +9

      Liliangusha Mamako, sivyo?pumbavu zako

    • @Anthonyzombie-d2s
      @Anthonyzombie-d2s 3 หลายเดือนก่อน +7

      Mjomb ako ww kakup nn?ach kuongea kam mwanmke

    • @niffonlinetz7214
      @niffonlinetz7214 3 หลายเดือนก่อน +9

      MASIKINI AKILI ZETU BANA 😂😂😂

  • @-thegreat-zawadimmasa307
    @-thegreat-zawadimmasa307 3 หลายเดือนก่อน

    Ongera Simba

  • @Makokola
    @Makokola 3 หลายเดือนก่อน

    Baba levo mm shabiki yako nakupongeza naomba niwe store keeper was ofisini kwako kaka

  • @jamesmusonda1914
    @jamesmusonda1914 3 หลายเดือนก่อน

    Baba Levo yuko royal sana kwa Diamond yani ni rafiki wa kweli siyo fake

  • @TheBakari
    @TheBakari 3 หลายเดือนก่อน

    Diamond ni mtu wakusapot watu

  • @NkusiFred
    @NkusiFred 3 หลายเดือนก่อน +3

    Diamond nasibu ikija kwenye suala la kifikra hapa namutii hususan kimuziki WA bongo na, taalabu

  • @GoodluckAnno
    @GoodluckAnno 3 หลายเดือนก่อน

    Kaka apo umesema tumia ulicho nacho kupata usichonacho

  • @BernandoPrudent
    @BernandoPrudent 3 หลายเดือนก่อน +1

    Simba mina kukumbali sana

  • @alilalji1306
    @alilalji1306 3 หลายเดือนก่อน

    Baba levo amekuwa