Wana wake wenzangu acheni shobo kwa wachezaji mana wachezaji hawatabiriki ukimshobokeya matokeyo yanakuwa hivyo sasa ndo wengine mjifunze kwahiyo msimsingiziye hamisa hahusiki ni yeye na mzazi mwenziye wakaye wajadiliyane kuhusu mtoto kwa sababu naona kunatatizo linaweza kuwa limetokeya kati yawo ila hamissa mumkome mwanaume anaenda anapo pataka
Hawa ni wasanii tu kwaio msiendeshwe na hisia kulaumu kwa kusikiliza upande mmoja unaweza kuta mtoto anahudumiwa ila anaamua tu kufanya makusudi mimi kiumbe kinacho itwa mwanamke sijawahi kuvielewa kabisa hawaeleweki hawa
Masha Allah ❤❤ Apo kwenye kumuweka faragha kwa sura na jina la mtoto, tupo psmoja 🙌👏🫶
Aziz k uyo mobenga piga chn bwana
Piga chini huyo wako kama ampendi je maana ajawahi kusema kama kazaa na ki ata akiulizwa asemi i
Kabisa😢😢😢😢
Hamisa mwenyew apendi vurugu angeshampiga chini zamani sema anaona haya uongozi wa yanga
Wana wake wenzangu acheni shobo kwa wachezaji mana wachezaji hawatabiriki ukimshobokeya matokeyo yanakuwa hivyo sasa ndo wengine mjifunze kwahiyo msimsingiziye hamisa hahusiki ni yeye na mzazi mwenziye wakaye wajadiliyane kuhusu mtoto kwa sababu naona kunatatizo linaweza kuwa limetokeya kati yawo ila hamissa mumkome mwanaume anaenda anapo pataka
Hawa ni wasanii tu kwaio msiendeshwe na hisia kulaumu kwa kusikiliza upande mmoja unaweza kuta mtoto anahudumiwa ila anaamua tu kufanya makusudi mimi kiumbe kinacho itwa mwanamke sijawahi kuvielewa kabisa hawaeleweki hawa
Wanaume tunapitia mengi na hatuna pakusemea.kunatatizo mahali aziz ashindwi kuhudumia mtoto.
Tatizo si hamisa
Huyu mwanamke, aliwahi kukanusha kutoka na aziz ki.
Wanawake wengi ni wapuuzi sana.
Hamisa sio sababu ni huyo mwanaume mwenyew labda kuna kitu wamefanyana maana hamisa ni single mother anajua uchungu
Hamisa chombo ya boss sio Aziz
Toka lini Hamisa anauchungu na mwanamke mwenzie?kwa Zari ilikuwaje?
@@reynaaalrawahi4137kwa boss ilishaisha kidanganye
Na yey mbona amumuonei uchungu alivyochukuliwa majizo na kichanga
@maryamm7765 ungejua majizo hakuwa wake alimkwepua kwa dada mmoja alikuwa rafiki wa Wema matokeo yake analipwa na yeye
Mtafuten n Aziz k muhojini
Tatizo umewahi kujiachia ukizani ukimzalia ndio atakupenda sana alikua nimgeni ndio mana lakini alikua sio chaguo lake wew pambana
kabisa
Ila😢😮😮😮
Ifike mahala tuziongoze hisia na fikra zenyewe kutuongiza hasa sisi ma she .... Kha,,,was it necessary......
Mwacheni dada wa watu kwani yeye wa Kwanza,?
Angemuacha mwanamke na sio mtoto
Mtoto alipaswa kumlea tu vzr,
Wewe pia ni mwanamke Tema mate chini
Kwa hayo mapoz nani atakupa kazi
😂😂😂
Shobo ndo ilimponza huyo Bibie alijiwahi kumzalia mtu bila hata kufikilia 😢
Ila ukwel utabqk pale pale n damu yake
@FatumaJumanne-p4d ndio manake
@@abiaslimadyanse1842 Tatzo mukpendwa n shda mukpuunzwa n shda .
Wangapi mnazalishwa mnaachwa na wabongo wenzenu?
@hopefully7090 Hapo knachoonekana yy n tamaa imemponza ila kuna weng upendo una2ponza.
First
Tatzo mkiwa na mahusiano tuu mnakimbilia kubeba mimba hata humshirikishi mwenzio
Hapo sasa
Wanawake tutafuteni pesa
huo njo unawaponza sasa
Kumshirikishaje yani alivyomwagia ndani, nini alitegemea
Haya Mambo ni kukubaliana kuliko kukutwa na Mambo Kama hayo
😂😂