Watu watatu wafariki baada ya kuvamiwa na wahuni kwenye jumba la Sunbeam jijini Nairobi

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ก.ค. 2024
  • Imebainika Kuwa Watu Watatu Walipoteza Maisha Yao Siku Ya Jumanne Wiki Iliyopita Baada Ya Kuvamiwa Kwenye Jumba La Kibiashara La Sunbeam Jijini Nairobi. Uvamizi Huo Uliotekelezwa Na Wahuni Walioingilia Maandamano Ya Kupinga Mswada Wa Fedha Mwaka 2024, Ulisababisha Kuporwa Na Kuteketezwa Kwa Jumba La Sunbeam. Familia Ya Bernard Mungai, Mmoja Wa Wafanyibiashara Aliyepoteza Maisha Imezungumzia Machungu Na Masikitiko Ya Kumpoteza Mpendwa Wao.

ความคิดเห็น • 91

  • @Watt-er8or
    @Watt-er8or 28 วันที่ผ่านมา +29

    Human Rights groups and LSK,, should also call press conference on this... If they don't then they are working with criminals

    • @KaraniBonge
      @KaraniBonge 28 วันที่ผ่านมา +4

      Sure

    • @vincentsawe611
      @vincentsawe611 28 วันที่ผ่านมา +3

      According to lsk and human rights,these are none issues.

    • @mimimkenya2325
      @mimimkenya2325 28 วันที่ผ่านมา +3

      Unfortunately, they'll never talk about this or the police who were injured or killed as if these are not human beings😢

    • @susanngigi1164
      @susanngigi1164 28 วันที่ผ่านมา +3

      Those people are always advocates of evil. We can't expect them to do any better.

    • @derrickbiwott9393
      @derrickbiwott9393 28 วันที่ผ่านมา +1

      Exactly 💯.Huyo mumama Odhiambo aangalie hii

  • @imranbasy4022
    @imranbasy4022 28 วันที่ผ่านมา +25

    Ruto alisema ni Criminals mkasema Ruto ni wazimu. Sasa ona

    • @itssimplyivy
      @itssimplyivy 28 วันที่ผ่านมา +9

      We kwani uko kenya gani. Haujaona kwa news na videos zimekua zikicirculate vile goons wanatumwa na politicians kumake protests zikue violent?
      Kama bado mnaita vijana wanafight for your rights criminals then uko na shida kubwa sana

    • @esthermwaniki9091
      @esthermwaniki9091 28 วันที่ผ่านมา +1

      Yes evil crriminals

    • @susanngigi1164
      @susanngigi1164 28 วันที่ผ่านมา

      I'll shout to the whole world from the rooftops that all these posing as peaceful protesters were actually all criminals. For now we are hearing many well-prepared scripts of how the government hired goons to infiltrate those peaceful protests so that they can make the Gen Zees look bad but I maintain the plot was hatched from the other direction. In a bid to show supporters and especially from Mount Kenya that they made a mistake in voting for William, someone was prepared to stoop this low. It doesn't matter how bad the finance bill was but couldn't they be contented with the few amendments that were made while they sought audience with the state over the issue?!

    • @TiredKenyan
      @TiredKenyan 28 วันที่ผ่านมา

      Are you stupid?? This is not maadamano, this is a criminal act. Maandamano is allowed in Kenyan law, and if they police wanted, they can ensure its peaceful

    • @Patoh254Somie
      @Patoh254Somie 28 วันที่ผ่านมา +1

      ​@@itssimplyivyvijana wagani wakora hao unaiba mali ya mkenya mwenzako ukijiita genz ghasia hao.....demo zilikua peacefull until akina Babu Owino wakaanza mambo zao

  • @danielsitati543
    @danielsitati543 28 วันที่ผ่านมา +13

    Let the rights groups also come forward and condemn these hooligans. We hope that they'll not blame the police on this!

    • @KaraniBonge
      @KaraniBonge 28 วันที่ผ่านมา +3

      Mm nashangaa watu wanalaumu police hawalaumu wahuni walikua wakiibia watu

    • @membasamuel4218
      @membasamuel4218 28 วันที่ผ่านมา +2

      They won't trust me and if they do the police will be blamed for inaction

    • @susanngigi1164
      @susanngigi1164 28 วันที่ผ่านมา

      They already had their script premeditated on how they would blame the police and "government-hired" goons on this. They always know what protests would bring and they psychologically prepare early.

  • @mugishajeanclaude2949
    @mugishajeanclaude2949 28 วันที่ผ่านมา +5

    Hii ni ujinga wanaiba alafu wanauwa
    Ohh God my God comfort this family 🙏

  • @wamytree8944
    @wamytree8944 28 วันที่ผ่านมา +7

    kila mtu aliye onekana kwa kamera akifanya uhuni au kuvunja sheria hio tuesday ashtakiwe na ahukumiwe. hawa watu hawafai kukua huku nje na sisi tunao heshimu sheria za kenya

  • @susanngigi1164
    @susanngigi1164 28 วันที่ผ่านมา +6

    Mimi.after watching this episode I have no more support or sympathy for Gen Zees. Their cause could have been noble but after seeing that criminals were infiltrating their protests why did they insist on pressing on with the marches?! Ama wacha tu tuseme wao wenyewe bado ndio mikora?! ☹️☹️☹️

    • @mremmm5902
      @mremmm5902 28 วันที่ผ่านมา +1

      Kabisa

    • @sharersale6480
      @sharersale6480 28 วันที่ผ่านมา

      There were no protests on Thursday because of these criminals and you folks are now doing what the government wants, turning against people demonstrating for a better Kenya.

    • @alextercisio
      @alextercisio 28 วันที่ผ่านมา +1

      Wao ni criminals

  • @derrickbiwott9393
    @derrickbiwott9393 28 วันที่ผ่านมา +2

    Where's is this so called LSK AZIMIO BRANCH

  • @danielsitati543
    @danielsitati543 28 วันที่ผ่านมา +6

    Oh no. My God! Comfort the widow and the now orphan daughter!
    Condolences

    • @sharersale6480
      @sharersale6480 28 วันที่ผ่านมา

      Orphan? Kwani mama si mzazi??

  • @thegratenjambinimurungah1219
    @thegratenjambinimurungah1219 28 วันที่ผ่านมา +5

    Poleni mum and your children. May a good Samaritan visit you. It shall be well....

    • @BROTHERBEN-ic4uk
      @BROTHERBEN-ic4uk 28 วันที่ผ่านมา

      Y don't you be one of good samaria. Start with you stupid person

  • @wamytree8944
    @wamytree8944 28 วันที่ผ่านมา +12

    wezi ndio wamejaa kenya. law abiding citizens tutaenda wapi sasa?

  • @DavidNyamongo-un1sc
    @DavidNyamongo-un1sc 28 วันที่ผ่านมา +4

    Journalists,raila, human rights activists,the assmio LSK should condemn this

    • @mremmm5902
      @mremmm5902 28 วันที่ผ่านมา +1

      Naskia kulia saasa hii n mambo gani

    • @DavidNyamongo-un1sc
      @DavidNyamongo-un1sc 28 วันที่ผ่านมา

      @@mremmm5902 wewe kojoa ulale,usilie

    • @Patoh254Somie
      @Patoh254Somie 28 วันที่ผ่านมา

      @@DavidNyamongo-un1sc the president should arrest all those fools who stole and were burning Kenyans property in the name of peaceful Demo

  • @abdiahaji5653
    @abdiahaji5653 28 วันที่ผ่านมา +1

    When your leaders call it a spade don't cool it a spoon.😎.
    Condolences to the family

  • @user-dt6yw2qr8n
    @user-dt6yw2qr8n 28 วันที่ผ่านมา +3

    Wah God help us

  • @charleswahome7721
    @charleswahome7721 28 วันที่ผ่านมา +12

    endeleeni kusifu takataka eti gen zee nonsense

    • @sjsm8578
      @sjsm8578 28 วันที่ผ่านมา

      Hao ni Gen Z kweli? Tumia akili saa zingine si kuibeba tu. Ndio maana tuliibiwa 7 trillion na Uhuru na mkanyamaza while he raped you

    • @esthermwaniki9091
      @esthermwaniki9091 28 วันที่ผ่านมา

      Media is to blame they split the Screens to support destruction now we are burying our own Kenya against kenya

    • @Fexxy69
      @Fexxy69 28 วันที่ผ่านมา

      Kojoa hulale😂

    • @susanngigi1164
      @susanngigi1164 28 วันที่ผ่านมา +4

      We tried warning our people that going to the streets was not honourable but wakasema their protest was peaceful. There's nothing peaceful in any protest where the devil has already claimed his territory. Hawa mavijana I no longer care what their agenda is. Am off their cause! 🚶🚶🚶

    • @alextercisio
      @alextercisio 28 วันที่ผ่านมา +1

      True ni takataka tu

  • @rizikimohamed2449
    @rizikimohamed2449 28 วันที่ผ่านมา +1

    Jamani SS mwandamana ama waiba Mali za watu na kuwaa watu kuchoma Mali za umaa😢😢 jamani waizii wauliwe kabisa

  • @user-sc8mp6tc3n
    @user-sc8mp6tc3n 28 วันที่ผ่านมา +4

    Real shame to Kenyans mkimaliza haribu kesho msike kwetu

  • @user-dd2ut8ef1z
    @user-dd2ut8ef1z 24 วันที่ผ่านมา

    Pole sana

  • @user-ti6dl5xv1l8
    @user-ti6dl5xv1l8 28 วันที่ผ่านมา +1

    Polisi wangewakilisha hapo lakini bahati mbaya. Poleni sana familia. RIP

  • @ibrahimomar4514
    @ibrahimomar4514 28 วันที่ผ่านมา +3

    Useless news anchots why are you telling us this news late wachenzi genz ni criminals

  • @josephmwaniki7171
    @josephmwaniki7171 28 วันที่ผ่านมา +7

    sad, the goverment must not relent on these goons, despite what toothless LSK says

    • @user-xx6ot2du7d
      @user-xx6ot2du7d 28 วันที่ผ่านมา +2

      You don't know what the game is,the same government ooerate with goons to steal and destroy properties.gikuyu mnamalizwa ni serikali yenu

    • @Patoh254Somie
      @Patoh254Somie 28 วันที่ผ่านมา

      @@user-xx6ot2du7d tribal fools

    • @josephmwaniki7171
      @josephmwaniki7171 28 วันที่ผ่านมา

      @@user-xx6ot2du7d I dont operate on hypothesis and rumour mongering

  • @mmilly8952
    @mmilly8952 28 วันที่ผ่านมา +1

    😢😢😢😢Pole kwa mjane aki Wooiye... Hao wahuni wa stakiwe aki. 😭😭

  • @bensonathewa5956
    @bensonathewa5956 28 วันที่ผ่านมา +1

    😢😢😢very sad

  • @NancyOdongo-xi4gv
    @NancyOdongo-xi4gv 28 วันที่ผ่านมา

    God's grace is the Lord ❤😂🎉😢😮

  • @danlamboghini6427
    @danlamboghini6427 28 วันที่ผ่านมา +6

    N ndio wanaanguka kotini juu ya njaa maumbwa

  • @micaangote2138
    @micaangote2138 28 วันที่ผ่านมา

    Pole

  • @kibetkirui3949
    @kibetkirui3949 28 วันที่ผ่านมา +4

    Haki ni uchungu sana.

    • @susanngigi1164
      @susanngigi1164 28 วันที่ผ่านมา

      Haki imagine am crying until now after seeing the picture of Mungai hanging on that window. Hii sasa ita-traumatize family yake and I don't know if they'll ever recover from this. Seeing the agony that your loved one was in before he died is just tormenting. I have no words. 🙆🙆🙆

  • @GathufuKali1
    @GathufuKali1 28 วันที่ผ่านมา +2

    Nairobery

  • @NichodemusOpati-z5h
    @NichodemusOpati-z5h 28 วันที่ผ่านมา +2

    Rais William ruto anafaa asikie hayo

    • @alextercisio
      @alextercisio 28 วันที่ผ่านมา

      Afanye nini?? Si alisema ni criminals mkasema ni Uogo 😂😂

  • @labankarani6973
    @labankarani6973 28 วันที่ผ่านมา +2

    Alafu mnaanza kulaumu serikali bure Na wakora ndio wanaingilia maandamano

    • @sharersale6480
      @sharersale6480 28 วันที่ผ่านมา

      Serikali ndio imewalipa hao wakora, ni nini hamuelewi na mmekewa picha hadi wakilipwa hapo kwa kanjo.

  • @alextercisio
    @alextercisio 28 วันที่ผ่านมา +1

    Hao ni Gen z si criminals si ruto alisema ni criminals wakenya wakasema ni uogo

  • @fastandfurious3751
    @fastandfurious3751 28 วันที่ผ่านมา +1

    How is this justified?

  • @NancyOdongo-xi4gv
    @NancyOdongo-xi4gv 28 วันที่ผ่านมา

    God help kenyans

  • @davidthuks2128
    @davidthuks2128 28 วันที่ผ่านมา +9

    Wakikuyu na bado mnaenda maaandamano na muona vile hawa mambwa wanaiba maduka hawajui biashara ila maandamano ya ukora

    • @salimadiyo9442
      @salimadiyo9442 28 วันที่ผ่านมา +2

      ukabila imetoka wapi sasa

    • @susanngigi1164
      @susanngigi1164 28 วันที่ผ่านมา +1

      I was so ashamed of Kikuyus doing this kind of thing even in their own towns huku wakidanganywa eti they are doing a good thing for Kenya. Nanyuki wafanyi biashara wengi walipoteza mali yao eti watu wakidai kuwa wana-target premises za "yes" politicians. Upuzi!

    • @mremmm5902
      @mremmm5902 28 วันที่ผ่านมา +1

      Imagin wakikuyu biashara zao ndio hizi

    • @sharersale6480
      @sharersale6480 28 วันที่ผ่านมา +1

      Wakikuyu ndio wlitueka kwa hii shida ya Ruto. Mtutoe basi ama tulipe ushuru hadi tukufe.

    • @alextercisio
      @alextercisio 28 วันที่ผ่านมา +1

      @@sharersale6480 peleka umavi uko ruto is going no where stop blaming ruto for your poverty

  • @NancyOdongo-xi4gv
    @NancyOdongo-xi4gv 28 วันที่ผ่านมา

    Feaaaa🎉😂❤🎉😢

  • @ibrahimomondi6171
    @ibrahimomondi6171 27 วันที่ผ่านมา

    This was the work of government goons...