Mimi nimeanza kivutiwa na ushia baada ya kusikiliza darsa ya tahrif kur an kutoka kwa mashia wenyewe kumbe kuna riwaya nyingi sana za kisunni zilizopokelewa ambazo zinasema qur an imezidi na imepungua,ambapo mwanzo tuliaminishwa hayo yapo kwa mashia tu
Assalam alykum shekh..mbona unatuchonganisha umati wa mtume Muhammad (saww)
@@IbrahimuItongola-bd6xl Unatuchonganisha katika lipi
Wewe wala huna umma sijui ni nani ondokazako wachonganishwa na nani
Mimi nimeanza kivutiwa na ushia baada ya kusikiliza darsa ya tahrif kur an kutoka kwa mashia wenyewe kumbe kuna riwaya nyingi sana za kisunni zilizopokelewa ambazo zinasema qur an imezidi na imepungua,ambapo mwanzo tuliaminishwa hayo yapo kwa mashia tu
@@harithwhite589 Umeanza kuvutiwa Eeh ok pia nivitabu gani hivyo ili tujifunze zaidi nasie maana maneno yasio na uthibitisho nikazi bure
Wewe nishia unaficha imani laatullah