Maisha sio lazima utoke familia tajiri au msomi sana nikujuwa kujichanganya na kujitoa akili nakutanguliza Mungu baba levo na mwijaku wamefanya hivi na maisha yanaenda sio rahisi mwanaume kumeza pride yako kujishusha kwa mwanaume mwenzako all the best my brother
Mbona hamuulizi ishu za mikataba? waandishi bwana.kuna issue za msingi kuliko personal issues.watu wanataka kujua kuhusu hizo tiles,zinapatikana vipi wewe unauliza ishu za njaaa.dah
Balozi amezungumzia maisha yake kuliko bidhaa anayotangaza😀😀😀
baba levo unajua sana kazi yako 👏👏
Huyu ndo blue chawa mwenye akili
English ya levo bbhana
Baba levo piga kazi mi naona una akili
Maisha sio lazima utoke familia tajiri au msomi sana nikujuwa kujichanganya na kujitoa akili nakutanguliza Mungu baba levo na mwijaku wamefanya hivi na maisha yanaenda sio rahisi mwanaume kumeza pride yako kujishusha kwa mwanaume mwenzako all the best my brother
Kubali sanaaa bimanyumba unamadini sanaaa Hua unaongea kama utani kumbe umemaliza unamadini Sanaa
Toka huko mtafuta pesa kwa nguvu, hujamsamea mjinga babu
Mbona hamuulizi ishu za mikataba? waandishi bwana.kuna issue za msingi kuliko personal issues.watu wanataka kujua kuhusu hizo tiles,zinapatikana vipi wewe unauliza ishu za njaaa.dah
Hawa waandishi wa kibongo wanafeli
Uandishi wa kisasa ni biashara
Hawa waandishi wanauliza Yale wanayoona yatauza bidhaa Zao kwa wateja wao watumia MB
Mitandaoni kufurahi
Mkatataba ni baina ya watu wawili sas wew ni wangapi unataka kujua kuhusu mkatataba
Lugha sasa😂😂😂😂
BABU LEVO😂😂😂😂😂
Machawa katika ubora wao 😂😂😂
BABU LEVO
mtu poa sana B levo baaaaaaaaaaaaa
B levo hao waandishi hawajakuona hiyo kola. Au wana wivu nao