RADDI KWA SHIA GOLO 02 JE IBNU TAYMIYYAH NI KAFIRI || Muhammad Bachu.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 18 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 226

  • @Athumaniomari-ge2gs
    @Athumaniomari-ge2gs 5 หลายเดือนก่อน +7

    Maaashaaallah sheikh mhammadi bachu usichoke kuzindua watu waijue vzr din

  • @abdallahmungwana8667
    @abdallahmungwana8667 5 หลายเดือนก่อน +7

    MaashaaAllah sheikh langu Muhammad Bachu umefafanua viziri

  • @YahyaYahya-vp2pp
    @YahyaYahya-vp2pp 5 หลายเดือนก่อน +11

    Muhammad ulimi wako una ufasaha sana na unaweleweka vizur. Allah akulinde na shar za ulimwengu

    • @Hamis-ks1sy
      @Hamis-ks1sy 5 หลายเดือนก่อน

      Wallah,sheikh ana ufasaha wa kuzungumza

    • @ibrahimjumaa538
      @ibrahimjumaa538 5 หลายเดือนก่อน

      Hii ni Barka

    • @abalkib2866
      @abalkib2866 4 หลายเดือนก่อน

      Maasha-Allah.

  • @mfalmenajjash2128
    @mfalmenajjash2128 5 หลายเดือนก่อน +21

    Shekh Muhammad bachu tunakupata mubaashara kutoka chake-chake pemba zanzibar maeneo ya vitongoji darajani mkabala na shule ya vipawa ya fidelcastro.Shekh Muhammad usichoke nandomana hadileyo Allah amekupa uhai kwaajili ya dini yake kwaiyo ww usichoke kwa wapuuzi kama hawo akina golo endeleya kuelimisha umma Naujira wako utaukuta siku ya kiu nanjaaa biidhini llah

    • @mohagurey2214
      @mohagurey2214 5 หลายเดือนก่อน +1

      Hio shule baado yaitwa Fidel Castro ni makosa

    • @mfalmenajjash2128
      @mfalmenajjash2128 5 หลายเดือนก่อน +1

      @@mohagurey2214 Ndy jina halijabadilika bado

    • @mohagurey2214
      @mohagurey2214 5 หลายเดือนก่อน

      @@mfalmenajjash2128 inastahili kubadilishwa

    • @hilalalhabsi2047
      @hilalalhabsi2047 5 หลายเดือนก่อน

      Nilifkiri weye ni mwalimu mkuu wa hio skuli, kumbe ni mtoto wa kitaani, ok

  • @MohammedOmar-wt3vg
    @MohammedOmar-wt3vg 5 หลายเดือนก่อน +11

    Ndugu Mohammad na Abu almaan lushoto mumefanya kazi nzuri ya kujibu talbis za huyu SHIA. Baaraka ALLAH.

  • @babatidaawa6550
    @babatidaawa6550 5 หลายเดือนก่อน +5

    Fact fact fact Sheikh bachu Allah akuhifadhi utuendelee kutuelimisha na kutuzindua maana hii kazi masheikh wengine wameshindwa kuitetea Sunna wanaogopa wataitwa kuwa wanawagawa watu

  • @OthmanKhamis-p5d
    @OthmanKhamis-p5d 5 หลายเดือนก่อน +7

    Shekh wetu allah akuhifadhi umeelezea vizuri sana kabisa

  • @bakariomari8758
    @bakariomari8758 5 หลายเดือนก่อน +9

    Sheikh bachu umeeleza vizuri hadi tumeelewa. Nakuombea kwa Allah akulipe kwa pepo ya, firdaus na akupe umri mrefu na afya, tele uhudumie dini hii ya haqqi

  • @الشيخحسين-ف3ش
    @الشيخحسين-ف3ش 5 หลายเดือนก่อน +9

    Mungu akuzidishie elimu sheikh Muhammad

  • @masoud744
    @masoud744 5 หลายเดือนก่อน +3

    Mashallah.. tunakupata, tunakuelewa, tunakufahamu na unatufundisha

  • @Biziman-pu4kf
    @Biziman-pu4kf 5 หลายเดือนก่อน +4

    Wallahi nakupenda kwajili ya Allah
    Naapa kwajina la Allah kwahakika wanafunzi wako wananeema kubwa kukupata

  • @OmarAlly-iz8ot
    @OmarAlly-iz8ot 5 หลายเดือนก่อน +5

    Allaah akuhifadhi na akulinde na shari za wazushi na waovu wote

  • @Khatib-xp6fp
    @Khatib-xp6fp 5 หลายเดือนก่อน +8

    Mwalimu
    Una to motivate vijana kutafuta elimu zaidi
    Tunashukura sanaaa
    Mashaallah

  • @mbjunior166
    @mbjunior166 5 หลายเดือนก่อน +2

    Allah akulipe kila la kheir sheikh Muhammad Bachu!

  • @Nuru_ya_sunnah.official
    @Nuru_ya_sunnah.official 5 หลายเดือนก่อน +2

    al akhy bachu unafanya vizuri sanaaaa
    jitahid usifanye kwa RIAA

  • @yassinbahibry
    @yassinbahibry 5 หลายเดือนก่อน +2

    Allah akuhifadhi yaani nimekuwelewa tena hadi raha vizuri sana, marhum nassor bachu ametuachia hazina kubwa na biidhnillah huko aliko (akhira) zitamfikia malipo makubwa.

  • @MasoudMasoud-ci7vc
    @MasoudMasoud-ci7vc 5 หลายเดือนก่อน +3

    Nyiye munaocoment wengine sikilizeni darsa vizuri usianze kumshambulia bhachu ,muhammad haropoki anachokisema anakitoa kwenye vitabu,na M/mungu amlinde atufunue macho na myoyo yetu.

  • @amazing_ERA
    @amazing_ERA 5 หลายเดือนก่อน +4

    jazak Allahu kheir sheikh Muhammad Bachu. na akuhifadhi Tunakupenda kwa ajli ya Allah

  • @ShabanHassan-td3lx
    @ShabanHassan-td3lx 5 หลายเดือนก่อน +1

    Maasha Allah, akhiy Muhammad,twakupend sn kw ajil y Allah, na tumekumiss sn unguja.

  • @mustafajuma8628
    @mustafajuma8628 5 หลายเดือนก่อน +2

    mashAllah UST bachuu,usichoke kutupa elmu

  • @saidimkwinzu9106
    @saidimkwinzu9106 5 หลายเดือนก่อน +4

    Najifunza mengi sana kupitia hii channel yako sheikh Muhammadi bacho Allah akuhifadhi

  • @khamisisima711
    @khamisisima711 5 หลายเดือนก่อน +1

    Baraka Allah fiika
    Allah akuhifadhi shaikh Muhammad Bacho

  • @Abuassma360
    @Abuassma360 5 หลายเดือนก่อน +4

    Sheikh m bachu Allh akujazi kheri

  • @hamadali3231
    @hamadali3231 5 หลายเดือนก่อน +5

    Alla amjaalie mtoto wangu awe na elimu kama sh Ibnu Tayymi pia awe mlinganiaji ka yy ibn T . Jina la mtoto wangu ni ( ASWIM )

    • @MohdIkra-d7s
      @MohdIkra-d7s 5 หลายเดือนก่อน

      "innamaaa yataqaballu llaha Alalmuttaqiin"

  • @Hamis-ks1sy
    @Hamis-ks1sy 5 หลายเดือนก่อน +2

    Allah akuhifadh sheikh Muhammad

  • @naasibabuu
    @naasibabuu 5 หลายเดือนก่อน

    Alhamdulillah BaarakaLLAH fiika

  • @salumtakao9828
    @salumtakao9828 5 หลายเดือนก่อน

    Mashallah shekh Muhammad. Tunakupata mubashara huku mbeya .

  • @ramadhanngwilili6261
    @ramadhanngwilili6261 4 หลายเดือนก่อน

    Allah unamuona usingizini tena, SubhnaAllah

  • @isackwaite-uf1zy
    @isackwaite-uf1zy 5 หลายเดือนก่อน +1

    MashaAllah sheikh bachu

  • @KhadijaOmari-e9g
    @KhadijaOmari-e9g 5 หลายเดือนก่อน +3

    Much ❤sh Muhammad nakupata kutoka Lusaka Zambia

  • @fadhilitandu7886
    @fadhilitandu7886 5 หลายเดือนก่อน +2

    MashaAllah

  • @Nuru_ya_sunnah.official
    @Nuru_ya_sunnah.official 5 หลายเดือนก่อน +1

    @nuru ya sunnah pamoja sana ndugu yetu Allah akubarik

  • @Abuushawkan
    @Abuushawkan 4 หลายเดือนก่อน

    بارك الله فيك أخي الكريم

  • @pablooo4197
    @pablooo4197 5 หลายเดือนก่อน +3

    Shukran al akhy, tunakupata vyema

  • @osmandunga7431
    @osmandunga7431 5 หลายเดือนก่อน +2

    Siku zote nakuelewa sana Sheikh wetu Muhammad, huyo SHIA hana jipya hiyo hoja hata mtoto wa chekechea anaelewa!

  • @ExcitedChefHat-ef5jt
    @ExcitedChefHat-ef5jt 5 หลายเดือนก่อน

    Jazzakallah Tabarakallah shekh muhammad nassor bachu Allah akuhifadhi. Majibu mazuri kwa jahil shia golo.

  • @iddijuma1428
    @iddijuma1428 5 หลายเดือนก่อน +2

    Allah akuhifadh shekh Muhammad

  • @Muharram-c5n
    @Muharram-c5n 5 หลายเดือนก่อน +2

    Baaraka llahu fik

  • @sheikhabuusakakin3243
    @sheikhabuusakakin3243 5 หลายเดือนก่อน +1

    أسأل ألله أن يوسع لي ولك كلّ طريق وينجيني وينجّيك من كلّ همٍّ وضيق
    أسأل ألله أن يملأ قلبي وقلوبك بالأنوار ويحفظني ويحفظك

  • @ibrahimjumaa538
    @ibrahimjumaa538 5 หลายเดือนก่อน +2

    *SHEIKH MUHAMMAD SIJUI NICOMMENT NINI, ALLAH AMEKUPA FADHILA KUBWA SANA KATIKA ELMU YAKO HII*

  • @SharafuAli
    @SharafuAli 4 หลายเดือนก่อน

    Masha Allah maneno safi Allah akulinde

  • @Jumaamsagaty
    @Jumaamsagaty 5 หลายเดือนก่อน +3

    Uko vizur sheikh umefanya niwe na msimamo

  • @Nywesha
    @Nywesha 5 หลายเดือนก่อน

    Sheikh Muhammad Allah akulipe malipo mazuri na makubwa,Kuna jambo kingine ulitolee ufafanuzi,adui wa Jibril ndio alie aliekuteremshia wewe huu qurani

  • @omanoman-ir1ez
    @omanoman-ir1ez 4 หลายเดือนก่อน +1

    jamani yee mungu hakuzaa wala kuzaliwa sasa kumwona mungu kwa sura ya kijana na nywele za kipilipili mmh hata mie napata shaka na hadithi hiikwani si kuna hadithi sahii na si sahihi mbona hii inaonekana kama sio sahihi mungu kaonekana kama mtu tena kijana mmh!! mashekh wetu muee makini bwana

  • @saadasaleh3177
    @saadasaleh3177 5 หลายเดือนก่อน

    Maashaa Allah Jazaka Llahul khayr 🤗 hakika Allah hajaleta maradhi bila ya dawa ❤ umekua dawa ktk nchi zetu hizi Allah akuhifadhi😊

  • @AbdulIssa-o7e
    @AbdulIssa-o7e 5 หลายเดือนก่อน +1

    Shekhe jazakum llahu khaira, allah akulinde na mahasidi kwakupambana na watu batili na maadui wa dini ya mwenyezi mungu, watandandike hao maguruwe wa motoni Shia wamekuja kuvaa vazi la uislamu kiunafiki lengo kuangamiza dini ya Allah na kuwatowa waislamu kwenye dini yao,hili lipo wazi kama kuna mwislamu anaamini shia ni muislamu atakuwa anamatatizo ya ubongo wa akili muislamu anaejuwa uislamu hawezi kuamini Shia ni mwislamu huyu ajui maana ya uislamu na vitu vinavyomuweka mtu kwenye uislamu na vitu vinavyo tenguwa uislamu, ni sawa na mtu kuchukuwa udhu ukibatilisha udhu huna swala Sasa ni ajabu mtu anakwambia tupu ya mtume itaenda motoni kisa alikuwa na wanawake wawili washirikina aysha na afsa hivi hata mtoto mdogo kiakili umuulize hivi vipi wasemaje huyu bado mwislamu anakukatalia kabisa kwa uwezo wa Allah.lakini cha ajabu kuna ndugu zetu masufi wao ndo wapambe wao mashia wapo tayari mtume adhalilishwe siyo mshia kudhalilika haya tunayaona kila siku mitandaoni wanajaa jazba Shia akisemwa vibaya ukuta shekhe anapanda jazba kumtetea mshia Sabu ya ugali wanaopewa ndo wapo razi omary anaitwa mwenda wazimu, Abubary kaitwa jambazi tapeli, na aysha kaitwa mzinifu,lakini wao hawakioni hilo sisi tukisema na kuwatetea maswahaba wamtume utasikia mawahaby waleta farka mawahaby hawataki umoja wa uislamu sisi tutaendelea kuwatandika tuu,Allah ndo msaidizi wetu pamoja na kejeri zenu hatujali wala hatujali kabisa lengo kumtetea mtume wetu na kuwahami swahaba anaona tunalofanya ni la hakki na ndomana hamueezi kuizima nuru ya mwenyezi mungu Jambo la hakki ni kama mtu aloshika Moto bwana.

    • @madrasatunnajmizzaahiral-i2478
      @madrasatunnajmizzaahiral-i2478 5 หลายเดือนก่อน

      Wewe yaonekana hata uislamu huujui kabsaa,ila wajua jina tu.Siku M/Mungu akikupa kitabu cha aamali zako na ukakuta hayo ulowasemea Shia.
      Chukua tahadhari qabla ya siku hiyo,kwa kufanya hivi:
      Kusoma vitabu vilo andikwa na shia wenyewe,utawafahamu kwasura yao ya hakika.

    • @AbdulIssa-o7e
      @AbdulIssa-o7e 5 หลายเดือนก่อน

      @@madrasatunnajmizzaahiral-i2478nawao wachukue tahadhari kwa Allah dhidi ya matusi kwa maswahaba na wakeze mtume kufaru Shia najisi nguruwe wa motoni

  • @وزيرهالوزير-ذ8س
    @وزيرهالوزير-ذ8س 5 หลายเดือนก่อน +1

    Waleykum salam warahmatullah wabarakatuh

  • @MohamedMwangare-sw3sl
    @MohamedMwangare-sw3sl 5 หลายเดือนก่อน +1

    ما شاء الله.its really something

  • @FadhilSaid-mb2yk
    @FadhilSaid-mb2yk 5 หลายเดือนก่อน

    MASHAALLAH

  • @omarysungi4635
    @omarysungi4635 5 หลายเดือนก่อน +1

    Allah akulipe kheri duniani na akhera pia kwani tumewajua wanaotuvurugia dini yetu

  • @saidjuma4547
    @saidjuma4547 5 หลายเดือนก่อน +2

    allah atulipe kheri nyingi inshallah

  • @huseinsuleiman1580
    @huseinsuleiman1580 5 หลายเดือนก่อน

    Allah akulipe na akusimamie ili utuzindue katika elimu ambayo hatunayo

  • @universitylink
    @universitylink 5 หลายเดือนก่อน +3

    Mashaallah tabrakallah

  • @AbuuKiweru
    @AbuuKiweru 5 หลายเดือนก่อน

    Mashallah sheh Allah akulipe kila la heri hapa ndunian nakesho akhera naiman hata huyo mbwa Shia ameelewa nn unasema

  • @OwissoBacarBacar
    @OwissoBacarBacar 5 หลายเดือนก่อน

    شكرا على كل خير

  • @izmamuizmamu6521
    @izmamuizmamu6521 5 หลายเดือนก่อน

    بارك الله فيك

  • @abdullahimohamudosman3695
    @abdullahimohamudosman3695 5 หลายเดือนก่อน

    Maa shaa Allah, jazakallahu kheyra, sheikh weka namba zako tukutafute kwa ajili ya maswali na ufafanuzi wa hoja mbalimbali in shaa Allah. Allah akujaalie Kila lenye kheri kwako duniani na Kesho siku ya akhera. In shaa Allah Amiin

  • @saidmruu5897
    @saidmruu5897 5 หลายเดือนก่อน

    Asalaam aleikum Kaka... Allah akuhifadhi na akulinde...Naomba kama ulivo chambua hadithi...,,Naomba uchambue.. hili suala la kuinua mikono katika kila nguzo MTU akiswali..

  • @RajabuAdam-qn2kf
    @RajabuAdam-qn2kf 5 หลายเดือนก่อน

    Allah akulipe kheri

  • @LucasNicoraus-xi5ux
    @LucasNicoraus-xi5ux 5 หลายเดือนก่อน

    Assalaam aleykum.... ndugu ktk lman.... jaman embu wote mlo msapot huyu kijana toeni shahada upya tafadhali... zindukeni waislaam haitakikani kwa muumin kuitakidi kua mungu anafanana na chochote pia haitakikani kuitakidi kua mtume kamuota Mungu alafu akahadithia , ikiwa maswahaba walishindwa kumuhadithia mtume sw sura rasmi na umbo jins alivyo waajabu, leo wew unasema mtume kaona usingizin mungu yuko sampuli fulani ... waislaam achaneni nae huyu kijana huyu mpotoshaji lngelikua Allah angetaka ajitangaze alivyo Astaghfirullah basi safari ya lsraa na Miiraji Mtume aliongea na Allah... basi angehadithia lakina hakumuona bali alikua karibu nae na wakizungumza ila ckwakumuona ....waislaam zunduken lnshallah Allah amuongoze

    • @kasimubangu1875
      @kasimubangu1875 5 หลายเดือนก่อน

      Hakika umebeba imani kwa pasipo haqi ndomana haulewi Allah akuongoze utoke kwenye ushia

  • @mfalmenajjash2128
    @mfalmenajjash2128 5 หลายเดือนก่อน +2

    Nondo juu ya nondo Muhammad bachu mbona unapiga makwaju ya mbiyoni namna hii kumbuka wanamishono halafu unapiga kwenye mshono nihatar ya shek.Nasubiri Golo aje kuomba radhi mbeleyetu sihivyo hatamm nitaenda kumkandamiza uko tuendako nipo tayar kukaa ushahidi juu yahili wallah thuma wallah 😢

  • @jamalAlly-p2y
    @jamalAlly-p2y 5 หลายเดือนก่อน +1

    Salaam hapa ifahamike kua siwezi kumkufurisha ibn taimiyya alipoelezea alivyomuona allah kwa namna alivyomuona hapa ndopenye shida haikataliwi kua mtume s a w alimdiriki mola wake ispokua hii kuelezea alimuona kwa namna fulani hapa ndipo penye mushkil

  • @KhamisDaud-nz3rc
    @KhamisDaud-nz3rc 4 หลายเดือนก่อน

    Zaadakallah ilma

  • @SaidAlmazrui
    @SaidAlmazrui 5 หลายเดือนก่อน +2

    Acha kufru bachuu ,hadithi za kutunga hizo Allah haonekani kasema ktk kur aan mtume hawezi kusema kitu kinacho pinga kur aan

    • @mohagurey2214
      @mohagurey2214 5 หลายเดือนก่อน

      Wewe ndio unasema hio Hadith ni dhaifu? Mbona wanazuoni hawakudhaifisha mojawapo imam suyuti

    • @saidimkwinzu9106
      @saidimkwinzu9106 5 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@mohagurey2214kitu ambacho hukijui ndugu yangu Hawa wanaopinga Hadith wanaitwa QUR,AAN YUUN ni mashia ambao hawaamin Hadith za mtume Swalla llaahu alayhi wasallama Bali wanaamin Quran peke yake

    • @saidimkwinzu9106
      @saidimkwinzu9106 5 หลายเดือนก่อน

      Sasa nyie QUR'AN YUUN hapa mnafata nin mana mmempinga mtume Swalla llaahu alayhi wasallama mana hamuamin Hadith zake nyie mashia

    • @binbuhakhamis4336
      @binbuhakhamis4336 5 หลายเดือนก่อน

      Umeambiwa nikuonekana kwa njia ya ndoto hiv unaijua ndotoo..

    • @HamadHamduni
      @HamadHamduni 4 หลายเดือนก่อน

      Mashia ni wagumu wa kuelewa.

  • @hassanmohamedlaizer569
    @hassanmohamedlaizer569 5 หลายเดือนก่อน +3

    Na sema tena huyu shafii na wenzake akauze mandazi jamani..😂😂

  • @amyassyassin7909
    @amyassyassin7909 5 หลายเดือนก่อน +1

    mashia hawajitambui na hakuna watu waongo kama mashia. Mashia na Mayahudi hawana tofauti katika uongo

  • @aooshosho4255
    @aooshosho4255 5 หลายเดือนก่อน

    Watajuwa hawajui wape kabisaa Kaka

  • @yahyamaulana7791
    @yahyamaulana7791 5 หลายเดือนก่อน

    Ww bachu acha upuuzi Wewe mshenzi. Yaani ALLAAH Aonekane katika shikli ya amrad.SUBHANALLAAH. Wewe ni mbwa katika ma mbwa

    • @abuubilal2646
      @abuubilal2646 5 หลายเดือนก่อน

      Usimtusi yeye ananukuu tu

    • @muhammadkarama9996
      @muhammadkarama9996 5 หลายเดือนก่อน

      Jee na mashekhe wote kabla ya ibnu taymiyyah kama imam ahmad bin hambal ni ma mbwa? Jee baada ya ibnu taymiah kama imam suyuti ni ma mbwa?

    • @MohdIkra-d7s
      @MohdIkra-d7s 5 หลายเดือนก่อน

      Wewe sio mbwa wewe bin aadam laaakin ni jaahili murakab bijahlika "innallaha dhwama ljahli waljuhaallaa" undhri ya juhallaa

    • @yahyamaulana7791
      @yahyamaulana7791 4 หลายเดือนก่อน

      @@MohdIkra-d7s Wewe ambae Si mjinga hebu basi hiyo ibara andika kiarabu. Na kama hujui sema sijui.😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @abalkib2866
    @abalkib2866 4 หลายเดือนก่อน

    Ilo c la kushangaza kabisa kuota umemuon mungu kipindi tuko wadogo madsani kulikuw na mwalimu mmoja Anachezesha viboko ajabu. Mpka kuna mwanafunzi mwezetu cku moja alikuja chuoni na kusema ya kwamba aliota kiama tyr na Mungu ni huyo Mwalimu. AstaghafiruLLah.

  • @saidsalum523
    @saidsalum523 5 หลายเดือนก่อน

    Muhammad namuomba Allah akulipe kheri,,kwa kweli huyu jamaa sijui ana njia ya kujitetea,,anapotosha bila ya khofu,,wewe Muhammad anatosha kumueka sawa huyu jamaa,,yaani kama hajatubia atakwenda kujibu,,kumbe Ibn Tymiya mwenyewe anakataa,,Ewe Shafii Basalim muombe Allah msamaha,,ujue umemdhulumu Ibn Taymiya.

  • @RashidiIsmaili
    @RashidiIsmaili 5 หลายเดือนก่อน

    Walaykum salaam warahalatullah wabarakaatuh unasema ahujaelewa nahona wewe ni mvivu wakuhelewa maana muhamed bacho yuko muwazi kafafanua

  • @SaidMadai-n7k
    @SaidMadai-n7k 5 หลายเดือนก่อน

    Kuitakidi Mungu yu ana mfano ukafiri mn inapingana n kur an iyo hadithi n ukafir kw muislam kuitakid ivo

    • @kasimubangu1875
      @kasimubangu1875 5 หลายเดือนก่อน

      Fungua moyo acha kubeba imani kwa ujinga

    • @SaidMadai-n7k
      @SaidMadai-n7k 5 หลายเดือนก่อน

      @@kasimubangu1875 imani gn y kua n Mungu mwenye vipilipili n kisura n viatu vya zahabu km cy ukiristo n usheitwan huu

  • @salluhimuhammed862
    @salluhimuhammed862 5 หลายเดือนก่อน +1

    Assalaam alykum warhamatullah, sheikh Muhammad apa nimekwama wallah hii mara ya pile nackiliza bdo akili haijapokea haya maneno, kswabu Allah hafanan na chochote kwann aotwe kua ni kijana kavaa viatu kavaa nguo hii ipo vp na Ile Aya ya kua Allah hafanan na kitu chochote, au sabau mm elimu cna ckusoma naomba nieleweshe zaidi ya hpo km inawezekan km haiwezekan bc, nibaki tu nifanye km ckuckia hayo maneno

    • @ediamir-m8l
      @ediamir-m8l 5 หลายเดือนก่อน +1

      na hiyo ndio itikadi ya ibnu Taymiyya kuwa Allah hafanani na chochote, rejea tena kusikiliza utafahamu

    • @dulividuli5237
      @dulividuli5237 5 หลายเดือนก่อน

      Km hujaelewa rejea tna video

    • @medinaser9712
      @medinaser9712 5 หลายเดือนก่อน

      Nahisi hii hadithi ya mtume kumuona Allah ina walakini inaweza kuwa ni uzushi....kwa sababu hasemi kwa matamaniyo yake

    • @MohammedSaid-zk7yg
      @MohammedSaid-zk7yg 5 หลายเดือนก่อน

      ​@@medinaser9712mawahabi ni bangi tu wanazingua, mawahabi wanaamini mungu ana macho,mikono,miguu,

    • @KhalfanMassoud
      @KhalfanMassoud 5 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@MohammedSaid-zk7yg ata Quran inaamini hivyo

  • @JailaniRamadhan-it3kp
    @JailaniRamadhan-it3kp 5 หลายเดือนก่อน

    Njoo live kwenye mnakasha

  • @musarashid-xw1qm
    @musarashid-xw1qm 5 หลายเดือนก่อน

    Allah akubalik

  • @rahimmbezi9936
    @rahimmbezi9936 5 หลายเดือนก่อน

    Sheikh Muhammad Allah akuhifadhi.. lakini pia tunataka uwazungumzie kwa kina hawa hizbu salafi...madaakhila na makhajaawira... akina kassim mafuta, na wenziwe... tunaomba sheikh uchambuzi wa kina... BARAKALLAAHU FIYK.

  • @suleimanadim6522
    @suleimanadim6522 5 หลายเดือนก่อน +1

    Bachu hapo tuwache tupe aya ya QUR_AN UNAZUNGUKA TU HAPO HAPO HUJATUPA USHAHIDI ALLAH HAFANANI NA KITU CHOCHOTE IKIWA KUZUNGUMZA NAE ALLAH ANASEMA HAIKUA KWA KIUMBE YEYOTE KUZUNGUMZA NA ALLAH ILA WAHYI AU NYUMA YA PAZIA AU HUMTUMIA MJUMBE AMPE WAHYI ANAEMTAKA KWA IDHINI YAKE VP KUMUONA TENA UNASEMA KAVAA KANZU NA VIATU VYA DHAHABU DUH SUBHANALLAH USITUBURUZE

    • @maryamabdallah3140
      @maryamabdallah3140 5 หลายเดือนก่อน +1

      Mbumbumbu hata ueleweshwe hutakaa uelewe, tafuta madarisi ukasome @suleimanadim

    • @hassanmohamedlaizer569
      @hassanmohamedlaizer569 5 หลายเดือนก่อน

      ​@@maryamabdallah3140😂😂😂 msamehe bure

    • @saadasaleh3177
      @saadasaleh3177 5 หลายเดือนก่อน

      Fii qulubihim maradhw fazada humu Llahu maradhwa. Hawa ndio swummun, bukmun, umyun. Allah atuhifadhi

  • @dancanmusakhionganyo4270
    @dancanmusakhionganyo4270 5 หลายเดือนก่อน +2

    Allah akupe pepo

    • @saadasaleh3177
      @saadasaleh3177 5 หลายเดือนก่อน

      Aaamin Yaarabbal A'lamin 🤲🏽

  • @ediamir-m8l
    @ediamir-m8l 5 หลายเดือนก่อน

    tunakupata vizuri na tunaona raha sana

  • @AziziMachweo
    @AziziMachweo 5 หลายเดือนก่อน

    Mashalah ibn bachu

  • @OmarAlly-iz8ot
    @OmarAlly-iz8ot 5 หลายเดือนก่อน

    Shekh Muhammaad Maashaa Allaah kwa hakika wewe ni mwalimu mweledi mnoo kwa wazushi wa Tanzania😂😂😂

  • @rashidjuma9169
    @rashidjuma9169 5 หลายเดือนก่อน

    Twasubiri mtanange mwengine baada ya mtanange wa barzanje.

  • @NasirJussa
    @NasirJussa 5 หลายเดือนก่อน +1

    Shia Koko anataka umaarufu tu yulee njaa kaliiiiii inamsumbua

  • @omanoman-ir1ez
    @omanoman-ir1ez 4 หลายเดือนก่อน

    shekh bachu we waamini hadithi hiyo mbona kama ina mushikiri?

  • @HamadOmar-j4x
    @HamadOmar-j4x 5 หลายเดือนก่อน

    Mashllah

  • @ameirameir4349
    @ameirameir4349 5 หลายเดือนก่อน

    Muhammad Bachu wape somo hao mashia murtadi

  • @abubakarmuhammadsaid3244
    @abubakarmuhammadsaid3244 4 หลายเดือนก่อน

    Huwezi kupata watu waongo wazushi zaidi ya mashia

  • @SaidKessy-f5p
    @SaidKessy-f5p 5 หลายเดือนก่อน

    Msituchanganye..1.kama mtume amemuota Allah angemsimulia mkewe bi aisha..hadithi kama kweli ingetoka kwa mkewe direct..2.Kama sisi tukimuota mtume sio ndoto ya kishetani je Allah atampaje mtume ndoto feki?3.kama mungu hana mfano LAM YA KULLAHU KUFUWAN AHAD..inakuwa mtume amuote Allah kwa mfano au umbile?je mtume anaota ndoto feki?hadithi sio aya

  • @yusuphmaulid3717
    @yusuphmaulid3717 5 หลายเดือนก่อน

    Fanyeni ibada usiku acheni kukeshe kuandaa matusi

  • @kennedybwibo6620
    @kennedybwibo6620 5 หลายเดือนก่อน

    Mwenyazi mungo hana mfanu

    • @saadasaleh3177
      @saadasaleh3177 5 หลายเดือนก่อน

      Mnajua io ndoto aloota Mtume SAW inamaana ganiii heeee

  • @yahyamaulana7791
    @yahyamaulana7791 5 หลายเดือนก่อน

    Weeeeeee hizi mada ni nzito sana kuliko uwezo wenu.sasa naona mwenda kwenye ukafiri kikweli

    • @MohdIkra-d7s
      @MohdIkra-d7s 5 หลายเดือนก่อน

      Huna elimu sikiliza t wewe usiengeze lako hapa

    • @yahyamaulana7791
      @yahyamaulana7791 5 หลายเดือนก่อน

      @@MohdIkra-d7s Mwenye ilimu hawezi kusema kua mola ameweza onekena Kwa mfano wa mtoto mdogo. Katika Hadithul Qudsi Mola asema nimewaandalia waja wangu wema pepo amabayo jicho halijawai ona Wala sikio halijawai sikia Wala haijawai hata kupita katika fikra za kiumbe. Ikiwa pepo huwezi kuiwaza kufananisha vipi mtu amfananishe Mola na shikli ya kiumbe. MOLA NI YULE ALIYE SEMA. LAYSA KAMITHILIHI SHAIUN. NI KWELI SINA ILIMU LAKINI HAYA MAMBO KIASI FLANI NAYAJUA.

  • @Abuassma360
    @Abuassma360 5 หลายเดือนก่อน

    Lakini sheikh m bachu na je yajuzu kuzungumza au kusimulia kua kw mfano umemuona mungu au mtume kw khal moja au ingine

    • @saadasaleh3177
      @saadasaleh3177 5 หลายเดือนก่อน

      Umemuona wapi usingizin au. Ikiwa ucngizini Mtume SAW anasifa zake ukija kumuona Mtume SAW ni mweuc bc cie uyo jadhalika Allah hakuna alomuota ila Mtume SAW na hatujui io ndoto inamaana gan sasa cc tulobak ata tukimuona Mungu ucngizin tutafute wafarir wakuwaamin waiague hio ndoto

  • @saidimkwinzu9106
    @saidimkwinzu9106 5 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu shia mimi nasema alikua anatafta umaarufu tu ndo mana alikua anakurupuka na sasa kwa sababu sheikh Muhammadi kamradi kapata kujulikana tayar Allah amuongoe awache chuki zidi ya wanachuoni wa kisalafi

  • @Chibuy-ly5kt
    @Chibuy-ly5kt 5 หลายเดือนก่อน

    huko mnako kwenda kwakumuona( allaah...)
    ni uwongo kuruan haija sibitisha mfano wa( allaah..sw)
    sasa kwaelim ipi hio yakumuona( MImungu mtume.. muhamad )
    sasa swali la kipuuzi tu unaweza kuona kitu kisicho mfano ikaendelea kutokua na mfano 🎉
    hakuna hio nakama ni ndoto bas ni chafu km nyenginw
    katika juzuu 30, quruan
    muko sura mpk ziko na aya 3
    lakini hakuna hiko kitu

    • @HamadHamduni
      @HamadHamduni 4 หลายเดือนก่อน

      Mashia wanapoteza Sana watu,mungu akulaani shafii

  • @abdulrahmanmussa4479
    @abdulrahmanmussa4479 5 หลายเดือนก่อน

    Sheikh letu hao ni matapeli

  • @MariamUmande
    @MariamUmande 5 หลายเดือนก่อน

    Iyo ni nguruwe la kishia ndio inamkufurisha sheikh wetu Islam ibnu taimia ni nguruwe la kishki

  • @MaalimKhatib
    @MaalimKhatib 5 หลายเดือนก่อน

    Naomba niulize kwani mtume akiota ndoto ndoto ile inakuwa kweli au vipi?

  • @shabanikagobe6744
    @shabanikagobe6744 5 หลายเดือนก่อน

    Unaelewesha mpaka tumeelewa

  • @juvenalymwanalyela202
    @juvenalymwanalyela202 5 หลายเดือนก่อน

    Mnabishana nin Wakati mtume ndiye aliye muona allah ni kakijana hakana ndevu natunywele twake nitwakipilipil na mwengine anasema ni mwanamke tumwamini nani

  • @rashidjuma9169
    @rashidjuma9169 5 หลายเดือนก่อน

    Mshaanza mchezo mchezo sisi tunawaangalia nani mshidi,