Shekh Muhammad bachu tunakupata mubaashara kutoka chake-chake pemba zanzibar maeneo ya vitongoji darajani mkabala na shule ya vipawa ya fidelcastro.Shekh Muhammad usichoke nandomana hadileyo Allah amekupa uhai kwaajili ya dini yake kwaiyo ww usichoke kwa wapuuzi kama hawo akina golo endeleya kuelimisha umma Naujira wako utaukuta siku ya kiu nanjaaa biidhini llah
Fact fact fact Sheikh bachu Allah akuhifadhi utuendelee kutuelimisha na kutuzindua maana hii kazi masheikh wengine wameshindwa kuitetea Sunna wanaogopa wataitwa kuwa wanawagawa watu
Sheikh bachu umeeleza vizuri hadi tumeelewa. Nakuombea kwa Allah akulipe kwa pepo ya, firdaus na akupe umri mrefu na afya, tele uhudumie dini hii ya haqqi
Allah akuhifadhi yaani nimekuwelewa tena hadi raha vizuri sana, marhum nassor bachu ametuachia hazina kubwa na biidhnillah huko aliko (akhira) zitamfikia malipo makubwa.
jamani yee mungu hakuzaa wala kuzaliwa sasa kumwona mungu kwa sura ya kijana na nywele za kipilipili mmh hata mie napata shaka na hadithi hiikwani si kuna hadithi sahii na si sahihi mbona hii inaonekana kama sio sahihi mungu kaonekana kama mtu tena kijana mmh!! mashekh wetu muee makini bwana
Shekhe jazakum llahu khaira, allah akulinde na mahasidi kwakupambana na watu batili na maadui wa dini ya mwenyezi mungu, watandandike hao maguruwe wa motoni Shia wamekuja kuvaa vazi la uislamu kiunafiki lengo kuangamiza dini ya Allah na kuwatowa waislamu kwenye dini yao,hili lipo wazi kama kuna mwislamu anaamini shia ni muislamu atakuwa anamatatizo ya ubongo wa akili muislamu anaejuwa uislamu hawezi kuamini Shia ni mwislamu huyu ajui maana ya uislamu na vitu vinavyomuweka mtu kwenye uislamu na vitu vinavyo tenguwa uislamu, ni sawa na mtu kuchukuwa udhu ukibatilisha udhu huna swala Sasa ni ajabu mtu anakwambia tupu ya mtume itaenda motoni kisa alikuwa na wanawake wawili washirikina aysha na afsa hivi hata mtoto mdogo kiakili umuulize hivi vipi wasemaje huyu bado mwislamu anakukatalia kabisa kwa uwezo wa Allah.lakini cha ajabu kuna ndugu zetu masufi wao ndo wapambe wao mashia wapo tayari mtume adhalilishwe siyo mshia kudhalilika haya tunayaona kila siku mitandaoni wanajaa jazba Shia akisemwa vibaya ukuta shekhe anapanda jazba kumtetea mshia Sabu ya ugali wanaopewa ndo wapo razi omary anaitwa mwenda wazimu, Abubary kaitwa jambazi tapeli, na aysha kaitwa mzinifu,lakini wao hawakioni hilo sisi tukisema na kuwatetea maswahaba wamtume utasikia mawahaby waleta farka mawahaby hawataki umoja wa uislamu sisi tutaendelea kuwatandika tuu,Allah ndo msaidizi wetu pamoja na kejeri zenu hatujali wala hatujali kabisa lengo kumtetea mtume wetu na kuwahami swahaba anaona tunalofanya ni la hakki na ndomana hamueezi kuizima nuru ya mwenyezi mungu Jambo la hakki ni kama mtu aloshika Moto bwana.
Wewe yaonekana hata uislamu huujui kabsaa,ila wajua jina tu.Siku M/Mungu akikupa kitabu cha aamali zako na ukakuta hayo ulowasemea Shia. Chukua tahadhari qabla ya siku hiyo,kwa kufanya hivi: Kusoma vitabu vilo andikwa na shia wenyewe,utawafahamu kwasura yao ya hakika.
Maa shaa Allah, jazakallahu kheyra, sheikh weka namba zako tukutafute kwa ajili ya maswali na ufafanuzi wa hoja mbalimbali in shaa Allah. Allah akujaalie Kila lenye kheri kwako duniani na Kesho siku ya akhera. In shaa Allah Amiin
Asalaam aleikum Kaka... Allah akuhifadhi na akulinde...Naomba kama ulivo chambua hadithi...,,Naomba uchambue.. hili suala la kuinua mikono katika kila nguzo MTU akiswali..
Assalaam aleykum.... ndugu ktk lman.... jaman embu wote mlo msapot huyu kijana toeni shahada upya tafadhali... zindukeni waislaam haitakikani kwa muumin kuitakidi kua mungu anafanana na chochote pia haitakikani kuitakidi kua mtume kamuota Mungu alafu akahadithia , ikiwa maswahaba walishindwa kumuhadithia mtume sw sura rasmi na umbo jins alivyo waajabu, leo wew unasema mtume kaona usingizin mungu yuko sampuli fulani ... waislaam achaneni nae huyu kijana huyu mpotoshaji lngelikua Allah angetaka ajitangaze alivyo Astaghfirullah basi safari ya lsraa na Miiraji Mtume aliongea na Allah... basi angehadithia lakina hakumuona bali alikua karibu nae na wakizungumza ila ckwakumuona ....waislaam zunduken lnshallah Allah amuongoze
Nondo juu ya nondo Muhammad bachu mbona unapiga makwaju ya mbiyoni namna hii kumbuka wanamishono halafu unapiga kwenye mshono nihatar ya shek.Nasubiri Golo aje kuomba radhi mbeleyetu sihivyo hatamm nitaenda kumkandamiza uko tuendako nipo tayar kukaa ushahidi juu yahili wallah thuma wallah 😢
Salaam hapa ifahamike kua siwezi kumkufurisha ibn taimiyya alipoelezea alivyomuona allah kwa namna alivyomuona hapa ndopenye shida haikataliwi kua mtume s a w alimdiriki mola wake ispokua hii kuelezea alimuona kwa namna fulani hapa ndipo penye mushkil
@@mohagurey2214kitu ambacho hukijui ndugu yangu Hawa wanaopinga Hadith wanaitwa QUR,AAN YUUN ni mashia ambao hawaamin Hadith za mtume Swalla llaahu alayhi wasallama Bali wanaamin Quran peke yake
Ilo c la kushangaza kabisa kuota umemuon mungu kipindi tuko wadogo madsani kulikuw na mwalimu mmoja Anachezesha viboko ajabu. Mpka kuna mwanafunzi mwezetu cku moja alikuja chuoni na kusema ya kwamba aliota kiama tyr na Mungu ni huyo Mwalimu. AstaghafiruLLah.
Muhammad namuomba Allah akulipe kheri,,kwa kweli huyu jamaa sijui ana njia ya kujitetea,,anapotosha bila ya khofu,,wewe Muhammad anatosha kumueka sawa huyu jamaa,,yaani kama hajatubia atakwenda kujibu,,kumbe Ibn Tymiya mwenyewe anakataa,,Ewe Shafii Basalim muombe Allah msamaha,,ujue umemdhulumu Ibn Taymiya.
Assalaam alykum warhamatullah, sheikh Muhammad apa nimekwama wallah hii mara ya pile nackiliza bdo akili haijapokea haya maneno, kswabu Allah hafanan na chochote kwann aotwe kua ni kijana kavaa viatu kavaa nguo hii ipo vp na Ile Aya ya kua Allah hafanan na kitu chochote, au sabau mm elimu cna ckusoma naomba nieleweshe zaidi ya hpo km inawezekan km haiwezekan bc, nibaki tu nifanye km ckuckia hayo maneno
Sheikh Muhammad Allah akuhifadhi.. lakini pia tunataka uwazungumzie kwa kina hawa hizbu salafi...madaakhila na makhajaawira... akina kassim mafuta, na wenziwe... tunaomba sheikh uchambuzi wa kina... BARAKALLAAHU FIYK.
Bachu hapo tuwache tupe aya ya QUR_AN UNAZUNGUKA TU HAPO HAPO HUJATUPA USHAHIDI ALLAH HAFANANI NA KITU CHOCHOTE IKIWA KUZUNGUMZA NAE ALLAH ANASEMA HAIKUA KWA KIUMBE YEYOTE KUZUNGUMZA NA ALLAH ILA WAHYI AU NYUMA YA PAZIA AU HUMTUMIA MJUMBE AMPE WAHYI ANAEMTAKA KWA IDHINI YAKE VP KUMUONA TENA UNASEMA KAVAA KANZU NA VIATU VYA DHAHABU DUH SUBHANALLAH USITUBURUZE
Msituchanganye..1.kama mtume amemuota Allah angemsimulia mkewe bi aisha..hadithi kama kweli ingetoka kwa mkewe direct..2.Kama sisi tukimuota mtume sio ndoto ya kishetani je Allah atampaje mtume ndoto feki?3.kama mungu hana mfano LAM YA KULLAHU KUFUWAN AHAD..inakuwa mtume amuote Allah kwa mfano au umbile?je mtume anaota ndoto feki?hadithi sio aya
@@MohdIkra-d7s Mwenye ilimu hawezi kusema kua mola ameweza onekena Kwa mfano wa mtoto mdogo. Katika Hadithul Qudsi Mola asema nimewaandalia waja wangu wema pepo amabayo jicho halijawai ona Wala sikio halijawai sikia Wala haijawai hata kupita katika fikra za kiumbe. Ikiwa pepo huwezi kuiwaza kufananisha vipi mtu amfananishe Mola na shikli ya kiumbe. MOLA NI YULE ALIYE SEMA. LAYSA KAMITHILIHI SHAIUN. NI KWELI SINA ILIMU LAKINI HAYA MAMBO KIASI FLANI NAYAJUA.
Umemuona wapi usingizin au. Ikiwa ucngizini Mtume SAW anasifa zake ukija kumuona Mtume SAW ni mweuc bc cie uyo jadhalika Allah hakuna alomuota ila Mtume SAW na hatujui io ndoto inamaana gan sasa cc tulobak ata tukimuona Mungu ucngizin tutafute wafarir wakuwaamin waiague hio ndoto
Huyu shia mimi nasema alikua anatafta umaarufu tu ndo mana alikua anakurupuka na sasa kwa sababu sheikh Muhammadi kamradi kapata kujulikana tayar Allah amuongoe awache chuki zidi ya wanachuoni wa kisalafi
huko mnako kwenda kwakumuona( allaah...) ni uwongo kuruan haija sibitisha mfano wa( allaah..sw) sasa kwaelim ipi hio yakumuona( MImungu mtume.. muhamad ) sasa swali la kipuuzi tu unaweza kuona kitu kisicho mfano ikaendelea kutokua na mfano 🎉 hakuna hio nakama ni ndoto bas ni chafu km nyenginw katika juzuu 30, quruan muko sura mpk ziko na aya 3 lakini hakuna hiko kitu
Mnabishana nin Wakati mtume ndiye aliye muona allah ni kakijana hakana ndevu natunywele twake nitwakipilipil na mwengine anasema ni mwanamke tumwamini nani
Maaashaaallah sheikh mhammadi bachu usichoke kuzindua watu waijue vzr din
MaashaaAllah sheikh langu Muhammad Bachu umefafanua viziri
Muhammad ulimi wako una ufasaha sana na unaweleweka vizur. Allah akulinde na shar za ulimwengu
Wallah,sheikh ana ufasaha wa kuzungumza
Hii ni Barka
Maasha-Allah.
Shekh Muhammad bachu tunakupata mubaashara kutoka chake-chake pemba zanzibar maeneo ya vitongoji darajani mkabala na shule ya vipawa ya fidelcastro.Shekh Muhammad usichoke nandomana hadileyo Allah amekupa uhai kwaajili ya dini yake kwaiyo ww usichoke kwa wapuuzi kama hawo akina golo endeleya kuelimisha umma Naujira wako utaukuta siku ya kiu nanjaaa biidhini llah
Hio shule baado yaitwa Fidel Castro ni makosa
@@mohagurey2214 Ndy jina halijabadilika bado
@@mfalmenajjash2128 inastahili kubadilishwa
Nilifkiri weye ni mwalimu mkuu wa hio skuli, kumbe ni mtoto wa kitaani, ok
Ndugu Mohammad na Abu almaan lushoto mumefanya kazi nzuri ya kujibu talbis za huyu SHIA. Baaraka ALLAH.
Fact fact fact Sheikh bachu Allah akuhifadhi utuendelee kutuelimisha na kutuzindua maana hii kazi masheikh wengine wameshindwa kuitetea Sunna wanaogopa wataitwa kuwa wanawagawa watu
Shekh wetu allah akuhifadhi umeelezea vizuri sana kabisa
Sheikh bachu umeeleza vizuri hadi tumeelewa. Nakuombea kwa Allah akulipe kwa pepo ya, firdaus na akupe umri mrefu na afya, tele uhudumie dini hii ya haqqi
Mungu akuzidishie elimu sheikh Muhammad
Mashallah.. tunakupata, tunakuelewa, tunakufahamu na unatufundisha
Wallahi nakupenda kwajili ya Allah
Naapa kwajina la Allah kwahakika wanafunzi wako wananeema kubwa kukupata
Allaah akuhifadhi na akulinde na shari za wazushi na waovu wote
Amiin
Mwalimu
Una to motivate vijana kutafuta elimu zaidi
Tunashukura sanaaa
Mashaallah
Naam Naam
Allah akulipe kila la kheir sheikh Muhammad Bachu!
al akhy bachu unafanya vizuri sanaaaa
jitahid usifanye kwa RIAA
Allah akuhifadhi yaani nimekuwelewa tena hadi raha vizuri sana, marhum nassor bachu ametuachia hazina kubwa na biidhnillah huko aliko (akhira) zitamfikia malipo makubwa.
Aaamin
Nyiye munaocoment wengine sikilizeni darsa vizuri usianze kumshambulia bhachu ,muhammad haropoki anachokisema anakitoa kwenye vitabu,na M/mungu amlinde atufunue macho na myoyo yetu.
jazak Allahu kheir sheikh Muhammad Bachu. na akuhifadhi Tunakupenda kwa ajli ya Allah
Maasha Allah, akhiy Muhammad,twakupend sn kw ajil y Allah, na tumekumiss sn unguja.
mashAllah UST bachuu,usichoke kutupa elmu
Najifunza mengi sana kupitia hii channel yako sheikh Muhammadi bacho Allah akuhifadhi
Baraka Allah fiika
Allah akuhifadhi shaikh Muhammad Bacho
Sheikh m bachu Allh akujazi kheri
Alla amjaalie mtoto wangu awe na elimu kama sh Ibnu Tayymi pia awe mlinganiaji ka yy ibn T . Jina la mtoto wangu ni ( ASWIM )
"innamaaa yataqaballu llaha Alalmuttaqiin"
Allah akuhifadh sheikh Muhammad
Alhamdulillah BaarakaLLAH fiika
Mashallah shekh Muhammad. Tunakupata mubashara huku mbeya .
Allah unamuona usingizini tena, SubhnaAllah
MashaAllah sheikh bachu
Much ❤sh Muhammad nakupata kutoka Lusaka Zambia
MashaAllah
@nuru ya sunnah pamoja sana ndugu yetu Allah akubarik
بارك الله فيك أخي الكريم
Shukran al akhy, tunakupata vyema
Siku zote nakuelewa sana Sheikh wetu Muhammad, huyo SHIA hana jipya hiyo hoja hata mtoto wa chekechea anaelewa!
Jazzakallah Tabarakallah shekh muhammad nassor bachu Allah akuhifadhi. Majibu mazuri kwa jahil shia golo.
Allah akuhifadh shekh Muhammad
Baaraka llahu fik
أسأل ألله أن يوسع لي ولك كلّ طريق وينجيني وينجّيك من كلّ همٍّ وضيق
أسأل ألله أن يملأ قلبي وقلوبك بالأنوار ويحفظني ويحفظك
آمين
شكرابخيرأناُُ@@Muhammad_Nassor_Bachu_.
امين
*SHEIKH MUHAMMAD SIJUI NICOMMENT NINI, ALLAH AMEKUPA FADHILA KUBWA SANA KATIKA ELMU YAKO HII*
Masha Allah maneno safi Allah akulinde
Uko vizur sheikh umefanya niwe na msimamo
Sheikh Muhammad Allah akulipe malipo mazuri na makubwa,Kuna jambo kingine ulitolee ufafanuzi,adui wa Jibril ndio alie aliekuteremshia wewe huu qurani
jamani yee mungu hakuzaa wala kuzaliwa sasa kumwona mungu kwa sura ya kijana na nywele za kipilipili mmh hata mie napata shaka na hadithi hiikwani si kuna hadithi sahii na si sahihi mbona hii inaonekana kama sio sahihi mungu kaonekana kama mtu tena kijana mmh!! mashekh wetu muee makini bwana
Maashaa Allah Jazaka Llahul khayr 🤗 hakika Allah hajaleta maradhi bila ya dawa ❤ umekua dawa ktk nchi zetu hizi Allah akuhifadhi😊
Shekhe jazakum llahu khaira, allah akulinde na mahasidi kwakupambana na watu batili na maadui wa dini ya mwenyezi mungu, watandandike hao maguruwe wa motoni Shia wamekuja kuvaa vazi la uislamu kiunafiki lengo kuangamiza dini ya Allah na kuwatowa waislamu kwenye dini yao,hili lipo wazi kama kuna mwislamu anaamini shia ni muislamu atakuwa anamatatizo ya ubongo wa akili muislamu anaejuwa uislamu hawezi kuamini Shia ni mwislamu huyu ajui maana ya uislamu na vitu vinavyomuweka mtu kwenye uislamu na vitu vinavyo tenguwa uislamu, ni sawa na mtu kuchukuwa udhu ukibatilisha udhu huna swala Sasa ni ajabu mtu anakwambia tupu ya mtume itaenda motoni kisa alikuwa na wanawake wawili washirikina aysha na afsa hivi hata mtoto mdogo kiakili umuulize hivi vipi wasemaje huyu bado mwislamu anakukatalia kabisa kwa uwezo wa Allah.lakini cha ajabu kuna ndugu zetu masufi wao ndo wapambe wao mashia wapo tayari mtume adhalilishwe siyo mshia kudhalilika haya tunayaona kila siku mitandaoni wanajaa jazba Shia akisemwa vibaya ukuta shekhe anapanda jazba kumtetea mshia Sabu ya ugali wanaopewa ndo wapo razi omary anaitwa mwenda wazimu, Abubary kaitwa jambazi tapeli, na aysha kaitwa mzinifu,lakini wao hawakioni hilo sisi tukisema na kuwatetea maswahaba wamtume utasikia mawahaby waleta farka mawahaby hawataki umoja wa uislamu sisi tutaendelea kuwatandika tuu,Allah ndo msaidizi wetu pamoja na kejeri zenu hatujali wala hatujali kabisa lengo kumtetea mtume wetu na kuwahami swahaba anaona tunalofanya ni la hakki na ndomana hamueezi kuizima nuru ya mwenyezi mungu Jambo la hakki ni kama mtu aloshika Moto bwana.
Wewe yaonekana hata uislamu huujui kabsaa,ila wajua jina tu.Siku M/Mungu akikupa kitabu cha aamali zako na ukakuta hayo ulowasemea Shia.
Chukua tahadhari qabla ya siku hiyo,kwa kufanya hivi:
Kusoma vitabu vilo andikwa na shia wenyewe,utawafahamu kwasura yao ya hakika.
@@madrasatunnajmizzaahiral-i2478nawao wachukue tahadhari kwa Allah dhidi ya matusi kwa maswahaba na wakeze mtume kufaru Shia najisi nguruwe wa motoni
Waleykum salam warahmatullah wabarakatuh
ما شاء الله.its really something
MASHAALLAH
Allah akulipe kheri duniani na akhera pia kwani tumewajua wanaotuvurugia dini yetu
allah atulipe kheri nyingi inshallah
Allah akulipe na akusimamie ili utuzindue katika elimu ambayo hatunayo
Mashaallah tabrakallah
Mashallah sheh Allah akulipe kila la heri hapa ndunian nakesho akhera naiman hata huyo mbwa Shia ameelewa nn unasema
شكرا على كل خير
بارك الله فيك
Maa shaa Allah, jazakallahu kheyra, sheikh weka namba zako tukutafute kwa ajili ya maswali na ufafanuzi wa hoja mbalimbali in shaa Allah. Allah akujaalie Kila lenye kheri kwako duniani na Kesho siku ya akhera. In shaa Allah Amiin
Asalaam aleikum Kaka... Allah akuhifadhi na akulinde...Naomba kama ulivo chambua hadithi...,,Naomba uchambue.. hili suala la kuinua mikono katika kila nguzo MTU akiswali..
Allah akulipe kheri
Assalaam aleykum.... ndugu ktk lman.... jaman embu wote mlo msapot huyu kijana toeni shahada upya tafadhali... zindukeni waislaam haitakikani kwa muumin kuitakidi kua mungu anafanana na chochote pia haitakikani kuitakidi kua mtume kamuota Mungu alafu akahadithia , ikiwa maswahaba walishindwa kumuhadithia mtume sw sura rasmi na umbo jins alivyo waajabu, leo wew unasema mtume kaona usingizin mungu yuko sampuli fulani ... waislaam achaneni nae huyu kijana huyu mpotoshaji lngelikua Allah angetaka ajitangaze alivyo Astaghfirullah basi safari ya lsraa na Miiraji Mtume aliongea na Allah... basi angehadithia lakina hakumuona bali alikua karibu nae na wakizungumza ila ckwakumuona ....waislaam zunduken lnshallah Allah amuongoze
Hakika umebeba imani kwa pasipo haqi ndomana haulewi Allah akuongoze utoke kwenye ushia
Nondo juu ya nondo Muhammad bachu mbona unapiga makwaju ya mbiyoni namna hii kumbuka wanamishono halafu unapiga kwenye mshono nihatar ya shek.Nasubiri Golo aje kuomba radhi mbeleyetu sihivyo hatamm nitaenda kumkandamiza uko tuendako nipo tayar kukaa ushahidi juu yahili wallah thuma wallah 😢
Mwamba
Salaam hapa ifahamike kua siwezi kumkufurisha ibn taimiyya alipoelezea alivyomuona allah kwa namna alivyomuona hapa ndopenye shida haikataliwi kua mtume s a w alimdiriki mola wake ispokua hii kuelezea alimuona kwa namna fulani hapa ndipo penye mushkil
Zaadakallah ilma
Acha kufru bachuu ,hadithi za kutunga hizo Allah haonekani kasema ktk kur aan mtume hawezi kusema kitu kinacho pinga kur aan
Wewe ndio unasema hio Hadith ni dhaifu? Mbona wanazuoni hawakudhaifisha mojawapo imam suyuti
@@mohagurey2214kitu ambacho hukijui ndugu yangu Hawa wanaopinga Hadith wanaitwa QUR,AAN YUUN ni mashia ambao hawaamin Hadith za mtume Swalla llaahu alayhi wasallama Bali wanaamin Quran peke yake
Sasa nyie QUR'AN YUUN hapa mnafata nin mana mmempinga mtume Swalla llaahu alayhi wasallama mana hamuamin Hadith zake nyie mashia
Umeambiwa nikuonekana kwa njia ya ndoto hiv unaijua ndotoo..
Mashia ni wagumu wa kuelewa.
Na sema tena huyu shafii na wenzake akauze mandazi jamani..😂😂
mashia hawajitambui na hakuna watu waongo kama mashia. Mashia na Mayahudi hawana tofauti katika uongo
Watajuwa hawajui wape kabisaa Kaka
Ww bachu acha upuuzi Wewe mshenzi. Yaani ALLAAH Aonekane katika shikli ya amrad.SUBHANALLAAH. Wewe ni mbwa katika ma mbwa
Usimtusi yeye ananukuu tu
Jee na mashekhe wote kabla ya ibnu taymiyyah kama imam ahmad bin hambal ni ma mbwa? Jee baada ya ibnu taymiah kama imam suyuti ni ma mbwa?
Wewe sio mbwa wewe bin aadam laaakin ni jaahili murakab bijahlika "innallaha dhwama ljahli waljuhaallaa" undhri ya juhallaa
@@MohdIkra-d7s Wewe ambae Si mjinga hebu basi hiyo ibara andika kiarabu. Na kama hujui sema sijui.😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Ilo c la kushangaza kabisa kuota umemuon mungu kipindi tuko wadogo madsani kulikuw na mwalimu mmoja Anachezesha viboko ajabu. Mpka kuna mwanafunzi mwezetu cku moja alikuja chuoni na kusema ya kwamba aliota kiama tyr na Mungu ni huyo Mwalimu. AstaghafiruLLah.
Muhammad namuomba Allah akulipe kheri,,kwa kweli huyu jamaa sijui ana njia ya kujitetea,,anapotosha bila ya khofu,,wewe Muhammad anatosha kumueka sawa huyu jamaa,,yaani kama hajatubia atakwenda kujibu,,kumbe Ibn Tymiya mwenyewe anakataa,,Ewe Shafii Basalim muombe Allah msamaha,,ujue umemdhulumu Ibn Taymiya.
Walaykum salaam warahalatullah wabarakaatuh unasema ahujaelewa nahona wewe ni mvivu wakuhelewa maana muhamed bacho yuko muwazi kafafanua
Kuitakidi Mungu yu ana mfano ukafiri mn inapingana n kur an iyo hadithi n ukafir kw muislam kuitakid ivo
Fungua moyo acha kubeba imani kwa ujinga
@@kasimubangu1875 imani gn y kua n Mungu mwenye vipilipili n kisura n viatu vya zahabu km cy ukiristo n usheitwan huu
Assalaam alykum warhamatullah, sheikh Muhammad apa nimekwama wallah hii mara ya pile nackiliza bdo akili haijapokea haya maneno, kswabu Allah hafanan na chochote kwann aotwe kua ni kijana kavaa viatu kavaa nguo hii ipo vp na Ile Aya ya kua Allah hafanan na kitu chochote, au sabau mm elimu cna ckusoma naomba nieleweshe zaidi ya hpo km inawezekan km haiwezekan bc, nibaki tu nifanye km ckuckia hayo maneno
na hiyo ndio itikadi ya ibnu Taymiyya kuwa Allah hafanani na chochote, rejea tena kusikiliza utafahamu
Km hujaelewa rejea tna video
Nahisi hii hadithi ya mtume kumuona Allah ina walakini inaweza kuwa ni uzushi....kwa sababu hasemi kwa matamaniyo yake
@@medinaser9712mawahabi ni bangi tu wanazingua, mawahabi wanaamini mungu ana macho,mikono,miguu,
@@MohammedSaid-zk7yg ata Quran inaamini hivyo
Njoo live kwenye mnakasha
Allah akubalik
Sheikh Muhammad Allah akuhifadhi.. lakini pia tunataka uwazungumzie kwa kina hawa hizbu salafi...madaakhila na makhajaawira... akina kassim mafuta, na wenziwe... tunaomba sheikh uchambuzi wa kina... BARAKALLAAHU FIYK.
Bachu hapo tuwache tupe aya ya QUR_AN UNAZUNGUKA TU HAPO HAPO HUJATUPA USHAHIDI ALLAH HAFANANI NA KITU CHOCHOTE IKIWA KUZUNGUMZA NAE ALLAH ANASEMA HAIKUA KWA KIUMBE YEYOTE KUZUNGUMZA NA ALLAH ILA WAHYI AU NYUMA YA PAZIA AU HUMTUMIA MJUMBE AMPE WAHYI ANAEMTAKA KWA IDHINI YAKE VP KUMUONA TENA UNASEMA KAVAA KANZU NA VIATU VYA DHAHABU DUH SUBHANALLAH USITUBURUZE
Mbumbumbu hata ueleweshwe hutakaa uelewe, tafuta madarisi ukasome @suleimanadim
@@maryamabdallah3140😂😂😂 msamehe bure
Fii qulubihim maradhw fazada humu Llahu maradhwa. Hawa ndio swummun, bukmun, umyun. Allah atuhifadhi
Allah akupe pepo
Aaamin Yaarabbal A'lamin 🤲🏽
tunakupata vizuri na tunaona raha sana
Mashalah ibn bachu
Shekh Muhammaad Maashaa Allaah kwa hakika wewe ni mwalimu mweledi mnoo kwa wazushi wa Tanzania😂😂😂
sio Tz pekeee na kenya piaaa
Twasubiri mtanange mwengine baada ya mtanange wa barzanje.
Shia Koko anataka umaarufu tu yulee njaa kaliiiiii inamsumbua
shekh bachu we waamini hadithi hiyo mbona kama ina mushikiri?
Mashllah
Muhammad Bachu wape somo hao mashia murtadi
Huwezi kupata watu waongo wazushi zaidi ya mashia
Msituchanganye..1.kama mtume amemuota Allah angemsimulia mkewe bi aisha..hadithi kama kweli ingetoka kwa mkewe direct..2.Kama sisi tukimuota mtume sio ndoto ya kishetani je Allah atampaje mtume ndoto feki?3.kama mungu hana mfano LAM YA KULLAHU KUFUWAN AHAD..inakuwa mtume amuote Allah kwa mfano au umbile?je mtume anaota ndoto feki?hadithi sio aya
Fanyeni ibada usiku acheni kukeshe kuandaa matusi
Mwenyazi mungo hana mfanu
Mnajua io ndoto aloota Mtume SAW inamaana ganiii heeee
Weeeeeee hizi mada ni nzito sana kuliko uwezo wenu.sasa naona mwenda kwenye ukafiri kikweli
Huna elimu sikiliza t wewe usiengeze lako hapa
@@MohdIkra-d7s Mwenye ilimu hawezi kusema kua mola ameweza onekena Kwa mfano wa mtoto mdogo. Katika Hadithul Qudsi Mola asema nimewaandalia waja wangu wema pepo amabayo jicho halijawai ona Wala sikio halijawai sikia Wala haijawai hata kupita katika fikra za kiumbe. Ikiwa pepo huwezi kuiwaza kufananisha vipi mtu amfananishe Mola na shikli ya kiumbe. MOLA NI YULE ALIYE SEMA. LAYSA KAMITHILIHI SHAIUN. NI KWELI SINA ILIMU LAKINI HAYA MAMBO KIASI FLANI NAYAJUA.
Lakini sheikh m bachu na je yajuzu kuzungumza au kusimulia kua kw mfano umemuona mungu au mtume kw khal moja au ingine
Umemuona wapi usingizin au. Ikiwa ucngizini Mtume SAW anasifa zake ukija kumuona Mtume SAW ni mweuc bc cie uyo jadhalika Allah hakuna alomuota ila Mtume SAW na hatujui io ndoto inamaana gan sasa cc tulobak ata tukimuona Mungu ucngizin tutafute wafarir wakuwaamin waiague hio ndoto
Huyu shia mimi nasema alikua anatafta umaarufu tu ndo mana alikua anakurupuka na sasa kwa sababu sheikh Muhammadi kamradi kapata kujulikana tayar Allah amuongoe awache chuki zidi ya wanachuoni wa kisalafi
huko mnako kwenda kwakumuona( allaah...)
ni uwongo kuruan haija sibitisha mfano wa( allaah..sw)
sasa kwaelim ipi hio yakumuona( MImungu mtume.. muhamad )
sasa swali la kipuuzi tu unaweza kuona kitu kisicho mfano ikaendelea kutokua na mfano 🎉
hakuna hio nakama ni ndoto bas ni chafu km nyenginw
katika juzuu 30, quruan
muko sura mpk ziko na aya 3
lakini hakuna hiko kitu
Mashia wanapoteza Sana watu,mungu akulaani shafii
Sheikh letu hao ni matapeli
Iyo ni nguruwe la kishia ndio inamkufurisha sheikh wetu Islam ibnu taimia ni nguruwe la kishki
Naomba niulize kwani mtume akiota ndoto ndoto ile inakuwa kweli au vipi?
Unaelewesha mpaka tumeelewa
Mnabishana nin Wakati mtume ndiye aliye muona allah ni kakijana hakana ndevu natunywele twake nitwakipilipil na mwengine anasema ni mwanamke tumwamini nani
Mshaanza mchezo mchezo sisi tunawaangalia nani mshidi,