Masha ALLAH. AmiR Yusuf ni Hikma na Busara na Elimu ya Hali ya Juu Sana kwa hayo Mafundisho au hiyo Mada kuhusu Kitabu Kitakatifu. ALLAH atakulipa Jazzaa Kheyr Jazzaa. Alf Alf ShukraN.
Ndacha pole next time utamkimbia yusuf mana humuezi hata kidogo katafute wanafunzi sio yusuf kapewa elimu kubwa Mungu kamuandaa kwa watu kama nyinyi pole ndacha watu wanajuwa ukweli na wanasilimu kila siku
Mashallah mashehe wetu Mungu awabarik awaingezee umri na siha na elimu ndacha mh kwanza pole huna hata point 1 ukajitete kwenye kitabu chako huna hata 1 tazama kurani iavyo jieleza wenyewe hakujaengezwa kitu wala kubanaika ni inakupeleka street ufahamu hebu wacha kupotowa wenzio kwa ajili ya pesa wakat umeambiwa kwenye kitabu chako wachungaji wao wamewapoteza wacha kuwapoteza wenzio
Masheikh Mungu awazidishie kila la kheir Rai yangu muacheni huyo ndacha anaelewa vizuri ila ameyazungusha masikio yake ameyaweka nyuma ila naomba Wekeni nguvu zenu kwa wale wasiofikishiwa ukumbusho
Ustadh Yusuf ALLAH Akuogezee Elimu Zaidi Huyo Ndacha Hana Hoja Akiulizwa Kitu Yy Hujibu Mambo Mengine Yy Ndacha Ni Hodari Wa Ubishano Na Kuchekesha Wakiristo Wacheke Mm Kwa Rai Yngu Msipoteze Wakati Zenu Kushindana Na Ndacha Kuna Wakiristo Wengi Wako Na Haja Ya Kujua Nn Uislamu Nyinyi Mumejaribu Sana Kumuelimisha Ndacha Lkn Yy Ni Mtu Sukumu Bukumun Umyun
Ndacha wwe elmu ulio nayo lakn ushindwe nkuelewa kwamba biblia sio kitabu cha mungu wakati haikutajwa miongoni mwa vtabu vya mungu Allah akuonyeshe dini ya hakki
Salaaaala Qur'an iritelemuzwa na hakuna kitu kiritelemuzwa kutoka mbinguni ila tu shetani vyooote Viliumbwa hapa duniani swali shetani na Qur'an kuna uusiano
KIBOKOOOO ya NDACHa, Ustad Wambugu! Simba Yusuf 🦁! Mafundisho MOTO! Hai SHIKIKI Ndacha! 😅 Na huyu Ndacha, ako na SAUTI mbaya kweli! Ana sound kama Crows! HAKUNA mKristo Duniani, anaye WEZA kui ANGUSHA the MIGHTY QURAN! WaZungu Wa Dunia MZIMA, wali jaribu, na WOTEEEE, akina:... 1) Dr William Cambell 2) Dr Anus SARROSH 3) Dr Floyd Clark.... .... Woteee wali shindwa! Sasa, hawa MACHOKORA wa SDA, akina Ndacha na BOI zake kama Josephu, kweli mutei weza The QURAN? JARIBUNI tuu! 🤕 Tabarak Allah Ustad Yusuf and whole Team!
Masha Allah Ustadh Yusuf ameweka mambo bayana Leo. Biblia sio kitabu ya Mungu.
Amir Yusuf Allah Akulipe maaada yako inaeleweka mashallah Ndacha ataelewa anavo taka yeye
Amin sote
MashaAllah ustadh kimeeleweka
Masha ALLAH. AmiR Yusuf ni Hikma na Busara na Elimu ya Hali ya Juu Sana kwa hayo Mafundisho au hiyo Mada kuhusu Kitabu Kitakatifu. ALLAH atakulipa Jazzaa Kheyr Jazzaa. Alf Alf ShukraN.
Ameen
Amin sote
Ndacha pole next time utamkimbia yusuf mana humuezi hata kidogo katafute wanafunzi sio yusuf kapewa elimu kubwa Mungu kamuandaa kwa watu kama nyinyi pole ndacha watu wanajuwa ukweli na wanasilimu kila siku
Swali ni Mungu , Mwana au Mtume
Jibu ACHA kuhubiri
MashaAllah
Masha Allah 🥰
Masha Allah Ustaz Wambugu
Mashallah Allah ❤❤❤
Walkm mslm warahmtullah wabarakatuh
Mashallah yusuf Allah akuzidishie
Amin sote
Mashallah mashehe wetu Mungu awabarik awaingezee umri na siha na elimu ndacha mh kwanza pole huna hata point 1 ukajitete kwenye kitabu chako huna hata 1 tazama kurani iavyo jieleza wenyewe hakujaengezwa kitu wala kubanaika ni inakupeleka street ufahamu hebu wacha kupotowa wenzio kwa ajili ya pesa wakat umeambiwa kwenye kitabu chako wachungaji wao wamewapoteza wacha kuwapoteza wenzio
Amin sote
Masheikh Mungu awazidishie kila la kheir
Rai yangu muacheni huyo ndacha anaelewa vizuri ila ameyazungusha masikio yake ameyaweka nyuma ila naomba
Wekeni nguvu zenu kwa wale wasiofikishiwa ukumbusho
Amin sote
Asalam waleykm khamis dakika 20 camera haitembei tunakuomba tembeza camera
Ustadh Yusuf ALLAH Akuogezee Elimu Zaidi Huyo Ndacha Hana Hoja Akiulizwa Kitu Yy Hujibu Mambo Mengine Yy Ndacha Ni Hodari Wa Ubishano Na Kuchekesha Wakiristo Wacheke Mm Kwa Rai Yngu Msipoteze Wakati Zenu Kushindana Na Ndacha Kuna Wakiristo Wengi Wako Na Haja Ya Kujua Nn Uislamu Nyinyi Mumejaribu Sana Kumuelimisha Ndacha Lkn Yy Ni Mtu Sukumu Bukumun Umyun
Amin sote
Ndacha Mungu Akulinde baba unatengeza hao .
Ndacha amepotea
Kivipi mbona hatumuelewi
Ww na ndacha wako nyote mmepotea, na uyo ndacha hana lolote mwambie kujitoa fahamu tu
Jibu ACHA kuhubiri
Hata yesu pia alikuwa hakujua kuandika ndio maana hupati injili ya aliyo andika yesu
Wacha kiburi jibu swali?
Swali gumu Hilo hapo ataletamambo ya kanisani
Ndacha wwe elmu ulio nayo lakn ushindwe nkuelewa kwamba biblia sio kitabu cha mungu wakati haikutajwa miongoni mwa vtabu vya mungu Allah akuonyeshe dini ya hakki
Salaaaala Qur'an iritelemuzwa na hakuna kitu kiritelemuzwa kutoka mbinguni ila tu shetani vyooote Viliumbwa hapa duniani swali shetani na Qur'an kuna uusiano
Umechoka kaa upumzike
Umechemka
kwa ushahidi huo sheikh hawa wasiposilimu basi utakua mtihani mkubwa,biblia maandiko yanapungua hayaendani kabsaa
Aliyekua ADUI WA MALAIKA GABRIEL basi huyo ndiye aliyetelemusha Quruan ...??? Adui tena ??
Qurani ndacha ni chakula kigumu hukiwezi wewe hukusoma wewe chako hicho mseto mlio potea
KIBOKOOOO ya NDACHa, Ustad Wambugu! Simba Yusuf 🦁!
Mafundisho MOTO! Hai SHIKIKI Ndacha! 😅
Na huyu Ndacha, ako na SAUTI mbaya kweli! Ana sound kama Crows!
HAKUNA mKristo Duniani, anaye WEZA kui ANGUSHA the MIGHTY QURAN!
WaZungu Wa Dunia MZIMA, wali jaribu, na WOTEEEE, akina:...
1) Dr William Cambell
2) Dr Anus SARROSH
3) Dr Floyd Clark....
.... Woteee wali shindwa!
Sasa, hawa MACHOKORA wa SDA, akina Ndacha na BOI zake kama Josephu, kweli mutei weza The QURAN?
JARIBUNI tuu! 🤕
Tabarak Allah Ustad Yusuf and whole Team!
Mimi nauliza gibril kazi yake ni gani?? Cz kulingana vile najua ni malaika wa vita..vilikuaje waislam wadai ati aliteremsha quran????
Wapi ushahidi
Et Gibril n malaika wa vita kasome vzr ujue n nani aliyemjia marium kw habari njema