#MEDANIZASIASA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 11

  • @abdallahlungo3816
    @abdallahlungo3816 5 หลายเดือนก่อน

    Hongereni kwa kazi

  • @KamekaKameka
    @KamekaKameka 5 หลายเดือนก่อน

    Huyu mwandishi wa habari noma sana dah.....

  • @nsajigwamwasumbi4990
    @nsajigwamwasumbi4990 5 หลายเดือนก่อน

    Huyu Odemba angekuwa kwenye boxing ni heavy weight, punches zake ni hatari na nusu! Kuna maswali 4 jamaa karukaruka kama bisi kikaangoni

  • @dismasmtui729
    @dismasmtui729 5 หลายเดือนก่อน

    CCM imetufikisha hapa kwa sababu ya kudhibiti upinzani!. Ukiangalia rasilimali zilizotumika na mambo yaliyofanyika haviendani kabisa!. Ufisadi na ukosefu wa haki vimekuwa ni jambo la kawaida.

  • @frankcharles3980
    @frankcharles3980 5 หลายเดือนก่อน

    HAPA TUMEPIGWA HAMNA KITU

  • @sadamshantiwa9749
    @sadamshantiwa9749 5 หลายเดือนก่อน

    Ukshaivimbiwa sembe huwezi kuona matatizo yan huyu poyoyo hajui km uchaguzi wa 2019/2020 ulibunguliwa, eti na yeye ni mwenyekiti wa mkoa hii nchi bado safari n ndefu xn.

  • @issaowden4400
    @issaowden4400 5 หลายเดือนก่อน

    Mtu mzima kama huyu ukiachana na uccm wake lakini anaongea uongo haoni hata aibu😂😂😂😂

  • @FredMwamgogwa-td6ni
    @FredMwamgogwa-td6ni 5 หลายเดือนก่อน

    Wataanza kukimbia kipindi chako maswali magumu sana unauliza😂😂😂😂

  • @Aminmwansile-we8vn
    @Aminmwansile-we8vn 5 หลายเดือนก่อน

    Hongera mwalunenge kwa majibu yako mazuri wewe ni jembe kuwa na pesa siyo tatizo na wewe ni mtendaji mzuri na tumekuona kaka

  • @fahamnitwahir9249
    @fahamnitwahir9249 5 หลายเดือนก่อน

    Yan huyu jamaa mwanzo wa interview mpk mwisho ni tuta,yaan ni ahadi tu hakuna linalofanyika ni tutafanya hiki mara tutafanya kile