MWINYI ZAHERA YANGA WANAKURUMBUKA KWENYE USAJILI/CHAMA DUBE HAWANA UWEZO WA KUCHEZA YANGA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 4 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 31

  • @hassanmwallimu5767
    @hassanmwallimu5767 3 หลายเดือนก่อน +2

    Your very intelligent Mwinyi Zahera because you can’t register somebody which you got already someone more than like him

    • @amaniomar1755
      @amaniomar1755 3 หลายเดือนก่อน

      It's not that easy to understand what's happening at Yanga SC right now. Be patient and wait for the results on AUG 8 in the community shield match.

  • @zuberimohamed43
    @zuberimohamed43 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kama yanga wakikurupuka ndo hivi wanabeba ubingwa waendelee tu kukurupuka zaidi ya hapo sis tuna enjoy💛💚

  • @jumamustapha8254
    @jumamustapha8254 2 หลายเดือนก่อน

    Zahera umepata timu, kwa heshima tunayo kuheshimu kwa yale uliyotufanyia, acha kuzungumzia usajili wa yanga, fanya kazi ya timu yako ya Sasa.

  • @JumaMigezo
    @JumaMigezo 3 หลายเดือนก่อน +2

    Alie amini kuwa mwinyi zahera anatafuta kazi agonge like

  • @issaselemani491
    @issaselemani491 2 หลายเดือนก่อน

    Tunahitaji kikosi kipana na timu haizuiwi kuchukua mchezaji kutoka kwa mpinzani wako.Hao unaowataja ni wachezaji wazuri pia wala siyo wabaya.

  • @athmanimkangara9290
    @athmanimkangara9290 2 หลายเดือนก่อน

    Mkude & Chama political signing

  • @hajimnubi4581
    @hajimnubi4581 2 หลายเดือนก่อน

    First eleven ni wachezaji 11 kocha hawawezi kuwa timu nzima isipokua ili kazi ya kushiriki mashindano yote bila shida unahitaji kuwa na kikosi kipana,faida ya kuwa na kikosi kipana ilionekans kwenye mechi ya mamelodi baada ya kukosekana kwa kina Aucho na zuzua

  • @makabemwita4843
    @makabemwita4843 2 หลายเดือนก่อน

    Fuatilieni namna Bayern Munich ilivyokuwa unafanya ilo ku dominate soka la ndani, lazima uhakikishe timu zingine hazikai na wachezaji wao wazr, wakati Bayern Munich inawachukua akina Mat humes, kwani haikuwa na mabeki.

  • @djnyosoofficial305
    @djnyosoofficial305 3 หลายเดือนก่อน

    Zahera juuu

  • @MichaelSangula
    @MichaelSangula 2 หลายเดือนก่อน

    Haikuhusu tulia Namungo

  • @thomasdimme7899
    @thomasdimme7899 2 หลายเดือนก่อน

    Coach ur wrong au unawaonea wivu yanga

  • @boscomalangalila
    @boscomalangalila 2 หลายเดือนก่อน

    Zahera huna lolote Rudi kwenu Moira was Tz umekushinda

  • @BennBenn-es5fi
    @BennBenn-es5fi 3 หลายเดือนก่อน

    Huyu kocha anajua mpira. Na ukwelii anaipenda sana Yanga.

  • @abdallahidrisa710
    @abdallahidrisa710 3 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu hana lolote aliuza timu. Hivi shishimbi na chama yupi bora.

  • @vertasmtenga2982
    @vertasmtenga2982 2 หลายเดือนก่อน

    Huyu jamaa akiwa kocha team inacheza Kama inasinzia flan hivi

  • @marcobulili4341
    @marcobulili4341 3 หลายเดือนก่อน

    Kweli kocha!

  • @amosicommedy6917
    @amosicommedy6917 2 หลายเดือนก่อน

    Ameshindwa kusajili timu yake ibaki ligi kuuu kaacja ishuke kashusha na Ingine

  • @makabemwita4843
    @makabemwita4843 2 หลายเดือนก่อน

    Nani atampa kazi huyo ni dalali tu timu zimeishamjua, labda achukuliwe na Pamba, alichemka Yanga, Polis Tz, Coastal na hata Namungo kachemka anabaki anazurula tu kusema Mpiyaaa, sijui ndo lugha gani hiyo.

  • @joshuamwambene2874
    @joshuamwambene2874 3 หลายเดือนก่อน

    Mbona timu ilimshinda atuache na timu yetu

  • @mussandikumana3561
    @mussandikumana3561 3 หลายเดือนก่อน

    Ni team inaelekeya kuanguka unajaza wachezaji wenye wameisha kiwango chama ata Simba alikuwa anatoka bench siku moja moja yani awajui ata atacheza fasi gani

  • @husseinshabani9522
    @husseinshabani9522 2 หลายเดือนก่อน

    Ni kweli kabisa Uyasemayo

  • @Kabeya410
    @Kabeya410 2 หลายเดือนก่อน

    Zahera mwehu tu roho mbaya chuki na husda yeye zahera katuletea kindoki pumbavu zake mshenzi tu huyo shishimbi duka amchukue yeye mbwa yeye na shishimbi

  • @amaniomar1755
    @amaniomar1755 3 หลายเดือนก่อน

    Safi sana kiongozi 🎉🎉🎉

    • @DoreenMlay-e8g
      @DoreenMlay-e8g 2 หลายเดือนก่อน

      safi kwenye hamna kwahiyo akina debora na akina vale ndo wana uwezo kuliko chama na dube? acheni kupotosha watu huo ni upuuzi usio na maana
      o

  • @speciallvoice8091
    @speciallvoice8091 3 หลายเดือนก่อน

    Uyu jamaa Yuko vzr sana Zahera nakukubali

  • @muhamedjaffar5653
    @muhamedjaffar5653 3 หลายเดือนก่อน

    Kweli zahera umeongea facts sikuona umuhim wa kusajili sajili izi.tumesajili kwa mihemko