Karibu Aziz tumekuona unaweza tuna hakika utajifunza kwa wakubwa waliopo hapo wenye uzoefu ili kusudi tukutungie wimbo Kama wengine tunakutakia kila la kheri
Nilikuwepo kwa mkapa kwa mara ya kwanza nilikuona ukichexa na tabora niliogopa sana nilivosikia hujasaini kwani walah niliona kijana mdogo mwenye uwezo mkubwa asante sana kwa kuendelea kuwepo nasi huku kilimanjaro tunakuombea INSHAALLAH nakuomba alwatan msomee mwanangu hi comment kibwana
Nilisema kwa kiwango kikubwa cha Kibwana hawezi kuachwa, bahati nzuri kibwana left & right kwake fresh tu. Na huwa hashuki kiwango yaani huwa hana zile siku mbaya sana kazini.
NAOMNA ALWATAN MFIKISHIE UJUMBE HUYU AZIZ MWAMBALASWA NA SHEKAN,KUWA KWA MAUMBILE WALIO KUWA NAYO WAKIITUMIA HII NAFASI YAO KWA YANGA YAANI NIDHAMU,NA KUACHA MAJIVUNO(SIFAA) NDIYO VIUNGO WENYE SIFA +MTASINGWA KUBEBA TAIFA LETU-WATUMIE TRAINING FACILTY ZA YANGA KAMA MAYELE ALIVYOKUWA ANAFANYA.
We jamaa kwa mwandishi WA habari mzuri kuwahi kuwashuhudia!maswali ya msingi Sana unauliza..hongera Sana.
MUNGU ni mwema karibu Sana AZIZ kila la kheri kwenu nyote kazi njema barikiwa Sana Yanga
Karibu sana Aziz jagwani,team kubwa,changamoto kubwa pambana tu💪💪💪
Ikawe heri kwenu na timu nzima kwa ujumla, kwa neema ya Mungu mjaliwe kuwa na msimu bora zaidi wenye mafanikio makubwa zaidi.
Ishallah nakuamin mdogo wangu uko pow💚💛🖤🫶✍️✍️✍️💪💪💪
Waallaah mm nimefurahi sana mwanangu kibwana kuongeza mkataba mungu akupambanie nakupenda sana
Naipenda Yanga sanaaaaa nipo tayari kufia hii logo thankyou God 💋💋🙏🙏
Ko Aziz andambwile atacheza😂😂😂 CAF champion 🏆 league,lkn timu nzima ya makolo watakua shirikisho 😂😂😂
Kila la kheri inshallah maendeleo mazuri na kazi Iendelee
Yanga oyeeeeeeee raha kama zote twende zetu KUJISAJILI. Ila Tuwe juu zaidi
Karibu sana kijana, nimekuona kwenye mechi una talent kubwa sana , ukiongoze bidii utafika mbali sana. Mungu akupe afya njema
Huyu Azizi ni Victor Wanyama Mtupu 🔥🔥🔥🤔🤔🤔
Mungu Ibariki Yanga Mungu Ibariki Tanzania 🙏🙏🙏
Karibu azizi kisiwa cha raha yang africas
Nakutakia msimu mzuri kak fanya san mazoez ongeza juhudii kak unanuka shida
Tuna wategemea Sana Mungu awatunze 🔰🔰💪
Karibu sana midfielder ya boli#Aziz
Aziz karibu jangwani pia
Sisi wanyakyusa ni wakarimu sana dah! Yaani ukimwaangalia tu unajua huyu mwaisa
Karibu sana Jangwani🎉💚💛💛💚
Andambwile umeingia sehemu sahihi sana karibu yanga Africa mungu akusaidie
Karibu Aziz tumekuona unaweza tuna hakika utajifunza kwa wakubwa waliopo hapo wenye uzoefu ili kusudi tukutungie wimbo Kama wengine tunakutakia kila la kheri
Home uuwashe moto ss hapo andambwile....kila la kheri
Kalibu sana jangwan aziz andambile
Akili kubwa sana uongoz wetu mungu aendelee kuwalinda
Ni Andabwile sio Andambwile
Karibu sana andambwile
All the best champ 🎉🎉
Karibu sanaaaaa Aziz
your welcome aziz andambwile awaiting for the good to come💚💚💚
Ckaribu kamanda🎉🎉🎉
Good💪💪💪💪💪💪
Naona cku ata haziendi tuanze ayo mamechii😂😂😂😂
Young African champion of caf champions league 24/25 🔰
Nakubari kaka angu kibwana
❤❤❤❤❤❤❤❤ yanga
Chief kingalu waukae
Nilikuwepo kwa mkapa kwa mara ya kwanza nilikuona ukichexa na tabora niliogopa sana nilivosikia hujasaini kwani walah niliona kijana mdogo mwenye uwezo mkubwa asante sana kwa kuendelea kuwepo nasi huku kilimanjaro tunakuombea INSHAALLAH nakuomba alwatan msomee mwanangu hi comment kibwana
Yanga oyeeeeee
Karibu kijana
Uyu kibwana 😂😂😂katoa wapi unywele 😂😂😂
Welcome⭐⭐💚💚🔥🤲🙏💪
Yanga bingwa
Yangaaaa tamuuu
Kwani jezi hizi za yanga sinakitu gani maana akiva mtu tu anabadirika
Anko kibwana umeongea kiakili kubwa❤
Tunaomba na interview ya chama na mwana wa mfalume dube
Good ❤ yanga 🎉🎉🎉
Mwamba kutoka mbeya sas
Chief baba...🔥🔰🇹🇿
Toa vitaulo baba,chief kingalu
Muñgu mwema
Nilisema kwa kiwango kikubwa cha Kibwana hawezi kuachwa, bahati nzuri kibwana left & right kwake fresh tu. Na huwa hashuki kiwango yaani huwa hana zile siku mbaya sana kazini.
💛💛💚💚🔰🔰🔥🔥🔥
Wasenge mnanipelekesha kinoma na sitaki kukosa kitu daaah😅😅😅😅
Yani utake usitake utakopa ata Bandon tuu izi raha😂😂😂😂😂😂
@fatmasaaed144 sina namna hii ni familia yangu napaswa kuihudumia kama hivi,lipa ada,nunua bidhaa zao na angalia contents zao🪡💚👌🧘♂️
Yaani ukikosa bando tu video kadhaa zimemwagika 😂😂
@@barakamwafwalo4680 ni marufuku kukosa
😂😂😂😂😂
Kwann umempa mkataba mwaka mmoja wakati Bado mdogo
N andabwile
Karibu jangwani🎉azizo
Mh unaoji vizul sana
Gud signing
Rafu zmeongezeka😂😂😂
Mmh
Kibwana mngemtoa tu kwa mkopo
Kwa nn wamutowe kwa mkopo mbona nkane kabaki kiwago cha kibwana nikikubwa sana kama ww huoni wengine tunaona tuache chuki na wachezaji tuwape moyo
Kila la kher xana mwaang
Am the first today
Mmenikera sana yaani Mmemuuza Azizi Ki 😭😭😭 daaah anyway Mungu atusaidie Wananchi 💔💔💔
Unauhakika ? Basi kesho utamuona mazoezin AZIZ K tunae
Aziz ki yupo sana jangwani ana miaka mbili nyingine mzee.
Wewe @user-hy3en6vk5f nakuona unajaribu kuanzisha vugvugu uwachanganye wananchi
Kwahiyo atuna jersey za mazoezi??
Nyanga raha san
❤❤❤
kiukweli mashabiki yanga tunainjoi tenakwasana tu nawatakia kwakilalaeli nimwana Mozambiquei 🇲🇿
Ili ndo jangwa pekee lenye maji ya kutosha na burudan ziendeleee!!!!!
❤
ni ujinga kumuacha zawad mauya na kumsanili aziz andanbwile kuna wanaotazama mpila kwa uelewa watanielewa.
👏💛💚
Kibwana katoa wapi madevu
Anajua kuongea na anaonekana anajua anachokitaka ,Kila la kheri kwake
😊😊😊
Tunawapenda sana dua kwenu kila siku kwenu maaduwi wengi In sha Allah mwenyezimungu awalinde Amiin
🎉🎉🎉🎉
NAOMNA ALWATAN MFIKISHIE UJUMBE HUYU AZIZ MWAMBALASWA NA SHEKAN,KUWA KWA MAUMBILE WALIO KUWA NAYO WAKIITUMIA HII NAFASI YAO KWA YANGA YAANI NIDHAMU,NA KUACHA MAJIVUNO(SIFAA) NDIYO VIUNGO WENYE SIFA +MTASINGWA KUBEBA TAIFA LETU-WATUMIE TRAINING FACILTY ZA YANGA KAMA MAYELE ALIVYOKUWA ANAFANYA.
AFANYE MAZOEZI SANA APUNGUZE UNENE HILI AENDANE NA KASI YA YANGA ASIBWETEKE PLEASEEEE
Bwana kibwana,
Yanga bingwa