EXCLUSIVE: Ni kweli Dr. SHIKA alitumwa na C.I.A kuichunguza Urusi?

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 79

  • @HASASON
    @HASASON 7 ปีที่แล้ว +3

    Dr Louis am with you from day one, let's shine together my papa

  • @freddynkya7094
    @freddynkya7094 7 ปีที่แล้ว +4

    Uyu mzee uko vizuri big up kwake

  • @recap1016
    @recap1016 7 ปีที่แล้ว

    Asante mzee wangu kwa majibu yako Mubashishi .

  • @DM-bq7ys
    @DM-bq7ys 7 ปีที่แล้ว +51

    Nisiwe mnafki, dr Shika mara yakwaza mi kumuona kwenye TH-cam siku ile ya mnada nilikubali ana hela nakama hana hela basi ana akili nyingi kupitia kiasi maana anaongea lugha za watu walio kuwa na businesses kubwa kubwa duniani.
    So stop judging a book cover
    If you are with me hit some likes

  • @BarakaWaya
    @BarakaWaya 7 ปีที่แล้ว

    He is Genious. Serikali imsaidie

  • @manywelemuga5873
    @manywelemuga5873 7 ปีที่แล้ว

    Mungu atamsimamia waliomdarau mungu atawaumbua

  • @sonnymjeshi
    @sonnymjeshi 7 ปีที่แล้ว +1

    Nakukubali mzee

  • @officialimmagrape5813
    @officialimmagrape5813 7 ปีที่แล้ว

    huyu mzee haonekani kuomba msaada wa kifedha ,,wala hana shida na fedha ya mtu,,dr anaonekana pesa anayo na anajitambua nimemkubari maelezo yake yoke hakuna sehemu kajichanganya yukosawilee God bless you brother

  • @jaysaly4328
    @jaysaly4328 7 ปีที่แล้ว

    my heart is pain my brother miradi ayo hebu fanyeni kitu kwa huyu mzee wetu

    • @sebastiankulwa6553
      @sebastiankulwa6553 7 ปีที่แล้ว

      Dk. Shika, I am so impressed with you the way I saw you from day one.I still need so much to know about you.Plz disclose more information about your richness and how your mother country TZ will benefit from it.

  • @ThetopDjMarc
    @ThetopDjMarc 7 ปีที่แล้ว +1

    You still have a lot to explain to make these stories a reality Doctor! only a wise man can see the truth beneath those beautiful lies!

  • @samwelhechei6543
    @samwelhechei6543 7 ปีที่แล้ว +5

    Huyu ana akili nyingi sana na anajibu maswali kwa akili nyingi sana

  • @ellysamm4356
    @ellysamm4356 7 ปีที่แล้ว

    Huyu mzee uko Makini sana

  • @saidomary4950
    @saidomary4950 7 ปีที่แล้ว +2

    Hii inshu ni utapeli huyu mzee pesa kweli anazo huko nje lakini kuna matapeli wameingia katikati hapo dollar 150 ni pesa ndogo sana kwenye kulipa bima ya pesa kubwa kama hiyo so awe makini kuna mchezo katikati hapo

  • @shuwehaomar6658
    @shuwehaomar6658 7 ปีที่แล้ว +3

    mlipeni jamani mnamhoji nyie mnapiga hela yeye hana kitu

    • @venancebasil4656
      @venancebasil4656 7 ปีที่แล้ว

      Shuweha Omar to be fair they have to, mzee amejenga brand yake miaka mingi

  • @rozinakimaro9010
    @rozinakimaro9010 7 ปีที่แล้ว

    naombeni mumlipe huyo baba c vzr kumchosha bure jamani

  • @datiusdominick842
    @datiusdominick842 7 ปีที่แล้ว +5

    miladi upo kiabiashara zaidi naona kaubunifu fulani kwa dr Shika.GSM

    • @recap1016
      @recap1016 7 ปีที่แล้ว

      kweli broo

  • @emmanuelyandu1608
    @emmanuelyandu1608 7 ปีที่แล้ว

    Hilo Tangazo lako umpatie mzee kiasi... Niko hapa kwa ajili yake

  • @mtotowaraila5397
    @mtotowaraila5397 7 ปีที่แล้ว

    mwachani mzeevwa watu apumzike mna mkoraga jamani mwenyewe ana stress na jinsi atakavyo pata hela yake

  • @jumaramadhani5861
    @jumaramadhani5861 7 ปีที่แล้ว

    Huyu mzee ni kichwa sana,Serikali ya awamu ya tano wakae nae karibu ana mengi ya kutusaidia katika maswala ya viwanda

  • @jacksonmkuye7739
    @jacksonmkuye7739 7 ปีที่แล้ว +1

    Millard Ayo uyo muulzaj wa maswal ata hackiki anachoongea improove dat bro we admaya u. U r not underground in deze ishuz

  • @rigobertedita3881
    @rigobertedita3881 7 ปีที่แล้ว

    Millard huyu baba kakuingizia mpunga mrefu xo itapendeza kama ukimkumbukaa

  • @Alimahrooi
    @Alimahrooi 7 ปีที่แล้ว

    Inapendeza kufanya extreme makeover

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 7 ปีที่แล้ว

    Mzee hawez kusema yote... hayo ya marekani huenda kwel anafaham kitu. Lkn kuhusu utimamu namuona yuko vzur sana, anajitambua sana.

  • @jubeckchannel3345
    @jubeckchannel3345 7 ปีที่แล้ว

    huyu mzee mzigo anao jamni

  • @jubeckchannel3345
    @jubeckchannel3345 7 ปีที่แล้ว

    huyu mzee mzigo anao jaman

  • @recap1016
    @recap1016 7 ปีที่แล้ว

    Soon watz wenye dharau watakuelewa mzee mi nakuelewa sana

  • @zawadix9574
    @zawadix9574 6 ปีที่แล้ว

    Huyu kicha

  • @sammymakuyya9905
    @sammymakuyya9905 7 ปีที่แล้ว

    Akitoa hizo dollor 150 ahakikishe Balozi wa Tz aliyeko huko Urusi anamsaidia, Ashirikiane na Huyo Balozi wa Tz aliyeko huko Urusi bega kwa bega,

  • @Cyper255
    @Cyper255 7 ปีที่แล้ว +7

    Millard Ayo. Msipompa huyu Mzee asilimia 5 (5%) ya malipo ya TH-cam Mungu awalaani. Amewapa views za kutosha

  • @justerpius4344
    @justerpius4344 4 ปีที่แล้ว

    Tukimarinza huchangunzi serikari hifuwatirie janbo hiri ra dokit shika watu wetu huko wanaumizwa hiri serikar hijirizishe

  • @stevegachuma7362
    @stevegachuma7362 7 ปีที่แล้ว

    Dk shika ninoma

  • @datiusdominick842
    @datiusdominick842 7 ปีที่แล้ว

    Dr Shika

  • @tyfugsmtech7821
    @tyfugsmtech7821 7 ปีที่แล้ว

    Twende mbele turudi nyuma mnamhoji ili mmsaidie au mnhoji ili aendelee kujieleza sjaona hata alosema mzee asaidiwe

  • @saumuhassan1365
    @saumuhassan1365 7 ปีที่แล้ว

    Uyu mzee asaidiwe jaman, hizo pesa anazotaka kutuma wanaweza kumdhulum

  • @zaynsalma3466
    @zaynsalma3466 6 ปีที่แล้ว

    Hahahaha 900 itapendez zaidi Aki Huyu mzee balaaaa 😂😂👏👏👏

  • @wemapingu5580
    @wemapingu5580 7 ปีที่แล้ว

    Mzee yuko vizur

  • @kamaluhajj3446
    @kamaluhajj3446 7 ปีที่แล้ว +4

    huyu mzee asijaribu kulipa hizo dollar 150 hao ni matapeli ndo atazidi kua na stress😂😂

    • @gilbertykinabo9649
      @gilbertykinabo9649 7 ปีที่แล้ว

      yes

    • @justinekamala1692
      @justinekamala1692 7 ปีที่แล้ว

      Naomba usitume hizo dola 150 Dr kwani hao watakuweka tena kwenye mawazo makubwa, ushauri wangu naomba nyie vyombo vya habari msaidieni huyu MZEE wetu kumfikisha kwa Raisi wetu msikivu na asiyependa unyanyas kwa watu wake ili aweze kumsaidia na kutuma watu kwa ajili ya kufuatilia pesa za huyu mzee, kwani huko ziliko pesa bado tuna wawakilishi wetu ambao ni mabaloz hivyo inaweza kuwa rahisi sn kuliko kumuacha mwenyewe akiangaika na baaye ukastukia wanamuingiza mjini

    • @christinangossi4669
      @christinangossi4669 7 ปีที่แล้ว

      Kamalu Hajj me mwenyew nahis hvo watamtapeli

    • @josejuma103
      @josejuma103 7 ปีที่แล้ว

      Aisee mzee asitume hiyo pesa atapigwa tena

  • @titorevestedi5171
    @titorevestedi5171 7 ปีที่แล้ว

    naona wenye blog mumemgeuza huyu mzee kitega uchumi

  • @solomonitv7808
    @solomonitv7808 7 ปีที่แล้ว +3

    Uyu mzee ni jasus....Watu wa mahusiano ya kimataifa washughulike na uyu mzee vyema yawezekana akaisaidia Nchi kwa mambo mengi sana

  • @saidsaid9463
    @saidsaid9463 7 ปีที่แล้ว

    Jamani watanzania msaidie kwa wema huyo ni dr namfanya biashara mbona hamna imani naye

  • @daimavlog
    @daimavlog 7 ปีที่แล้ว

    DR. yuko makini sana na majibu yake hadi raha

  • @gbi380
    @gbi380 7 ปีที่แล้ว

    Whatever you may say huyu mzee ni msomi na anajua mambo mengi ila inaonekana kuna shida flani somewhewe

  • @cyrusmichael6906
    @cyrusmichael6906 5 ปีที่แล้ว

    Dr shika ni vigumu kumu judge

  • @ussikhamisussi4882
    @ussikhamisussi4882 7 ปีที่แล้ว

    Huyu mzee ana kitu kikubwa kilichokuwa siri ndani ya maisha yake pamoja na mahusiano yake yeye, RUSSIA & USA. na hawezi sema tu kirahisirahisi ila mmeanza kupata picha kiasi taratibu tu kutaeleweka ktu hicho mbeleni coz, huwezi kata vidole vidole vya mikono afu ukapenyapnya tu na kupata msaada toka America pacpo kuwa na kitu kinachoendelea mpaka hao America nao wakakusafirisha mpaka Tz.

  • @aboumunira9546
    @aboumunira9546 7 ปีที่แล้ว

    saerikali haijamsikia huyu mzee asaidiwew huyu ili aweze kusaidia taifa coz ana elimu au hamumuoni nyie serkali

  • @dianasaria7065
    @dianasaria7065 7 ปีที่แล้ว +1

    Yaan ukifanya kaz ktk secta hyo lazima upewe kitu cha kukuharb akili au kuuawa kabisa

  • @mgaxy6973
    @mgaxy6973 7 ปีที่แล้ว

    Huyu mzee ni fiksi tu hakuna lolote hapa, siku hizi mambo yote ni mtandaoni tu sasa unakwama nini? Kata mkwanja tu watu wakae kimya kama unao, sasa matangazo mengi ya nini??

  • @millenium2003
    @millenium2003 7 ปีที่แล้ว

    Sasa mnafikiri kama ni CIA agent atakiri?

  • @inno5044
    @inno5044 7 ปีที่แล้ว +4

    Millard nawe uyu Mzee umemfanya kiki,muache apumzike bana

    • @recap1016
      @recap1016 7 ปีที่แล้ว

      we jamaa umesema kweli lkn aisee

  • @dnkofficially
    @dnkofficially 7 ปีที่แล้ว

    mzee atuambie Dr. lunyalura KRS ambae kwenye kampuni general director ni nani mbona jina linafanana na kaka yake wa kijijini kwao

  • @dicksonmarko7926
    @dicksonmarko7926 7 ปีที่แล้ว +2

    katika interview zote ambazo mmefanya Na huyu mzee sijaskia mkimuuliza Kama atakuwa Tayari iwapo serikali itahitaji kumtumia Kama lecture ama daktari kwenye hospital zetu hapa nchini............ why waandishi Wote mliofanya nae interview swali hilo hamjamuuliza????

    • @albertlwesya8361
      @albertlwesya8361 7 ปีที่แล้ว

      dickson marko Huyu mzee kwa taarifa alizotoa balozi wa Tanzania Urusi miaka hiyo alisema alikuwa mfanyakazi wa wizara ya Afya na amesomeshwa na wizara sasa sijui ilikuwaje na ipoje yupo nje ya ajira.

  • @josiajacob4911
    @josiajacob4911 7 ปีที่แล้ว

    hyo mzee inawezekana akawa C.I.A agent katka kanuni zao hawezi kukiri kuwa ni agent na inawezekana maana alipata wap hela hyo kuanzishia company kubwa hivyo na jiulize kwanini alikuwa anakimbia kimbia makazi mara spain mara kule na kingine lazima walimharibu akili ili asioe siri hyo mzee ana matatzo ya akili anatakiwa asaidiwe

  • @KIlonzo111
    @KIlonzo111 5 ปีที่แล้ว

    Hutu jamaa yaonekana kahadaiwa na scam artists. I wish him well.

  • @johanesvitalis367
    @johanesvitalis367 7 ปีที่แล้ว +4

    ndo kuma-nisha nini?? wekeni interview nzima... nkt

  • @shemejiwaxxl9563
    @shemejiwaxxl9563 7 ปีที่แล้ว

    huyu mzee ni wakuhojiwa na wewe Millard na sio vijana wako hawawezi

  • @innocentshayo9626
    @innocentshayo9626 7 ปีที่แล้ว

    MILARD AYO NAAMIN WEWE SI MTU MDHULUMISHI,,PLZ PLZ PLZ MPENI HUYU MZEE ASILIMIA KUMI YA MAPATO YENU YA TH-cam. KAWAFANYA MPATE VIEWS NYINGI SANA

  • @directorjp5783
    @directorjp5783 7 ปีที่แล้ว

    th-cam.com/video/AWuyV_Mpk2E/w-d-xo.html
    Chukua kitu na hapa usiipite hiyo link

  • @solomonitv7808
    @solomonitv7808 7 ปีที่แล้ว +9

    Uyu mzee ni jasus....Watu wa mahusiano ya kimataifa washughulike na uyu mzee vyema yawezekana akaisaidia Nchi kwa mambo mengi sana

    • @recap1016
      @recap1016 7 ปีที่แล้ว

      wivu utawaua wabongo nyie Jasusi utakuwa wewe hapo mi ninauhakika

  • @Cyper255
    @Cyper255 7 ปีที่แล้ว

    Millard Ayo. Msipompa huyu Mzee asilimia 5 (5%) ya malipo ya TH-cam Mungu awalaani. Amewapa views za kutosha