Neema Gospel Choir - Bado Ninakuamini (Lyrics Video)
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 10 ต.ค. 2024
- Huu ni wimbo wenye nguvu ya imani na kujitolea. Ni safari ya kuamini na kumtegemea Bwana, ukiwa na ombi la uongozi na uwepo wake.
Pata ujumbe wenye kugusa moyo kwamba licha ya changamoto, kimbilio letu na msaada wetu vinabaki kwa Yesu pekee.
Wimbo huu uvuvie imani yako na ufanye upya tumaini lako kwa Mungu.
Songwriter & Composer: Godwin Mlambo
Leader: Loyce Simon
Video Editor: Enock Magwesela
LYRICS
Nianze na wewe,
nimalize na wewe
Safari yangu niongozwe nawe
Ukiniacha nitapotea Bwana
Ukiniacha nitaangamia
Ukiniacha nitapotea Bwana
Usiruhusu yatokee haya
Kimbilio langu umebaki mwenyewe
Msaada wangu umebaki mwenyewe
Wewe tu, wewe tu
Bado ninakuamini
Wanaomwamini bwana tukutane hapa 👉👉
Amezing
Bwana niwezeshe kuilinda Imani niyonayo juu ya ukuu wako bila kujali mazingira yanasema Nini...
The first, please add up some likes ❤
Usiniache bwana nakuhitaji wewe kila wakati,niongoze katika kila hatua
Congratulations servants of God for the nice song.
Tuendelee kumwamini Mungu wetu kwa kumaanisha ili mwisho wetu uwe mwema maana ni heri mwisho mwema kuliko mwanzo.
Mungu nisaidie niendelee kukuamini hadi mwisho. Be blessed NGC
Amen
Bado nakuamini Yesu wangu 💖
Mungu naomba Nianze na wewe, nimalize na wewe katika kila nifanyali 🥺❤
Amen
Hakika bwana ni mwema sana 💥💥💥
Amen
Here we go🔥🙇🙇🙇 nianze naww nimalize naww
Amen
🙏🙏🙏
Baba naomba kuogozwa nawe🙏🙏🙏🙏
Bwana nakuomba uniongoze katika maisha yangu ❤ninakuamini yesu 🙌🙌
Amen
Mungu ninaomba niongoze katika safari yangu🙏🙏🙏🙏🙏
🙏🙏🙏🙏
Mungu Baba nakutegemea wewe
Amen
Mungu naomba kila jambo langu katika maisha yangu nianze na wewe na kumaliza na wewe 🙏🙏🙏
Amen
Mwanzo wangu na mwisho wangu niwe na wewe Mungu wangu ukianza nitapotea.
Amen
❤❤❤❤❤ bado namwamini .... Vipi nyie hamna Whatsapp group.
Amen, group lipo tuma ujumbe kwa what's number +255 766 777 288 na utaunganishwa
@@NeemaGospelChoir Asante sana
Safari yangu niongozwe na wewe ❤❤😂❤
Amen
Bado nakuamini Yesu
😌😌🙌🏻🙌🏻🙌🏻The Song 🎼🎧👏🏻
🔥🔥🔥🔥
Nianze na BWANA YESU ❤
Amen
Reject finance bill Kenya