ALLY KAMWE AWAPASUA SIMBA NA AZAM FC/PWAGU NA PWAGUZI/MECHI HAIDA HADHI/JUMAPILI YA KUFOSI CHAMAZI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 27 ก.ย. 2024
- Ofisa Habari wa Yanga, Ally Kamwe, amefanya mahojiano maalumu kuhusu mchezo wao wa Jumapili wa Ligi kuu NBC dhidi ya KMC utakaochezwa Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, huku akitupa Vijembe kwa Watani wao wa Jadi Simba baada ya kushinda 2-0 dhidi ya Azam FC.
What I see here is that most of koloz comments are emotional...being blinded by the feeling that "IT'S OUR TIME NOW" 😂😂😂😂😂you wait and soon you'll realize that vicheko vyenu na furaha zenu ni baada ya kujitekenya wenyewe.... ligi ni kama mbio za Marathon...ni mapema sana kuanza kuvimba kwa madaha kwa kumzidi mwenzako mita 500 wakati mbio ni za kilomita 100😂😂😂😂😂
Huwezi kuchekeshwa ukaaema utacheka kesho😂😂😂
Because your wise man is talking about simba instead of her club
Simba ni makolobwabwa
We are not too young to read broo we believe this time around Simba sport club is going to win the title
Dyuu brother umezungumza ukweli kila yanga ikicheza watu tunabetiaga 3.5over🎉😊
Hamjasema bado goli tisa zinawauma ee
Kweli kabisa maafisa ubashiri mechi ya mbeya waliweka 2.5 ikatoka 1.5😂😂😂 matokeo yake yakawa lawama na kuwa ubora wa Yanga uneshuka
unatesek kaka hatar asira hizo kuiona simba ikifunga
Mtu na shoga yake
Nakuomba M/Mungu muongezee kipato kwenye miradi yake Bossi wetu Inshaallah
Haka katoto kaliwahi kusema hakuna washabiki wanaojielewa Kama wa Simba. Leo kanaongea ujinga uwe na kumbukumbu, ya uliyosema ili kufunika ujinga ulionao
Ukiwa muongo usipoteze kumbukumbu kenge ww ulishapasuliwa ww
Kwetu kikubwa point 3 mengine hayatuhusu
Haunaga point... Rudi shuleee
Madhabiki wa kolobwambwa acheni kelele nyie ligi mechi 30 jaman sio mwezi wa kwanza mnaanza kumtukana mangungu na kocha aya tunawaona tu muda utazungumza amna ata mechi moja mkoani mnavimba akati zaidi ya michezo kumi ni nje ya dar aya
Nenda straight to point mambo ya kifriji hayatuhusu
Yaan saiv simba inaonekana bora ila ikukutana na yanga lazima wafanye usajili😂😂😂😂
Fact tupu ndugu kamwe.. Daima mbele nyuma mwiko
Ally kamwe shehe ni slogan ya manara, tafuta na wewe uongeaji wakooo
Naombeni mniunge kwenye grop la WhatsApp la yanga
Kwamba simba ni wasagaji
Mnamtamani Hashimu igwe kisa kavaa msuli😂😂😂
Acha wewe lazima uifagilie yanga sababu unashibia huko
Kwani hayo si maji ya kawaida nyie tangazeni tuwachangie bas
Mbona ulisema wmaka huu tutakua tunawapa 5-5-7-7?
Namimi naombeni mniunge kwenye whasap
Iv hawajawah kukwambia kuwa huna point
Kamwe suti imekupendeza
Hata mbeakulikua na uharam kipa hawezi kudakia kwa nyuma
Sasa mbona nyie mbona hamna uwanja mtaenda kufosi wapi?
Ally bwana unachekesha babaa
Acha ushugwada wew nenda kacheze weew
Makolo huwa wanashangilia droo
Malenge kweli unaliwa nyuma kamwe ww
Mbona wewe husemi la kwenu?
Yaani Kamwe unatupatia raha
Simba kakupeleka town kaz unayo ww
Wewe unaliwa Haramu ni wewe
Acha ushamba ww zungumzia goli la ateba mbona nyie Mbeya mmebebwa fala ww
Ujui mpira
Endelea kujidanganya
Kila sku shehe, shehee
Mmmmh 🐸🐸🐸🐸🐸. 😂😂😂😂
😅eti Ibwe chukuchuku😂😂
Ya kengold hukuyaona? Bwege wewe acha kuweweseka
Kumamamayo
Acha uzuzu we choko
🦩🦩🦩🦩🦩🦩🦩🦩😂😂😂😂😂
Irrelevant example kabisaa... kamwe ulifeli mathe wewe😂😂😂
Wivu wa Nini kaka,ebu tuache siye tule khanga na manyoya yake😁😁❤❤👆👆🙏🙏
😂😂😂😂😂😂
Acha taarab Zungumzia mpira
Huo mpira wenyewe ujui tuliza kipere ww
Umeona dear, malizia simba bingwa ubaya ubwela na bado hapo wataongea kila neno,sisi nikula raha 2
@@Mumlion2624
Yaniii. Mpaka waseme 😂😂😂😂
Wao na kengold ni nani maana naona utopolo mtupu
Jifunzeni usemaji kwa Haji manara. Kubali uwezo wa Simba FC kwa sasa. Usiweweseke😂😂😂😂
Maumivu yakizidi muone daktari
Apeleke ujinga uko
Jamaa kama kapanic kiaina
😂😂😂 Umeona
Dogo kawa Mwana mipasho 🤣🤣🤣
@@shabbymakapane
😂😂😂😂
Atateseka. Sana 😅😅😅
Atateseka sana mwaka huu
@@maryamnofli2109 🤣🤣🤣
Huyu murudisheni shule,hajui chochote kihusu fani ya uandishi wa habari.Manara atabaki msemaji bora wa Yanga.Kinachotolewa ni polojo tu.Unaacha ukweli unarukia mambo mengine.Timu inakufia mkononi
Makolo tarehe19 watasema TU ukweli kama sio goli9 hatujalizika!
Timu zote hua nzuri Kabla hazijakutana na Yangasc! Lkn baadae inakuaga Makubwa!!
Wawekezaji mmefikiwa huku
DOGO, Kavurugwa kawa Mwana Mipasho Baada ya Kuwa Msemaji wa CLUB 🤣🤣🤣
😂😂😂😂
@@maryamnofli2109kabisaaaaaaa😅
Una ukubwa gan wew
Mwache aseme ni kazi yake. Mbona wasemaji mipasho wapo wengi hamsemi.
@@kolosii4351huyo njiti kwa mipasho kawazidi😊