Vijana wawili waliopotea wakati wa maandamano wapatikani kama wameuawa jijini Mombasa

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ก.ค. 2024
  • Familia Zaidi Zinaendela Kujitokeza Kuripoti Kufariki Kwa Jamaa Zao Baada Ya Kupigwa Risasi Na Maafisa Wa Usalama. Mjini Mombasa Familia Ya Denis Otieno Inaomboleza Kufuatia Kifo Cha Kijana Huyo Wanayesema Hakuwa Miongoni Mwa Waandamanaji. Na Kama Anavyoarifu Francis Mtalaki Denis Alipigwa Risasi Zaidi Ya Tatu Kwenye Mgongo Hadi Kufariki.

ความคิดเห็น • 128

  • @timothyonyango9
    @timothyonyango9 29 วันที่ผ่านมา +29

    With all looks and facts KK govt is surviving through human blood 😭😭😭😭😭😭😭😭 but God will act soon on this shakahola govt.

  • @StephenWekesa-ul8il
    @StephenWekesa-ul8il 28 วันที่ผ่านมา +17

    Ruto must go

  • @luckyluchano1
    @luckyluchano1 28 วันที่ผ่านมา +11

    The pain of the mother is evident and I pray it won't be in vain😔

  • @HassanAthuman-lf7cz
    @HassanAthuman-lf7cz 28 วันที่ผ่านมา +20

    Serekal ndio wauwaji hata hao vjana waliuliwa na maafisa lkn mungu upona anaona

  • @MargauxNyambura
    @MargauxNyambura 28 วันที่ผ่านมา +13

    This government honestly has caused lots of families to shed tears

  • @Nicholas-yr2sq
    @Nicholas-yr2sq 28 วันที่ผ่านมา +4

    Wazazi itabidi mupange maadamano yenu siku moja 😎

  • @aishasaidi1784
    @aishasaidi1784 29 วันที่ผ่านมา +7

    Wakati wa maandamano yenyewe hakukuwa na kazi sema tu polisi ndio wenye lawama kubwa na mauaji😢

  • @msamsa1031
    @msamsa1031 28 วันที่ผ่านมา +7

    Haki gani , na uhai utawahi rudi

  • @rwenji22
    @rwenji22 28 วันที่ผ่านมา +3

    Hata kama alikuwa kwa maandamano, ni ukatili mkubwa wa serikali ya Ruto kutumia risasi za moto dhidi yao.

  • @denniscemagik1260
    @denniscemagik1260 26 วันที่ผ่านมา

    Parents (not necessarily concerned with this) Please, kuna watu nawajua wanafanya uhuni na ujambazi na wazazi hawana ufahamu. Mzazi anajua mtoto wake anafanya job ya ki uhaki ilhali wanao wanaficha siri na kuiba chini ya maji. Kuna wengine hata bibi zao hawajui so please, tutafute pesa kwa njia za kiukweli

  • @wakenyaskytv6937
    @wakenyaskytv6937 28 วันที่ผ่านมา +6

    Ruto stop killing our children

  • @danlamboghini6427
    @danlamboghini6427 28 วันที่ผ่านมา +2

    Pole mum

  • @davidthuks2128
    @davidthuks2128 28 วันที่ผ่านมา +1

    Wangeua kama kumi hivi iwe funzo ya waandamanaji

  • @lynnomondi4899
    @lynnomondi4899 28 วันที่ผ่านมา +1

    Ruto must go yawa....

  • @anneorina2975
    @anneorina2975 28 วันที่ผ่านมา

    Condolences to the family

  • @MuniraShughuli-kc7vj
    @MuniraShughuli-kc7vj 28 วันที่ผ่านมา +1

    Kesho Mungu yuwasibi wote wauwaji

  • @roseatienoogutu7641
    @roseatienoogutu7641 22 วันที่ผ่านมา

    polesana ai jamani Tuto

  • @alicembari8190
    @alicembari8190 28 วันที่ผ่านมา

    God will answer our prayers

  • @theozansfamily1029
    @theozansfamily1029 28 วันที่ผ่านมา

    My dad was a Corp and always against police brutality to date 😢. It's so Unfair that a Kenyan killed another Kenyan for fighting for their basic Right. The hatred between the police and raia is Evidently during the training of "makurutu"

  • @peterjowi3894
    @peterjowi3894 25 วันที่ผ่านมา

    Francis mtalaki hapana sema rwinga, ni runinga ya citizen😂

  • @karutyericscomedies2783
    @karutyericscomedies2783 28 วันที่ผ่านมา +1

    This sounds very unpleasant 😢
    Brutality on peaceful protesters

  • @josephwairimu6222
    @josephwairimu6222 28 วันที่ผ่านมา +3

    Koome must go

    • @Borvia109
      @Borvia109 28 วันที่ผ่านมา +1

      Start from Ruto

  • @mercyserem1821
    @mercyserem1821 28 วันที่ผ่านมา

    Oo mama pole 😢😢

  • @edwingichobi1657
    @edwingichobi1657 28 วันที่ผ่านมา +1

    Swali ni je,wenye hayo magari waliochoma ndiyo waliua huo vijana kweli?Na kama hapana,mbona walichoma magari ya wenyewe basi? Asiyefunzwa na mamae hufunzwa na ulimwengu

    • @Borvia109
      @Borvia109 28 วันที่ผ่านมา

      Hehehe no worries hutafikiwa

  • @MuthamaSabastian
    @MuthamaSabastian 23 วันที่ผ่านมา

    Hawa maaskari ka wanajulikana inafaa watembelewe cos ata wakishikwa wataachiliwa bure...wapewe tu Genzs

  • @richardotieno7146
    @richardotieno7146 28 วันที่ผ่านมา

    Tunalani hii kitendo inayofanyika humu Nchini ,Kama vijana Tunaona tukirudi Barabarani Kutetea haki za wenzetu walio Uwawa Kiunyama na Maafisa wa Polisi ,Ruto must Go ,

  • @Tokneetoe
    @Tokneetoe 29 วันที่ผ่านมา +1

    This government kazi ni kusafirisha mwili places zingine ndio watu wasipate loved ones wao ....Githurai bado tunajua watu walipass wengi those shots could have been kwa hewa

    • @benjaminosura7665
      @benjaminosura7665 28 วันที่ผ่านมา

      Walitupwa river yala ama shakahola lazima

  • @gabrielngugi3553
    @gabrielngugi3553 22 วันที่ผ่านมา

    Please this very wrong,mr president resign like koome

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz 25 วันที่ผ่านมา

    Ruto hawezi badilika yaelekea are all danger in Kenya Ruto atawamaliz

  • @jamesmwangi9461
    @jamesmwangi9461 28 วันที่ผ่านมา

    rutu must goo

  • @GabrielbarakaThoua-fh8ow
    @GabrielbarakaThoua-fh8ow 28 วันที่ผ่านมา +2

    Huenda aliuliwa Kwa sababu ya Jina tu "Otieno" maskini.vifo alivyosema raisi Ruto havitatokea.Mungu amlipie.

  • @user-qq5wo9vm5s
    @user-qq5wo9vm5s 17 วันที่ผ่านมา

    Yenye kuua lasima via wauliwe
    Kivimo wamepimia wengine
    Fia wafimiwe nayo
    Nawatolewe patis zao situpiwe
    Yenye kuitaji walio ua na Buduki
    Wauliwe na Buduki hivyo hivyo

  • @ZawadiKalume-zb6lb
    @ZawadiKalume-zb6lb 17 วันที่ผ่านมา

    Hao mapolisi wachukuliwe hatuwa

  • @mahbubmo
    @mahbubmo 28 วันที่ผ่านมา +2

    Im not saying the killings are right but what does kicking a car and destroying you fellow kenyans property got to do with your anger for the government?

    • @peterkariuki9073
      @peterkariuki9073 28 วันที่ผ่านมา +1

      Ruto pays the goons who do that. Ask him that question.

    • @Nicholas-yr2sq
      @Nicholas-yr2sq 28 วันที่ผ่านมา

      Rubbish

    • @mahbubmo
      @mahbubmo 28 วันที่ผ่านมา

      @peterkariuki9073 No it's a behavior, look at the past. Can't blame all your issues on ruto.

    • @user-td3oo1ye9n
      @user-td3oo1ye9n 17 วันที่ผ่านมา

      Good question....alafu mtu akiuliwa wanaannxa kulaumu police...

  • @ExaveryDominick
    @ExaveryDominick 27 วันที่ผ่านมา

    Malipo hapahapa😂

  • @bensonathewa5956
    @bensonathewa5956 28 วันที่ผ่านมา

    😢😢😢while politicians are just relaxing in there palacual homes

  • @ndarochibingu
    @ndarochibingu 28 วันที่ผ่านมา

    Eeeh 😂😂 hasilo tawala

  • @FredrickOwinyo
    @FredrickOwinyo 28 วันที่ผ่านมา

    Bunduki haiuwi watu, watu ndio wanaua watu.

  • @MM-gh8wb
    @MM-gh8wb 29 วันที่ผ่านมา

    Mtoto yupi

  • @KenJuma-tz2hg
    @KenJuma-tz2hg 28 วันที่ผ่านมา +1

    Bado wanatuua ?

  • @robertoriato3654
    @robertoriato3654 28 วันที่ผ่านมา

    Hivi serikali imewekewa wanted

  • @Watt-er8or
    @Watt-er8or 28 วันที่ผ่านมา +4

    Sorry to the family,, but majority of the people who were shot are Luos..Is it coincidence or some people are just violent.. Usicheze na maisha, maandamano iwe ya amani..

    • @Billcl8nyon
      @Billcl8nyon 28 วันที่ผ่านมา

      They are ones causing chaos and breaking into people's businesses in the name of maandamano.

    • @KenJuma-tz2hg
      @KenJuma-tz2hg 28 วันที่ผ่านมา +2

      Mjinga ww

    • @kenyanowtv
      @kenyanowtv 28 วันที่ผ่านมา

      The most stupid comment,you ate just a fool.

  • @marypatrick6667
    @marypatrick6667 28 วันที่ผ่านมา

    Gen Z simuwatafutee Hawa wauaji..

  • @charleskiarii-nf5cc
    @charleskiarii-nf5cc 28 วันที่ผ่านมา

    Uyuu Ruto n haka Ka serekali kake

  • @adtvhjnjkivvfw51
    @adtvhjnjkivvfw51 28 วันที่ผ่านมา

    Wauwaji umbwa😢😢😢

  • @agripinabukhala649
    @agripinabukhala649 28 วันที่ผ่านมา

    Ipoa wako nao

  • @ExaveryDominick
    @ExaveryDominick 27 วันที่ผ่านมา

    Malipo haphapa duniani

  • @georginamueni5935
    @georginamueni5935 28 วันที่ผ่านมา

    The killer policemen know that there is God who fights for his people.

  • @SalimuNyanje
    @SalimuNyanje 28 วันที่ผ่านมา

    Hawana hurum n watu

  • @AnkoLolo-mv5bk
    @AnkoLolo-mv5bk 29 วันที่ผ่านมา +4

    Pole mama ila naomba tu msiweze tu kulaumu na kusema hakuwa kwa maandamano Ina maana alipigiwa ndani ya nyumba wako watu walirushia askari mawe japo sijasema kijana wenyu Ni mmoja wao

    • @KenyanRapper-lo6fb
      @KenyanRapper-lo6fb 28 วันที่ผ่านมา +3

      Fikiria unapozungumuza kumbuka Kuna Leo na kesho🤐🙏🙏

    • @nishaabdula5015
      @nishaabdula5015 28 วันที่ผ่านมา +1

      Hawayaoni hayo na wnachoma moto vitu wnavynja maduka ya raiya wenzao n akuchoma moto ss hayp ndoaandamano gn jmn kaa

    • @Nicholas-yr2sq
      @Nicholas-yr2sq 28 วันที่ผ่านมา

      Wako hajauliwa ndio unaongea kama msenge, Ni Sisi Na nyinyi Sasa wakati umefika😎

  • @GabrielbarakaThoua-fh8ow
    @GabrielbarakaThoua-fh8ow 28 วันที่ผ่านมา

    Ombati Jina TU maskini

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula5015 28 วันที่ผ่านมา +1

    Shida ya wtt wenu hawfanyi maandamano ya kutaka hk bali yakuaribu nchi mana wao wnacjoma vigu moto wna iba mali za raiya wenzao nakupiaaskar mawe ss unafikir askar na yy ni mtu anajitete

    • @peterkariuki9073
      @peterkariuki9073 28 วันที่ผ่านมา

      Weee mjinga kweli. Wanaofanya hayo maasi hutumwa na serikali kuharibu maandamano.

  • @DavidNyamongo-un1sc
    @DavidNyamongo-un1sc 28 วันที่ผ่านมา +1

    Bado tutawaua wengi kesho,hii si maandamano ni uhuni tu

    • @JosephEmmanuel-eb7gj
      @JosephEmmanuel-eb7gj 28 วันที่ผ่านมา

      😢😢😢 wew ni binadam

    • @user-vz7cc3qv9f
      @user-vz7cc3qv9f 28 วันที่ผ่านมา

      We jaribu nikupate nakunyonga umfuate

    • @nishaabdula5015
      @nishaabdula5015 28 วันที่ผ่านมา +1

      Kwel uhuni tu km ni maandamano ya kudai hk kwnn wachome vitu moto kwann wavunje madukaya raiya wenzao na kuiba mali ni u huni je

  • @christinechirchir2560
    @christinechirchir2560 28 วันที่ผ่านมา +3

    Ambieni hawa watoto wenu wakae kwa nyumba stay home stay safe bure mtakuwa mkilia kila siku serekali serekali akuna siku serikali itatoa watoto waende maandamano

    • @mercymulwa8917
      @mercymulwa8917 28 วันที่ผ่านมา +5

      Unaongea kama mtu mjinga aje?

    • @christinechirchir2560
      @christinechirchir2560 28 วันที่ผ่านมา +1

      @@mercymulwa8917 ni Nani analia sai ni mjinga ama viherere ndio mnalia

    • @remiomar7154
      @remiomar7154 28 วันที่ผ่านมา

      Soo uogope kufa huku ukilazimishwa maisha uishi maisha usiweza kujimudu siku yake ilikuwa imefika

    • @christinechirchir2560
      @christinechirchir2560 28 วันที่ผ่านมา +1

      @@remiomar7154 sasa hiyo maisha mzuri ataishi akiwa kwa kaburini?

    • @mayaspanic221
      @mayaspanic221 28 วันที่ผ่านมา +1

      Your second name says/explains a lot. I won't even bother to reason with you nor stoop to your level

  • @fredmariita8930
    @fredmariita8930 28 วันที่ผ่านมา

    Ni ruto na police tu lakini MUNGU yupo mtalipia

  • @sarahmbuche5189
    @sarahmbuche5189 28 วันที่ผ่านมา

    Huyo mkora sijui atakubali lini kuondoka kwenye kiti watu wapate amani

    • @hakeemahmed2874
      @hakeemahmed2874 28 วันที่ผ่านมา +1

      If Ruto aende, wote waende.
      Tuende elections

  • @SalimuNyanje
    @SalimuNyanje 28 วันที่ผ่านมา

    Hawana hurum n watu