Kiba hana huwezo kabisa wa kuongea na kujielezea ...hii sio mara ya kwanza kumuoma akihojiwa au akiwa mbele ya umati hakuna keywords anazoongea kabisa hapa siongei kiushabiki.ila Kiba miyeyusho tu
Diamond amefanya interview nyingi sana hivyo anauzoefu mkubwa wa kuongea mbele ya kamera kuliko Dogo langu Ally Kiba bado sana anatakiwa awe anaita press conference za kutosha ili ajifunze.
Wavaa vikuku humu msitutafute Team kiba tuacheni kamwe hatupotei
Diamond Yuko good Sana kwenye maelezo Ali kiba sio mtamu kwenye maelezo na ubongo wake unasearch haraka sana
Mle basi
Kiba hajui 😂😂😂😂😂
Hhhhh kwani wanajieleza apooo au
Kiutaratibu wa mavazi YAI haitakiwi kuibekana nyuma ukuiifunga
Babalevoo kwa uchawaa............ unanifuhisha
Kaka mbona tie nyuma haijakaa vizuri?? Kwani hauna kioo au hauna mtu wa kukuangalia??
Mkn
Baba levo anakaa kama shoga anajichekeshachekesha tu.
Kwa wnye wanadai kiba hajui kujieleza sio waelewa..kwnza jibu litakuja kulingna na swali.ni swali gan amblo hamuelw
🎉🎉🎉 yko Mzee we ndo umelewa kuliko wengine wanacoment ushabaki tu.
Acha domo mondi kiba Baba yako
Kiba hana huwezo kabisa wa kuongea na kujielezea ...hii sio mara ya kwanza kumuoma akihojiwa au akiwa mbele ya umati hakuna keywords anazoongea kabisa hapa siongei kiushabiki.ila Kiba miyeyusho tu
Duuh kiba na mond kaka zangu ila kiba kujieleza hajui kaniuzi bwana
kaka Ali hashindani na chawa
Fanya maisha yako itakusaidia kuliko ubinafisi diamond alikiba wote watanzania utofauti unauleta wewe
WEWE UNAWEZA KUJIELEZA
Ndomana hapendagi kuongea ongea mond ndo mana halis ya domo
Ameingia kwenye Tasnia ya habari ajifunze kuongea bwana. Diamond kahojiwa sana na interview zote aliua kinoma. Wote tunawapenda from Kigona
mondi ameweka kipin au
Diamond amefanya interview nyingi sana hivyo anauzoefu mkubwa wa kuongea mbele ya kamera kuliko Dogo langu Ally Kiba bado sana anatakiwa awe anaita press conference za kutosha ili ajifunze.
Ali kwenye kujieleza ni tatizo
Analazimisha kingereza
Kiba ana akili sana anaongea kama jakaya sio huyo bwege anaropoka tu