AZIZ ANDAMBWILE NA KIBWANA WATOA YA MOYONI BAADA YA KUSAIN MKATABA MPYA.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 8 ก.ค. 2024
  • #DaimaMbeleNyumaMwiko #TimuYaWananchi
  • กีฬา

ความคิดเห็น • 93

  • @protasmalala7559
    @protasmalala7559 24 วันที่ผ่านมา +18

    We jamaa kwa mwandishi WA habari mzuri kuwahi kuwashuhudia!maswali ya msingi Sana unauliza..hongera Sana.

  • @naliakafatuma9870
    @naliakafatuma9870 24 วันที่ผ่านมา +12

    MUNGU ni mwema karibu Sana AZIZ kila la kheri kwenu nyote kazi njema barikiwa Sana Yanga

  • @AmanaAmos-hv3yz
    @AmanaAmos-hv3yz 19 วันที่ผ่านมา +1

    Karibu sana Aziz jagwani,team kubwa,changamoto kubwa pambana tu💪💪💪

  • @user-ql6hg7fy9p
    @user-ql6hg7fy9p 24 วันที่ผ่านมา +22

    Ikawe heri kwenu na timu nzima kwa ujumla, kwa neema ya Mungu mjaliwe kuwa na msimu bora zaidi wenye mafanikio makubwa zaidi.

  • @AbrahamanHussein
    @AbrahamanHussein 24 วันที่ผ่านมา +10

    Ishallah nakuamin mdogo wangu uko pow💚💛🖤🫶✍️✍️✍️💪💪💪

  • @jamilahjamilah4157
    @jamilahjamilah4157 24 วันที่ผ่านมา +5

    Waallaah mm nimefurahi sana mwanangu kibwana kuongeza mkataba mungu akupambanie nakupenda sana

  • @simonIbrahim-hc8vm
    @simonIbrahim-hc8vm 24 วันที่ผ่านมา +10

    Naipenda Yanga sanaaaaa nipo tayari kufia hii logo thankyou God 💋💋🙏🙏

  • @chollejr_
    @chollejr_ 24 วันที่ผ่านมา +16

    Ko Aziz andambwile atacheza😂😂😂 CAF champion 🏆 league,lkn timu nzima ya makolo watakua shirikisho 😂😂😂

  • @joojombi2341
    @joojombi2341 24 วันที่ผ่านมา +6

    Kila la kheri inshallah maendeleo mazuri na kazi Iendelee

  • @5googleuuu727
    @5googleuuu727 24 วันที่ผ่านมา +8

    Yanga oyeeeeeeee raha kama zote twende zetu KUJISAJILI. Ila Tuwe juu zaidi

  • @veelmng7746
    @veelmng7746 24 วันที่ผ่านมา +6

    Karibu sana kijana, nimekuona kwenye mechi una talent kubwa sana , ukiongoze bidii utafika mbali sana. Mungu akupe afya njema

  • @emmanuelthomas1078
    @emmanuelthomas1078 23 วันที่ผ่านมา +2

    Huyu Azizi ni Victor Wanyama Mtupu 🔥🔥🔥🤔🤔🤔

  • @claratango9262
    @claratango9262 24 วันที่ผ่านมา +9

    Mungu Ibariki Yanga Mungu Ibariki Tanzania 🙏🙏🙏

  • @ShafiiHungo
    @ShafiiHungo 24 วันที่ผ่านมา +6

    Karibu azizi kisiwa cha raha yang africas

  • @AlenAlen-m2e
    @AlenAlen-m2e 23 วันที่ผ่านมา +2

    Nakutakia msimu mzuri kak fanya san mazoez ongeza juhudii kak unanuka shida

  • @saimonjmai801
    @saimonjmai801 24 วันที่ผ่านมา +3

    Tuna wategemea Sana Mungu awatunze 🔰🔰💪

  • @RichardAmos-eo9dh
    @RichardAmos-eo9dh 24 วันที่ผ่านมา +7

    Karibu sana midfielder ya boli#Aziz

  • @moiseszacariasmoisesmoises
    @moiseszacariasmoisesmoises 24 วันที่ผ่านมา +7

    Aziz karibu jangwani pia

  • @fosteryona7581
    @fosteryona7581 24 วันที่ผ่านมา +5

    Sisi wanyakyusa ni wakarimu sana dah! Yaani ukimwaangalia tu unajua huyu mwaisa

  • @marthageorge5043
    @marthageorge5043 24 วันที่ผ่านมา +4

    Karibu sana Jangwani🎉💚💛💛💚

  • @EllyTeddy
    @EllyTeddy 23 วันที่ผ่านมา +1

    Andambwile umeingia sehemu sahihi sana karibu yanga Africa mungu akusaidie

  • @maliadii4829
    @maliadii4829 24 วันที่ผ่านมา +3

    Karibu Aziz tumekuona unaweza tuna hakika utajifunza kwa wakubwa waliopo hapo wenye uzoefu ili kusudi tukutungie wimbo Kama wengine tunakutakia kila la kheri

  • @davismwape7500
    @davismwape7500 24 วันที่ผ่านมา +5

    Home uuwashe moto ss hapo andambwile....kila la kheri

  • @user-tf2kr5hv7z
    @user-tf2kr5hv7z 24 วันที่ผ่านมา +3

    Kalibu sana jangwan aziz andambile

  • @fazo-kl9fu
    @fazo-kl9fu 23 วันที่ผ่านมา +1

    Akili kubwa sana uongoz wetu mungu aendelee kuwalinda

  • @adamuayubumwendolwa7723
    @adamuayubumwendolwa7723 24 วันที่ผ่านมา +4

    Ni Andabwile sio Andambwile

  • @EliasHassan9
    @EliasHassan9 22 วันที่ผ่านมา +1

    Karibu sana andambwile

  • @ceciliadaudi1632
    @ceciliadaudi1632 24 วันที่ผ่านมา +4

    All the best champ 🎉🎉

  • @goodluckabdul7316
    @goodluckabdul7316 24 วันที่ผ่านมา +4

    Karibu sanaaaaa Aziz

  • @ezrageofrey9668
    @ezrageofrey9668 22 วันที่ผ่านมา +1

    your welcome aziz andambwile awaiting for the good to come💚💚💚

  • @ayubhumakuya8466
    @ayubhumakuya8466 24 วันที่ผ่านมา +6

    Ckaribu kamanda🎉🎉🎉

  • @DaudFulberth
    @DaudFulberth 24 วันที่ผ่านมา +7

    Good💪💪💪💪💪💪

  • @NahlaRashed
    @NahlaRashed 24 วันที่ผ่านมา +4

    Naona cku ata haziendi tuanze ayo mamechii😂😂😂😂

  • @Fine_boe_11
    @Fine_boe_11 24 วันที่ผ่านมา +5

    Young African champion of caf champions league 24/25 🔰

  • @RenatusKasinga
    @RenatusKasinga 24 วันที่ผ่านมา +3

    Nakubari kaka angu kibwana

  • @IsmailKipande-ss1ty
    @IsmailKipande-ss1ty 24 วันที่ผ่านมา +2

    ❤❤❤❤❤❤❤❤ yanga

  • @ramadhanimrungu5806
    @ramadhanimrungu5806 24 วันที่ผ่านมา +2

    Chief kingalu waukae

  • @maliadii4829
    @maliadii4829 24 วันที่ผ่านมา +5

    Nilikuwepo kwa mkapa kwa mara ya kwanza nilikuona ukichexa na tabora niliogopa sana nilivosikia hujasaini kwani walah niliona kijana mdogo mwenye uwezo mkubwa asante sana kwa kuendelea kuwepo nasi huku kilimanjaro tunakuombea INSHAALLAH nakuomba alwatan msomee mwanangu hi comment kibwana

  • @amaniomar1755
    @amaniomar1755 24 วันที่ผ่านมา +2

    Karibu kijana

  • @chollejr_
    @chollejr_ 24 วันที่ผ่านมา +3

    Uyu kibwana 😂😂😂katoa wapi unywele 😂😂😂

  • @HusseinJumahussein-lf1xk
    @HusseinJumahussein-lf1xk 24 วันที่ผ่านมา +2

    Welcome⭐⭐💚💚🔥🤲🙏💪

  • @filemonkwaja6181
    @filemonkwaja6181 24 วันที่ผ่านมา +2

    Yanga bingwa

  • @EsterPeter-h9d
    @EsterPeter-h9d 24 วันที่ผ่านมา +3

    Yangaaaa tamuuu

  • @abdullatifuhashimu4594
    @abdullatifuhashimu4594 22 วันที่ผ่านมา +1

    Kwani jezi hizi za yanga sinakitu gani maana akiva mtu tu anabadirika

  • @LuckyTemu
    @LuckyTemu 23 วันที่ผ่านมา

    Anko kibwana umeongea kiakili kubwa❤

  • @SylvesterSafari-nf4fy
    @SylvesterSafari-nf4fy 24 วันที่ผ่านมา +2

    Tunaomba na interview ya chama na mwana wa mfalume dube

  • @emanuelyngoi4440
    @emanuelyngoi4440 24 วันที่ผ่านมา +1

    Good ❤ yanga 🎉🎉🎉

  • @StavoBella-pf6hu
    @StavoBella-pf6hu 24 วันที่ผ่านมา +3

    Mwamba kutoka mbeya sas

  • @andersonbruno6255
    @andersonbruno6255 22 วันที่ผ่านมา

    Chief baba...🔥🔰🇹🇿

  • @yusuphkimomwe4276
    @yusuphkimomwe4276 24 วันที่ผ่านมา +1

    Toa vitaulo baba,chief kingalu

  • @user-ql2hc7zt6b
    @user-ql2hc7zt6b 24 วันที่ผ่านมา +2

    Muñgu mwema

  • @kisinza6077
    @kisinza6077 24 วันที่ผ่านมา

    Nilisema kwa kiwango kikubwa cha Kibwana hawezi kuachwa, bahati nzuri kibwana left & right kwake fresh tu. Na huwa hashuki kiwango yaani huwa hana zile siku mbaya sana kazini.

  • @MomadeMudimoz70-cs2ud
    @MomadeMudimoz70-cs2ud 24 วันที่ผ่านมา +2

    💛💛💚💚🔰🔰🔥🔥🔥

  • @jr_mkumbojr
    @jr_mkumbojr 24 วันที่ผ่านมา +4

    Wasenge mnanipelekesha kinoma na sitaki kukosa kitu daaah😅😅😅😅

    • @fatmasaaed144
      @fatmasaaed144 24 วันที่ผ่านมา +1

      Yani utake usitake utakopa ata Bandon tuu izi raha😂😂😂😂😂😂

    • @jr_mkumbojr
      @jr_mkumbojr 24 วันที่ผ่านมา

      @fatmasaaed144 sina namna hii ni familia yangu napaswa kuihudumia kama hivi,lipa ada,nunua bidhaa zao na angalia contents zao🪡💚👌🧘‍♂️

    • @barakamwafwalo4680
      @barakamwafwalo4680 24 วันที่ผ่านมา +1

      Yaani ukikosa bando tu video kadhaa zimemwagika 😂😂

    • @jr_mkumbojr
      @jr_mkumbojr 24 วันที่ผ่านมา

      @@barakamwafwalo4680 ni marufuku kukosa

    • @user-wp4fc6tf8f
      @user-wp4fc6tf8f 24 วันที่ผ่านมา +1

      😂😂😂😂😂

  • @salumkitam6960
    @salumkitam6960 24 วันที่ผ่านมา +1

    Kwann umempa mkataba mwaka mmoja wakati Bado mdogo

  • @samsonkomba0000
    @samsonkomba0000 24 วันที่ผ่านมา +2

    N andabwile

  • @user-to9xw2mc9m
    @user-to9xw2mc9m 24 วันที่ผ่านมา

    Karibu jangwani🎉azizo

  • @JordanKaunga
    @JordanKaunga 22 วันที่ผ่านมา

    Mh unaoji vizul sana

  • @user-zx9jd4jt8e
    @user-zx9jd4jt8e 24 วันที่ผ่านมา +2

    Gud signing

  • @chollejr_
    @chollejr_ 24 วันที่ผ่านมา +2

    Rafu zmeongezeka😂😂😂

  • @Chinaomary-rn3qf
    @Chinaomary-rn3qf 24 วันที่ผ่านมา +2

    Mmh

  • @JUU-lw2je
    @JUU-lw2je 24 วันที่ผ่านมา +2

    Kibwana mngemtoa tu kwa mkopo

    • @jamilahjamilah4157
      @jamilahjamilah4157 23 วันที่ผ่านมา

      Kwa nn wamutowe kwa mkopo mbona nkane kabaki kiwago cha kibwana nikikubwa sana kama ww huoni wengine tunaona tuache chuki na wachezaji tuwape moyo

  • @Samweldlemaanda
    @Samweldlemaanda 23 วันที่ผ่านมา

    Kila la kher xana mwaang

  • @brandinamwakasendeka4756
    @brandinamwakasendeka4756 24 วันที่ผ่านมา +4

    Am the first today

  • @user-hy3en6vk5f
    @user-hy3en6vk5f 24 วันที่ผ่านมา

    Mmenikera sana yaani Mmemuuza Azizi Ki 😭😭😭 daaah anyway Mungu atusaidie Wananchi 💔💔💔

    • @mamuwadomu8448
      @mamuwadomu8448 24 วันที่ผ่านมา +1

      Unauhakika ? Basi kesho utamuona mazoezin AZIZ K tunae

    • @zeddymourice4249
      @zeddymourice4249 24 วันที่ผ่านมา +2

      Aziz ki yupo sana jangwani ana miaka mbili nyingine mzee.

    • @amaniomar1755
      @amaniomar1755 24 วันที่ผ่านมา

      Wewe @user-hy3en6vk5f nakuona unajaribu kuanzisha vugvugu uwachanganye wananchi

  • @DismasPhidason-vu6bt
    @DismasPhidason-vu6bt 24 วันที่ผ่านมา +1

    Kwahiyo atuna jersey za mazoezi??

  • @AgnesNangale
    @AgnesNangale 24 วันที่ผ่านมา +1

    Nyanga raha san

  • @QuilalaselemaneSaide
    @QuilalaselemaneSaide 24 วันที่ผ่านมา +2

    ❤❤❤

  • @AbujadiAbdalaAbujadiAbujad
    @AbujadiAbdalaAbujadiAbujad 23 วันที่ผ่านมา

    kiukweli mashabiki yanga tunainjoi tenakwasana tu nawatakia kwakilalaeli nimwana Mozambiquei 🇲🇿

  • @user-cl4dx3kc6k
    @user-cl4dx3kc6k 21 วันที่ผ่านมา

    Ili ndo jangwa pekee lenye maji ya kutosha na burudan ziendeleee!!!!!

  • @marymoshi572
    @marymoshi572 24 วันที่ผ่านมา +1

  • @saididuri3518
    @saididuri3518 21 วันที่ผ่านมา

    ni ujinga kumuacha zawad mauya na kumsanili aziz andanbwile kuna wanaotazama mpila kwa uelewa watanielewa.

  • @mariamjuma1670
    @mariamjuma1670 24 วันที่ผ่านมา +1

    👏💛💚

  • @chollejr_
    @chollejr_ 24 วันที่ผ่านมา +1

    Kibwana katoa wapi madevu

  • @dastankhalifa5672
    @dastankhalifa5672 23 วันที่ผ่านมา

    Anajua kuongea na anaonekana anajua anachokitaka ,Kila la kheri kwake

  • @zakayomaendeleo
    @zakayomaendeleo 23 วันที่ผ่านมา

    😊😊😊

  • @fatmasuleiman3885
    @fatmasuleiman3885 23 วันที่ผ่านมา

    Tunawapenda sana dua kwenu kila siku kwenu maaduwi wengi In sha Allah mwenyezimungu awalinde Amiin

  • @YusuphLukindo-vi9ow
    @YusuphLukindo-vi9ow 24 วันที่ผ่านมา +1

    🎉🎉🎉🎉

  • @proisolution7166
    @proisolution7166 24 วันที่ผ่านมา

    NAOMNA ALWATAN MFIKISHIE UJUMBE HUYU AZIZ MWAMBALASWA NA SHEKAN,KUWA KWA MAUMBILE WALIO KUWA NAYO WAKIITUMIA HII NAFASI YAO KWA YANGA YAANI NIDHAMU,NA KUACHA MAJIVUNO(SIFAA) NDIYO VIUNGO WENYE SIFA +MTASINGWA KUBEBA TAIFA LETU-WATUMIE TRAINING FACILTY ZA YANGA KAMA MAYELE ALIVYOKUWA ANAFANYA.

    • @proisolution7166
      @proisolution7166 24 วันที่ผ่านมา

      AFANYE MAZOEZI SANA APUNGUZE UNENE HILI AENDANE NA KASI YA YANGA ASIBWETEKE PLEASEEEE

  • @filemonkwaja6181
    @filemonkwaja6181 24 วันที่ผ่านมา +2

    Bwana kibwana,

  • @LukindoMchome-qv3vo
    @LukindoMchome-qv3vo 23 วันที่ผ่านมา

    Yanga bingwa