Hakika hakika hakika, ninachoweza kusema , mafundisho haya ya mtumishi huyu Apst MUTALEMWA , kila wakati sijutii kuisha kwa bundle maana ninapata wepesi.wa kulijua NENO, SIJUI WENGINE, NAMI NASHARE NA NDG ZANGU. BARIKIWA MTUMISHI JAPO WE UMEBARIKIWA HIVYO ULIVYO. AMEN MTUMISHI
AMEEN BABA NIMEJIFUNZA JAMBO KUBWA SANA KATIKA MAFUNDISHO YAKO , HAKIKA NIMEPOKEA SAANA KWA KADIRI YA UHITAJI WANGU , NISEME NINI BASI ATUKUZWE MUNGU YEYE MWENYE UWEZA WOTE NGUVU NA MAMLAKA ZI NAYE ENZINI MWAKE,AMEEN,.
Ameeeen.... How highly you are anointed Chief... Thank you for revealing Such Good sermon on me..Nimepokea,Nimepokea .. Mungu Akutunze kwa Jina LA Yesu Amen
Amen Amen Amen Nakuelewaga sana Apostle na katika hili somo umenivusha mahali,maana katika point zote nilikuwa najua moja tu hiyo ya nne tu. Mungu azidi kukubariki sana,akuhifadhi Zaburi 41:2 Mungu akupe mmbawa za tai yule mkubwa uruke juu zaidi mbali na kisasi,mbali na waovu na uovu wao in Jesus Name.
Thank You My Mentor Chief apostle.. Hakika sitaharibu Maombi yangu.. nilikuwa sijui Kabisaa.. nilikuwa nikishafunga Basi nimemaliza... Kumbe hivi ndiovyo ilivyo... Asante Sana Apostle. Leo umenifundisha Tena.
Nimependa mungu sana. ... lakini sijawahi mwona .... kwa kufunga kuomba kuacha dhambi .... ngo... hamna kitu. .. kwanza nikiomba kama natoka nina shughuli ndio sifaulu kabisa. .. yaani nahisi sitaomba tena nimechoka. .. pengine bibilia ni kitabu tu cha kupumpaza watu. ... sijaona kitu ngo miaka miaka. ... .... siamini tena
Hakika hakika hakika, ninachoweza kusema , mafundisho haya ya mtumishi huyu Apst MUTALEMWA , kila wakati sijutii kuisha kwa bundle maana ninapata wepesi.wa kulijua NENO, SIJUI WENGINE, NAMI NASHARE NA NDG ZANGU. BARIKIWA MTUMISHI JAPO WE UMEBARIKIWA HIVYO ULIVYO. AMEN MTUMISHI
Amen Apostle
Nimeelewa sana...asante kwa somo zuri
Amen,barikiwa mtumishi wa mungu,Baba wa binguni naomba maombi yangu kwanzia leo yakakumbalike mbele zako
Ameeen!! Nimebarikiwa sana, asantee sana Mtumishi wa Mungu
Asante Baba....Mungu Baba akubariki kwa mafundisho mazuri ...nimejengeka mtumishi wa MUNGU
MUNGU akulinde sana mtumishi akuepushe na kila baya
I am truly grateful and blessed remain blessed and may our good lord continue to enlarge your territories now and always Amen
I salute mtumishi wa mungu kwa masomo yote unyo funza
Amen mchungaji Mungu akuzidishie
AMEEN BABA NIMEJIFUNZA JAMBO KUBWA SANA KATIKA MAFUNDISHO YAKO , HAKIKA NIMEPOKEA SAANA KWA KADIRI YA UHITAJI WANGU , NISEME NINI BASI ATUKUZWE MUNGU YEYE MWENYE UWEZA WOTE NGUVU NA MAMLAKA ZI NAYE ENZINI MWAKE,AMEEN,.
Ubarikiwe mutumishu wa MUNGU
Amina mtumishi kwa somo hili
Ubarikiwe sana mtumishi wa mungu
Ameen Ameen
Ameeeen.... How highly you are anointed Chief... Thank you for revealing Such Good sermon on me..Nimepokea,Nimepokea ..
Mungu Akutunze kwa Jina LA Yesu Amen
Kuabudu kwa roho
Bbc
Words of God
Sadaka amini
Powerful teaching
Public positive confession, inatisha, Daudi alifanya juu ya GOLIATH. Confess publicly fear not, Powerful ppc, I like it.
Wewe ni mchungaji wa kweli nabarikiwa sana na mafundisho yoko
Mtumishi Mungu akubariki Sana. Huu ufunguo ni wa ajabu Sana Mungu aendelee kukutumia km chombo chake.
Great teaching
Amen Amen Asante kwa mafuzo yako watu wangu tu naomba tu bila kujua
Amen
Asante sana mtumishi Mungu akulinde daima
Thank you apostol
Ameeen❤❤❤
Amen Amen Amen
Nakuelewaga sana Apostle na katika hili somo umenivusha mahali,maana katika point zote nilikuwa najua moja tu hiyo ya nne tu.
Mungu azidi kukubariki sana,akuhifadhi Zaburi 41:2
Mungu akupe mmbawa za tai yule mkubwa uruke juu zaidi mbali na kisasi,mbali na waovu na uovu wao in Jesus Name.
Amina baba
Thanks nmebarikiw Sana . Amen
Amen b blessed too 🙏🙏🙏
Shalom Shalom Apostle
ALLELUIA,amen ,Aksanti kwa mafundisho
Hakika kwa somo hili umenifungua God bless you
asante sana pastor kwa mafundisho hakika nimepokea vema mungu akubariki sana.
Amen in 2021 nimepata kitu barikiwa muchungaji.
Amen thank you Jesus barikiwa papa
AMINA
Thank You My Mentor Chief apostle.. Hakika sitaharibu Maombi yangu.. nilikuwa sijui Kabisaa.. nilikuwa nikishafunga Basi nimemaliza... Kumbe hivi ndiovyo ilivyo... Asante Sana Apostle. Leo umenifundisha Tena.
somo zuri sana
Amen amen amen
Nimebarikiwa sana chief apostle na somo hili.
Amen and Amen Chief Apostle. Thank you for this great lesson. Be blessed.
umeniongezea Imani, Chief wangu
Am happy about teaching
Amen Amen Mchungaji. Naomba kujua kabla ya Maombi nini tufanye. Mimi ni wokovu mpya.. Asante
Asante baba yangu wa kiroho nimekuelewa nimepokea kwa Jina la Yesu kristo.
Asande mtumishi wa Mungu Mimi nakufatilia sana nikiwa hapa Uganda kapchorwa
#Amina.+
Amen. Asante Yesu. Nimepokea na kuamini moyoni na itakuwa kwa Jina la Yesu.
Amen Prophet of the Living God.
I like your teachings man of God
Thank you so much Our father Apostle Mutalemwa, Its fact God is using you with His endless Grace and Anointing , Amen 🙏
Asante apostle barikiwa sana
My genius Apostle ....be Blessed
Amen I bless the day I discovered your teachings, God bless you
Amina
Ahasante baba kwa elimu itakayo juu.umenifundisha jambo kubwa Mungu azidi kuachilia haya.(.Isaya11:2)
Amen juu yayote utaoayo tamka katka jila la yesu christo
Amen mtumishi wa Mungu kwa mafundisho ya kutuimalisha na kutukuza kiroho,..🙏🙏🙏
kuomba ni somo linakufanya Ung'are
AMINA
Mwalimu mwema we trust in Jesus Christ name love u
Amen
Thanks pastor God continue empowering you in Jesus name, Amen
Ni.sawa.kabisa.mtume.nimeipokea.hiyo.Ameni
Amen Apostle Chief 10 G + .Umenibariki saaana baba.
Jaman,,,Mungu akufunze mnooooo
Thank you so much Apostle. I am blessed by your messages all the time. Thank you for allowing God to use you in this special way. Amen
Thx chief apostle 🙏
yabarikiwe sana mtumishi wa Mungu maneno haya yamekuwa yangu
ubarikiwe
Aleluya jina la BWANA libarikiwe
Amen Pastor Mwana wa Major 1
Am blessed. Very powerful prayer/word
Amen,nimejifunza leo ubarikiwe na familia yako chief.
Ameen barikiwa
Amen Ameeeeeen
Amen Amen tunashukuru kwa hili somo
Thank you Apostle Kwa mafundisho,barikiwa sana
Amen asante sana
Thank You Chief for Reminding Us of these Crucial Points...
Asante yesu
Amen hallelujah!!!!
Thankyou god
amina in Jesus i can
Ameeeeeeeen
Mungu wa Major1 azidi kukuinua mtumishi wake, somo zuri sana.
Amen barikiwa sana
How great is our Lord.he has spoken to me through this word blessed is he who hears this word and act apon
Amen🙏
Nimekuelew Sana mtumishi ubarikiwe sana
Nimefunguka asante dady
May God of major one increase you chief!
Naomba yako
Thank you Chief Apostle
Haleluyah!
AMEN
Asante chief
HALELUYA MUNGU ni MWEMA na kila siku huinua watu wa kukusanya kondoo wake ...
Endeleeni kunyenyekea kabla Yesu hajarudi
Emeee naona shetani kaweka kizuizi kazini nisipate mkataba ila ninaenda kushinda kwa kishindo
Amen dady
Amina mtumishi wa Mungu
Amen watching from mombasa
Diamond
sabato unaitunza
Ninaendelea kujifunza my chief
Kweli mtalemwa bushiri
Nimependa mungu sana. ... lakini sijawahi mwona .... kwa kufunga kuomba kuacha dhambi .... ngo... hamna kitu. .. kwanza nikiomba kama natoka nina shughuli ndio sifaulu kabisa. .. yaani nahisi sitaomba tena nimechoka. .. pengine bibilia ni kitabu tu cha kupumpaza watu. ... sijaona kitu ngo miaka miaka. ... .... siamini tena
Pole sana ,uko dar es salam ,nitafute nitakusaidia ,na Mungu utamuona kwenye maisha yako.Piga 0745121443
God bless you
@@chumbachaneemaccnonlinetv6271 Bwana akakutumie. amina
Asante sana mtumishi wa mungu
Duh
Kwa watumishi wengi wamekuwa siku hizi maApostle na si kama zamani?Mie napata hofu mno kuna siri kubwa Mungu atufunulie ili tujue namna ya kwenda nao
Trophaina Magogwa Nilidhan utaelezea ulichosikia katika mafundisho kumbe we unacholalamika ni mtu kuwa Apostle.???
@@jamesmtalemwa3339 nimesikitika sana,, Bwana yesu amfungue huyu kijana madini yaliyopo hapa ktk hii video
Kwa mungu miaka elfu nkaa siku moja, na siku moja nkaa miaka elfu moja, so kueni makini, mungu hacherewi wapendwa.
?
Ameen
Amen
Thank you Chief Apostle.
Amen
Amen
Amen
Amen