Vijana wawili waliopotea wakati wa maandamano wapatikani kama wameuawa jijini Mombasa
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 5 ก.ค. 2024
- Familia Zaidi Zinaendela Kujitokeza Kuripoti Kufariki Kwa Jamaa Zao Baada Ya Kupigwa Risasi Na Maafisa Wa Usalama. Mjini Mombasa Familia Ya Denis Otieno Inaomboleza Kufuatia Kifo Cha Kijana Huyo Wanayesema Hakuwa Miongoni Mwa Waandamanaji. Na Kama Anavyoarifu Francis Mtalaki Denis Alipigwa Risasi Zaidi Ya Tatu Kwenye Mgongo Hadi Kufariki.
With all looks and facts KK govt is surviving through human blood 😭😭😭😭😭😭😭😭 but God will act soon on this shakahola govt.
Ruto must go
The pain of the mother is evident and I pray it won't be in vain😔
Serekal ndio wauwaji hata hao vjana waliuliwa na maafisa lkn mungu upona anaona
This government honestly has caused lots of families to shed tears
Wazazi itabidi mupange maadamano yenu siku moja 😎
Wakati wa maandamano yenyewe hakukuwa na kazi sema tu polisi ndio wenye lawama kubwa na mauaji😢
Haki gani , na uhai utawahi rudi
Hata kama alikuwa kwa maandamano, ni ukatili mkubwa wa serikali ya Ruto kutumia risasi za moto dhidi yao.
Parents (not necessarily concerned with this) Please, kuna watu nawajua wanafanya uhuni na ujambazi na wazazi hawana ufahamu. Mzazi anajua mtoto wake anafanya job ya ki uhaki ilhali wanao wanaficha siri na kuiba chini ya maji. Kuna wengine hata bibi zao hawajui so please, tutafute pesa kwa njia za kiukweli
Ruto stop killing our children
Pole mum
Wangeua kama kumi hivi iwe funzo ya waandamanaji
Ruto must go yawa....
Condolences to the family
Kesho Mungu yuwasibi wote wauwaji
polesana ai jamani Tuto
God will answer our prayers
My dad was a Corp and always against police brutality to date 😢. It's so Unfair that a Kenyan killed another Kenyan for fighting for their basic Right. The hatred between the police and raia is Evidently during the training of "makurutu"
Francis mtalaki hapana sema rwinga, ni runinga ya citizen😂
This sounds very unpleasant 😢
Brutality on peaceful protesters
Koome must go
Start from Ruto
Oo mama pole 😢😢
Swali ni je,wenye hayo magari waliochoma ndiyo waliua huo vijana kweli?Na kama hapana,mbona walichoma magari ya wenyewe basi? Asiyefunzwa na mamae hufunzwa na ulimwengu
Hehehe no worries hutafikiwa
Hawa maaskari ka wanajulikana inafaa watembelewe cos ata wakishikwa wataachiliwa bure...wapewe tu Genzs
Tunalani hii kitendo inayofanyika humu Nchini ,Kama vijana Tunaona tukirudi Barabarani Kutetea haki za wenzetu walio Uwawa Kiunyama na Maafisa wa Polisi ,Ruto must Go ,
This government kazi ni kusafirisha mwili places zingine ndio watu wasipate loved ones wao ....Githurai bado tunajua watu walipass wengi those shots could have been kwa hewa
Walitupwa river yala ama shakahola lazima
Please this very wrong,mr president resign like koome
Ruto hawezi badilika yaelekea are all danger in Kenya Ruto atawamaliz
rutu must goo
Huenda aliuliwa Kwa sababu ya Jina tu "Otieno" maskini.vifo alivyosema raisi Ruto havitatokea.Mungu amlipie.
Yenye kuua lasima via wauliwe
Kivimo wamepimia wengine
Fia wafimiwe nayo
Nawatolewe patis zao situpiwe
Yenye kuitaji walio ua na Buduki
Wauliwe na Buduki hivyo hivyo
Hao mapolisi wachukuliwe hatuwa
Im not saying the killings are right but what does kicking a car and destroying you fellow kenyans property got to do with your anger for the government?
Ruto pays the goons who do that. Ask him that question.
Rubbish
@peterkariuki9073 No it's a behavior, look at the past. Can't blame all your issues on ruto.
Good question....alafu mtu akiuliwa wanaannxa kulaumu police...
Malipo hapahapa😂
😢😢😢while politicians are just relaxing in there palacual homes
Eeeh 😂😂 hasilo tawala
Bunduki haiuwi watu, watu ndio wanaua watu.
Mtoto yupi
Bado wanatuua ?
Hivi serikali imewekewa wanted
Sorry to the family,, but majority of the people who were shot are Luos..Is it coincidence or some people are just violent.. Usicheze na maisha, maandamano iwe ya amani..
They are ones causing chaos and breaking into people's businesses in the name of maandamano.
Mjinga ww
The most stupid comment,you ate just a fool.
Gen Z simuwatafutee Hawa wauaji..
Uyuu Ruto n haka Ka serekali kake
Wauwaji umbwa😢😢😢
Ipoa wako nao
Malipo haphapa duniani
The killer policemen know that there is God who fights for his people.
Hawana hurum n watu
Pole mama ila naomba tu msiweze tu kulaumu na kusema hakuwa kwa maandamano Ina maana alipigiwa ndani ya nyumba wako watu walirushia askari mawe japo sijasema kijana wenyu Ni mmoja wao
Fikiria unapozungumuza kumbuka Kuna Leo na kesho🤐🙏🙏
Hawayaoni hayo na wnachoma moto vitu wnavynja maduka ya raiya wenzao n akuchoma moto ss hayp ndoaandamano gn jmn kaa
Wako hajauliwa ndio unaongea kama msenge, Ni Sisi Na nyinyi Sasa wakati umefika😎
Ombati Jina TU maskini
Shida ya wtt wenu hawfanyi maandamano ya kutaka hk bali yakuaribu nchi mana wao wnacjoma vigu moto wna iba mali za raiya wenzao nakupiaaskar mawe ss unafikir askar na yy ni mtu anajitete
Weee mjinga kweli. Wanaofanya hayo maasi hutumwa na serikali kuharibu maandamano.
Bado tutawaua wengi kesho,hii si maandamano ni uhuni tu
😢😢😢 wew ni binadam
We jaribu nikupate nakunyonga umfuate
Kwel uhuni tu km ni maandamano ya kudai hk kwnn wachome vitu moto kwann wavunje madukaya raiya wenzao na kuiba mali ni u huni je
Ambieni hawa watoto wenu wakae kwa nyumba stay home stay safe bure mtakuwa mkilia kila siku serekali serekali akuna siku serikali itatoa watoto waende maandamano
Unaongea kama mtu mjinga aje?
@@mercymulwa8917 ni Nani analia sai ni mjinga ama viherere ndio mnalia
Soo uogope kufa huku ukilazimishwa maisha uishi maisha usiweza kujimudu siku yake ilikuwa imefika
@@remiomar7154 sasa hiyo maisha mzuri ataishi akiwa kwa kaburini?
Your second name says/explains a lot. I won't even bother to reason with you nor stoop to your level
Ni ruto na police tu lakini MUNGU yupo mtalipia
Huyo mkora sijui atakubali lini kuondoka kwenye kiti watu wapate amani
If Ruto aende, wote waende.
Tuende elections
Hawana hurum n watu