UVUVI HARAMU || Waziri Ndaki ahimiza wavuvi kuwa walinzi wa rasilimali za uvuvi
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 12 ธ.ค. 2021
- Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki amewataka wavuvi kuwa mstari wa mbele kuzilinda rasilimali za uvuvi kwa kupinga uvuvi haramu unaofanywa na baadhi ya wavuvi wasio na uadilifu kwa faida ya kizazi cha sasa na kijacho.
Waziri Ndaki alitoa wito huo alipokuwa akiongea na wavuvi wanaofanya shughuli zao katika Mwalo wa Magarini uliopo katika Wilaya ya Muleba, Mkoani Kagera Disemba 13, 2021.
Sio kweri
Toka apaww watu wanaaribu samaki rukwa ww upo mumeshindwa kuzibit
MUST NI NOMA SANA SIO KWA MAUJUZI HAYA
👇👇👇
m.th-cam.com/video/emVpjKdG2v8/w-d-xo.html