Jua haya kabla ya kuomba Green Card Lottery mwezi October
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 17 ก.ย. 2024
- Download our New App, EBM SCHOLARS APP play.google.co...
Or Search EBM SCHOLARS on Google Play Store to Download the app
DONATE TO EBM SCHOLARS
1. PayPal www.paypal.com...
2. CASH APP cash.app/$EBMS...
Kaka this year lazima nishinde 🎉🎉 kabisa ebu ni bless kaka 😢😢😢😢😢🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Twizere imana tuzo ironka
Amen
Amen🙏🙏
THANK YOU MR. EBM...
I had lots of questions and you have answered them all in one video...
God bless you.
2024 its my year i blv in God all is possible nita apply mwaka naninamwamini Mungu
Amjambo kaka Ernestre na sisi tutaomba naku bahatisha Green card Mungu atatu wezesha mimi ni mkongomani ila naishi Bujumbura 🙏
Watu 346 angalau basi tuzid kuomba na kujulishana wengi idadi itaongezeka zaidi ahsante sana ebm
Mimi mwaka huu nitaomba na nitashinda kwa uwezo wa MUNGU
AMEEN tutashinda wote namimi.
Amen
Thank you very much my brother #EBM
Raundi hii nitaomba na kushinda!. EBM thanks for your information, insist to all!.
In God blessing I will win with my Family
Nitaomba, Mungu anisimamie kushinda.
Mungu akubariki kwa huu moyo wa kipekee
thanks, Mr
Kaka naomba na nitakuja na watatu wenzangu#sky city
Mwaka huu naomba
Thanks 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Kaka unatusaidiaje kwasisi ambao tuko njee ya dar es salaam mimi nipo mwanza
Zanzibar, Tanzania nakukubali kaka
Nchi ishaishia shimoni huko Watz tanzania ni the best country kuishi.Mimi siondoki nchi yangu ni umaskini wa fikra tu kudhani huko ni kuzuri zaidi ya hapa kwetu hawa mnaowaona wako huko wanaogopa ata kurudi maisha hakuna huko ilikua ni zamani😅😅😅
Acha roho mbaya.
Mwaka huu lazima niombe na nina imani nitashinda na kuja kuishi marekani.
Hi Ernest , am from Kenya can you assist me in filling that application form from your site EBM.
I pray to win this time round in Jesus name. I tried kast year and it didn't go thru
Mimi nitaomba mwaka huu na nimeshajiandaa pamoja na mdogo wang na rafiki zangu Insh allah
Habari
Yani safari hii sichelewi
Pamoja sana mkuu 5/5 🇨🇩🇨🇩
Mimi pia nataka
Kweli kaaabisaaa
Naomba namba yko ya wasph
Naenda kushinda mwakani
Nitaomba mwaka huu pia. Mungu anipe kibari.
😂😂😂thats is it,wa2 wanajua lottery but hawawez share,i always tell pple...ila sijai win but i share may God bless me one day,wivu ki2 mbaya
Mimi mwaka huu naomba green card lottery 2025
Asante kaka nakufuata sana na umenihamasisha sana sasa Burundi office yako ipo maeneo gani? ?
Kaka kazi Zuli unafanya🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Mimi Niko Kenya
Nakufuatilia toka Bujumbura Burundi
ebm...
piga kazi
tupo pa1.
Jamani Zanzibar mumefungua wap
Kwa sisi tuliokuwepo Zanzibar ni lazima tuende Dar es salam mlimani city kwajili yakufanya maombi au inawezekana kufanya maombi tukiwa tupo Zanzibar!!???
Nitaomba na Nitashinda
Nitaomba saaana tu.
Kwa mfano mimi nipo degree nitakuwa sijagraduate je itakuaje ila now ni na diploma
Mm mwaka huu nitaomba na nitashinda
Naomba platform tuwasiliane privately..
Mwaka huu nitaomba ,na nitashinda
Nita apply. But.
Tatzo pesa ya kuanzia interview mpaka kuja huko ni ndefu sana ndio maana vijana wengi wanaona ningumu sana kupenya hapo
Ulinihamasisha broo, niliomba na nimeshinda nipo US saiv, 2021
Office za ebm ziko wapi et kwa dar
Zipo nyuma ya skycity mall karibu na mlimani city@@DeeLoy
Ndugu Ebm,Safi. Office yako iko mchengo hupi hapo Nbi?
Nairobi ukifunguwa office tupe location pls🙏@EBM SWAHILI
Kaka wakaa huu tunashinda inshallah 🇧🇮 🇧🇮 🇧🇮
In sha Allah
Burundi 🇧🇮 tuna apply wapi sasa
Kuna lile swal number 6 kwenye ile form ya Dv unaweza kunifafanulia !?
Ukijaza Kutumia Simu je utaweza kua mshindi?
Kenya ofisini yenu iko wapi
Hi Zanzibar ofisi yako ipo mtaa gani
Count me in bro
Habari brother? Nashkuru kwa kuwa miongoni mwa wanaadamu wenye kupenda mafanikio ya sisi watanzania. brother swali langu ni je picha inapaswa iwe na qualifications za aina gani?
Lini matokeo yatatolewa jmn
Me wa kwnza kucoment. Je picha kwa mwanza wapi tunapata huduma?
Asante sana kaka, vp ukiwa unamtoto maybe wa ndugu yako ambaye unamlea baada yawazazi wake kufariki? Kwahii imekaaje kaka
Anaye takiwa ni mwanao wa kumzaa au mtoto uliye mu adopt kisheria ajulikane na serikali ni wako kwa njia kwa kumu adopt otherwise huruhusiwi na ukimweka mtoto ambay sio mwanao au wakum adopt bila ya kujulikana kisheria unatolewa pia kweny mashindano
muasili
Jaman office dar zipo wapi kwani
Kaka kama inawezekana kupata contact za ofisini naomba please!!??
I will win this Dv lottery
Kutoka Kenya nitaomba insha'Allah
Utapata kaka coz umemtanguliza Allah 🙏🙏🙏
Ukiwa mwanafunzi Marekani na una F1 viza, unaweza kuombe green card lottery?
Where is the Office in Kenya, Nairobi
Jaman mm kwanza naomba confirmation I heard kwamba mara hii wamesimamisha until dv2025. How is it going guys. We need to know before applying. Bro EBM give update pls.
Yeah there's no any interview for dv lottery winner 2023 it's been closed interview until next dv lottery winners so if you haven't called for interview I'm so sorry there's no it😢😢
@@Bin_Slyim
So if means there is no dv for 2023 until next 2025 has it, & app for 2025 will be starting in next year.
Hivi mtu akitaka kuongeya na ww anawezaje?
Kiongoz ukishakua permanent resident Wa america ni hatua Gan unatumia kumuombea Ndugu yako na inachukua mda Gan processe hiyo kukamilika mpaka uyo Ndugu yako afike narekani?
Mimi naham io ofisi ifunguliwe zanzibar
Na vp kuhusiana na passport numbers wakat in wa ku apply green card, nimuhumu kukata kabsa kabsa au vp
Yeah mwaka huyu nitaomba tena
Mimi mwaka huu nitaomba dv
now tunaanza na green card
Mtu mwengine anaweza kumuombea mtu mwengine kama ulivyo sema???
Mimi nitaomba dv lottery mwaka huu. Naamini nitashinda.
Tuandikiee namba Kuna maswali tukuulizee
Makolilo twabie, offisi yenu iko wabi haba mombasa,
Kaka mwaka huuh na mimi lazima niombe ila nilikua ninawasiwasi maana Mimi elimu yangu nimeishia dalasa la Saba naomba unitumie namba za ofisini kwako
Nimeweka nadhiri kanisan hii lottery naamin ntashinda
je kuna kampuni kampani za malekani zinazo dhamini visa na gharama za safari
Wewe mwenyewe utalipia medical, interview,green card n for the flight.
Can I apply for DV 2025 Lottery if I have been selected for the DV 2024 lottery, as I have a high case number for DV 2024🇹🇿. Yet what if I won both can i submit again DS260 for 2025 while waiting My 2nL for 2024 ? ? won’t affect anything?
Of course you can because there's no any interview for dv lottery winner for this year because it's been closed last month so you can apply as well for dv lottery 2025
So if you did win last year and still you haven't called for interview I'm so sorry 😢 there's no any interview until next year
@@Bin_Slyim I’m winner 2024 wont affect my 2nL for 2024. for applying again 2025 this October.. doing that cos don’t know if they will call me in time to do my interview
@@Bin_Slyim noooo I’m a winner for 2024 waiting my 2NL ? Our season starts on October to next year September we gonna be interviewed, Yet this October I want to Apply Again for incase.. so won’t affect anything
Hopefully ur getting better what I meant
Yaani maandalizi ya nauri marazi kiujumla
Hello, dubai office yako iko wapi ?
Nilikua naisubiria hii content kwa muda mrefu kwa maana kuna taarifa zina sema green card itasimamishwa washafikia malengo
Mwaka huyu nitashinda, ila nakubali saana kaka makuriro kupitia videos zako nilijifunz mengi kilugha pia na kwenye green card kwasasa niki apply najua ninachokifany nakina vigezo na mashariti kazaa
Nitaomba DV lottery mwaka huu
Sasa kaka je kama nimeomba na nimeshinda je maandalizi yapoje Denis Dubai
Fatilia video zake nying saana utafaham zaid
Nauliza nikiwa niko na mke nimjamzito alafu inatokeya matekeo tumeshinda . Ila anajifunguwa tumesha shinda green card itakuwaje mtoto atabaki wala tunaweza tukakwenda naye? @EBMSWAHILI
Utaruhusiwa kwa niaba kuifungua form kwa ajili ya kumweka mtoto pia hawana neno kuhusu hilo ila tu kama mkeo akij funguwa bado kabla ya kwenda marekani naye atapewa pia ila shart lazma uripot hii taarifa
Ikiwa mume na mke wamefaulu green card lakini mke amefika class tu.hii itakuaje?
Yan hata awe hajasoma hata darasa Moja as long as spouse awe mke au mume ameshinda bac lazma utamwend kwa mgongo wake
Kwa hapa dar kaka EBM office ipo wap?
Alisema mlimani city Ila hajalocate sehemu kuanzia tarehe 4/10
Natamani kujua office iko dar mliman city sehem gan
Nitaomba kaka mie umenihamasisha toka ile video uliotoa watu wafanye mazoezi nakumbuka ilikua 2017 na nilikua na kg 102 nikapungua na nikawa 89 basi toka kipindi kile paka sasa niko pamoja na wewe Green card nimeanza kucheza 2021 ila ninaimani siku moja nami itakua yangu
Nyuma ya mliman city
Mimi nitaomba nitakuja kwa office yako
Office ni wapi et
Mwaka wangu huu lazima niombe
Mm kitu ambacho unaniuzigi ni kimoja tu Huwa unaongea unafoka huongeagi Kwa upole video nying just come down ukiwa unaelekeza kitu
Acha ujinga
@EBM SWAHILI