ALLY KAMWE" USAJILI AMBAO TUMEUFANYA WATALIA MACHOZI NA KUSAGA MENO/MASHABIKI WA SIMBA TUNAWAPOKEA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 27 ก.ย. 2024
  • Leo June 15,2024 Klabu ya Yanga inazindua Kitabu cha Historia yao toka kuanzishwa kwake Februari 11,1935.
    Uzinduzi huo unafanyika katika Hotel ya Hyatt Regency Dar es Salaam.

ความคิดเห็น • 83

  • @owenfweta3239
    @owenfweta3239 3 หลายเดือนก่อน +26

    Katika matembezi ya makombe hayo mikoani msisahau swala la kusajili wanachama wapya 👍🏾

    • @NicholausMangula
      @NicholausMangula 3 หลายเดือนก่อน +1

      Hilo ndo namba moja

    • @dengahmediatz1230
      @dengahmediatz1230 3 หลายเดือนก่อน +2

      Kweli na semina fupi kuhusu umuhimu wa kujisajili

    • @ocaml8698
      @ocaml8698 3 หลายเดือนก่อน +1

      Kila tawi ingefaa wawe na nakala japo moja ktk ofisi zao za matawi.

    • @LilianBitwale
      @LilianBitwale 3 หลายเดือนก่อน

      Hyo ndo target ... Vinginevo hakukuwa na haja ya kufanya hivo

  • @marcobulili4341
    @marcobulili4341 3 หลายเดือนก่อน +8

    YANGA ina miaka 98 tangu ianzishwe. 2026 tutasherehekea miaka 100

  • @rukiakyaka1827
    @rukiakyaka1827 3 หลายเดือนก่อน +5

    Mashaallah we baba umenichekesha

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 3 หลายเดือนก่อน +1

      Naishi UINGEREZA,tuna mastress gunia,lakini nikishamsikiliza Ally, God Yanga,Mwalimu na data zake( za ukweli na uongo,i dunno care) Dosa, kuna kadada Kahaya ( huyo haongei kiswahili🤣🤣) na wanayanga wengi wengine,aisee STRESS ZINAISHA🤣🤣
      Eti labda watuibie viungo; kataja vile vya pilau! 🤣🤣 Huyu dogo, nimemfatilia sana,he is clever,smart, intelligent,well learned,funny, artculate,good promoter,( anaweza kukuuzia mayai mabovu) na ANAJUA KUKERA🤣

  • @godwinkaunda9516
    @godwinkaunda9516 3 หลายเดือนก่อน +15

    kweli makolo watakuwa wakifuata nyuma ya Yanga kwa mambo mengi sana! Hongereni Viongozi

    • @EssauGabriel-fy8pu
      @EssauGabriel-fy8pu 3 หลายเดือนก่อน +1

      Kinzumbi deal done cassablanca

    • @songombingo108
      @songombingo108 3 หลายเดือนก่อน +1

      Yanga hawana habari ya Kinzumbi. Waliopo wanatosha kuwapiga madunduka

    • @EssauGabriel-fy8pu
      @EssauGabriel-fy8pu 3 หลายเดือนก่อน

      Jifarijini

    • @songombingo108
      @songombingo108 3 หลายเดือนก่อน +1

      @@EssauGabriel-fy8pu Wee huna akili kweli. Yaani Mhindi Wenu kainunua timu na anawachezea akili zenu ovyo. Mmebaki kulialia. Yaani unategemea Ngoma na akina Muzamiru ndo wawape ubingwa? Kumbaffff zako

    • @hemedrashid2921
      @hemedrashid2921 3 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@songombingo108😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @MasudiMwamkumbi
    @MasudiMwamkumbi 3 หลายเดือนก่อน +4

    Umenifulasha sana kweli wengi wanatamani yanga

  • @mirajiali3926
    @mirajiali3926 3 หลายเดือนก่อน +9

    Makolo watasema na wao ndio walikuwa wa kwanza kuzindua kitabu mwaka 1947

    • @EssauGabriel-fy8pu
      @EssauGabriel-fy8pu 3 หลายเดือนก่อน

      Likitabu bongo tulivyo wa tecnology, unaturudisha analog nani anunue?

    • @MzeewaYanga-hm8jq
      @MzeewaYanga-hm8jq 3 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@EssauGabriel-fy8pukolo awez kununua ktab msomi pekee nd anajuw nn kuhusu kitabu😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @ManyweleMathiasmakoja
    @ManyweleMathiasmakoja 3 หลายเดือนก่อน +3

    naflahia sana uwepo wa yanga duniani

  • @hajiali1572
    @hajiali1572 3 หลายเดือนก่อน +1

    Kurasa 251 za kitabu cha yanga kam una d 2 ni 2 kwa 1 na 5 kwa 1

  • @augustinomkongwa5444
    @augustinomkongwa5444 3 หลายเดือนก่อน

    Msemaji wa mabingwa bravo

  • @ChenchiKing
    @ChenchiKing 3 หลายเดือนก่อน +1

    Aaaah Semaji Unawaweka Watu Tumbo Joto Upande Wa Pili

  • @oswardlonginoosward9832
    @oswardlonginoosward9832 3 หลายเดือนก่อน +2

    Ali kamwe nimekumiss

  • @GermanaangeloMkemangwa
    @GermanaangeloMkemangwa 3 หลายเดือนก่อน

    Saisaaaa jaman hdi vitabuuu polen

  • @MonahMosafiri
    @MonahMosafiri 3 หลายเดือนก่อน +1

    Semaji la taifa makasiliko ya nn

  • @fihirishemaadihussein6124
    @fihirishemaadihussein6124 3 หลายเดือนก่อน +1

    Wanathimba punguzeni makasiriko kutesa ni kwa zamu

  • @SamwelMnaga
    @SamwelMnaga 3 หลายเดือนก่อน

    💚💚💚💚💚

  • @patrickndizeye2190
    @patrickndizeye2190 3 หลายเดือนก่อน

    Mwamba 🎉huyu apa😂❤

  • @EssauGabriel-fy8pu
    @EssauGabriel-fy8pu 3 หลายเดือนก่อน +2

    Kinzumbi ashatembea kasablanca sasa bignames sijui zipi tena ata aliyejifunza kwenu kawakataa

  • @Shadia544
    @Shadia544 3 หลายเดือนก่อน +1

    Semaji letu la taifa 😂😂😂😂😂😂

  • @MakameJenje-o2s
    @MakameJenje-o2s 3 หลายเดือนก่อน +1

    Ww choko

    • @ReginadAloyce
      @ReginadAloyce 3 หลายเดือนก่อน +2

      Unateseka ukiwa wapi

    • @johnenos9473
      @johnenos9473 3 หลายเดือนก่อน

      Hahahaahhahh😅😅

    • @Promk112
      @Promk112 3 หลายเดือนก่อน +2

      Haya mateso mbona kidogo tu 😂😂😂

  • @yasrikomba7874
    @yasrikomba7874 3 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂😂alikamwe amewasema sana 😂😂😂

  • @amanizavala
    @amanizavala 3 หลายเดือนก่อน +2

    Nimeamni utopolo wenye akili ni wawili tu

    • @lailatmalik7515
      @lailatmalik7515 3 หลายเดือนก่อน +1

      Kaamulie ugomvi huko😂😂😂😂

    • @gracemtonga3263
      @gracemtonga3263 3 หลายเดือนก่อน +3

      Anafurahisha zaidi yule anayewafuatilia wasiokuwa na akili 😂😂😂😂😂 utaendelea kuteseka baby 💛💛💛💚💚💚🏆🏆🏆💪💪💪🍺🍺🍺👈

    • @LumumbaFarhani
      @LumumbaFarhani 3 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂​@@gracemtonga3263

    • @MeshackFrancis-t4q
      @MeshackFrancis-t4q 3 หลายเดือนก่อน +1

      Hahahahahaha! Kama unaona mtu hanà akili unamfuatilia kwnn?

    • @EzlaFumbo
      @EzlaFumbo 3 หลายเดือนก่อน +1

      Nyie mngekuwa na akili mngechukuwaaa kombeee

  • @BenPeter-vp2cy
    @BenPeter-vp2cy 3 หลายเดือนก่อน

    Kubababake😂😂😂😂

  • @ArnoldRwegasira-hp9gt
    @ArnoldRwegasira-hp9gt 3 หลายเดือนก่อน

    Alikawe hahaha

  • @subiralema
    @subiralema 3 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂

  • @vumiliamgendi148
    @vumiliamgendi148 3 หลายเดือนก่อน

    Aka nako kasikonenepa Kila siku kaki hivi hivi mdomo kama kinembe Cha nguruwe,sema mnafanya matambiko sio kutembeza makonbe ni matambiko wachawi wakubwa nyie wafuga majini tanzania,ndo maana tp walikuwa kujifunza kumrushia mtu majini akiwa mbali sikingine,sisi tunawajua vizuri,sura imekipalama utafikili mjamzito mnziiiiiiiiu

    • @majaliwabwitonde6900
      @majaliwabwitonde6900 3 หลายเดือนก่อน

      Unateseka ukiwa wapi 😂😂😂😂

    • @kolosii4351
      @kolosii4351 3 หลายเดือนก่อน

      We hupendi majini??

    • @jescaurio8410
      @jescaurio8410 3 หลายเดือนก่อน

      bado hajasema utasema tyu

    • @tanzaniabusesupdates5311
      @tanzaniabusesupdates5311 3 หลายเดือนก่อน

      Kama hujui lengo la kutembeza hayo makombe bora ukae kimya tuuu, wenzako hawafanyi hivo kujiburidisha tuuu wanataka kusajili wanachama wengi zaidi kupitia hizo ziara... Sasa wewe kalili hivohivo

  • @owenfweta3239
    @owenfweta3239 3 หลายเดือนก่อน +3

    Ali Kamwe daa mbona waweka watu matumbo moto 😂😂😂

  • @MussaRamadhani-em3wb
    @MussaRamadhani-em3wb 3 หลายเดือนก่อน

    Ally umenifulahisha kuhusu alietaka kulibeba kombe letu😅

  • @honesthenry901
    @honesthenry901 3 หลายเดือนก่อน +1

    Raha ya hiz timu mbili mmoja akiwa anapitia Wakat mgum mwingne anapitia Wakat wa furaha. Kwhy viseversa is true.

  • @thetrends472
    @thetrends472 3 หลายเดือนก่อน +2

    Baba pamela

  • @LusanaTimotheo-mf1nn
    @LusanaTimotheo-mf1nn 3 หลายเดือนก่อน +1

    Lakin usajili uneendereaje lakin

  • @PiusNjelekela
    @PiusNjelekela 3 หลายเดือนก่อน +1

    hakikisha kinakindoki wako huko usajili wa wanachama uwe ajenda kuu Ktk matembezi hyo ndani ya miaka 3 ijayo kombe la afrika lije tz

    • @tanzaniabusesupdates5311
      @tanzaniabusesupdates5311 3 หลายเดือนก่อน

      Hiyo ndio plan yao maana wanasema hupigi picha na kombe kama sio mwanachama

  • @kolosii4351
    @kolosii4351 3 หลายเดือนก่อน

    Ally Kamwe usiwatishe wenzako. Msiwasifie wachezaji ambao bado hawaclick na timu.

  • @noeljacob9644
    @noeljacob9644 3 หลายเดือนก่อน

    Ali kamwe kaongea kwa uchungu kuhusu kufukuzwa wananchama wa simba

  • @ItzNketiah
    @ItzNketiah 3 หลายเดือนก่อน

    Kwahiyo mmekosa picha ya kuweka caption 😂😂

  • @osmundmtavangu
    @osmundmtavangu 3 หลายเดือนก่อน

    Ivi hii press ni ya Yanga au Simbilisi😂😂😂😂😂😂

  • @nicodemuswidambe5132
    @nicodemuswidambe5132 3 หลายเดือนก่อน

    Twambie ni sh ngapi?

  • @KareemMandela-d5l
    @KareemMandela-d5l 3 หลายเดือนก่อน +1

    Kitabu cha nn si inatakiwa hata na history ya kufungwa iwekwe

  • @KareemMandela-d5l
    @KareemMandela-d5l 3 หลายเดือนก่อน

    Shida yake huyu dogo hana Elimu Anazani kuisema simba kila leo Anazani kutomboa

    • @gabrielnjiapanda3710
      @gabrielnjiapanda3710 3 หลายเดือนก่อน

      We mwenye Elimu una msaada kwa Taifa?

    • @KareemMandela-d5l
      @KareemMandela-d5l 3 หลายเดือนก่อน

      @@gabrielnjiapanda3710ww unazani kuisema simba vibaya ndio mafanikio yake hayo

    • @EdsonMartin-e3k
      @EdsonMartin-e3k 3 หลายเดือนก่อน

      Unajistukiaaaa eeeeeh, 😅😅😅😅

    • @kitaurosalim6562
      @kitaurosalim6562 3 หลายเดือนก่อน

      Ulihitaji awe profesa kusudi awe msemaji?we mwenzetu una elimu gani

    • @jackmabirangacharles9398
      @jackmabirangacharles9398 3 หลายเดือนก่อน

      Asiye kuwa na Elim lakini ni Mtu Maarufu kuliko wewe uliye andika sentesi Yako kwamba hajasoma , halafu unatakiwa kuelewa kwamba Yanga na Simba ni mtu na Mtani Mika Leo unakwenda 89 kwahiyo huwezi kuliepuka Hilo mtu wa Yanga kuisema Simba au Simba kuisema Yanga 😅

  • @JosephTibu
    @JosephTibu 3 หลายเดือนก่อน

    tstizolako dogo ushamba.unakusumbua😂😂😂