VIJANA WA MZIWANDA WAKIBALI KUA SWALI LA SHEIKH WAO LIMEJIBIKA || Muhammad Bachu .

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 18 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 195

  • @Hamis-ks1sy
    @Hamis-ks1sy 4 หลายเดือนก่อน +11

    Sheikh Allah akuzidishie subra !Ningekuwa mimi Nisingeweza kuongea na dunduka kama hilo mda wote huo

  • @Muharram-c5n
    @Muharram-c5n 4 หลายเดือนก่อน +19

    Kwakweli sheikh Muhammad Bachu umebarikiwa,Masha'Allah!!..umepewa uwezo wa kujenga na kujibu hoja,umetulia sana,dua yng kwa M'mungu akupe elimu na ufahamu ili uzidi kutuelimisha pia na mwisho mwema ww na familia yako,kuwa na sheikh kama ww Tanzania tunatakiwa kujivunia Wallah

  • @mutomubaya
    @mutomubaya 4 หลายเดือนก่อน +10

    Radd ni muhimu sana kwa kuwa ni moja ya njia za kuelimisha ummah na pia Sheikh aliyekosea

  • @KhalfanMassoud
    @KhalfanMassoud 4 หลายเดือนก่อน +15

    السلام عليكم ورحمة الله وبركاته. Allah awabariki masheikh zetu na Waislamu wote kwa ujumla kwa kuwaonesha haki na kuifuata. Ameen

  • @hassanWanjiku
    @hassanWanjiku 4 หลายเดือนก่อน +15

    Assalaam alaikum warahmatullahi wabarakatuh sheikh bachu Allah akulinde uzidi kusafisha huu uchafu na sisi tunaoskiza tuwe wenye kuzingatia Ili tuweze kufaulu na majibu alhamdulillah ulijibu vizuri kama yule alivyotaka yule sheikh ,,,,,

  • @huseynmaingu6073
    @huseynmaingu6073 4 หลายเดือนก่อน +13

    Huyu hana hoja ataka vurugu tu...sheikh Muhammad Bachu Allâh Akuhifadhi

  • @saidimkwinzu9106
    @saidimkwinzu9106 4 หลายเดือนก่อน +8

    MASHAALLAH ALLAH akuhifadhi sheikh Muhammadi bacho

  • @ramadhantajiri6924
    @ramadhantajiri6924 4 หลายเดือนก่อน

    Alhamdulilah sheihk bachu Alla akuzidishie na azidi kukuimarisha, na atuongeze sote..

  • @FathiSaid-j6v
    @FathiSaid-j6v 4 หลายเดือนก่อน +2

    Shekh Muhamad mashallah hao washrik sio level yako hao wamezoea kutupotesha maulid ni ushirikina tuache shirki Jamanii mbona masahaba hawajawai kusherekea uzawa wa mtume

  • @kadoditsa3805
    @kadoditsa3805 4 หลายเดือนก่อน

    Mtume Muhammad swallaaallahuu 3aleyhiii wa sallaaam Asema... "NamuAhidi mtu Nyumba Katikati ya Pepo,... Mtu Ambae ataepuka Mijadalaa hata kama yupo sahihi....."... Muhammad Bachu zingatia hayoooooo... Afwaan

  • @othmanhaji862
    @othmanhaji862 4 หลายเดือนก่อน +3

    Shukran Sheikh wechu Muhammad
    Huyo mpemba hana hoja .
    Ni ushabiki tu
    Mtu km huyo hukupotezea mda wako tu.

  • @samirrubeya2379
    @samirrubeya2379 4 หลายเดือนก่อน +5

    Barakallahu fik Sheikh Bachu

  • @samirrubeya2379
    @samirrubeya2379 4 หลายเดือนก่อน +13

    Simba ..Allah akupe umri mrefu wa amani. Birmingham

    • @fahadrachid2352
      @fahadrachid2352 4 หลายเดือนก่อน +2

      Itabidi tumualike sheikh bachu aje UK kutupa darsa

    • @YahyaYahya-vp2pp
      @YahyaYahya-vp2pp 4 หลายเดือนก่อน

      Itapendeza Allah awafanyie wepes ​@@fahadrachid2352

  • @mustafajuma8628
    @mustafajuma8628 4 หลายเดือนก่อน +2

    Shk Bachuu Allah akuhifadhi uzidi kutuelimisha umma mzimaa

  • @OthmanKhamis-p5d
    @OthmanKhamis-p5d 4 หลายเดือนก่อน +1

    Allah akuhifadhi shekh Muhammad bachu zidikuwelimisha umma itafikia pala watafahamu tu

  • @k.kchakua1376
    @k.kchakua1376 4 หลายเดือนก่อน +2

    Jazaqallahu khaira Sheikh Bachu Allah akuzidishie Umri

  • @babatidaawa6550
    @babatidaawa6550 4 หลายเดือนก่อน +1

    Ma Shaa Allah Ma Shaa Allah Ma Shaa Allah kwa usulub huu ni mzuri sana sheikh langu unawaradd hawa masufi kwa Haqq Allah akuepushe na Makruhu

  • @awadhhussein6217
    @awadhhussein6217 4 หลายเดือนก่อน +2

    Allah Akuhifadhi, Sheikh Muhammad Nassor Bachu

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl 4 หลายเดือนก่อน +7

    Maashaallah shehewetu Bachu umejibu vizuri❤

    • @Muharram-c5n
      @Muharram-c5n 4 หลายเดือนก่อน +1

      Mno

    • @YahyaYahya-vp2pp
      @YahyaYahya-vp2pp 4 หลายเดือนก่อน +1

      Tena kwa hekma kubwa mungu Amlipe kher Muhammad bach

  • @YahyaYahya-vp2pp
    @YahyaYahya-vp2pp 4 หลายเดือนก่อน +2

    ❤❤❤ muhammad Allah akulipe ujira mkubwa unafanya kaz mzur

  • @iddimohamed254
    @iddimohamed254 4 หลายเดือนก่อน

    Mashallah swali limejibiwa vizuri sana watu wa maulidi hawana elimu wanafuata mashekh zao tu bachu uko vizuri kaka...

  • @AsimaliHamad
    @AsimaliHamad 4 หลายเดือนก่อน +1

    Alhamdulilla kafaham vzr saiv ila kuna kitu washajengwa kwenye nafsi zao hivo nakuomba shekh endelea kuelimisha na inshaallah Mola akusimamie na akuzidishie elimu na hekma

  • @hamzahhassan6474
    @hamzahhassan6474 4 หลายเดือนก่อน +3

    Maashallah shekh Muhammad bachu umemjibu vizuri sana na Allah akulipe duniani na aakhira Allah atuongoze sote Aamiin Aamiin

    • @assalaafiiabuusalafi
      @assalaafiiabuusalafi 4 หลายเดือนก่อน

      Maashaallah swahihi Akhiy Muhammad Bacho

  • @dullahmihuri
    @dullahmihuri 4 หลายเดือนก่อน +2

    Mashallah... Allah akuhifadhi shkh Muhammad. Yaani walimwengu tuna vichwa vigumu mnooooo... yaani tuna vitu vigumu sanaaaa. Na ndio mana tunaburuzwa sana.

  • @Hamis-ks1sy
    @Hamis-ks1sy 4 หลายเดือนก่อน +5

    Jamani sina uwezo mwenye namba yake anipatie Wallah nimtumie hata buku2 sheikh wangu Allah atanilipa.

  • @HemedRamadhanJuma
    @HemedRamadhanJuma 4 หลายเดือนก่อน +4

    Huyo jamaa kauliza swali tayari ana jibu lake mkononi na anaoneka ameuliza kwa hisia ya kuchukia na anaonekana hana elimu na hana ufahamu Allah amuongoze sheikh endelea kukosoa anae kosea Allah yupo na wewe inshallah.

  • @petsathome7091
    @petsathome7091 4 หลายเดือนก่อน +1

    Masha’allaah tabaarakallah alhamdulillaah
    Kijana wetu sheikh wetu namuomba Allaah akuhifadhi na akukinge na hasad wewe na familia yako yaarabbal aalamiin.
    Mimi nimemuelawa huyo ni ghaidh tu Allaah amsamehe na amuongoze aione haki.

  • @juraybeeb
    @juraybeeb 4 หลายเดือนก่อน

    Nakuombea kwa Allah wasije wakakununuwa kisha wakakutumia kwa maslahi yao ya kidunia Allah akulinde na akuepushe na shari za sheitwani Amiin thumma amiin 😭😭🤲

  • @ahmedabry293
    @ahmedabry293 4 หลายเดือนก่อน

    Mashallah sh Muhammad nassor bachu Allah akubaarik

  • @husseinmongolare3417
    @husseinmongolare3417 4 หลายเดือนก่อน

    Jamani umetumia eshima kumuelekeza sauti yaka chini masha Allah

  • @MussaMohammed-g6o
    @MussaMohammed-g6o 4 หลายเดือนก่อน

    Allaah, Akuhifadh,, shekh wetu, kwani ukitumia Akili huwezi kwenda kuadhibiwa na Allaah,,,, ukitumia Akili, lkn ukija kiusomi utaadhibiwa,, shekh,, shukrani Allaah akulipe ziada ya thawabu,,,,

  • @jauzauabdalla5792
    @jauzauabdalla5792 4 หลายเดือนก่อน

    Mashallah sheikh Mohammad yuwajibu maswali kiufasaha na kwa hoja mashallah kwa mwenyekuelewa

  • @mwalimuomari9981
    @mwalimuomari9981 4 หลายเดือนก่อน

    Allah Akbari mm nimekuelewa vizuri saa sheikh nikija Tanga tena nitaomba dua kwa Allah uwe na muadhara tene kama Mwaka juzi

  • @salummbegu718
    @salummbegu718 4 หลายเดือนก่อน

    Mashaallah, jazaakallahu khairan shk

  • @yusufathman2478
    @yusufathman2478 4 หลายเดือนก่อน

    Maa shaa allah sheikh muhammad umemjibu vizuri sanaa.
    Ntumie no. Yako ustadh bachu

  • @FathiSaid-j6v
    @FathiSaid-j6v 4 หลายเดือนก่อน

    Shekh Muhamad mashallah Allah akupe umri uzidi kutuelimisha na huyo aliepiga simu hana elimu

  • @aooshosho4255
    @aooshosho4255 4 หลายเดือนก่อน +2

    Haki sheikh Mohamed nasoro nakupenda bure kwajili ya Allah.

  • @suleimanmohammed2715
    @suleimanmohammed2715 4 หลายเดือนก่อน +3

    Umejibu vizuri sh baju

  • @abdallahmkali3251
    @abdallahmkali3251 4 หลายเดือนก่อน

    Allah atuhifadhi na atuunganishe kwenye kheri Inshallah

  • @nassortrans12
    @nassortrans12 4 หลายเดือนก่อน

    ماشاء الله
    Sheikh Muhammad bachu

  • @saidsuleiman1753
    @saidsuleiman1753 4 หลายเดือนก่อน

    Sheikh Bachu yupo vizuri sana

  • @JumaBakari-ii5uz
    @JumaBakari-ii5uz 4 หลายเดือนก่อน

    جزاك الله خيرا يا شيخنا

  • @izmamuizmamu6521
    @izmamuizmamu6521 4 หลายเดือนก่อน

    بارك الله فيك يا شيخ محمد

  • @AbuubakarAli-fj6br
    @AbuubakarAli-fj6br 4 หลายเดือนก่อน +3

    Duhhhh ni mazungumzo yeny mafunz ila jamaa mbishi allha atufanyie wepes

    • @Muharram-c5n
      @Muharram-c5n 4 หลายเดือนก่อน

      Hahahaha

  • @MuhammadMkoka
    @MuhammadMkoka 4 หลายเดือนก่อน +9

    Dah tusome jamani uyu jamaa anaonekana kauliza kwa asila ya shekhe wake karadiwa

  • @omarysungi4635
    @omarysungi4635 4 หลายเดือนก่อน +4

    Sheikh Mohammed bachu sema ukiona kuna mahali kunashida usiogope sisi tutacuambua maana nyote ni walimu wetu

  • @abubakarwazir5572
    @abubakarwazir5572 4 หลายเดือนก่อน +3

    allah ajulipe sheihk wangu hakuna mwenye hoja huyo kama katumwa tuh au kajituma na amepanic

    • @YahyaYahya-vp2pp
      @YahyaYahya-vp2pp 4 หลายเดือนก่อน

      Kwel kwanz huyu jama hajasomo kabisa sema sheikh Muhammad bachu katumia hekma tu kumjibu maswali yake lkn kama ni mtu mwengine kashakata simu zaman anaona anampotezea muda tu

  • @OmaryWeza
    @OmaryWeza 4 หลายเดือนก่อน +4

    Shekh Bachu Huyu haulizi kutaka kueleweshwa wala hayupo tayari kuelewa huyu katumwa kuleta fujo

  • @imamually1926
    @imamually1926 4 หลายเดือนก่อน +5

    Asalaam alaykum sheikh Muhammad Bachu huyu hanaelimu na swali analo uliza asikupotezee muda hajielewi kabisa achana nae.

  • @abbaspaziaog2188
    @abbaspaziaog2188 4 หลายเดือนก่อน

    Baraakanllah fiikum

  • @ZubeirShomar
    @ZubeirShomar 4 หลายเดือนก่อน

    Njia hii kwetu sisi waislamu sio jambo zur kwa sababu unapo msema kwa uwazi kipenz cha wengine basi hao wengine watakuwa na chuki dhid yako kwaio kwa njia hii ipo siku sisi wenyew waislamu tutakuwa katika ugomvi mkubwa sana 😭

  • @isackwaite-uf1zy
    @isackwaite-uf1zy 4 หลายเดือนก่อน

    MashaAllah sheikh bachu

  • @ameirfaki9277
    @ameirfaki9277 4 หลายเดือนก่อน +1

    ❤❤❤❤❤❤.....masha Allah

  • @husseinshehuna68
    @husseinshehuna68 4 หลายเดือนก่อน

    ما شاء الله

  • @badrudinsalum3139
    @badrudinsalum3139 4 หลายเดือนก่อน

    Baraka llahu fiyka jambo limeeleweka hamna hoja tena hapo ni jazba tu

  • @Daawa-l8s
    @Daawa-l8s 4 หลายเดือนก่อน

    Masufi bhana ni mtihani mzito.

  • @nassormohammed9742
    @nassormohammed9742 4 หลายเดือนก่อน

    Huyu jamaa asome kiswahili kwanza

  • @kassimbitogwa6992
    @kassimbitogwa6992 4 หลายเดือนก่อน

    الله يحفظك

  • @hafidhseif9638
    @hafidhseif9638 4 หลายเดือนก่อน +2

    Sheikh muhamad huyo mpemba mwezangu elimu yake ndogo ,na anaubishi wa kipemba bila elimu ,

  • @MasoudChoum-pp1ob
    @MasoudChoum-pp1ob 4 หลายเดือนก่อน +1

    Al akhy channel ipo kimya sana

  • @sulemanealisaide217
    @sulemanealisaide217 4 หลายเดือนก่อน

    Chekhe wangu Ilo jamaa zombi lakupitiliza achana nalo mana ata ufahamu halina na ata kuuliza maswali halijui mungu akulinde usichoke kuwanyoosha kuna siku wataelewa tu yy limekusudia kuleta ligi na halijui

  • @hadjihadji197
    @hadjihadji197 4 หลายเดือนก่อน +2

    Huyu Mkojani wa Mombasa amesha elewa lakini jamii hii ya Wapemba kwa ushindani mnaweza kuchukua siku tatu bila kupata ufumbuzi.
    Hawa ni jamaa zangu wa Pemba.

  • @binismail8527
    @binismail8527 4 หลายเดือนก่อน +3

    Hiyo ndio tabia ya Haw ndugu zetu wa kikojan ni wabishi bila hoja ya msingi

    • @YahyaYahya-vp2pp
      @YahyaYahya-vp2pp 4 หลายเดือนก่อน +1

      Usitaje kabila la mtu ukanzisha chuk na wala huna ushahid kama ni mkojan huyo

    • @MuhamadikhatibMalili
      @MuhamadikhatibMalili 4 หลายเดือนก่อน +1

      Hiyo ni tabia ya wajinga wasio na elimu na sio u pemba wala ukojan Acha dharau

  • @GoodluckPaul-wf9gn
    @GoodluckPaul-wf9gn 4 หลายเดือนก่อน

    Mimi ninahitaji nije kusoma kwako Sheikh Muhammad Bachu. Na sijui ninafika vipi kwako naomba pia kwa anayejua nafikaje kwake naomba anipe maelekezo

  • @suleimanmohammed2715
    @suleimanmohammed2715 4 หลายเดือนก่อน

    Amina

  • @akbarosman3892
    @akbarosman3892 4 หลายเดือนก่อน

    Huyu muulizaji kalewa????
    Shkh bachoo Allah akuhifadhi na akuepushe na shari za majuha kama huyo jamaa 😢😢😢😢

  • @hafidhseif9638
    @hafidhseif9638 4 หลายเดือนก่อน +1

    Ndugu yangu mpemba huna elimu wala hutaki kufahamishwa

  • @ISAALMASIHI9823
    @ISAALMASIHI9823 4 หลายเดือนก่อน

    Yesu wasaidie waislamu wakujue, Dunia iwe na amani.

    • @nassorkhamis6233
      @nassorkhamis6233 4 หลายเดือนก่อน +1

      Yesu haja oa ww umezaliwa kwa msingi gn au unaoa kwa msingi gn? Au ww umeshushwa

    • @ISAALMASIHI9823
      @ISAALMASIHI9823 4 หลายเดือนก่อน

      @@nassorkhamis6233 kiswahili kigumu? "haja oa" ndio nini? Acha kuchafua lugha yetu adhimu! Rudi kwenu Uarabuni ukafuge majini

    • @HansiKatumbi
      @HansiKatumbi 4 หลายเดือนก่อน

      Yesu Tunamjua vizuri na tunampenda vizuri kuliko nyinyi mujiitao wakristo

    • @ISAALMASIHI9823
      @ISAALMASIHI9823 4 หลายเดือนก่อน

      @@HansiKatumbi Njoo ubatizwe kama kweli unampenda

    • @wazirihamisi6484
      @wazirihamisi6484 4 หลายเดือนก่อน

      Ww kafiri silimu utakuja kujuta

  • @Markazabuuhanifa
    @Markazabuuhanifa 4 หลายเดือนก่อน +2

    Huyo jamaaa hajielewi ndo akauliza maswali yasio na muguu wala mikono

  • @binfarhan879
    @binfarhan879 4 หลายเดือนก่อน

    Na kwann haumpigii Shafii Basalim na Haji Upepo yy Hadi anawambia Mashekhe ni Makafir au sababu wao ni Wenzie ndio anashindwa kuwailiza?

  • @harithhemed9920
    @harithhemed9920 4 หลายเดือนก่อน

    mashekhe wa kisufi hivi ndivo wanavowalea vijana wao huwez kumkuta mtu wa sunna anazungumza utumbo hivi jaman tumuogope allha

    • @Hamis-ks1sy
      @Hamis-ks1sy 4 หลายเดือนก่อน

      Ni uchafu2 tena sheikh ana subra sana kama ningekuwa mimi nshakata simu mda2 siwezi kabisa kumskiliza huyu kiande

  • @maulidasaa9407
    @maulidasaa9407 4 หลายเดือนก่อน +2

    Huyu jamaa kauliza tu lkn anaonekana hana elimu ata kidogo

  • @salumhamed5074
    @salumhamed5074 4 หลายเดือนก่อน

    السلام عليكم ورحمة الله وبركاته

  • @lamarTaz-nu8yz
    @lamarTaz-nu8yz 4 หลายเดือนก่อน +1

    Kwanza amekuja kihuni sana na ungemuuliza kwanza yee ni man afu anazungumza kwa kiburi. Wala usinge mjibu

  • @OmarFaki-v2h
    @OmarFaki-v2h 3 หลายเดือนก่อน

    Asalm alaykum huyo sufi anakupgsha kelele

  • @Nuru_ya_sunnah.official
    @Nuru_ya_sunnah.official 4 หลายเดือนก่อน

    mimi kama mpemba wa kwale micheweni nakiri kua huyo jamaa SI MSEMAJI WETU SISI KAMA WAPEMBA, NA SI MSEMAJI WA AHLU SUNNAH, BALI NI MSEMAJI WAVUVI WALIOKO AGONI HUKOO MAZIWANG'OMBE MICHEWENI

  • @abdallahhamad8808
    @abdallahhamad8808 4 หลายเดือนก่อน

    Imam shafi kasem nibora kuongea na wenye elimu 10 utawashida kulimo mjinga moja 2 hutoboi

  • @mariamally8548
    @mariamally8548 4 หลายเดือนก่อน

    Bachu upo sawa huyo anayeuliza ni bakwata hamna kitu

  • @rashidmohammed9128
    @rashidmohammed9128 4 หลายเดือนก่อน

    Kwa hivyo anapo mswaliya bwana mtume [saw] kwanza hulipwa kwa kumsaliya halafu akapata dhambi kwa kukhalif Sunnah?

  • @HamisOman-s8h
    @HamisOman-s8h 4 หลายเดือนก่อน

    Bachu nishia kma wengine kma anamuweza aende kwa mziwanda

  • @abdallahhamad8808
    @abdallahhamad8808 4 หลายเดือนก่อน

    We pemba mizang hun hoja kasom kwanz eeeeee

  • @HamisOman-s8h
    @HamisOman-s8h 4 หลายเดือนก่อน

    Ustadhi saidi tu kashindwa

  • @natafutamatatizo4382
    @natafutamatatizo4382 4 หลายเดือนก่อน +1

    HIVI HATUELEWI AU UNATETEA MTU?

  • @hassanmitayo1875
    @hassanmitayo1875 4 หลายเดือนก่อน

    Kuna Aya nyingi zinazungumzia kilimo, misitu, ufugaji na uchumi kwa ujumla, fundisheni hayo sio kubishania maulid kila siku hali ya kuwa waislaam vijijini wako Hoi kiuchumi wengine wanaritadi

  • @IbrahimNtirenganya
    @IbrahimNtirenganya 4 หลายเดือนก่อน +1

    Muulizaji kasome kwanza mbele ya kujadili

  • @abdallahhamad8808
    @abdallahhamad8808 4 หลายเดือนก่อน

    Hhhh kwanz amfundishe kujenga swal 2.

  • @maftahmusa9513
    @maftahmusa9513 4 หลายเดือนก่อน +1

    yaonyesha muuliza swali amelewa hayupo sawa au anatafuta shari baada ya kutafuta elimu

  • @SugowFarah-up3db
    @SugowFarah-up3db 4 หลายเดือนก่อน +1

    Kuongea koooooote mwisho akiri kwamba jawabu alilojibiwa sheikh wake hajaona kosa lolote kwa maana sheikh kajibiwa swali lake !!!!
    Swali la sheikh mziwanda: Hivi kwa kutumia tu akili , je katika hafla ya mawlidi ya Mtume, nikisema صلوا عليه nitaadhibiwa ?
    Jawabu la ustadh Muhammad Bachu: Hapana hutoadhibiwa kwa kumswalia Mtume bali utaadhibiwa kwa kukhaalif sunnah alofundisha Mtume katika kumswalia Mtume
    Mwanafunzi wa sheikh mziwanda: Sijaona kosa lolote katika jawabu la ustadh Muhammad Bachu

  • @sulemanealisaide217
    @sulemanealisaide217 4 หลายเดือนก่อน

    Pumbavu zake

  • @suleimanmohammed2715
    @suleimanmohammed2715 4 หลายเดือนก่อน +1

    Muuliza suala kichwa mchungu

  • @saidishekalaghe3496
    @saidishekalaghe3496 4 หลายเดือนก่อน

    Majibu yako hayajitoshelezi sheikh wangu. Bado kabisa kufikia viwango vya kielimu kwa sheikh Mziwanda kaongea kielimu tena elimu ya hali ya juu Leo unatultea majibu mepesi Kiasi hicho?

  • @wazirihamisi6484
    @wazirihamisi6484 4 หลายเดือนก่อน

    Wakojani wabishi

  • @rashidjuma9169
    @rashidjuma9169 4 หลายเดือนก่อน

    Na hadithi kama hizi ni nyingi sana.

  • @abbaspaziaog2188
    @abbaspaziaog2188 4 หลายเดือนก่อน +3

    Masuffiy ni masufuria kweli. Yaani mtu asikupe dalili. .yaani dini bila ya dalili itaenadaje Masuffiy maghurafi jitambueni ?? Tukaswali kwanza tuje kuendelea kusikiza baraakanllah fiikum

    • @MuhammadMkoka
      @MuhammadMkoka 4 หลายเดือนก่อน

      Wana Tisha masufi

    • @hassanWanjiku
      @hassanWanjiku 4 หลายเดือนก่อน

      Tena wanafanya Yao ki akili c kitabu na Sunnah na hizo mbili ndo mwongozo wetu kutoka kwa mtume salallahu alayhi wasalam na hawataki kufuata haki

    • @abdulkhaliqmuhammed456
      @abdulkhaliqmuhammed456 4 หลายเดือนก่อน

      لا يلزمُ من القيامِ بالجزء التسميةُ بالكُلِّ.

  • @OmarShela-p2z
    @OmarShela-p2z 4 หลายเดือนก่อน

    Lkn je masheikh wanaokosea ni masheikh wa kiislamu tu masheikh wa kiwahabi wao hawakosei? Km wanakosea je mbona wao huwatukani?

  • @YaziduIddy
    @YaziduIddy 4 หลายเดือนก่อน

    acha kupotosha watu wew unataka kiniambia ww unachokisema ndo unauhakika?

  • @OmarFaki-v2h
    @OmarFaki-v2h 3 หลายเดือนก่อน

    Uyo sufi askupgshe kelele

  • @OmarShela-p2z
    @OmarShela-p2z 4 หลายเดือนก่อน

    Kusoma maulidi ni uzushi lkn je kuleta tauhiid 3 ni kitu gani?

    • @wazirihamisi6484
      @wazirihamisi6484 4 หลายเดือนก่อน

      Ww ni mshirikina

    • @OmarShela-p2z
      @OmarShela-p2z 4 หลายเดือนก่อน

      @@wazirihamisi6484 ... So tatizo lkn je ibnuttaimiyah Anaemfananisha Allah na mwanadam yeye utamuitaje?

  • @Markazabuuhanifa
    @Markazabuuhanifa 4 หลายเดือนก่อน

    Halaf uyu jamaa kwanza ateme ayo mate ya tumbaku ndo aongee na shekhe

  • @rashidjuma9169
    @rashidjuma9169 4 หลายเดือนก่อน

    Maulidi ni mubaha ukitaka fanya usipotaka usifanye,ama kumlazimisha mtu kufanya maulidi ama kumlazimisha asifanye hayo ni makosa.yako mengi ya kufanya siyo kupimgana kila siku.