ALLY KAMWE" USAJILI AMBAO TUMEUFANYA WATALIA MACHOZI NA KUSAGA MENO/MASHABIKI WA SIMBA TUNAWAPOKEA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 27 ก.ย. 2024
- Leo June 15,2024 Klabu ya Yanga inazindua Kitabu cha Historia yao toka kuanzishwa kwake Februari 11,1935.
Uzinduzi huo unafanyika katika Hotel ya Hyatt Regency Dar es Salaam.
Katika matembezi ya makombe hayo mikoani msisahau swala la kusajili wanachama wapya 👍🏾
Hilo ndo namba moja
Kweli na semina fupi kuhusu umuhimu wa kujisajili
Kila tawi ingefaa wawe na nakala japo moja ktk ofisi zao za matawi.
Hyo ndo target ... Vinginevo hakukuwa na haja ya kufanya hivo
YANGA ina miaka 98 tangu ianzishwe. 2026 tutasherehekea miaka 100
Mashaallah we baba umenichekesha
Naishi UINGEREZA,tuna mastress gunia,lakini nikishamsikiliza Ally, God Yanga,Mwalimu na data zake( za ukweli na uongo,i dunno care) Dosa, kuna kadada Kahaya ( huyo haongei kiswahili🤣🤣) na wanayanga wengi wengine,aisee STRESS ZINAISHA🤣🤣
Eti labda watuibie viungo; kataja vile vya pilau! 🤣🤣 Huyu dogo, nimemfatilia sana,he is clever,smart, intelligent,well learned,funny, artculate,good promoter,( anaweza kukuuzia mayai mabovu) na ANAJUA KUKERA🤣
kweli makolo watakuwa wakifuata nyuma ya Yanga kwa mambo mengi sana! Hongereni Viongozi
Kinzumbi deal done cassablanca
Yanga hawana habari ya Kinzumbi. Waliopo wanatosha kuwapiga madunduka
Jifarijini
@@EssauGabriel-fy8pu Wee huna akili kweli. Yaani Mhindi Wenu kainunua timu na anawachezea akili zenu ovyo. Mmebaki kulialia. Yaani unategemea Ngoma na akina Muzamiru ndo wawape ubingwa? Kumbaffff zako
@@songombingo108😂😂😂😂😂😂😂😂
Umenifulasha sana kweli wengi wanatamani yanga
Makolo watasema na wao ndio walikuwa wa kwanza kuzindua kitabu mwaka 1947
Likitabu bongo tulivyo wa tecnology, unaturudisha analog nani anunue?
@@EssauGabriel-fy8pukolo awez kununua ktab msomi pekee nd anajuw nn kuhusu kitabu😂😂😂😂😂😂😂😂
naflahia sana uwepo wa yanga duniani
Kurasa 251 za kitabu cha yanga kam una d 2 ni 2 kwa 1 na 5 kwa 1
Msemaji wa mabingwa bravo
Aaaah Semaji Unawaweka Watu Tumbo Joto Upande Wa Pili
Ali kamwe nimekumiss
Saisaaaa jaman hdi vitabuuu polen
Semaji la taifa makasiliko ya nn
Wanathimba punguzeni makasiriko kutesa ni kwa zamu
💚💚💚💚💚
Mwamba 🎉huyu apa😂❤
Kinzumbi ashatembea kasablanca sasa bignames sijui zipi tena ata aliyejifunza kwenu kawakataa
😂😂😂
Semaji letu la taifa 😂😂😂😂😂😂
Ww choko
Unateseka ukiwa wapi
Hahahaahhahh😅😅
Haya mateso mbona kidogo tu 😂😂😂
😂😂😂😂😂alikamwe amewasema sana 😂😂😂
Nimeamni utopolo wenye akili ni wawili tu
Kaamulie ugomvi huko😂😂😂😂
Anafurahisha zaidi yule anayewafuatilia wasiokuwa na akili 😂😂😂😂😂 utaendelea kuteseka baby 💛💛💛💚💚💚🏆🏆🏆💪💪💪🍺🍺🍺👈
😂😂😂@@gracemtonga3263
Hahahahahaha! Kama unaona mtu hanà akili unamfuatilia kwnn?
Nyie mngekuwa na akili mngechukuwaaa kombeee
Kubababake😂😂😂😂
Alikawe hahaha
😂😂😂
Aka nako kasikonenepa Kila siku kaki hivi hivi mdomo kama kinembe Cha nguruwe,sema mnafanya matambiko sio kutembeza makonbe ni matambiko wachawi wakubwa nyie wafuga majini tanzania,ndo maana tp walikuwa kujifunza kumrushia mtu majini akiwa mbali sikingine,sisi tunawajua vizuri,sura imekipalama utafikili mjamzito mnziiiiiiiiu
Unateseka ukiwa wapi 😂😂😂😂
We hupendi majini??
bado hajasema utasema tyu
Kama hujui lengo la kutembeza hayo makombe bora ukae kimya tuuu, wenzako hawafanyi hivo kujiburidisha tuuu wanataka kusajili wanachama wengi zaidi kupitia hizo ziara... Sasa wewe kalili hivohivo
Ali Kamwe daa mbona waweka watu matumbo moto 😂😂😂
Ally umenifulahisha kuhusu alietaka kulibeba kombe letu😅
Raha ya hiz timu mbili mmoja akiwa anapitia Wakat mgum mwingne anapitia Wakat wa furaha. Kwhy viseversa is true.
Baba pamela
Lakin usajili uneendereaje lakin
hakikisha kinakindoki wako huko usajili wa wanachama uwe ajenda kuu Ktk matembezi hyo ndani ya miaka 3 ijayo kombe la afrika lije tz
Hiyo ndio plan yao maana wanasema hupigi picha na kombe kama sio mwanachama
Ally Kamwe usiwatishe wenzako. Msiwasifie wachezaji ambao bado hawaclick na timu.
Ali kamwe kaongea kwa uchungu kuhusu kufukuzwa wananchama wa simba
Kwahiyo mmekosa picha ya kuweka caption 😂😂
Ivi hii press ni ya Yanga au Simbilisi😂😂😂😂😂😂
Twambie ni sh ngapi?
Laki moja
Kitabu cha nn si inatakiwa hata na history ya kufungwa iwekwe
Shida yake huyu dogo hana Elimu Anazani kuisema simba kila leo Anazani kutomboa
We mwenye Elimu una msaada kwa Taifa?
@@gabrielnjiapanda3710ww unazani kuisema simba vibaya ndio mafanikio yake hayo
Unajistukiaaaa eeeeeh, 😅😅😅😅
Ulihitaji awe profesa kusudi awe msemaji?we mwenzetu una elimu gani
Asiye kuwa na Elim lakini ni Mtu Maarufu kuliko wewe uliye andika sentesi Yako kwamba hajasoma , halafu unatakiwa kuelewa kwamba Yanga na Simba ni mtu na Mtani Mika Leo unakwenda 89 kwahiyo huwezi kuliepuka Hilo mtu wa Yanga kuisema Simba au Simba kuisema Yanga 😅
tstizolako dogo ushamba.unakusumbua😂😂😂